Tunakosea kumchukulia "serious" RC Makonda

Tunakosea kumchukulia "serious" RC Makonda

Ila wale vijana wameniacha hoi!! utafikili walilazimishwa kwenda kumuinterview muhishimiwa mkubwa kabisa kabisa maana sindano ambazo walikuwa wanamdunga utaona kuna kitu hakijakaa sawa, ila kuna yule mwingine alikuwa anaonekana muoga muoga dah!!! ila jamaa kaonyesha round about ndio mahala pake..!!!
 
Mimi mwenyewe nimeangalia nikaona kabisa mamlaka za uteuzi hazipo serious kabisa.

Kama mkuu wa mkoa wa Dar ndio huyu basi sina haja ya kujua kwa nini nchi yetu masikini, kwa nini rambi rambi zinatafunywa hovyo hovyo, na kwanini ukiwa na vyereheni vinne basi una kiwanda.
APO KWENYE VYEREHANI APOO, THATS WAY OUR COUNTRY STILL POOR NI KUTOKANA NA AKILI NDOGO KUONGOZA AKILI KUBWA..WE TANGU LINI NA NCHI IPI ZAID YA TANZANIA INAYOSEMA KUWA KIONGOZI WA NGAZI YA JUU AJUE KUSOMA NA KUANDIKA TUUU
 
Ila wale vijana wameniacha hoi!! utafikili walilazimishwa kwenda kumuinterview muhishimiwa mkubwa kabisa kabisa maana sindano ambazo walikuwa wanamdunga utaona kuna kitu hakijakaa sawa, ila kuna yule mwingine alikuwa anaonekana muoga muoga dah!!! ila jamaa kaonyesha round about ndio mahala pake..!!!
BAADA YA KUJIBU MASWALI YE ANAONGELEA MADAWA TU
 
mwandishi: mheshimiwa ni kweli ulivamia ofisi za Clouds??
Bashite: hahahaha tumepanga kuboresha usafiri wa dar na siku za karibuni tutaanza kutengeneza barabara ya mwendokasi kutokea mbagala up to city center
Duuuhh, kali ya mwaka hiyo!!
 
Wamesema makonda wamemtengenezea zengwe Kwa sababu ya kazi take ya kupambana na madawa ya kulevya na ndio propaganda zinavyotamba kwenye mitandao hats yy mwenyewe katamka hayo Leo lakini kashindwa kukubali au kukataa swala LA jina lake na vyeti vyake, ila Kwa mm nitakuwa tofauti na maelezo yake kwani wakati serikali imeanzisha masako Wa watumishi hewa na msako Wa vyeti feki ndo swala lake lilipoanzia kuwa watu wanaachishwa kazi Kwa kupitia uhakiki Wa wakuu Wa wilaya,mikoa na wakurugenzi na wakuu Wa idara ndipo watu walipoanzia mhakiki mbona yy anacheti siyo chake kwani waliotoa hiyo ni watu wanaomjua Kwa undani na wamesoma wote na hill halina ubishi ila Kwa sasa mteuzi alishatoa maamuzi take kuwa yy hakumteua Kwa ajili ya vyeti ila Kwa utendaji wake Wa kazi,hivyo makonda ndo Rc wetu dar hakuna mjadala Ila waweke kumbukumbu Kwa tawala zijazo wasije kumgeuka wakasema arudishe mushahara yote aliyochukua akiwa kiongozi Wa wananchi,awekewe kings maalum!
NALO NENO
 
hahaha jf imenifunza kitu leo .... nilikuwa nakasirishwa sana na makonda na mambo yake lakini leo nimejifunza jambo kwamba nimpuuzie yeye na boss wake and i will do this for the rest of my life hahaha asante jf
Ukilichukia boga chukia na ua lakeeeeeeeeeee
 
Huu Uzi umenifunza kitu nimengalia kile kipindi chote Makonda ni muongo mchonganishi na mfitinishi anajificha kwenye mwamvuri wa madawa na ulokole kuficha udhaifu wake wa vyeti na ni mtu hatari na katiri sana.nipo nae group la whasap ukimpinga anakufata inbox anakutishia kiufupi aliyemteua hajielewi
Natamani uniadd kwenye hilo kundi, lakini najua ataniremove kwa sekunde moja tu
 
Hahahaaa zero kwenye makaratasi is equal to zero kwenye interview.
Leo kayadhiirisha hayo makonda.
 
Huyu kijana alianza na kumpiga Warioba, akawaweka maafisa aridhi ndani (anahukumu wakati si mahakama), akamtukana yule mama wa ukonga hadharani. Hayo yote yalikuwa na mkono wa madawa ya kulevya?
Star TV walipanga kumsafisha ila ni kama wamemchafua zaidi. Mimi ninalosubiri ni kama Dialo atachaguliwa katibu mkuu. Hapo ndiyo yatatimia yaliyobashiriwa. Mengine ni vigumu kuprove- ile misaada ya fedha aliyoahidiwa.
Swali nililouliza Jana, mbona wanakamata Mali za mbowe kwa nini hawakukamata Mali za Star TV? All in all naomba aendelee kuwepo ili aendelee kuichafua serikali
 
Huwa simusikilizi kabisa Mimi maana huwa sioni alichonacho kichwani na kunishawishi. Nilishamdharau siku nyingi na pia nadhani wengi wa watanzania wanampuuzia kabisaaaaaaaaa
 
