Tunakosea kumchukulia "serious" RC Makonda

Tunakosea kumchukulia "serious" RC Makonda

huna lolote wewe una lako jambo. unaacha kwenda kazini eti kumsikiliza rc makonda. kwa kipi zaidi kuliko utumbuzi wa madawa ya kulevya. kwani kwa makonda unategemea a statesman au kijana mdogo anayechipukia kwenye uongozi. mumeshindwa kumlazimisha jpm amtoe dar kwa hofu ya utendaji wake..yes nyie wapinzani specificaly cdm na nyie wauza ngada. yes mumeshindwa baada ya kila fitina na matusi jpm amewapuuza.
sa apo umeandika nn..mbona ka unalia lia
 
Hivi mlipoteza muda kabisa kumsikiliza zero brain

Nasikia TV station iliaga inaenda short brake alafu libashite likaropoka Leo tumemkomesha Ruge,kumbe radio ilikuwa bado on air

Kweli kichwa maji,sijui aliyemshauri afanye hiyo interview ni Nani coz ndio imeenda kummaliza vizuri
 
APO KWENYE VYEREHANI APOO, THATS WAY OUR COUNTRY STILL POOR NI KUTOKANA NA AKILI NDOGO KUONGOZA AKILI KUBWA..WE TANGU LINI NA NCHI IPI ZAID YA TANZANIA INAYOSEMA KUWA KIONGOZI WA NGAZI YA JUU AJUE KUSOMA NA KUANDIKA TUUU
sasa tufanyaje wazee wa maamuzi magumu.
 
Kwenda kwake STAR TV ndiyo kumeijulisha dunia kuwa BASHITE ni Kilaza tena Lilaza kabisa.
Bora alipokaa kimya kuliko kwenda kuthibitisha.
Kwanza anataka aongee yeye tuuuu,tena ushuzi mtupu.
HAKUNA SWALI LILILOPATA JIBU, ni aibu kwa hata waliomlipia airtime,ameenda kuongelea watu tuuu,[HASHTAG]#VYETI[/HASHTAG] HAKUNA.
 
Huu Uzi umenifunza kitu nimengalia kile kipindi chote Makonda ni muongo mchonganishi na mfitinishi anajificha kwenye mwamvuri wa madawa na ulokole kuficha udhaifu wake wa vyeti na ni mtu hatari na katiri sana.nipo nae group la whasap ukimpinga anakufata inbox anakutishia kiufupi aliyemteua hajielewi
Hata kwenye Tv alitumia neno"NITAWACHUKIA",yaani huyu mbwa angekuwa magogoni huyu angeua sana watu
 
Kwa interview hii,hana muda Dar.atahamishiwa huko KOROMIJE.
 
mwandishi: mheshimiwa ni kweli ulivamia ofisi za Clouds??
Bashite: hahahaha tumepanga kuboresha usafiri wa dar na siku za karibuni tutaanza kutengeneza barabara ya mwendokasi kutokea mbagala up to city center
Hahahahaaaaaaa mkuu ndo alivyokuwa anajibu tuna hasara sana
 
Huu Uzi umenifunza kitu nimengalia kile kipindi chote Makonda ni muongo mchonganishi na mfitinishi anajificha kwenye mwamvuri wa madawa na ulokole kuficha udhaifu wake wa vyeti na ni mtu hatari na katiri sana.nipo nae group la whasap ukimpinga anakufata inbox anakutishia kiufupi aliyemteua hajielewi
Mkuu ulisoma naye Nyanza au Pamba,
 
Ila wale vijana wameniacha hoi!! utafikili walilazimishwa kwenda kumuinterview muhishimiwa mkubwa kabisa kabisa maana sindano ambazo walikuwa wanamdunga utaona kuna kitu hakijakaa sawa, ila kuna yule mwingine alikuwa anaonekana muoga muoga dah!!! ila jamaa kaonyesha round about ndio mahala pake..!!!
Mapuri alikuwa analiogopa dude,alipoa sana mbwembwe zote mfukoni bora hata Nyanda,ila nasikia Mapuri ana cheti feki naye
 
Makonda alikuwa mtu sahihi kabisa wa kuwasaidia vijana mfano kama kungekuwa na kundi la vijana wajasiamali wenye malengo mazuri, angewasaidia kupitia ofisi ya mkoa au hata kuwatafutia wafadhili - lakini wamechonganishwa na kundi maslahi na wauza sembe - wanagonganishwa vichwa tu kama misukule. Unakuta jitu lina chuki kaliii dhidi ya makonda wakati hata halifahamu. ILI MRADI MBOWE HAMPENDI MAKONDA BASI NYUMBU WOTE NI KUUNGA TELE KAMA MAZUZU
Yaani kama alishindwa kuwasaidia walimu kupanda daladala bure mengine hataweza kweli wacheni upuuzi
 
Siyo kumuogopa bali kumdharau.Ngoja Mzee wa Star TV apate shavu maana amemsaidia Kijana wa Baba Bashite

Unajua tatizo kubwa ni kwamba Watanzania, hata wana JF, tumekuwa kama waandishi wa habari tulio nao nchini. Hatuchambui mambo na tunasahau haraka sana. Ni majuzi tu Rais Magufuli alitoa ahadi hadharani kwa Ndugu Diallo kuwa atamsaidia kwenye biashara yake. Rejea mkutano wa kufunga kampeni za uchaguzi mkuu ulipita, mkutano uliofanyika Mwanza. Magufuli alisema nini kuhusu Antony Diallo kama shukrani kwa jinsi vyombo vyake vya habari vilivyosaidia kampeni zake?
 
Pesa za serengeti boys zitumike kukarabati nyumba za walimu na kutengeneza vyoo vya shule
 
Majanga tu bora asingeenda ila akili yake ndo imesibitika Leo
 
Mimi

Ninaongea Kwa uelewa mkubwa Mimi ni afisa utumishi mkuu drj 11 serikalini ninao waraka wa mishahara ya watumishi wa Serikali, waziri mshahara wake ni mkubwa kulipo wa mkuu wa mkoa.
Huyo bashite kwenye hilo la mishahara Kuwa sawa kadanganya,
Yaaani Huyu jamaa anatakiwa aondolewe kwenye madaraka ya ukuu wa mkoa.
Akajibu kesi yake ya impersonification pamoja na kutumia cheti cha mtu mwingine.
Labda serikali ya kijiji. Waziri na RC wako kwenye scale ya mshahara inayofanana lakini siyo lazima mishara iwe one to one. Lakini pia hata wakuu wa mikoa siyo lazima wapate mishahara inayolingana cent to cent.
 
Back
Top Bottom