Tumpigie kura Rais Magufuli kuwa "Best Political Leader of the Year 2020"

Umeandika pumba tupu. Hivi una uhakika Magufuli ndio mtekaji???
Utaendelea kujifariji kwa comment kama hizi na member wenzio humu ndani usiporuhusu ufahamu wako ufanye kazi mpaka akili ikukae sawa.

Hapo kwenye sentensi ya alama ya kuuliza, ni kwamba unapigia jibu mstari au unauliza vumbi darini?
 
Wewe una uwezo wa kumuwajibisha nani? Hata wakati wa uchaguzi uwezo huo hauna, sababu kura yalo ni kama referendum tu, haina nguvu wala maamuzi yoyote yale.
Kingine jikite kwenye kufanya kampeni, ili Magufuli ashinde, kama kweli unataka ashinde. unapoanza kumchimba na kumtusi Nana na Ghana yake inakusaidia nini?
Hicho ndiyo kizazi cha nyoka chini ya mafundisho ya chakubanga
 
RAIS MAGUFULI NI BORA KULIKO RAIS NANA AKUFO-ADDO WA GHANA; TUZO TUIREJESHE KWETU

Na: Suphian Juma

Jarida la African Leadership ambalo husaidia kuinena vema Afrika duniani, linaendesha zoezi la upigaji kura. Katika kipengele cha Kiongozi Bora wa Kisiasa Afrika yaani AFRICAN POLITICAL LEADER OF THE YEAR; Rais wetu Magufuli yumo akiwaacha mbali MaRais wa Senegal, Afrika Kusini, huku akipitwa kura kiduchu na Rais wa Ghana Nana Akufo-Addo katika upigaji kura unaoendelea mtandaoni.

Naona baadhi yetu Watanzania wanampigia chapuo Nana, nadhani hii ni kwa sababu aidha hawajawahi kuishi Ghana ya Nana, hawajazisoma vema siasa za Ghana ama basi tu ni chuki zao binafsi kwa Rais wetu Magufuli.

Wasiojua Nana ndiye Rais wa kwanza wa Ghana kukopa fedha nyingi zaidi kuliko Rais yeyote tangu Ghana ipate Uhuru. Shirika la Fedha duniani (IMF) limetamka kwamba deni la Ghana linakadiriwa kufika 74.7% kufikia mwaka huu wa 2021. Huyu Rais wa madeni ambaye anawaumiza wananchi wake maskini kulipa madeni hayo atafaaje kuwa bora kuliko Rais wetu Magufuli?

Nana anakadiriwa ndiye Rais ambaye hadi sasa ndiye mwenye mawaziri wengi zaidi kuliko Rais yeyote duniani. Yaani Baraza la mawaziri lake lina jumla ya mawaziri 125 achilia mbali Manaibu waziri wake. Fikiria mishahara yao na marupurupu yao katika nchi ndogo kama Ghana yenye jumla ya watu milioni 30. Sisi Tanzania tupo milioni karibia 60 yaani mara mbili ya Ghana ila Rais Magufuli hata mawaziri robo ya mawaziri wake Nana hatujawahi kuwafikisha. Maana hadi sasa Rais Magufuli ana mawaziri 23 tu.

Kingine cha kutia huzuni Ghana ya Nana ni AJIRA. Unaambiwa Ghana kijana kupata kazi Serikalini au hata kwa Taasisi binafsi ni kizungumkuti. Mwandishi wa DW wa Ghana Manasseh Azure Awuni katika uhariri wake uliochapishwa Desemba 10, 2020 anasema
ni rahisi kijana kubebeshwa mfuko wa saruji shingoni mwake na akapita bahari ya Atlantiki ila si kijana huyo kupata kazi Ghana katika utawala wa Nana Akudo-Addo. Sasa tujiulize Nana Serikali yake kukopa kote huko kwanini pasisaidie kutatua janga la ajira? Nana ni msanii.

