Tanzania ni nchi ambayo msemaji wa chama anatembea na msafara! Magari ya milioni 400 kwa gari moja. Tunaenda kuomba msaada na kodi za wazungu kwa nchi ambazo mawaziri hawana misafara na wanapanda treni na watu wa kawaida. Tanzania kuna mpaka walindaji wa kufungua milango tu🤔
Yote haya yanafanyika wakati nchi haina hata umeme. Halafu tunajiuliza kwanini sisi tu ndiyo masikini😂
Nchi hizi ni kama zile za Scandinavia
Yote haya yanafanyika wakati nchi haina hata umeme. Halafu tunajiuliza kwanini sisi tu ndiyo masikini😂
Nchi hizi ni kama zile za Scandinavia