Wewe tangu ulipokua unamtukana Lowasa akiwa CCM na Sasa una mlamba viatu alipoamia Chadema ndipo jamii ilipokuona niwa kupuuzwa.
Ivi unawezaje kuhoji RC ni elimu ndogo na anaongoza elimu kubwa, wakati Mwenyekiti wako Aikaeli DJ yeye elimuyake ni ya hapanapale?Na anawaongoza Nyumbu wenye elimu mbalimbali.
we mpuuz na wala hujui kuficha upuuz wako mbele za watu! tofautisha bas kuongoza chama cha kisiasa na kuongoza mkoa ambao ndani yake kuna kila kada. we fala kakojoe ulale
 
Hujafa hujaumbika, unadhani kama leo unakizazi kesho huwezi kukosa, unacheka mamba kabla hujavuka mto? kama una watoto wanaweza kufa wote na mungu akakunyima kizazi ukafa bila kuitwa mzazi tena katika miasha yako. wewe jadili siasa na sio utukufu wake Mungu kwani yeye ndio anapanga nani apate ninii na kwa muda gani? kama umejaaliwa watoto usidhani ni ujanja au ujuaji wako bali ni Neema toka kwa muumba.
kajitakia ayo yote
 
Mimi mwenyewe nimeangalia nikaona kabisa mamlaka za uteuzi hazipo serious kabisa.

Kama mkuu wa mkoa wa Dar ndio huyu basi sina haja ya kujua kwa nini nchi yetu masikini, kwa nini rambi rambi zinatafunywa hovyo hovyo, na kwanini ukiwa na vyereheni vinne basi una kiwanda.
vyerehani vi4 tayari ni kiwanda!!! duh!!! safari bado ndefuuuuu,,,,
 
Tulikubaliana hatutomuandika Makonda wala kumsikiliza leo Wenzetu mwatusaliti? UNAFIKI! Makonda endelea kufanya Kazi Watanzania hawana msimamo!
 
Makonda alikuwa mtu sahihi kabisa wa kuwasaidia vijana mfano kama kungekuwa na kundi la vijana wajasiamali wenye malengo mazuri, angewasaidia kupitia ofisi ya mkoa au hata kuwatafutia wafadhili - lakini wamechonganishwa na kundi maslahi na wauza sembe - wanagonganishwa vichwa tu kama misukule. Unakuta jitu lina chuki kaliii dhidi ya makonda wakati hata halifahamu. ILI MRADI MBOWE HAMPENDI MAKONDA BASI NYUMBU WOTE NI KUUNGA TELE KAMA MAZUZU
vip kuhusu cheti..pia mbowe yupo?.acheni maneno wekeni ukwel
 
Wana ndugu leo asubuhi kulikuwa na mahojiano mubashara pale Star TV.

Binafsi nimekataa nyumbani toka asubuhi kipindi kinaanza mpaka kimeisha nikitazama na kusikiliza kwa umakini kinachojiri!

Nimekuwa nikiamini kabisa kwamba Makonda sio mtu wa kupewa uzito na kusikilizwa kwa umakini...Lakini kwa leo nikaona ngoja nimpe uzito nisimuhukumu bure....lakini waaaaaapi kaendeleza porojo zake za kila siku

Makonda kwa historian yake inaonyesha ni mtu kwenye uwezo mdogo sana wa kufikiria kwa kina yaani sio Great Thinker. Hili linadhibitisha ya records zake za elimu na pia namna anavyo-deal na mambo. Sio zambi kuwa na uwezo mdogo lakini tatizo lake kubwa ni kutaka kujiona yeye ni Key Figure, Great Thinker na Think Tank wa nchi!!BIG NO

Anyway system wao ndio wanaona anafaa,well lakini wameshindwa kuficha umbumbumbu wa mtu wao.

Makonda wamekuwa na tuhuma lukuki na lundo lakini Massa yote matatu aliyokaa na wale madogo wa Star TV hakuna tuhuma hata moja aliyojibu zaidi ya kujificha kwenye kichaka cha madawa ya kulevya na kucheka-cheka kwa dharau

Hivi unawezaje kumpa uzito mtu anayekana hata jina lake na Baba yake mzee Bashite aliyekiri kwamba anaitwa Bashite?Bashite anakikana KIUNO kilichomleta duniani?!!!

Acheni Makonda atawale Dar Es Salaam acheni akiri ndogo iongoze akiri kubwa lakini utashangaza kama kauli na matendo ya Makonda utayachukulia sirious kama habari ya maana

Na tunapoendelea kumlaumu Makonda tunakosea. Tatizo sio Makonda tatizo ni aliyemteua Makonda ambae ni rais. Huyu ndiyo mtu wa kumlaumu hasa. Huyu ndiye aliyemfanya hata Dr.Mwakyembe aonekane kituko kumtetea Makonda,huyu ndiye anayemfanya hata Kairuki ajiaibishe kuhusu "kujua kusoma na kuandika" ili kumtetea Makonda. Hata Askofu Gwajima nakushauri uachane na Makonda. Kama wewe kidume kweli mzee wa madude kula sahani moja na aliyemteua na kumkingia kifua Makonda. Jiulize swali moja tu kwa nini uliposingiziwa mtoto ulimjadili zaidi Makonda badala ya yule mama insane?Ni kwa sababu aliyemtumia ni Makonda!!

Makonda ameonyesha cheti chake.
Kifupi ni kwamba kupitia mahojiano ya leo Makonda ni kama ameonyesha cheti chake cha zero.What he was talking reflects what is in his form four certificate. Hakuna haja ya kuendelea kudai cheti

Jioni njema
Zimwi likujualo halikuli likakumaliza!!!
 
mwandishi: mheshimiwa ni kweli ulivamia ofisi za Clouds??
Bashite: hahahaha tumepanga kuboresha usafiri wa dar na siku za karibuni tutaanza kutengeneza barabara ya mwendokasi kutokea mbagala up to city center
kwa majibu hayo nahisi mnamsingizia kiushabiki!!!
 
Back
Top Bottom