Huku kwetu tangu Rais Magufuli aingie madarakani tukiweka unafiki pembeni, hakika viongozi wamekuwa na adabu kwa wananchi. Hali haiko hivo kwa Nana. Wachambuzi wa Siasa walioko Ghana wanasema Mghana wa kawaida hana mamlaka ya kummwajibisha Kiongozi isipokuwa tu hadi ifike muda wa uchaguzi kupitia kura yake sandukuni. Ila huku kwa Mzee Magu, mwananchi wa Buza kwa Mpalange alitukanwa tu na M/kiti wake wa Mtaa, mwenyekiti huyo kazi hana.

Mfano wa hili la kukosekana 'accountability' kwa Viongozi huko Ghana; mwaka 2019 Mwandishi wa Habari za Uchaguzi wa Ghana Ahmed Hussein-Suale alipigwa risasi na kufa Accra. Kabla ya kuuawa Ahmed alitishiwa kifo na Mbunge wa Chama cha Nana, na hadi sasa si Polisi wa Nana wala vyombo vyake vya Ulinzi na Usalama ambavyo vimewahi kutoa matokeo ya uchunguzi wala kumwajibisha huyo Mbunge ambaye alimtishia kifo Ahmed.

Nana si muumini wa Utawala bora wala wa Uhuru wa vyombo vya habari; Imagine Julai mwaka jana Rais Nana aliamuru kuachishwa kazi Mhariri Mkuu wa Chombo cha habari nchini humo aitwaye Daniel Domelevo licha ya kukatazwa na Asasi za Kiraia kisa tu Mhariri huyo aliruhusu habari irushwe iliyohusu ukaguzi wa Mali za kifisadi za Waziri wake aliyemtegemea kwenye Baraza aitwaye Yaw Osafo-Maafo.

Kiufupi Rais Nana Akufo-Addo ana udhaifu mkubwa mno katika maeneo ya utawala bora na katika vita dhidi ya ufisaidi ukimlinganisha na jembe letu Magufuli. Demokrasia ya kweli lazima iambatane na Utawala bora, uwajibishwaji wa Viongozi na Serikali huku matatizo makubwa kama ajira na maisha bora kwa wananchi yakitekelezwa kikamilifu ila haya kwa Nana bado ni mtihani Mkubwa.

Na isitoshe kusema: uchaguzi wa Ghana ambao ulipita mwaka jana bila kumwaga damu, nyumba na mali za watu kuchomwa si kigezo pekee cha kupima ubora wa Kiongozi. Ghana wana vyama viwili ambavyo ni pacha tofauti ni majina tu NPP ya Nana na NDC ambavyo huachiana madaraka kila uchaguzi; kimoja kikiwa upinzani kinaonekana bora kwa kukisema kilichopo madarakani lakini maisha ya raia wa kawaida ni magumu mno. Huku si kukomaa kwa demokrasia bali kudumaa kwa demokrasia tofauti na tunavyoaminishwa na wanaharakati mtandaoni.

Hivyo nawaombeni kura zote tumpigie Rais wetu Magufuli ambaye ni mchapakazi wa kweli, msimamizi makini wa kodi zetu na mwendelezaji wa miradi mikubwa ya wananchi wake, na kinara wa Utawala bora unaompa mwananchi wa kawaida fursa ya kummwajibisha Kiongozi wake muda wowote kuliko kusubiri wakati wa uchaguzi kama huko kwa Nana Akufo-Addo wa Ghana.

Bofya: https://t.co/xhDotKvYzI?amp=1

Mwisho wa kupiga kura ni Januari 8, 2021. Wahi sasa tuing'arishe Tanzania yetu duniani.

