Msingida
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 9,722
- 10,801
Umemaliza kabisa.Tume huru ya uchaguzi bila katiba mpya ni sawa na kuziba mashimo ya panya kwa mikate!
Umemaliza kabisa.Tume huru ya uchaguzi bila katiba mpya ni sawa na kuziba mashimo ya panya kwa mikate!
Huwezi ukamzuia sababu Katiba inamruhusu!Mawazo ya ACT nimeyaelewa ni maoni mazuri. Lakini kwa mujibu wa Katiba iliyopo tutazuia vipi makucha ya Mwenyekiti wa chama cha ccm ktk kupenyeza watu wake ndani ya tume huru ya uchaguzi??
Hiyo sheria ya mabadiliko ya sheria ya uchaguzi itatekelezwa na watu gani, na bunge gani sio hili hili?
Hapo ndipo nashindwa kuwaelewa ACTHuwezi ukamzuia sababu Katiba inamruhusu!
Ana mamlaka hata kuamrisha tume Imtangaze yeye Uraisi...