Tunakosea kumchukulia "serious" RC Makonda

Tunakosea kumchukulia "serious" RC Makonda

Star Tv wamemmaliza huyu kiumbe.
Tuctake kuaminishana kwamba ccm hawana watu makin bal n makosa ya wapga kura kuchagua kiranja mbovu. .. Na pia makosa ya upinzan kuweka mtu ambaye hakutarajiwa.... Ni muda sasa ifike mahali tuchague mtu wa kutuongoza kuriko huyu anayetupeleka tuspo pajua. Hii haihtaj uccm ucuf wala uchadema ... 2020mpya
Huwezi kumu-ignore bashite.
Wakati Nchi nzima imetulia na mambo yake yeye kaita media anataka kuzungumza.
Wakati watumishi wanafanya mambo Yao yeye atakuja kuwadhalilisha.
Akipotea mtu yeye anakuja kumrudisha!
Mkuu naye haishi kumtaja au kumpa kiki....
Sijui iweje Huyu jamaa aache kushughulisa watu wa mji huu.
Kweli tungependa kumuignore Lakini nahisi Itakuwa ngumu
 
Unakikana kiuno kilichokuwezesha kufika duniani ! Huu ni wendawazimu !!
 
Pia nmeangalia kipindi mwanzo mwisho na sjafaidika na lolote zaid ya kunitia ghazabu za kujuta kwanini nmepoteza muda wangu kutazama kipindi.
 
Kwa mapenzi tele tele mliyonayo kwa RC Makonda

Amewaacha kwenye mataa leo, si kwa jinsi alivyoshusha nondo

Yaani bado nacheka, halafu nyie nyie mnaomsemaga vibaya ndio mko bizi kuanzisha threads na kupondea... tunajua mnataka tu kuwahi na kuonyesha haikuwa poa

Ila kweli haumpendi mtu, unasikia anaongea sijui yale yale kama vule hakuna la maana na unaendelea kumutazama usoni na kumsikiliza kea makini...eeeeeeeeeeh

Leo kawapata jamani

Makonda fans nawashangilia, sogeeninhuku tushangilie Lori la JPM lile linapita kea kasi sana na Makonda yuleeeeeeeeeee anapunga mkono



Eeeeeeeeh

Inajulikana hamrakubali kuwa leo kawaacha mataa, sasa muwaambie hivyo cyombo vya hanari tunataka kujua ya jijini iweje maji yanapungua bei hawataki kututangazia kisa RC Jembe na Hapa Kazi tu

Waambieni tunataka kujua ya jijini na fylsa zilizopo, na ntie mapaparazi najua mnasoma. Mmeambiwa mnapambana na makonda ila mnaingiza na wana darisalama kwenye majambo yenu ya kuisoma namba



Makonda oyeeeeeeeeeee
Wewe akili yako fupi kuliko mkia wa mbuzi badala ya kusikitika Bashite alivyomdhalilisha pogba kwa utumbo aliozungumza wewe unaleta maneno ya kipashkuna. Nilikushauri mara nyingi tafuta bwana akushughulikie akili yako ikae sawa
 
Wana ndugu leo asubuhi kulikuwa na mahojiano mubashara pale Star TV.

Binafsi nimekataa nyumbani toka asubuhi kipindi kinaanza mpaka kimeisha nikitazama na kusikiliza kwa umakini kinachojiri!

Nimekuwa nikiamini kabisa kwamba Makonda sio mtu wa kupewa uzito na kusikilizwa kwa umakini...Lakini kwa leo nikaona ngoja nimpe uzito nisimuhukumu bure....lakini waaaaaapi kaendeleza porojo zake za kila siku

Makonda kwa historian yake inaonyesha ni mtu kwenye uwezo mdogo sana wa kufikiria kwa kina yaani sio Great Thinker. Hili linadhibitisha ya records zake za elimu na pia namna anavyo-deal na mambo. Sio zambi kuwa na uwezo mdogo lakini tatizo lake kubwa ni kutaka kujiona yeye ni Key Figure, Great Thinker na Think Tank wa nchi!!BIG NO

Anyway system wao ndio wanaona anafaa,well lakini wameshindwa kuficha umbumbumbu wa mtu wao.

Makonda wamekuwa na tuhuma lukuki na lundo lakini Massa yote matatu aliyokaa na wale madogo wa Star TV hakuna tuhuma hata moja aliyojibu zaidi ya kujificha kwenye kichaka cha madawa ya kulevya na kucheka-cheka kwa dharau

Hivi unawezaje kumpa uzito mtu anayekana hata jina lake na Baba yake mzee Bashite aliyekiri kwamba anaitwa Bashite?Bashite anakikana KIUNO kilichomleta duniani?!!!