Suphian Juma Nkuwi,
Mtanzania Halisi,
Januari 06, 2020
Phone: 0717027973
Email: yessuphian@gmail.comView attachment 1669966View attachment 1669967


Tatizo sio maendeleo au mipango ni maono ya viongozi. Jinsi Magufuli alivyo endesha uchaguzi wa 2020 ni ngumu kumzidi Raisi wa Ghana na uchaguzi wao wa kidemokrasia.Vilevile kuhusu mkata mpya wa soko la pamoja la AFRICA Magufuli hasikiki kabisa, sio muongeaji mzuri kimataifa na ametengeneza maadui pasipo lazima
 
aiseeeeeeee ndo kizazi Cha Sasa lilivyo kmmk
RAIS MAGUFULI NI BORA KULIKO RAIS NANA AKUFO-ADDO WA GHANA; TUZO TUIREJESHE KWETU

Na: Suphian Juma

Jarida la African Leadership ambalo husaidia kuinena vema Afrika duniani, linaendesha zoezi la upigaji kura. Katika kipengele cha Kiongozi Bora wa Kisiasa Afrika yaani AFRICAN POLITICAL LEADER OF THE YEAR; Rais wetu Magufuli yumo akiwaacha mbali MaRais wa Senegal, Afrika Kusini, huku akipitwa kura kiduchu na Rais wa Ghana Nana Akufo-Addo katika upigaji kura unaoendelea mtandaoni.

Naona baadhi yetu Watanzania wanampigia chapuo Nana, nadhani hii ni kwa sababu aidha hawajawahi kuishi Ghana ya Nana, hawajazisoma vema siasa za Ghana ama basi tu ni chuki zao binafsi kwa Rais wetu Magufuli.

Wasiojua Nana ndiye Rais wa kwanza wa Ghana kukopa fedha nyingi zaidi kuliko Rais yeyote tangu Ghana ipate Uhuru. Shirika la Fedha duniani (IMF) limetamka kwamba deni la Ghana linakadiriwa kufika 74.7% kufikia mwaka huu wa 2021. Huyu Rais wa madeni ambaye anawaumiza wananchi wake maskini kulipa madeni hayo atafaaje kuwa bora kuliko Rais wetu Magufuli?

Nana anakadiriwa ndiye Rais ambaye hadi sasa ndiye mwenye mawaziri wengi zaidi kuliko Rais yeyote duniani. Yaani Baraza la mawaziri lake lina jumla ya mawaziri 125 achilia mbali Manaibu waziri wake. Fikiria mishahara yao na marupurupu yao katika nchi ndogo kama Ghana yenye jumla ya watu milioni 30. Sisi Tanzania tupo milioni karibia 60 yaani mara mbili ya Ghana ila Rais Magufuli hata mawaziri robo ya mawaziri wake Nana hatujawahi kuwafikisha. Maana hadi sasa Rais Magufuli ana mawaziri 23 tu.

Kingine cha kutia huzuni Ghana ya Nana ni AJIRA. Unaambiwa Ghana kijana kupata kazi Serikalini au hata kwa Taasisi binafsi ni kizungumkuti. Mwandishi wa DW wa Ghana Manasseh Azure Awuni katika uhariri wake uliochapishwa Desemba 10, 2020 anasema
ni rahisi kijana kubebeshwa mfuko wa saruji shingoni mwake na akapita bahari ya Atlantiki ila si kijana huyo kupata kazi Ghana katika utawala wa Nana Akudo-Addo. Sasa tujiulize Nana Serikali yake kukopa kote huko kwanini pasisaidie kutatua janga la ajira? Nana ni msanii.

Huku kwetu tangu Rais Magufuli aingie madarakani tukiweka unafiki pembeni, hakika viongozi wamekuwa na adabu kwa wananchi. Hali haiko hivo kwa Nana. Wachambuzi wa Siasa walioko Ghana wanasema Mghana wa kawaida hana mamlaka ya kummwajibisha Kiongozi isipokuwa tu hadi ifike muda wa uchaguzi kupitia kura yake sandukuni. Ila huku kwa Mzee Magu, mwananchi wa Buza kwa Mpalange alitukanwa tu na M/kiti wake wa Mtaa, mwenyekiti huyo kazi hana.

