Tunakosea kumchukulia "serious" RC Makonda

Tunakosea kumchukulia "serious" RC Makonda

Leo ndiyo nimejua wazi jinsi bashite alivyo na akili mufilisi kichwani mwake!
 
Kama unaweza kumkana Baba Mzazi ni rahisi kulikana taifa lako na kuliweka pabaya
Na hiki ndicho wanzugu huzingatia katika utawala...makonda kapoteza sifa ya kuwa kiongozi...sio mtu wakuaminika...kwa interview hii nazani kamchefua hadi jpm...ngoja tuone wiki hii Nini kitatokea
 
Huu Uzi umenifunza kitu nimengalia kile kipindi chote Makonda ni muongo mchonganishi na mfitinishi anajificha kwenye mwamvuri wa madawa na ulokole kuficha udhaifu wake wa vyeti na ni mtu hatari na katiri sana.nipo nae group la whasap ukimpinga anakufata inbox anakutishia kiufupi aliyemteua hajielewi
UNASEMA, upo nae wap???
 
huna lolote wewe una jambo lako jambo. unaacha kwenda kazini eti kumsikiliza rc makonda. kwa kipi zaidi kuliko utumbuzi wa madawa ya kulevya. kwani kwa makonda unategemea a statesman au kijana mdogo anayechipukia kwenye uongozi. mumeshindwa kumlazimisha jpm amtoe dar kwa hofu ya utendaji wake..yes nyie wapinzani specificaly cdm na nyie wauza ngada. yes mumeshindwa baada ya kila fitina na matusi jpm amewapuuza.
Siwezi kukulaumu sana sabb mkikosa majibu ya hoja mnakimbilia eti sisi ni watumbuzi wa dawa za kulevya; Swali: Hivi Kinje, Masogange, Gsm, je hawa si maswahiba wa makonda ambao wote wanafahamika kwa biashara ya unga?
 
Bashite ni Muongo sana kuna sehemu nilimsikia akisema mshahara wa mkuu wa mkoa upo sawa na wa waziri,
Sio kweli nauhakika kabisa mishahara yao hailingani mshahara wa waziri ni mkubwa kulipo wa rc.
Anataka kujustif upumbavu wake kirahisi.
Huyu mtu amefanya kosa la jinai la impersonification .
Achukuliwe hatua hayupo juu ya sheria
hujui na umetawaliwa na chuki tu. status ya waziri na mkuu wa mkoa tz ni sawa. kwa hiyo anachokisema ni kweli. wengi hamjui including nape ndio maana akafanya kosa la kijinga kudhani kama waziri anaweza kuunda tume kumchunguza mkuu wa mkoa.
 
Quote: "Acheni Makonda atawale Dar Es Salaam acheni akiri ndogo iongoze akiri kubwa lakini utashangaza kama kauli na matendo ya Makonda utayachukulia sirious kama habari ya maana"
Hapana, atukane watu, apoteze watu--- Ben---???, avamie watu/vituo, --- yule wa muziki nani--- Roma---? halafu useme apuuzwe. No!
Nyerere aliwahi kusema" Mwendawazimu tunaweza tukampuuza, lakini wendawazimu wake ukianza kuleta madhara kwa watu, atashikwa na kutiwa pingu/kufunga kamba asilete madhara zaidi" alitoa kauli hiyo wakati wa vita ya Amini watu wakimshauri ampuuze. Alikataa ndio akaingias vitani kumfunga pingu asilete madhara zaidi!
 
mimi nimekwisha washaurini jamaani kumjadili makonda ni kupoteza muda ipo hivi mimi ninapo kuchongea kitu ni kwamba nataka kukuharibia kwa bosi wako sasa kwa makonda hilo haliwezekani mbona mnatumia akili nyingi sana hilo haliwezekani tuendelee na issue zingine.
 
Akili za Makonda hazijatofautiana sana na mamlaka iliyomteua.....

