Tunakosea kumchukulia "serious" RC Makonda

Tunakosea kumchukulia "serious" RC Makonda

mtu kama bashite kwa wadhifa wa juu kabsa alionao na jinsi anavokubalika na mkuu ...alitakiwa kutuinua vijana wnzake kielimu..kimaisha n.k ila sio kurumbana kila siku mitandaoni haisaidii kitu kabsa ni upuuzi tu
 
Acheni kujifariji bwanaa!

Makonda anawanyonyoa watu na akili zenu!
 
2017-05-22 16.04.44.png
 
Huu Uzi umenifunza kitu nimengalia kile kipindi chote Makonda ni muongo mchonganishi na mfitinishi anajificha kwenye mwamvuri wa madawa na ulokole kuficha udhaifu wake wa vyeti na ni mtu hatari na katiri sana.nipo nae group la whasap ukimpinga anakufata inbox anakutishia kiufupi aliyemteua hajielewi

Birds of the feather flock together
 
miaka ya nyuma kidogo kuna mbunge/waziri aliwahi kutamka bungeni kuwa "siongei na mbwa bali naongea na mwenye mbwa".
hata kwa hili wa kuongelewa ni mwenye mbwa.
 
Tuliosikiliza Redio Free Africa wakati wa breki fupi Bashite akiongea na watangazaji kasema "Tunamkomesha Ruge leo" naomba mwenye audio clip aturushie maana naskia walizima transmission kwenye tV wakasahau kwamba wapo live redioni
 
Ha haha hah aha ha nicheke mie wa kutojua kumekuchwa au giza limeingia amejisemea mmoja.. Ukimuuliza sasa hivi bashite wanini huna mtoto atakujibu " vits dhidi ya madawa ya kulevya hayawezi kukuacha salama" Salaaaaaleeeeee
 
tusubiri tamko la TEC kuhusu Star tv kumpa media coverage huyo RC kinyume na maazimio yao ya kumpiga ban.
 
Wewe tangu ulipokua unamtukana Lowasa akiwa CCM na Sasa una mlamba viatu alipoamia Chadema ndipo jamii ilipokuona niwa kupuuzwa.
Ivi unawezaje kuhoji RC ni elimu ndogo na anaongoza elimu kubwa, wakati Mwenyekiti wako Aikaeli DJ yeye elimuyake ni ya hapanapale?Na anawaongoza Nyumbu wenye elimu mbalimbali.
 
mwenyewe clip jamani atupie apa nasi tuone kidg alivojibashitisha leo startv
 
Upuuzi wa baadhi ya vyombo vya habari nchini.
Wasinge mban kwenye media zao, Leo tungekua tunajadili mengine, lakini Makonda kuibukia Startv, tumerudi kulekule kumjadiri kwa upya
 
Back
Top Bottom