Akili ya kanda ya ziwa wanazijua wenyeweHii ni moja ya aibu ktk taifa letu. Nakumbuka wakati wa uongozi wa Mwl. Nyerere matukio kama hayo tungeweza yasikia nje ya nchi yetu na tungeshangaa au kucheka,sasa upuuzi wa kina Bashite hupo ndani ya nchi yetu na mtawala aliyepo anachekelea uoza wake badala ya kuchukua hatua. Aibu ni kwetu wote. Tunaipenda Tanzania?
Nenda kwa babake ni dokta atakupimiaSina kipimo.
Kwani wewe una ugomvi na makonda?Nenda kwa babake ni dokta atakupimia
MAKONDO NDO NANI?Kwani wewe una ugomvi na makonda?
Amka kwanza,MAKONDO NDO NANI?
MAKONDO WA DALADALA LA WAPI?Kwani wewe una ugomvi na makonda?
Kunywa chai kwanzaMAKONDO WA DALADALA LA WAPI?
Kumbe unaongelea MUMEO makondaAmka kwanza,
huyo bwabwa tuKunywa chai kwanza
JITAMBUEKumbe unaongelea MUMEO makonda
JITAMBUEhuyo bwabwa tu
unasemajee we mwali wa bashiteJITAMBUE
Mkuu mtu anapokujibu kistaarabuunasemajee we mwali wa bashite
uishie hapoMkuu mtu anapokujibu kistaarabu
Hamaanishi hawezi kutukana
Tena nikuambie mkuu wale madogo wamejitahidi sana hasa Nyanda.ujio wa Makonda ulipangwa na kuratibiwa na bosi wao Diallo.Kama ulimsikia Makonda akiwaambia kile ni kipindi chake,hata baadae TV ilivyokuwa off record kule redioni Makonda akaropoka kumkomesha Ruge.Kwa hivyo watangazaji ni bangusiro tu!Wale waliokuwa wakimhoji Bashite Star TV wamesomea uandishi wa habari? Au waliokotwa tu vichochoroni? Mbona hawawezi hata kudadisi au kuhoji? Ni kama kuna nguvu fulani isiyoonekana inawaogopesha vile. Wanatetemeka tu mbele ya mtoto wa mfalme. Walilazimishwa? Kwangu mimi waliotia aibu ni wale makanjanja waliokuwa wakimhoji. Naomba Paskali utupatie majina yao tuwafahamu ili siku nyingine tukitangaziwa kwamba ndio wataendesha mahojiano tuendelee na shughuli zetu badala ya kukaa saa tatu nzima tusikiliza hotuba ya mhojiwa badala ya majibu ya hojaji. Ovyo kabisa hawa makanjanja.