Acheni Makonda atawale Dar Es Salaam acheni akiri ndogo iongoze akiri kubwa lakini utashangaza kama kauli na matendo ya Makonda utayachukulia sirious kama habari ya maana

Na tunapoendelea kumlaumu Makonda tunakosea. Tatizo sio Makonda tatizo ni aliyemteua Makonda ambae ni rais. Huyu ndiyo mtu wa kumlaumu hasa. Huyu ndiye aliyemfanya hata Dr.Mwakyembe aonekane kituko kumtetea Makonda,huyu ndiye anayemfanya hata Kairuki ajiaibishe kuhusu "kujua kusoma na kuandika" ili kumtetea Makonda. Hata Askofu Gwajima nakushauri uachane na Makonda. Kama wewe kidume kweli mzee wa madude kula sahani moja na aliyemteua na kumkingia kifua Makonda. Jiulize swali moja tu kwa nini uliposingiziwa mtoto ulimjadili zaidi Makonda badala ya yule mama insane?Ni kwa sababu aliyemtumia ni Makonda!!

Makonda ameonyesha cheti chake.
Kifupi ni kwamba kupitia mahojiano ya leo Makonda ni kama ameonyesha cheti chake cha zero.What he was talking reflects what is in his form four certificate. Hakuna haja ya kuendelea kudai cheti

Jioni njema
Kitu Magu atamfanya Makonda kila mtu atamlaani Magu. Hiyo siku itakuwa funga mwaka. Subirini tu.
 
Bashite ni CCM na CCM ni Bashite.Bila Bashite CCM inakufa.Bashite ndio think tank ya CCM.

Tunamshukuru Mh.Rais kwa kumteua Bashite kuiwakilisha CCM.
 
Naumia sana daud bashite kusema halifaham jina lake, et jina la daud bashite limeanza baada ya kuanzisha vita ya madawa, jaman ebu angalien hii screenshot, mama philipo aliandika hata kabla ajaanza hiyo vta wala kuwa mkuu wa mkoa
840aa103bd6d0883d357084c57934f13.jpg
Mkuu sio bure kwa Bashite kukana jina lake lazima atakuwa na hitilafu kichwani! Baba yake anajulikana wazi ni Albert Bashite! leo mtoto anakana jina sio lake, Pogba ajue wazi alitudanganya alipodai alikuwa anakesha kukagua CV za wateule wake kwa kuwa ni dhahiri kampa uRC mtu mwenye elimu ya darasa la saba.
 
M
Wana ndugu leo asubuhi kulikuwa na mahojiano mubashara pale Star TV.

Binafsi nimekataa nyumbani toka asubuhi kipindi kinaanza mpaka kimeisha nikitazama na kusikiliza kwa umakini kinachojiri!

Nimekuwa nikiamini kabisa kwamba Makonda sio mtu wa kupewa uzito na kusikilizwa kwa umakini...Lakini kwa leo nikaona ngoja nimpe uzito nisimuhukumu bure....lakini waaaaaapi kaendeleza porojo zake za kila siku

Makonda kwa historian yake inaonyesha ni mtu kwenye uwezo mdogo sana wa kufikiria kwa kina yaani sio Great Thinker. Hili linadhibitisha ya records zake za elimu na pia namna anavyo-deal na mambo. Sio zambi kuwa na uwezo mdogo lakini tatizo lake kubwa ni kutaka kujiona yeye ni Key Figure, Great Thinker na Think Tank wa nchi!!BIG NO

Anyway system wao ndio wanaona anafaa,well lakini wameshindwa kuficha umbumbumbu wa mtu wao.

Makonda wamekuwa na tuhuma lukuki na lundo lakini Massa yote matatu aliyokaa na wale madogo wa Star TV hakuna tuhuma hata moja aliyojibu zaidi ya kujificha kwenye kichaka cha madawa ya kulevya na kucheka-cheka kwa dharau

Hivi unawezaje kumpa uzito mtu anayekana hata jina lake na Baba yake mzee Bashite aliyekiri kwamba anaitwa Bashite?Bashite anakikana KIUNO kilichomleta duniani?!!!

