jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,323
Sasa useme unataka soka lisonge mbele kuelekea wapi?Nlianzisha thread moja humu ndani nikisema tumwondoe Malinzi hapa. Wakaja watu wakadhihaki n.k lakini walikuja watu wakaleta details za muhimu kabisa ambazo zimefanyiwa kazi na matokeo yake nadhan yataonekana.
Lazma tufikie hatua tuheshimu nafasi tunazokuwepo. Siyo kila mtu ajifanyie anavyojifanyia yeye na watu wake. Utaratibu huu utaendelea kwa wote wanaotenda yasiyopasa kwa jamii hii ya tanzania.
Semeni mnataka viongozi wafanye nini