Nchi zilizoendelea kiongozi akituhumiwa kwa rushwa anajiuzulu, Tanzania viongozi wanakamatwa na vidhibiti lakini hawatishiki hadi watumbuliwe

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
879
4,125
Viongozi wa Tanzania wanakiburi sana, wanakamatwa kwa rushwa na tuhuma nyingine za maadili lakini uwezi kusikia wamejiuzulu. Wanasubiri hadi Mh. Rais awatumbue jambo ambalo ni dharau kwa mamlaka. Kujiuzulu ni Ishara ya kuomba radhi na kukaa pembeni ni Ishara ya kufungua milango usafishwe au ukaangwe

Kuna mkurugenzi wa Sumbawanga kafikishwa mahakamani lakini hakuwahi kujiuzulu. Kuna huyu DAS kutuhumiwa kuiba mafuta lakini hakuna Sehemu unamsikia akiwajibika. Anamsubiri MH. Rais amtoe na akikaa kimya maisha yanasonga bila kujali kama wale waliopo chini yake bado ataweza kuwasimamia?

Jana Makamu wa Rais akiwa Mwanga anabaini Mkurugenzi ametoa kazi ya ukandarasi kwa mtu asiye na qualifications; utetezi anasema wilaya haina mtaalamu wa ujenzi! Kwamba wataalamu na mainjinia waliojaa nchini wanakosa kushinda tenda? Unapata picha kabisa kwamba hapa lipo tatizo. Lakini hadi Mhe. Makamu wa rais anakuja kuliona liletatizo na kumhoji mkurugenzi je amechukua hatua gani ya uwajibikaji? Yupo kimya

Nini kinachopelekea kukosekana kwa uwajibikaji kiasi hiki nchini? Kwanini tufanye Madudu tusubiri Mh.Rais atauadhibu ? Leo hii hawa wote wanaotuhumiwa hakuna mamlaka inayoweza kuwahoji kwa sababu ni wateule wa Rais. Kuchelewa kwa maamuzi ya juu hakuwezi kuwaharibu ushahidi? Hadi watumishi wanaanza kurekodiana audio na video unadhani huyo mtu yupo vizuri na anaowaongoza?

Watanzania tujifunze kutubu tuache miyoyo migumu; dini zote zinasisitiza toba na toba ya mteule wa Rais ni kukaa pembeni unapoelekezewa tuhuma ambazo hata aliyekuteua akisikia ataelekza uhojiwe na kuchunguzwa.
 
Viongozi wa Tanzania wanakiburi sana, wanakamatwa kwa rushwa na tuhuma nyingine za maadili lakini uwezi kusikia wamejiuzulu. Wanasubiri hadi Mh. Rais awatumbue jambo ambalo ni dharau kwa mamlaka. Kujiuzulu ni Ishara ya kuomba radhi na kukaa pembeni ni Ishara ya kufungua milango usafishwe au ukaangwe

Kuna mkurugenzi wa Sumbawanga kafikishwa mahakamani lakini hakuwahi kujiuzulu. Kuna huyu DAS kutuhumiwa kuiba mafuta lakini hakuna Sehemu unamsikia akiwajibika. Anamsubiri MH. Rais amtoe na akikaa kimya maisha yanasonga bila kujali kama wale waliopo chini yake bado ataweza kuwasimamia?

Jana Makamu wa Rais akiwa Mwanga anabaini Mkurugenzi ametoa kazi ya ukandarasi kwa mtu asiye na qualifications; utetezi anasema wilaya haina mtaalamu wa ujenzi! Kwamba wataalamu na mainjinia waliojaa nchini wanakosa kushinda tenda? Unapata picha kabisa kwamba hapa lipo tatizo. Lakini hadi Mhe. Makamu wa rais anakuja kuliona liletatizo na kumhoji mkurugenzi je amechukua hatua gani ya uwajibikaji? Yupo kimya

Nini kinachopelekea kukosekana kwa uwajibikaji kiasi hiki nchini? Kwanini tufanye Madudu tusubiri Mh.Rais atauadhibu ? Leo hii hawa wote wanaotuhumiwa hakuna mamlaka inayoweza kuwahoji kwa sababu ni wateule wa Rais. Kuchelewa kwa maamuzi ya juu hakuwezi kuwaharibu ushahidi? Hadi watumishi wanaanza kurekodiana audio na video unadhani huyo mtu yupo vizuri na anaowaongoza?

