Tumwondoe Jamal Malinzi TFF hapa

Malinzi kafanya na anaendelea kufanya mambo mazuri sana ambapo matokeo yake mtakuja kuyashangilia hapo baadae hasa nyie mazuzu mnaoleta ukabila na unaa hapa.

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Ubaya wa Malinzi umeanzia hapa...

hqdefault.jpg


Chezea katerero weee!
Hii match Okwi angekuwepo mikia ingeshinda.

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
MKUU USILETE SIASA ZA SIMBA NA YANGA. tunazungumzia utendaji wake kwa ujumla na wala si mechi za team hizo
Kama unazungumzia utendaji wake, mambo ya UHAYA yametoka wapi?

Nyinyi mmevurugwa na kamati ya masaa 72 iliyotaka kutengua katerero. Mpira ni uwanjani, mezani tunakunywa kahawa. Manara anawadanganya na mkakubali, hadi mkadanganywa FIFA sijui wametuma soseji sijui kitu gani. Sasa hivi mmebadilishiwa upepo, mnajadili Niyonzima, tahamaki ligi imeanza mnapigwa tena mabao mnaandamana
 
hebu nioneshe nilipozungumzia suala la uhaya? maana isije ikawa ndo wewe malinzi unatumia na id hii. kwanza wewe hujui mimi kabila gani na mshabiki wa team gani. tumia akili yako sawa sawa siyo unakurupuka.
Kama unazungumzia utendaji wake, mambo ya UHAYA yametoka wapi?

Nyinyi mmevurugwa na kamati ya masaa 72 iliyotaka kutengua katerero. Mpira ni uwanjani, mezani tunakunywa kahawa. Manara anawadanganya na mkakubali, hadi mkadanganywa FIFA sijui wametuma soseji sijui kitu gani. Sasa hivi mmebadilishiwa upepo, mnajadili Niyonzima, tahamaki ligi imeanza mnapigwa tena mabao mnaandamana
 
Huyu mtu hafai kuendelea kuwa Rais wa TFF. Uhuni aliofanya ni mwingi sana likiwepo suala la migogoro katika maamuzi ya mech za Ligi Kuu kwa team zote.

Huyu jamaa ameamua kujijenga yeye na kundi ka watu flan wa karibu yake na kusahau maslah ya taifa kwa ujumla.ni mbabaishaji hakuna alilolifanya zaidi ya kuharibu hata mazuri ya leodgar tenga kwa sabab ya chuki na kutojiamini kwake.

Humu JF alikimbia baada ya kupata urais TFF akaona hamna maana tena ingawa aliitumia hii JF Kujinadi na kuomba kura. Sasa anarudi kwa ID weng hamzifaham kuja kujitetea.

MALINZI NI JANGA LA MAENDELEO YA MPIRA HAPA NCHINI. TUBADILISHE TUMWEKE MWINGINE. NA HAPA SIMPIGII DEBE YEYOTE
Umetumwa na wagombea wenzake, haondoki mtu hapa. JF haipigi kura and moreover humu zimejaa takataka kama wewe
 
18 Reactions
Reply
Back
Top Bottom