Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,224
- 12,729
Sema tulivyo makauzu hata aibu hatutaona.
Afghanstan kwa sehemu kubwa ni jangwa. Lakini bahati nzuri upande wa Kaskazini imepitiwa na mto mkuwa wa Amu Darya ambao inashare na nchi kadhaa. Sasa ili kuzalisha chakula utawala wa Taliban umeamua kujenga mfereji mkubwa wa umwagiliaji kutoka mto huo na kubadili Hekta laki tano na nusu za jangwa kuwa eneo la kilimo(Hizo ni kama ekari milioni moja na laki tatu). Mfereji huo uitwao Qosh Tepa utakuwa na urefu wa kilomita 285. Kazi ya kuujenga ilianza mwaka 2022 na tayari mpaka sasa kilomita 100 zimeishachimbuliwa.
Mfereji huu utaiwezesha Afganstan kujitosheleza kwa chakula na kuwa na ziada ya kuuza na kutoa msaada. Kwa kasi ya ujenzi wa mradi hu na kwa jinsi Waafghanstan wanavyojielewa, ndani ya miaka mitano nchi za Afrika, ikiwemo Tanzania zitaanza kwenda Afghanstan kuomba msaada wa chakula.
Afghanstan kwa sehemu kubwa ni jangwa. Lakini bahati nzuri upande wa Kaskazini imepitiwa na mto mkuwa wa Amu Darya ambao inashare na nchi kadhaa. Sasa ili kuzalisha chakula utawala wa Taliban umeamua kujenga mfereji mkubwa wa umwagiliaji kutoka mto huo na kubadili Hekta laki tano na nusu za jangwa kuwa eneo la kilimo(Hizo ni kama ekari milioni moja na laki tatu). Mfereji huo uitwao Qosh Tepa utakuwa na urefu wa kilomita 285. Kazi ya kuujenga ilianza mwaka 2022 na tayari mpaka sasa kilomita 100 zimeishachimbuliwa.
Mfereji huu utaiwezesha Afganstan kujitosheleza kwa chakula na kuwa na ziada ya kuuza na kutoa msaada. Kwa kasi ya ujenzi wa mradi hu na kwa jinsi Waafghanstan wanavyojielewa, ndani ya miaka mitano nchi za Afrika, ikiwemo Tanzania zitaanza kwenda Afghanstan kuomba msaada wa chakula.