Watanzania tujifunze kutubu tuache miyoyo migumu; dini zote zinasisitiza toba na toba ya mteule wa Rais ni kukaa pembeni unapoelekezewa tuhuma ambazo hata aliyekuteua akisikia ataelekza uhojiwe na kuchunguzwa.
Waliotajwa REPORT ya CAG wameambiwa Wajichunguze wenyewe
Kauli ya Ajabu hii mwizi eti ajichunguze
 
"Mtanikumbuka"

Hayat Rais John. P. Magufuli alijulikana nchini, barani na itoshe kusema, Duniani kwa kuchukua maamuzi ya papo kwa hapo. Mkamzodoa.

Akaja, kwa kuwasikiliza wakosoaji wake, akaanzisha mahakama maalum kushugulikia Ubadirifu na Ufisadi, akazodolewa tena.

Ikumbukwe kwamba Hayat Rais alikuwa ni kinara wa kutaka haki na alielewa fika mapungufu na rushwa zilizotalamaki katika utoaji wa haki hususani kutoka kwenye vyombo husika-kauli zake na matendo yake ni Ushahidi tosha-akazodolewa.

Nachelea kusema kuna unafiki, walakini nakataa dhana hii kwa sababu Watanzania wanajielewa na wanajitambua; haya yalionekana nyakati za Utawala wa Hayat Rais J.P.M

Hata hivyo, utaona kwamba matope, tuhuma na kashfa zinazoelekezwa kwake, ni za kutengeneza.

Zimetengenezwa na Mafisadi, wezi, majambazi, mawakala, vibaraka na wale wote wanaotetea Ubeberu na wawekezaji Uchwara ikiwa na pamoja na wale wenye madaraka Serikalini.

Haijalishi, tutamkumbuka J.P.Magufuli(R.I.P) kwa yale aliyoyaamini kama uozo serikalini, kama ulivyo kidonda chenye usaha.

Makamu wa rais anakuja kuliona liletatizo na kumhoji mkurugenzi je amechukua hatua gani ya uwajibikaji? Yupo kimya

Nini kinachopelekea kukosekana kwa uwajibikaji kiasi hiki nchini?

Kwanini tufanye Madudu tusubiri Mh.Rais atauadhibu
[✓]
 
"Mtanikumbuka"

Hayat Rais John. P. Magufuli alijulikana nchini, barani na itoshe kusema, Duniani kwa kuchukua maamuzi ya papo kwa hapo. Mkamzodoa.

Akaja, kwa kuwasikiliza wakosoaji wake, akaanzisha mahakama maalum kushugulikia Ubadirifu na Ufisadi, akazodolewa tena.

Ikumbukwe kwamba Hayat Rais alikuwa ni kinara wa kutaka haki na alielewa fika mapungufu na rushwa zilizotalamaki katika utoaji wa haki hususani kutoka kwenye vyombo husika-kauli zake na matendo yake ni Ushahidi tosha-akazodolewa.

Nachelea kusema kuna unafiki, walakini nakataa dhana hii kwa sababu Watanzania wanajielewa na wanajitambua; haya yalionekana nyakati za Utawala wa Hayat Rais J.P.M

Hata hivyo, utaona kwamba matope, tuhuma na kashfa zinazoelekezwa kwake, ni za kutengeneza.

Zimetengenezwa na Mafisadi, wezi, majambazi, mawakala, vibaraka na wale wote wanaotetea Ubeberu na wawekezaji Uchwara ikiwa na pamoja na wale wenye madaraka Serikalini.

Haijalishi, tutamkumbuka J.P.Magufuli(R.I.P) kwa yale aliyoyaamini kama uozo serikalini, kama ulivyo kidonda chenye usaha.