Wala hata sikupoteza muda wangu kuangalia huo Upuuzi...
 
kosa kubwa kufanya hii interview, ni bora angekaa kimya maana ukweli kajishusha sana leo mpaka nikawa namuonea huruma. mtu akiwa anaongea jambo la ukweli utamuona usoni tu lakini jamaa hata maswali mepesi tu anajificha katika kichaka cha madawa ya kulevya ni kama anataka tumuonee huruma. aliyekushauri ufanye interview hakupendi maana hukuwa umejiandaa na hongera wale watangazaji walijitahidi kukubana ila walikuachia sana ungekutana na wale BBC hardtalk ungerusha ngumi au heart attack, Mkapa tu enzi zake aliwekwa kati mpaka pressure sasa wewe ishia hukuhuku Star Tv ungekufa kule.
 
Kwa mapenzi tele tele mliyonayo kwa RC Makonda

Amewaacha kwenye mataa leo, si kwa jinsi alivyoshusha nondo

Yaani bado nacheka, halafu nyie nyie mnaomsemaga vibaya ndio mko bizi kuanzisha threads na kupondea... tunajua mnataka tu kuwahi na kuonyesha haikuwa poa

Ila kweli haumpendi mtu, unasikia anaongea sijui yale yale kama vule hakuna la maana na unaendelea kumutazama usoni na kumsikiliza kea makini...eeeeeeeeeeh

Leo kawapata jamani

Makonda fans nawashangilia, sogeeninhuku tushangilie Lori la JPM lile linapita kea kasi sana na Makonda yuleeeeeeeeeee anapunga mkono



Eeeeeeeeh

Inajulikana hamrakubali kuwa leo kawaacha mataa, sasa muwaambie hivyo cyombo vya hanari tunataka kujua ya jijini iweje maji yanapungua bei hawataki kututangazia kisa RC Jembe na Hapa Kazi tu

Waambieni tunataka kujua ya jijini na fylsa zilizopo, na ntie mapaparazi najua mnasoma. Mmeambiwa mnapambana na makonda ila mnaingiza na wana darisalama kwenye majambo yenu ya kuisoma namba



Makonda oyeeeeeeeeeee
 
Naumia sana daud bashite kusema halifaham jina lake, et jina la daud bashite limeanza baada ya kuanzisha vita ya madawa, jaman ebu angalien hii screenshot, mama philipo aliandika hata kabla ajaanza hiyo vta wala kuwa mkuu wa mkoa
840aa103bd6d0883d357084c57934f13.jpg
 
Boss OKW BOBAN SUNZU usemayo ni ukweli mtupu. Hata na mimi nilifuatilia mahojiano yale. Kwa kweli wale Wa Kaka wanastahili pongezi. Mpaka ushahidi wa picha kaukana. Majina kakana.

My Take: Mimi nafikiri amewekwa pale makusudi kabisa, yeye ni chambo tu. Aliyemweka pale, amemweka kwa makusudi maalum, na anajua afanyalo hata tukipiga makelele kiasi gani, ashasema hapangiwi. In short amenidissapont sana, maana ningekuwa mimi ule ndio ulikuwa muda muafaka wa kukata kiu ya Watanzania. Ningekubali yaishe au ningekana kwa evidence nzito.

Wana ndugu leo asubuhi kulikuwa na mahojiano mubashara pale Star TV.

Binafsi nimekataa nyumbani toka asubuhi kipindi kinaanza mpaka kimeisha nikitazama na kusikiliza kwa umakini kinachojiri!

Nimekuwa nikiamini kabisa kwamba Makonda sio mtu wa kupewa uzito na kusikilizwa kwa umakini...Lakini kwa leo nikaona ngoja nimpe uzito nisimuhukumu bure....lakini waaaaaapi kaendeleza porojo zake za kila siku

Makonda kwa historian yake inaonyesha ni mtu kwenye uwezo mdogo sana wa kufikiria kwa kina yaani sio Great Thinker. Hili linadhibitisha ya records zake za elimu na pia namna anavyo-deal na mambo. Sio zambi kuwa na uwezo mdogo lakini tatizo lake kubwa ni kutaka kujiona yeye ni Key Figure, Great Thinker na Think Tank wa nchi!!BIG NO

Anyway system wao ndio wanaona anafaa,well lakini wameshindwa kuficha umbumbumbu wa mtu wao.

Makonda wamekuwa na tuhuma lukuki na lundo lakini Massa yote matatu aliyokaa na wale madogo wa Star TV hakuna tuhuma hata moja aliyojibu zaidi ya kujificha kwenye kichaka cha madawa ya kulevya na kucheka-cheka kwa dharau

Hivi unawezaje kumpa uzito mtu anayekana hata jina lake na Baba yake mzee Bashite aliyekiri kwamba anaitwa Bashite?

