baro
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 2,987
- 3,725
Inatakiwa tushawishiwe kwa hoja Katiba ni ya wananchi sio ya wamiliki wa vyama vya siasaYaani hata wewe unainhia kwenye mitego ya Hawa waramba viaty wa kiongozi mkuu wa chama,
Kati ya Mzazi na mtoto yupi alianza kuzaliwa?
Bila maridhiano hakuna Katiba mpya na wakushaiwishiwa ni CCM na si mwingine
Shida iliyopo ni Chama kimoja kuona kina haki ya kupata Katiba mpya kitu ambacho ni NDOTO , bila mtawala kuridhia ni ngumu na mtawala anatakiwa ashawishiwe kwa hoja vinginevyo utakuwa wimbo tu wa miaka na miaka