[✓]
Makonda, Sabaya
 
Viongozi wa Tanzania wanakiburi sana, wanakamatwa kwa rushwa na tuhuma nyingine za maadili lakini uwezi kusikia wamejiuzulu. Wanasubiri hadi Mh. Rais awatumbue jambo ambalo ni dharau kwa mamlaka. Kujiuzulu ni Ishara ya kuomba radhi na kukaa pembeni ni Ishara ya kufungua milango usafishwe au ukaangwe

Kuna mkurugenzi wa Sumbawanga kafikishwa mahakamani lakini hakuwahi kujiuzulu. Kuna huyu DAS kutuhumiwa kuiba mafuta lakini hakuna Sehemu unamsikia akiwajibika. Anamsubiri MH. Rais amtoe na akikaa kimya maisha yanasonga bila kujali kama wale waliopo chini yake bado ataweza kuwasimamia?

Jana Makamu wa Rais akiwa Mwanga anabaini Mkurugenzi ametoa kazi ya ukandarasi kwa mtu asiye na qualifications; utetezi anasema wilaya haina mtaalamu wa ujenzi! Kwamba wataalamu na mainjinia waliojaa nchini wanakosa kushinda tenda? Unapata picha kabisa kwamba hapa lipo tatizo. Lakini hadi Mhe. Makamu wa rais anakuja kuliona liletatizo na kumhoji mkurugenzi je amechukua hatua gani ya uwajibikaji? Yupo kimya

Nini kinachopelekea kukosekana kwa uwajibikaji kiasi hiki nchini? Kwanini tufanye Madudu tusubiri Mh.Rais atauadhibu ? Leo hii hawa wote wanaotuhumiwa hakuna mamlaka inayoweza kuwahoji kwa sababu ni wateule wa Rais. Kuchelewa kwa maamuzi ya juu hakuwezi kuwaharibu ushahidi? Hadi watumishi wanaanza kurekodiana audio na video unadhani huyo mtu yupo vizuri na anaowaongoza?

Watanzania tujifunze kutubu tuache miyoyo migumu; dini zote zinasisitiza toba na toba ya mteule wa Rais ni kukaa pembeni unapoelekezewa tuhuma ambazo hata aliyekuteua akisikia ataelekza uhojiwe na kuchunguzwa.
Wamekifanyia chama mambo mengi ya nuruni na gizani.....wajitoa then fadhila watajilipa vipi
 
Makonda, Sabaya
Sawa, ila tunajua hakuwatuma kwenda kufanya madudu yaliyo nje ya mamlaka zao. Sawa na Rais Samia, hajawatuma hawa mafisadi kwenda kuwahujumu Watanzania na Serikali yake.

...Magufuli aliwaweza sana hawa majamaa. Aliwaondoa hata wale marafiki zake.
 
Sawa, ila tunajua hakuwatuma kwenda kufanya madudu yaliyo nje ya mamlaka zao. Sawa na Rais Samia, hajawatuma hawa mafisadi kwenda kuwahujumu Watanzania na Serikali yake.

...Magufuli aliwaweza sana hawa majamaa. Aliwaondoa hata wale marafiki zake.
Nitajie watano alioondoa
 
Viongozi wa Tanzania wanakiburi sana, wanakamatwa kwa rushwa na tuhuma nyingine za maadili lakini uwezi kusikia wamejiuzulu. Wanasubiri hadi Mh. Rais awatumbue jambo ambalo ni dharau kwa mamlaka. Kujiuzulu ni Ishara ya kuomba radhi na kukaa pembeni ni Ishara ya kufungua milango usafishwe au ukaangwe

Kuna mkurugenzi wa Sumbawanga kafikishwa mahakamani lakini hakuwahi kujiuzulu. Kuna huyu DAS kutuhumiwa kuiba mafuta lakini hakuna Sehemu unamsikia akiwajibika. Anamsubiri MH. Rais amtoe na akikaa kimya maisha yanasonga bila kujali kama wale waliopo chini yake bado ataweza kuwasimamia?