Mfano wa hili la kukosekana 'accountability' kwa Viongozi huko Ghana; mwaka 2019 Mwandishi wa Habari za Uchaguzi wa Ghana Ahmed Hussein-Suale alipigwa risasi na kufa Accra. Kabla ya kuuawa Ahmed alitishiwa kifo na Mbunge wa Chama cha Nana, na hadi sasa si Polisi wa Nana wala vyombo vyake vya Ulinzi na Usalama ambavyo vimewahi kutoa matokeo ya uchunguzi wala kumwajibisha huyo Mbunge ambaye alimtishia kifo Ahmed.

Nana si muumini wa Utawala bora wala wa Uhuru wa vyombo vya habari; Imagine Julai mwaka jana Rais Nana aliamuru kuachishwa kazi Mhariri Mkuu wa Chombo cha habari nchini humo aitwaye Daniel Domelevo licha ya kukatazwa na Asasi za Kiraia kisa tu Mhariri huyo aliruhusu habari irushwe iliyohusu ukaguzi wa Mali za kifisadi za Waziri wake aliyemtegemea kwenye Baraza aitwaye Yaw Osafo-Maafo.

Kiufupi Rais Nana Akufo-Addo ana udhaifu mkubwa mno katika maeneo ya utawala bora na katika vita dhidi ya ufisaidi ukimlinganisha na jembe letu Magufuli. Demokrasia ya kweli lazima iambatane na Utawala bora, uwajibishwaji wa Viongozi na Serikali huku matatizo makubwa kama ajira na maisha bora kwa wananchi yakitekelezwa kikamilifu ila haya kwa Nana bado ni mtihani Mkubwa.

Na isitoshe kusema: uchaguzi wa Ghana ambao ulipita mwaka jana bila kumwaga damu, nyumba na mali za watu kuchomwa si kigezo pekee cha kupima ubora wa Kiongozi. Ghana wana vyama viwili ambavyo ni pacha tofauti ni majina tu NPP ya Nana na NDC ambavyo huachiana madaraka kila uchaguzi; kimoja kikiwa upinzani kinaonekana bora kwa kukisema kilichopo madarakani lakini maisha ya raia wa kawaida ni magumu mno. Huku si kukomaa kwa demokrasia bali kudumaa kwa demokrasia tofauti na tunavyoaminishwa na wanaharakati mtandaoni.

Hivyo nawaombeni kura zote tumpigie Rais wetu Magufuli ambaye ni mchapakazi wa kweli, msimamizi makini wa kodi zetu na mwendelezaji wa miradi mikubwa ya wananchi wake, na kinara wa Utawala bora unaompa mwananchi wa kawaida fursa ya kummwajibisha Kiongozi wake muda wowote kuliko kusubiri wakati wa uchaguzi kama huko kwa Nana Akufo-Addo wa Ghana.

Bofya: https://t.co/xhDotKvYzI?amp=1

Mwisho wa kupiga kura ni Januari 8, 2021. Wahi sasa tuing'arishe Tanzania yetu duniani.

Suphian Juma Nkuwi,
Mtanzania Halisi,
Januari 06, 2020
Phone: 0717027973
Email: yessuphian@gmail.comView attachment 1669966View attachment 1669967
 
RAIS MAGUFULI NI BORA KULIKO RAIS NANA AKUFO-ADDO WA GHANA; TUZO TUIREJESHE KWETU

Na: Suphian Juma

Jarida la African Leadership ambalo husaidia kuinena vema Afrika duniani, linaendesha zoezi la upigaji kura. Katika kipengele cha Kiongozi Bora wa Kisiasa Afrika yaani AFRICAN POLITICAL LEADER OF THE YEAR; Rais wetu Magufuli yumo akiwaacha mbali MaRais wa Senegal, Afrika Kusini, huku akipitwa kura kiduchu na Rais wa Ghana Nana Akufo-Addo katika upigaji kura unaoendelea mtandaoni.

