demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,250
- 15,116
Mnamo tar 18/07/2015 Jumamosi, wapenzi wa tasnia ya mpira wa miguu wanapata nafasi nyingine ya kushuhudia mashindano makuu ya Afrika Mashariki.
Ili kupamba ufunguzi huo, shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) liliamua kufanya Maamuzi ambayo tunaweza kuyaita ya "Kipuuzi".
Kitendo cha kumleta mgeni rasmi wa michuano hiyo ambaye ni mmoja wa wanao wania urais kupitia ccm si cha kiungwana kabisa. Tunajua kwamba TFF wanadai kuwa wamemleta kwa kofia ya uwaziri..! na wanajua wazi kwamba wapenzi wa soka hapa nchini ni wenye itikadi "mbalimbali za kisiasa ".
Kwa taarifa zinazosikika sasa hivi ni kwamba "sherikaly" imeamua kutumia michuano hii ili kumpatia mgombea huyo recognition ya ziada.
Inadaiwa kuwa Kufanikisha hilo tukio, [TI°EF°EF] ilipokea kiasi fulani cha "$$$$DOLLARI$$$$" .. ili kuruhusu ujinga huo kufanyika...
Bila kuzingatia misingi ya mchezo wakaruhusu hili suala lifanikiwe.
Binafsi kama mdau mkubwa sana wa mchezo wa mpira wa miguu sikupendezwa na "Upenyezo wa siasa kwenye tasnia yetu" kabisa.
Huyu jamaa anaye jiita Jamal Malinzi... sioni kama anamalengo marefu na mpira wa tanzania. Rai yangu kwake ni kwamba ajiangalie sana, yeye ni kiongozi na yampasa asimame imara katika kiti chake.
Anapo fanya kinyume na hapo basi anapeleka mchezo huu kusiko kulikana.
#KataaRushwa JM.
Ili kupamba ufunguzi huo, shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) liliamua kufanya Maamuzi ambayo tunaweza kuyaita ya "Kipuuzi".
Kitendo cha kumleta mgeni rasmi wa michuano hiyo ambaye ni mmoja wa wanao wania urais kupitia ccm si cha kiungwana kabisa. Tunajua kwamba TFF wanadai kuwa wamemleta kwa kofia ya uwaziri..! na wanajua wazi kwamba wapenzi wa soka hapa nchini ni wenye itikadi "mbalimbali za kisiasa ".
Kwa taarifa zinazosikika sasa hivi ni kwamba "sherikaly" imeamua kutumia michuano hii ili kumpatia mgombea huyo recognition ya ziada.
Inadaiwa kuwa Kufanikisha hilo tukio, [TI°EF°EF] ilipokea kiasi fulani cha "$$$$DOLLARI$$$$" .. ili kuruhusu ujinga huo kufanyika...
Bila kuzingatia misingi ya mchezo wakaruhusu hili suala lifanikiwe.
Binafsi kama mdau mkubwa sana wa mchezo wa mpira wa miguu sikupendezwa na "Upenyezo wa siasa kwenye tasnia yetu" kabisa.
Huyu jamaa anaye jiita Jamal Malinzi... sioni kama anamalengo marefu na mpira wa tanzania. Rai yangu kwake ni kwamba ajiangalie sana, yeye ni kiongozi na yampasa asimame imara katika kiti chake.
Anapo fanya kinyume na hapo basi anapeleka mchezo huu kusiko kulikana.
#KataaRushwa JM.