Tunakosea kumchukulia "serious" RC Makonda

Tunakosea kumchukulia "serious" RC Makonda

Kumkana mama ndio swala si baba. Kama mama alichanganya madawa anajua mwenyewe. Mara ngapi tumeshuhudia humu mitaani kwetu watu wanalea watoto wa watu wengine? Hata pamoja na igizo la Siri za Familia kufundisha bado kuna watu hawaelewi tu? Mtoto kajua baba yake ni nani kaamua kuungana na ukoo wake tatizo liko wapi?
Ukisha jua kuna mkoroganyo huo hupaswi kuingia ndani sana. Kihistoria kabla ya kuzaliwa Makonda mama yake alikosana na baadhi ya ndugu wa mwanaume kwa kuwa hazai. Baada ya miaka kadhaa alizaliwa Makonda. Katika mtanziko huu lolote laweza kutokea lenye kudhihirisha hili. Siri za familia ni kuacha kuzichimbua kuibua migogoro isiyo sababu.
Wewe umeona hilo tu?!
 
Wewe umeona hilo tu?!
Ndilo ulilokuwa hujaliona wewe. Si busara kurudia kukuonesha ulichokiona.
Duniani maswala ya kukuta mtoto kalelewa na baba asiyekuwa baba wa kibaiolojia ni mengi sana hata baadhi ya tafiti zimediriki kutoa viwango vya watoto wanaopelekwa kwa mkemia mkuu kujua uasili wao karibu nusu yao huwa si wa baba wanaoishi nao. Hata wewe huenda unakaa na baba ambaye si baba yako kibaiolojia. Mama yako ndio anajua nani ni baba yako halisi.
 
Huyo mwingine nani mbona unapata kigugumizi? Kwanza hiki chombo kipo tu kama sanamu hakina uwezo wa kuwagusa wauza unga ambao ni maswahiba wa Bashite kama kina kinje na kundi lake ambao pia ni wafadhili wake wakubwa, Unapiga vita unga huku marafiki zako ni wauza unga huku ukikaa nao meza moja na kugonga glasi! kama sio unafiki ni nini? hebu akili yako ifunguke kidogo maana hata bashite akiona ulichoandika atajua wewe ni mmoja wa aliyewapumbaza
hebu tafadhali tuhurumie na huu ujinga wako. yaani mtu anawakingia kifua kinje na masongange halafu awataje watu wazito kama mbowe na manji. badala ya makonda kuonekana mjinga watu kama wewe ndio mnaonekana wajinga na mumejaa chuki tu.
 
Mimi

Ninaongea Kwa uelewa mkubwa Mimi ni afisa utumishi mkuu drj 11 serikalini ninao waraka wa mishahara ya watumishi wa Serikali, waziri mshahara wake ni mkubwa kulipo wa mkuu wa mkoa.
Huyo bashite kwenye hilo la mishahara Kuwa sawa kadanganya,
Yaaani Huyu jamaa anatakiwa aondolewe kwenye madaraka ya ukuu wa mkoa.
Akajibu kesi yake ya impersonification pamoja na kutumia cheti cha mtu mwingine.
peleka ujinga huko. tumuamini ofisa daraja ii mwenye id fake jf au mkuu wa mkoa wa dsm. wacheni kujidai nyie nyumbu.
 
Back
Top Bottom