Naona baadhi yetu Watanzania wanampigia chapuo Nana, nadhani hii ni kwa sababu aidha hawajawahi kuishi Ghana ya Nana, hawajazisoma vema siasa za Ghana ama basi tu ni chuki zao binafsi kwa Rais wetu Magufuli.

Wasiojua Nana ndiye Rais wa kwanza wa Ghana kukopa fedha nyingi zaidi kuliko Rais yeyote tangu Ghana ipate Uhuru. Shirika la Fedha duniani (IMF) limetamka kwamba deni la Ghana linakadiriwa kufika 74.7% kufikia mwaka huu wa 2021. Huyu Rais wa madeni ambaye anawaumiza wananchi wake maskini kulipa madeni hayo atafaaje kuwa bora kuliko Rais wetu Magufuli?

Nana anakadiriwa ndiye Rais ambaye hadi sasa ndiye mwenye mawaziri wengi zaidi kuliko Rais yeyote duniani. Yaani Baraza la mawaziri lake lina jumla ya mawaziri 125 achilia mbali Manaibu waziri wake. Fikiria mishahara yao na marupurupu yao katika nchi ndogo kama Ghana yenye jumla ya watu milioni 30. Sisi Tanzania tupo milioni karibia 60 yaani mara mbili ya Ghana ila Rais Magufuli hata mawaziri robo ya mawaziri wake Nana hatujawahi kuwafikisha. Maana hadi sasa Rais Magufuli ana mawaziri 23 tu.

Kingine cha kutia huzuni Ghana ya Nana ni AJIRA. Unaambiwa Ghana kijana kupata kazi Serikalini au hata kwa Taasisi binafsi ni kizungumkuti. Mwandishi wa DW wa Ghana Manasseh Azure Awuni katika uhariri wake uliochapishwa Desemba 10, 2020 anasema
ni rahisi kijana kubebeshwa mfuko wa saruji shingoni mwake na akapita bahari ya Atlantiki ila si kijana huyo kupata kazi Ghana katika utawala wa Nana Akudo-Addo. Sasa tujiulize Nana Serikali yake kukopa kote huko kwanini pasisaidie kutatua janga la ajira? Nana ni msanii.

Huku kwetu tangu Rais Magufuli aingie madarakani tukiweka unafiki pembeni, hakika viongozi wamekuwa na adabu kwa wananchi. Hali haiko hivo kwa Nana. Wachambuzi wa Siasa walioko Ghana wanasema Mghana wa kawaida hana mamlaka ya kummwajibisha Kiongozi isipokuwa tu hadi ifike muda wa uchaguzi kupitia kura yake sandukuni. Ila huku kwa Mzee Magu, mwananchi wa Buza kwa Mpalange alitukanwa tu na M/kiti wake wa Mtaa, mwenyekiti huyo kazi hana.

Mfano wa hili la kukosekana 'accountability' kwa Viongozi huko Ghana; mwaka 2019 Mwandishi wa Habari za Uchaguzi wa Ghana Ahmed Hussein-Suale alipigwa risasi na kufa Accra. Kabla ya kuuawa Ahmed alitishiwa kifo na Mbunge wa Chama cha Nana, na hadi sasa si Polisi wa Nana wala vyombo vyake vya Ulinzi na Usalama ambavyo vimewahi kutoa matokeo ya uchunguzi wala kumwajibisha huyo Mbunge ambaye alimtishia kifo Ahmed.

Nana si muumini wa Utawala bora wala wa Uhuru wa vyombo vya habari; Imagine Julai mwaka jana Rais Nana aliamuru kuachishwa kazi Mhariri Mkuu wa Chombo cha habari nchini humo aitwaye Daniel Domelevo licha ya kukatazwa na Asasi za Kiraia kisa tu Mhariri huyo aliruhusu habari irushwe iliyohusu ukaguzi wa Mali za kifisadi za Waziri wake aliyemtegemea kwenye Baraza aitwaye Yaw Osafo-Maafo.

