Mabadiliko gani hayo?Tunataka mabadiliko TFF
Uongozi wa mpira sio kibao kata,hao pamoja na wewe ni wacheza kibao Kata.Hii ingekuwa poa pale TFF.
Rais: Athumani Nyamlani
Makamu :Rais Mwakalebela
Katibu Mkuu :Ali Mayai Tembele
Unfortunately wote wamechukua fomu yaUrais.
Ya uongozi hasa wa Rais wa TFF, aje mwingine
Kwa hiyo vigezo na sababu ni hizo tuu Malinzi atoke mwingine aingie,basi huu umekuwa ukuti ukuti.Ya uongozi hasa wa Rais wa TFF, aje mwingine
Weka Jamal MalinziWeka Ally Mayay Tembele.
Sababu zipo nyingi tu sitaki kuzirudia hapa kujaza uzi mkuu..ila ili kuondoa utata tusubiri uchaguzi ndio msema kweli asante...Kwa hiyo vigezo na sababu ni hizo tuu Malinzi atoke mwingine aingie,basi huu umekuwa ukuti ukuti.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Kwa nyie vigezo vyenu ni sura wala sio utendaji?Hapo tuchomoe sura za zaman zote anatakowa ally mayayi hapo
Wewe una akili za mende kuangusha Kabati.Malinzi ni janga kama majanga mengine kama UKIMWI, KIPINDUPINDU, MAAFRIKO na TETEMEKO LA ARDHI..
Swali lako lilikuwa la udaku ndio maana hakulijibu.Nakumbuka niliwahi kumwuliza swali wakati akiomba hakujibu vilivyo na nilikosa Imani nae na leo hii nayaona matokeo yake