Acheni Makonda atawale Dar Es Salaam acheni akiri ndogo iongoze akiri kubwa lakini utashangaza kama kauli na matendo ya Makonda utayachukulia sirious kama habari ya maana

Na tunapoendelea kumlaumu Makonda tunakosea. Tatizo sio Makonda tatizo ni aliyemteua Makonda ambae ni rais. Huyu ndiyo mtu wa kumlaumu hasa. Huyu ndiye aliyemfanya hata Dr.Mwakyembe aonekane kituko kumtetea Makonda,huyu ndiye anayemfanya hata Kairuki ajiaibishe kuhusu "kujua kusoma na kuandika" ili kumtetea Makonda. Hata Askofu Gwajima nakushauri uachane na Makonda. Kama wewe kidume kweli mzee wa madude kula sahani moja na aliyemteua na kumkingia kifua Makonda. Jiulize swali moja tu kwa nini uliposingiziwa mtoto ulimjadili zaidi Makonda badala ya yule mama insane?Ni kwa sababu aliyemtumia ni Makonda!!

Makonda ameonyesha cheti chake.
Kifupi ni kwamba kupitia mahojiano ya leo Makonda ni kama ameonyesha cheti chake cha zero.What he was talking reflects what is in his form four certificate. Hakuna haja ya kuendelea kudai cheti

Jioni njema
Mkuu, tupia hiyo video clip/link ya Star tv. Nimehangaika sana kuipata lakini sijapata hayo mahojiano.
 
Wana ndugu leo asubuhi kulikuwa na mahojiano mubashara pale Star TV.

Binafsi nimekataa nyumbani toka asubuhi kipindi kinaanza mpaka kimeisha nikitazama na kusikiliza kwa umakini kinachojiri!

Nimekuwa nikiamini kabisa kwamba Makonda sio mtu wa kupewa uzito na kusikilizwa kwa umakini...Lakini kwa leo nikaona ngoja nimpe uzito nisimuhukumu bure....lakini waaaaaapi kaendeleza porojo zake za kila siku

Makonda kwa historian yake inaonyesha ni mtu kwenye uwezo mdogo sana wa kufikiria kwa kina yaani sio Great Thinker. Hili linadhibitisha ya records zake za elimu na pia namna anavyo-deal na mambo. Sio zambi kuwa na uwezo mdogo lakini tatizo lake kubwa ni kutaka kujiona yeye ni Key Figure, Great Thinker na Think Tank wa nchi!!BIG NO

Anyway system wao ndio wanaona anafaa,well lakini wameshindwa kuficha umbumbumbu wa mtu wao.

Makonda wamekuwa na tuhuma lukuki na lundo lakini Massa yote matatu aliyokaa na wale madogo wa Star TV hakuna tuhuma hata moja aliyojibu zaidi ya kujificha kwenye kichaka cha madawa ya kulevya na kucheka-cheka kwa dharau

Hivi unawezaje kumpa uzito mtu anayekana hata jina lake na Baba yake mzee Bashite aliyekiri kwamba anaitwa Bashite?Bashite anakikana KIUNO kilichomleta duniani?!!!

Acheni Makonda atawale Dar Es Salaam acheni akiri ndogo iongoze akiri kubwa lakini utashangaza kama kauli na matendo ya Makonda utayachukulia sirious kama habari ya maana

Na tunapoendelea kumlaumu Makonda tunakosea. Tatizo sio Makonda tatizo ni aliyemteua Makonda ambae ni rais. Huyu ndiyo mtu wa kumlaumu hasa. Huyu ndiye aliyemfanya hata Dr.Mwakyembe aonekane kituko kumtetea Makonda,huyu ndiye anayemfanya hata Kairuki ajiaibishe kuhusu "kujua kusoma na kuandika" ili kumtetea Makonda. Hata Askofu Gwajima nakushauri uachane na Makonda. Kama wewe kidume kweli mzee wa madude kula sahani moja na aliyemteua na kumkingia kifua Makonda. Jiulize swali moja tu kwa nini uliposingiziwa mtoto ulimjadili zaidi Makonda badala ya yule mama insane?Ni kwa sababu aliyemtumia ni Makonda!!

Makonda ameonyesha cheti chake.
Kifupi ni kwamba kupitia mahojiano ya leo Makonda ni kama ameonyesha cheti chake cha zero.What he was talking reflects what is in his form four certificate. Hakuna haja ya kuendelea kudai cheti

Jioni njema
Nawapongeza StarTV kwa kukata mzizi wa fitina!
 
Wana ndugu leo asubuhi kulikuwa na mahojiano mubashara pale Star TV.