Acheni Makonda atawale Dar Es Salaam acheni akiri ndogo iongoze akiri kubwa lakini utashangaza kama kauli na matendo ya Makonda utayachukulia sirious kama habari ya maana

Na tunapoendelea kumlaumu Makonda tunakosea. Tatizo sio Makonda tatizo ni aliyemteua Makonda ambae ni rais. Huyu ndiyo mtu wa kumlaumu hasa. Huyu ndiye aliyemfanya hata Dr.Mwakyembe aonekane kituko kumtetea Makonda,huyu ndiye anayemfanya hata Kairuki ajiaibishe kuhusu "kujua kusoma na kuandika" ili kumtetea Makonda. Hata Askofu Gwajima nakushauri uachane na Makonda. Kama wewe kidume kweli mzee wa madude kula sahani moja na aliyemteua na kumkingia kifua Makonda. Jiulize swali moja tu kwa nini uliposingiziwa mtoto ulimjadili zaidi Makonda badala ya yule mama insane?Ni kwa sababu aliyemtumia ni Makonda!!

Jioni njema
 
mimi nimekwisha washaurini jamaani kumjadili makonda ni kupoteza muda ipo hivi mimi ninapo kuchongea kitu ni kwamba nataka kukuharibia kwa bosi wako sasa kwa makonda hilo haliwezekani mbona mnatumia akili nyingi sana hilo haliwezekani tuendelee na issue zingine.
Tuseme mpaka JPM atakapo toka urais be it 2025! Keep record for future use. makonda hatapona ICC, even kwa mahakama za ndani maana kosa la jinai halifutiki! Keep record! and his accomplice, wanafahamika fika!
 
Tatizo KKK,ndiyo sababu tumepeleka Binti mwenye Degree ya Sheria aliyosoma mwaka mmoja,halafu tunategemea ushindani kwenye soka la EAC.
umekosea sio KKK, ni KK (kusoma na kuandika tu)
 
Wana ndugu leo asubuhi kulikuwa na mahojiano mubashara pale Star TV.

Binafsi nimekataa nyumbani toka asubuhi kipindi kinaanza mpaka kimeisha nikitazama na kusikiliza kwa umakini kinachojiri!

Nimekuwa nikiamini kabisa kwamba Makonda sio mtu wa kupewa uzito na kusikilizwa kwa umakini...Lakini kwa leo nikaona ngoja nimpe uzito nisimuhukumu bure....lakini waaaaaapi kaendeleza porojo zake za kila siku

Makonda kwa historian yake inaonyesha ni mtu kwenye uwezo mdogo sana wa kufikiria kwa kina yaani sio Great Thinker. Hili linadhibitisha ya records zake za elimu na pia namna anavyo-deal na mambo. Sio zambi kuwa na uwezo mdogo lakini tatizo lake kubwa ni kutaka kujiona yeye ni Key Figure, Great Thinker na Think Tank wa nchi!!BIG NO

Anyway system wao ndio wanaona anafaa,well lakini wameshindwa kuficha umbumbumbu wa mtu wao.

Makonda wamekuwa na tuhuma lukuki na lundo lakini Massa yote matatu aliyokaa na wale madogo wa Star TV hakuna tuhuma hata moja aliyojibu zaidi ya kujificha kwenye kichaka cha madawa ya kulevya na kucheka-cheka kwa dharau

Hivi unawezaje kumpa uzito mtu anayekana hata jina lake na Baba yake mzee Bashite aliyekiri kwamba anaitwa Bashite?

Acheni Makonda atawale Dar Es Salaam acheni akiri ndogo iongoze akiri kubwa lakini utashangaza kama kauli na matendo ya Makonda utayachukulia sirious kama habari ya maana

Na tunapoendelea kumlaumu Makonda tunakosea. Tatizo sio Makonda tatizo ni aliyemteua Makonda ambae ni rais. Huyu ndiyo mtu wa kumlaumu hasa. Huyu ndiye aliyemfanya hata Dr.Mwakyembe aonekane kituko kumtetea Makonda,huyu ndiye anayemfanya hata Kairuki ajiaibishe kuhusu "kujua kusoma na kuandika" ili kumtetea Makonda. Hata Askofu Gwajima nakushauri uachane na Makonda. Kama wewe kidume kweli mzee wa madude kula sahani moja na aliyemteua na kumkingia kifua Makonda. Jiulize swali moja tu kwa nini uliposingiziwa mtoto ulimjadili zaidi Makonda badala ya yule mama insane?Ni kwa sababu aliyemtumia ni Makonda!!

