wewe umewahi kuchezea timu ganiTff ina sura ya kihaya, ya wizi wizi ktk utawala wa jamal. Hivi malinzi aliwahi kuichezea timu gani.?
wewe umewahi kuchezea timu ganiTff ina sura ya kihaya, ya wizi wizi ktk utawala wa jamal. Hivi malinzi aliwahi kuichezea timu gani.?
hakuna mhaya kama wewe, we sema yaliyo moyoni mwakoMim ni mhaya ila ukabila uhu siuungi mkono Malinzi ametubeba sana wahaya mpaka Tff tunaona haya
Huyo ni zuzu kwa akili zake anadhani Malinzi ataondolewa kupitia hapa Jf kwa porojo zaoUmetumwa na wagombea wenzake, haondoki mtu hapa. JF haipigi kura and moreover humu zimejaa takataka kama wewe
Sababu tuu umeongea wewe?hafai hatakm anafaa ila hafai tu aachie wngn
Akikujibu niambiewewe umewahi kuchezea timu gani
Wewe ni kimada wa Nyamlani?wewe utakuwa malinzi au binti yake. ndo mnaofadika na mambo yake.
Una mimba changa weweYani sijawahi kuona boya kama hili. Litoke tu. Limetuhatibia soka letu. Limeleta matabaka katika tansia nzima ya mchezo wa soka. Ni aibu sana kuwa rais wa TFF afu bado uwe pia mwenyekiti wa kagera pia. Aende zake tu
Wakikujibu najipiga likizo ya mwezi mmoja hapa jukwaaniNan anafaa
Form za nini,vikoba?Ally na mtem wachukue fom
mwakalebela anafanya nini sasa hiviMwakalebela arudi TFF
JF haipigi kura humu hapasaidii kama ya Makonda alivyoandikwa humu#Piga_Chini_Malinzi kwa uhai wa SOKA letu
#Piga_Chini_Malinzi kwa uhai wa SOKA letu
#Piga_Chini_Malinzi kwa uhai wa SOKA letu
#Piga_Chini_Malinzi kwa uhai wa SOKA letu
Wanjiru, hawa watu wapuuzi malinzi amefanya wajibu wake tena vya kutosha. Hizi ni porojo waache, atawapiga chini
kwa hiyo unataka kusemaje..? Hayo yote unayoyasema au yanayosemwa na Jf, hiyo Jf ina uwezo wa kutatua au kuamua..?JF haipigi kura humu hapasaidii kama ya Makonda alivyoandikwa humu