Binafsi nimekataa nyumbani toka asubuhi kipindi kinaanza mpaka kimeisha nikitazama na kusikiliza kwa umakini kinachojiri!

Nimekuwa nikiamini kabisa kwamba Makonda sio mtu wa kupewa uzito na kusikilizwa kwa umakini...Lakini kwa leo nikaona ngoja nimpe uzito nisimuhukumu bure....lakini waaaaaapi kaendeleza porojo zake za kila siku

Makonda kwa historian yake inaonyesha ni mtu kwenye uwezo mdogo sana wa kufikiria kwa kina yaani sio Great Thinker. Hili linadhibitisha ya records zake za elimu na pia namna anavyo-deal na mambo. Sio zambi kuwa na uwezo mdogo lakini tatizo lake kubwa ni kutaka kujiona yeye ni Key Figure, Great Thinker na Think Tank wa nchi!!BIG NO

Anyway system wao ndio wanaona anafaa,well lakini wameshindwa kuficha umbumbumbu wa mtu wao.

Makonda wamekuwa na tuhuma lukuki na lundo lakini Massa yote matatu aliyokaa na wale madogo wa Star TV hakuna tuhuma hata moja aliyojibu zaidi ya kujificha kwenye kichaka cha madawa ya kulevya na kucheka-cheka kwa dharau

Hivi unawezaje kumpa uzito mtu anayekana hata jina lake na Baba yake mzee Bashite aliyekiri kwamba anaitwa Bashite?Bashite anakikana KIUNO kilichomleta duniani?!!!

Acheni Makonda atawale Dar Es Salaam acheni akiri ndogo iongoze akiri kubwa lakini utashangaza kama kauli na matendo ya Makonda utayachukulia sirious kama habari ya maana

Na tunapoendelea kumlaumu Makonda tunakosea. Tatizo sio Makonda tatizo ni aliyemteua Makonda ambae ni rais. Huyu ndiyo mtu wa kumlaumu hasa. Huyu ndiye aliyemfanya hata Dr.Mwakyembe aonekane kituko kumtetea Makonda,huyu ndiye anayemfanya hata Kairuki ajiaibishe kuhusu "kujua kusoma na kuandika" ili kumtetea Makonda. Hata Askofu Gwajima nakushauri uachane na Makonda. Kama wewe kidume kweli mzee wa madude kula sahani moja na aliyemteua na kumkingia kifua Makonda. Jiulize swali moja tu kwa nini uliposingiziwa mtoto ulimjadili zaidi Makonda badala ya yule mama insane?Ni kwa sababu aliyemtumia ni Makonda!!

Makonda ameonyesha cheti chake.
Kifupi ni kwamba kupitia mahojiano ya leo Makonda ni kama ameonyesha cheti chake cha zero.What he was talking reflects what is in his form four certificate. Hakuna haja ya kuendelea kudai cheti

Jioni njema

Excellent observation!!!
Bashite is a useless public figure; anayejua faida za bashite ni aliyemteua tu.
 
Mimi mwenyewe nimeangalia nikaona kabisa mamlaka za uteuzi hazipo serious kabisa.

Kama mkuu wa mkoa wa Dar ndio huyu basi sina haja ya kujua kwa nini nchi yetu masikini, kwa nini rambi rambi zinatafunywa hovyo hovyo, na kwanini ukiwa na vyereheni vinne basi una kiwanda.
Cherehani Nne ni kiwanda. Je plant yake ni cherehani moja......
 
Braza
Hujafa hujaumbika, unadhani kama leo unakizazi kesho huwezi kukosa, unacheka mamba kabla hujavuka mto? kama una watoto wanaweza kufa wote na mungu akakunyima kizazi ukafa bila kuitwa mzazi tena katika miasha yako. wewe jadili siasa na sio utukufu wake Mungu kwani yeye ndio anapanga nani apate ninii na kwa muda gani? kama umejaaliwa watoto usidhani ni ujanja au ujuaji wako bali ni Neema toka kwa muumba.
Braza utaumiza vidole vyako bure kwa hawa wajinga waliojazana hapa jf. Huwezi kumcheka mtu yeyote kwa mambo yoyote ambayo hana uwezo nayo. Nichekeni kwa kuwa masikini kwa sababu nina wajibu wa kufight ili nipate mali. Lakini si kunicheka kwa vile nimezaliwa na mkono mmoja.
 
