Labda serikali ya kijiji. Waziri na RC wako kwenye scale ya mshahara inayofanana lakini siyo lazima mishara iwe one
Labda serikali ya kijiji. Waziri na RC wako kwenye scale ya mshahara inayofanana lakini siyo lazima mishara iwe one to one. Lakini pia hata wakuu wa mikoa siyo lazima wapate mishahara inayolingana cent to cent.
Acha ujuha wewe Yaani huyo makonda mnaye mtetea hasafishiki na hii tutampatia meya Jacob aiongeze kwenye malalamiko aliyopeleka sekretarieti ya maadili ya viongozi. Haiingii akilini Kwa kiongozi RC kadanganya hadharani sasa nikudokeze kidogo viwango vya mishahara ya viongozi serikalini.
Mshahara mkubwa wa watumishi viongozi serikalini ni ngazi ya LSSP 9, mshahara huu anapotea katibu mkuu kiongozi, LSSP 8 mshahara w Mawaziri, makatibu Wa kuu wa wizara LSSP 7, Wakuu wa mikoa si LSSP 6 ,
Hivyo alivyosema mishahara ya waziri na mkuu wa mkoa ni sawa amedanganya, yaani anatia aibu Heri ajiudhulu tu anatumia nguvu kubwa pamoja na uongouongo kutetea upumbavu na ujinga wake.
Kimsingi makonda anatakiwa apandishwe kizimbani kujibu tuhuma za impersonification pamoja na kutumia cheti cha mtu mwingine.
Mwisho nakushauri acha kujiaibisha Kwa kumtetea makonda labda kama ni makonda mwenyewe unapaswa kufahamu Kuna watumishi wa umma tunafahamu sana mambo ambayo unayaongelea na hatufurahishwi na mwenendo wako,