Kiufupi Rais Nana Akufo-Addo ana udhaifu mkubwa mno katika maeneo ya utawala bora na katika vita dhidi ya ufisaidi ukimlinganisha na jembe letu Magufuli. Demokrasia ya kweli lazima iambatane na Utawala bora, uwajibishwaji wa Viongozi na Serikali huku matatizo makubwa kama ajira na maisha bora kwa wananchi yakitekelezwa kikamilifu ila haya kwa Nana bado ni mtihani Mkubwa.

Na isitoshe kusema: uchaguzi wa Ghana ambao ulipita mwaka jana bila kumwaga damu, nyumba na mali za watu kuchomwa si kigezo pekee cha kupima ubora wa Kiongozi. Ghana wana vyama viwili ambavyo ni pacha tofauti ni majina tu NPP ya Nana na NDC ambavyo huachiana madaraka kila uchaguzi; kimoja kikiwa upinzani kinaonekana bora kwa kukisema kilichopo madarakani lakini maisha ya raia wa kawaida ni magumu mno. Huku si kukomaa kwa demokrasia bali kudumaa kwa demokrasia tofauti na tunavyoaminishwa na wanaharakati mtandaoni.

Hivyo nawaombeni kura zote tumpigie Rais wetu Magufuli ambaye ni mchapakazi wa kweli, msimamizi makini wa kodi zetu na mwendelezaji wa miradi mikubwa ya wananchi wake, na kinara wa Utawala bora unaompa mwananchi wa kawaida fursa ya kummwajibisha Kiongozi wake muda wowote kuliko kusubiri wakati wa uchaguzi kama huko kwa Nana Akufo-Addo wa Ghana.

Bofya: https://t.co/xhDotKvYzI?amp=1

Mwisho wa kupiga kura ni Januari 8, 2021. Wahi sasa tuing'arishe Tanzania yetu duniani.

Suphian Juma Nkuwi,
Mtanzania Halisi,
Januari 06, 2020
Phone: 0717027973
Email: yessuphian@gmail.comView attachment 1669966View attachment 1669967
Mtaji wa mwanasiasa ni siasa..... Ndugu yangu uliondoka ACT kwa mbwembwe, nikukumbushe tu njaa haina baunsa, ungekua unamiliki sheli, mabasi, kiwanda usiongea huu ujinga, ungekua rubani, engineer mkubwa mwenye kampuni, ungekua daktari bingwa wa magonjwa ya ubongo usingepata muda wa kusifia na kuongea ujinga..... Nakukumbusha tena kijana njaa haina baunsa
 
RAIS MAGUFULI NI BORA KULIKO RAIS NANA AKUFO-ADDO WA GHANA; TUZO TUIREJESHE KWETU

Na: Suphian Juma

Jarida la African Leadership ambalo husaidia kuinena vema Afrika duniani, linaendesha zoezi la upigaji kura. Katika kipengele cha Kiongozi Bora wa Kisiasa Afrika yaani AFRICAN POLITICAL LEADER OF THE YEAR; Rais wetu Magufuli yumo akiwaacha mbali MaRais wa Senegal, Afrika Kusini, huku akipitwa kura kiduchu na Rais wa Ghana Nana Akufo-Addo katika upigaji kura unaoendelea mtandaoni.

Naona baadhi yetu Watanzania wanampigia chapuo Nana, nadhani hii ni kwa sababu aidha hawajawahi kuishi Ghana ya Nana, hawajazisoma vema siasa za Ghana ama basi tu ni chuki zao binafsi kwa Rais wetu Magufuli.

Wasiojua Nana ndiye Rais wa kwanza wa Ghana kukopa fedha nyingi zaidi kuliko Rais yeyote tangu Ghana ipate Uhuru. Shirika la Fedha duniani (IMF) limetamka kwamba deni la Ghana linakadiriwa kufika 74.7% kufikia mwaka huu wa 2021. Huyu Rais wa madeni ambaye anawaumiza wananchi wake maskini kulipa madeni hayo atafaaje kuwa bora kuliko Rais wetu Magufuli?