Makonda ameonyesha cheti chake.
Kifupi ni kwamba kupitia mahojiano ya leo Makonda ni kama ameonyesha cheti chake cha zero.What he was talking reflects what is in his form four certificate. Hakuna haja ya kuendelea kudai cheti

Jioni njema
uzuri baaba yake amemsikiliza boya wake
 
Wana ndugu leo asubuhi kulikuwa na mahojiano mubashara pale Star TV.

Binafsi nimekataa nyumbani toka asubuhi kipindi kinaanza mpaka kimeisha nikitazama na kusikiliza kwa umakini kinachojiri!

Nimekuwa nikiamini kabisa kwamba Makonda sio mtu wa kupewa uzito na kusikilizwa kwa umakini...Lakini kwa leo nikaona ngoja nimpe uzito nisimuhukumu bure....lakini waaaaaapi kaendeleza porojo zake za kila siku

Makonda kwa historian yake inaonyesha ni mtu kwenye uwezo mdogo sana wa kufikiria kwa kina yaani sio Great Thinker. Hili linadhibitisha ya records zake za elimu na pia namna anavyo-deal na mambo. Sio zambi kuwa na uwezo mdogo lakini tatizo lake kubwa ni kutaka kujiona yeye ni Key Figure, Great Thinker na Think Tank wa nchi!!BIG NO

Anyway system wao ndio wanaona anafaa,well lakini wameshindwa kuficha umbumbumbu wa mtu wao.

Makonda wamekuwa na tuhuma lukuki na lundo lakini Massa yote matatu aliyokaa na wale madogo wa Star TV hakuna tuhuma hata moja aliyojibu zaidi ya kujificha kwenye kichaka cha madawa ya kulevya na kucheka-cheka kwa dharau

Hivi unawezaje kumpa uzito mtu anayekana hata jina lake na Baba yake mzee Bashite aliyekiri kwamba anaitwa Bashite?

Acheni Makonda atawale Dar Es Salaam acheni akiri ndogo iongoze akiri kubwa lakini utashangaza kama kauli na matendo ya Makonda utayachukulia sirious kama habari ya maana

Na tunapoendelea kumlaumu Makonda tunakosea. Tatizo sio Makonda tatizo ni aliyemteua Makonda ambae ni rais. Huyu ndiyo mtu wa kumlaumu hasa. Huyu ndiye aliyemfanya hata Dr.Mwakyembe aonekane kituko kumtetea Makonda,huyu ndiye anayemfanya hata Kairuki ajiaibishe kuhusu "kujua kusoma na kuandika" ili kumtetea Makonda. Hata Askofu Gwajima nakushauri uachane na Makonda. Kama wewe kidume kweli mzee wa madude kula sahani moja na aliyemteua na kumkingia kifua Makonda. Jiulize swali moja tu kwa nini uliposingiziwa mtoto ulimjadili zaidi Makonda badala ya yule mama insane?Ni kwa sababu aliyemtumia ni Makonda!!

Makonda ameonyesha cheti chake.
Kifupi ni kwamba kupitia mahojiano ya leo Makonda ni kama ameonyesha cheti chake cha zero.What he was talking reflects what is in his form four certificate. Hakuna haja ya kuendelea kudai cheti

Jioni njema
Hii ni moja ya aibu ktk taifa letu. Nakumbuka wakati wa uongozi wa Mwl. Nyerere matukio kama hayo tungeweza yasikia nje ya nchi yetu na tungeshangaa au kucheka,sasa upuuzi wa kina Bashite hupo ndani ya nchi yetu na mtawala aliyepo anachekelea uoza wake badala ya kuchukua hatua. Aibu ni kwetu wote. Tunaipenda Tanzania?
 
Back
Top Bottom