Jana Makamu wa Rais akiwa Mwanga anabaini Mkurugenzi ametoa kazi ya ukandarasi kwa mtu asiye na qualifications; utetezi anasema wilaya haina mtaalamu wa ujenzi! Kwamba wataalamu na mainjinia waliojaa nchini wanakosa kushinda tenda? Unapata picha kabisa kwamba hapa lipo tatizo. Lakini hadi Mhe. Makamu wa rais anakuja kuliona liletatizo na kumhoji mkurugenzi je amechukua hatua gani ya uwajibikaji? Yupo kimya

Nini kinachopelekea kukosekana kwa uwajibikaji kiasi hiki nchini? Kwanini tufanye Madudu tusubiri Mh.Rais atauadhibu ? Leo hii hawa wote wanaotuhumiwa hakuna mamlaka inayoweza kuwahoji kwa sababu ni wateule wa Rais. Kuchelewa kwa maamuzi ya juu hakuwezi kuwaharibu ushahidi? Hadi watumishi wanaanza kurekodiana audio na video unadhani huyo mtu yupo vizuri na anaowaongoza?

Watanzania tujifunze kutubu tuache miyoyo migumu; dini zote zinasisitiza toba na toba ya mteule wa Rais ni kukaa pembeni unapoelekezewa tuhuma ambazo hata aliyekuteua akisikia ataelekza uhojiwe na kuchunguzwa.
Kwa kweli inasikitisha sana.
Hebu imagine, Kwa mfano yule Mbunge wa Manyara, hadi clip zipo zinazomwonyesha akimnyanyasa yule kijana wake, hadi kumwingiza chupa ya soda sehemu za Siri, lakini yule mama hakujizuru, hadi pale Mheshimiwa Rais alipomtumbua!🙆
 
Waliotajwa REPORT ya CAG wameambiwa Wajichunguze wenyewe
Kauli ya Ajabu hii mwizi eti ajichunguze
Ni ajabu na kweli!
Hiyo inaweza ikaingizwa kwenye maajabu makubwa ya duniani!

Eti mwizi wa mabilioni ya pesa, anaombwa ajitafakari?😙

Wakati Mtumishi wa kawaida serikalini, anafukuzwa kazi Kwa upotevu wa shs 50,000 tu
 
Viongozi wa Tanzania wanakiburi sana, wanakamatwa kwa rushwa na tuhuma nyingine za maadili lakini uwezi kusikia wamejiuzulu. Wanasubiri hadi Mh. Rais awatumbue jambo ambalo ni dharau kwa mamlaka. Kujiuzulu ni Ishara ya kuomba radhi na kukaa pembeni ni Ishara ya kufungua milango usafishwe au ukaangwe

Kuna mkurugenzi wa Sumbawanga kafikishwa mahakamani lakini hakuwahi kujiuzulu. Kuna huyu DAS kutuhumiwa kuiba mafuta lakini hakuna Sehemu unamsikia akiwajibika. Anamsubiri MH. Rais amtoe na akikaa kimya maisha yanasonga bila kujali kama wale waliopo chini yake bado ataweza kuwasimamia?

Jana Makamu wa Rais akiwa Mwanga anabaini Mkurugenzi ametoa kazi ya ukandarasi kwa mtu asiye na qualifications; utetezi anasema wilaya haina mtaalamu wa ujenzi! Kwamba wataalamu na mainjinia waliojaa nchini wanakosa kushinda tenda? Unapata picha kabisa kwamba hapa lipo tatizo. Lakini hadi Mhe. Makamu wa rais anakuja kuliona liletatizo na kumhoji mkurugenzi je amechukua hatua gani ya uwajibikaji? Yupo kimya

Nini kinachopelekea kukosekana kwa uwajibikaji kiasi hiki nchini? Kwanini tufanye Madudu tusubiri Mh.Rais atauadhibu ? Leo hii hawa wote wanaotuhumiwa hakuna mamlaka inayoweza kuwahoji kwa sababu ni wateule wa Rais. Kuchelewa kwa maamuzi ya juu hakuwezi kuwaharibu ushahidi? Hadi watumishi wanaanza kurekodiana audio na video unadhani huyo mtu yupo vizuri na anaowaongoza?

Watanzania tujifunze kutubu tuache miyoyo migumu; dini zote zinasisitiza toba na toba ya mteule wa Rais ni kukaa pembeni unapoelekezewa tuhuma ambazo hata aliyekuteua akisikia ataelekza uhojiwe na kuchunguzwa.
Unamaanisha Serikali ya CCM itubu?
 
Back
Top Bottom