kama kinje masogange na huyo mwingine kweli ni wauza ngada active nikuulize wewe kwa nini hawakamatwi..maana makonda kashaambiwa handsoff kuna chombo sasa mahusisi kwa shughulu hiyo. mbona authority haiwakamati. au nyie wenye ushahidi bado kupeleka ushahidi..pelekeni sasa ushahidi.
Huyo mwingine nani mbona unapata kigugumizi? Kwanza hiki chombo kipo tu kama sanamu hakina uwezo wa kuwagusa wauza unga ambao ni maswahiba wa Bashite kama kina kinje na kundi lake ambao pia ni wafadhili wake wakubwa, Unapiga vita unga huku marafiki zako ni wauza unga huku ukikaa nao meza moja na kugonga glasi! kama sio unafiki ni nini? hebu akili yako ifunguke kidogo maana hata bashite akiona ulichoandika atajua wewe ni mmoja wa aliyewapumbaza
 
Yaani kuanzia leo napitisha rasmi sheria nyumbani kwangu neno MAKONDA, BASHITE ni matusi yeyote atakayetaja au kuyasema maneno hayo adhalani atakiona cha moto
Utakuwa huna familia yoyote. Familia haiongozwi kwa mawazo ya kimbumbumbu ki hivyo.
 
Wana ndugu leo asubuhi kulikuwa na mahojiano mubashara pale Star TV.

Binafsi nimekataa nyumbani toka asubuhi kipindi kinaanza mpaka kimeisha nikitazama na kusikiliza kwa umakini kinachojiri!

Nimekuwa nikiamini kabisa kwamba Makonda sio mtu wa kupewa uzito na kusikilizwa kwa umakini...Lakini kwa leo nikaona ngoja nimpe uzito nisimuhukumu bure....lakini waaaaaapi kaendeleza porojo zake za kila siku

Makonda kwa historian yake inaonyesha ni mtu kwenye uwezo mdogo sana wa kufikiria kwa kina yaani sio Great Thinker. Hili linadhibitisha ya records zake za elimu na pia namna anavyo-deal na mambo. Sio zambi kuwa na uwezo mdogo lakini tatizo lake kubwa ni kutaka kujiona yeye ni Key Figure, Great Thinker na Think Tank wa nchi!!BIG NO

Anyway system wao ndio wanaona anafaa,well lakini wameshindwa kuficha umbumbumbu wa mtu wao.

Makonda wamekuwa na tuhuma lukuki na lundo lakini Massa yote matatu aliyokaa na wale madogo wa Star TV hakuna tuhuma hata moja aliyojibu zaidi ya kujificha kwenye kichaka cha madawa ya kulevya na kucheka-cheka kwa dharau

Hivi unawezaje kumpa uzito mtu anayekana hata jina lake na Baba yake mzee Bashite aliyekiri kwamba anaitwa Bashite?Bashite anakikana KIUNO kilichomleta duniani?!!!

Acheni Makonda atawale Dar Es Salaam acheni akiri ndogo iongoze akiri kubwa lakini utashangaza kama kauli na matendo ya Makonda utayachukulia sirious kama habari ya maana

Na tunapoendelea kumlaumu Makonda tunakosea. Tatizo sio Makonda tatizo ni aliyemteua Makonda ambae ni rais. Huyu ndiyo mtu wa kumlaumu hasa. Huyu ndiye aliyemfanya hata Dr.Mwakyembe aonekane kituko kumtetea Makonda,huyu ndiye anayemfanya hata Kairuki ajiaibishe kuhusu "kujua kusoma na kuandika" ili kumtetea Makonda. Hata Askofu Gwajima nakushauri uachane na Makonda. Kama wewe kidume kweli mzee wa madude kula sahani moja na aliyemteua na kumkingia kifua Makonda. Jiulize swali moja tu kwa nini uliposingiziwa mtoto ulimjadili zaidi Makonda badala ya yule mama insane?Ni kwa sababu aliyemtumia ni Makonda!!

Makonda ameonyesha cheti chake.
Kifupi ni kwamba kupitia mahojiano ya leo Makonda ni kama ameonyesha cheti chake cha zero.What he was talking reflects what is in his form four certificate. Hakuna haja ya kuendelea kudai cheti

Jioni njema
Umeandika sawasawa. Nilitegemea Bashite angejtoa majibu ya kitaalamu. Kwa mfano alipoulizwa kuhusu jina angjibu kwa ufasaha tu. Nilianza darasa la kwanza mpaka la saba shule fulani kwa jina na hili na cheti chakumaliza namba hii kwa jina hili na uthibitisho ni huu na sio vinginevyo
 
Back
Top Bottom