Tunakosea kumchukulia "serious" RC Makonda

Tunakosea kumchukulia "serious" RC Makonda

Mimi mwenyewe nimeangalia nikaona kabisa mamlaka za uteuzi hazipo serious kabisa.

Kama mkuu wa mkoa wa Dar ndio huyu basi sina haja ya kujua kwa nini nchi yetu masikini, kwa nini rambi rambi zinatafunywa hovyo hovyo, na kwanini ukiwa na vyereheni vinne basi una kiwanda.
na ndo kwenye maisha inakuwaga hivohvo..unayemwamini hapewi nafasi..anapewa usiyemwamini
 
Hakuna jipya ulioandika.
Ni wewe ulikuwa mstari wa mbele kuhakikisha makonda haandikwi wala hasikilizwi,kimekupata nini leo unampa kiki makonda?
Unashangaa akili ndogo kuongoza akili kubwa wapi?wakati kuna chama mtu ana div0,lakini anayaswaga maprofessor na madaktari
kazi ipo nchi zetu hizi za kiswahili ...hadi raha
 
Hakuna jipya ulioandika.
Ni wewe ulikuwa mstari wa mbele kuhakikisha makonda haandikwi wala hasikilizwi,kimekupata nini leo unampa kiki makonda?
Unashangaa akili ndogo kuongoza akili kubwa wapi?wakati kuna chama mtu ana div0,lakini anayaswaga maprofessor na madaktari
Hata wewe sikuchukulii kwa uzito,nakupuuza tu.
 
Huu Uzi umenifunza kitu nimengalia kile kipindi chote Makonda ni muongo mchonganishi na mfitinishi anajificha kwenye mwamvuri wa madawa na ulokole kuficha udhaifu wake wa vyeti na ni mtu hatari na katiri sana.nipo nae group MNA whasap ukimpinga anakufata inbox anakutishia kiufupi aliyemteua hajielewi
Akili yake ndogo mno kuliko mguu Wa sisimizi lakini anajidanganya kwamba kwa vile kaambiwa pigs kazi basi anaweza mdanganya hata Mungu sio dhambi lkn najiuliza ujinga na hasira zake au kwa sbb hajawahi nunua pempas za mtoto


Aliyemteua mjinga unadhani ufaham wake ukoje eeeeeeh Mungu itazame Tanzania kama hapa ndio tumefikia mpk MTU amejiita jiina lako
 
si mchezo huyu mkolomije anamkana dingi yake asubuhi kweupe ati yeye si Bashite yeye ni Makonda are you mental??
mambo mengne tuachaneni nayo tu yatatuumiza kichwa bure....tuangalie mchezo unachezeka vipi tu basi
 
Kwa nini hatutaki kusikilizia Kesi aliyofungua Jacob, Tume ya Maadili ya Viongozi na Kesi nyingine itakayofunguliwa na Wakili Msomi Tundu Lisu na wenzake wa TLS.

Hekima kila Mtu ana zake anataka yeye asafishwe na Tume na Mahakama?
 
asubuhi wanakanana ..jioni wako serena hotel wanatucheka watz kuwa marofa wa kutupwa...haya mambo nyuma ya pazia huko tungekuwa tunajua kinaendelea nn ...wengi wetu tungeendelea na maisha yetu tu basi
 
Niliposikia tu anaanza kuongea nikahama redio free Africa na sitaki kuisikiliza tena..
 
huyu Bashite ni mjinga hakuna haja ya kumjadili humu ndani......hata kizazi hana ananenepa matako tu....!
Zaidi ya uteuzi ana kazi nyingine ya kumfurahisha"boss" wake kimwili
TATIZO NI VYETI TU!
 
akiri[/QUOTE]what is this????????kweli nyani haoni kundule.....nyie ni wale wale kwanza ushaanza na negativity hata kabla hujawasha hiko kitv chako WHAT DO YOU EXPECT????Makonda atabaki kuwa Makonda tu mtahama nyinyi.
 
Those who lie to take shelter from the truth forget the fact that,truth is the light that shines everywhere even upon that shelter.
 
Kiukweli simpangii mheshimiwa rais lla kwa nilivyofatilia mazungumzo huyu kijana Anamtia aibu sana raisi.Mkuu ondoa huyo mtu atakupaka kinyesi
 
maana hakuna namna nyingine
yaahh hakuna namna ...tutafanya nn sasa na wao wameamua kugombana wakati wengne akina sisi elimu tunayo na nafasi za kazi hakuna...mpaka vyeti feki watoke....wanatoka lini haijulikani...bai ni kicheko tu
 
Adui Namba moja wa watanzania ni watanzania wenyewe tuwe .akini juzi mmesema star tv wafungiwe kwa kuwa wanashirikiana na makonda Leo mmekaa na kuangalia na mmekuja na porojo zingine
 
Back
Top Bottom