Nana anakadiriwa ndiye Rais ambaye hadi sasa ndiye mwenye mawaziri wengi zaidi kuliko Rais yeyote duniani. Yaani Baraza la mawaziri lake lina jumla ya mawaziri 125 achilia mbali Manaibu waziri wake. Fikiria mishahara yao na marupurupu yao katika nchi ndogo kama Ghana yenye jumla ya watu milioni 30. Sisi Tanzania tupo milioni karibia 60 yaani mara mbili ya Ghana ila Rais Magufuli hata mawaziri robo ya mawaziri wake Nana hatujawahi kuwafikisha. Maana hadi sasa Rais Magufuli ana mawaziri 23 tu.

Kingine cha kutia huzuni Ghana ya Nana ni AJIRA. Unaambiwa Ghana kijana kupata kazi Serikalini au hata kwa Taasisi binafsi ni kizungumkuti. Mwandishi wa DW wa Ghana Manasseh Azure Awuni katika uhariri wake uliochapishwa Desemba 10, 2020 anasema
ni rahisi kijana kubebeshwa mfuko wa saruji shingoni mwake na akapita bahari ya Atlantiki ila si kijana huyo kupata kazi Ghana katika utawala wa Nana Akudo-Addo. Sasa tujiulize Nana Serikali yake kukopa kote huko kwanini pasisaidie kutatua janga la ajira? Nana ni msanii.

Huku kwetu tangu Rais Magufuli aingie madarakani tukiweka unafiki pembeni, hakika viongozi wamekuwa na adabu kwa wananchi. Hali haiko hivo kwa Nana. Wachambuzi wa Siasa walioko Ghana wanasema Mghana wa kawaida hana mamlaka ya kummwajibisha Kiongozi isipokuwa tu hadi ifike muda wa uchaguzi kupitia kura yake sandukuni. Ila huku kwa Mzee Magu, mwananchi wa Buza kwa Mpalange alitukanwa tu na M/kiti wake wa Mtaa, mwenyekiti huyo kazi hana.

Mfano wa hili la kukosekana 'accountability' kwa Viongozi huko Ghana; mwaka 2019 Mwandishi wa Habari za Uchaguzi wa Ghana Ahmed Hussein-Suale alipigwa risasi na kufa Accra. Kabla ya kuuawa Ahmed alitishiwa kifo na Mbunge wa Chama cha Nana, na hadi sasa si Polisi wa Nana wala vyombo vyake vya Ulinzi na Usalama ambavyo vimewahi kutoa matokeo ya uchunguzi wala kumwajibisha huyo Mbunge ambaye alimtishia kifo Ahmed.

Nana si muumini wa Utawala bora wala wa Uhuru wa vyombo vya habari; Imagine Julai mwaka jana Rais Nana aliamuru kuachishwa kazi Mhariri Mkuu wa Chombo cha habari nchini humo aitwaye Daniel Domelevo licha ya kukatazwa na Asasi za Kiraia kisa tu Mhariri huyo aliruhusu habari irushwe iliyohusu ukaguzi wa Mali za kifisadi za Waziri wake aliyemtegemea kwenye Baraza aitwaye Yaw Osafo-Maafo.

Kiufupi Rais Nana Akufo-Addo ana udhaifu mkubwa mno katika maeneo ya utawala bora na katika vita dhidi ya ufisaidi ukimlinganisha na jembe letu Magufuli. Demokrasia ya kweli lazima iambatane na Utawala bora, uwajibishwaji wa Viongozi na Serikali huku matatizo makubwa kama ajira na maisha bora kwa wananchi yakitekelezwa kikamilifu ila haya kwa Nana bado ni mtihani Mkubwa.

Na isitoshe kusema: uchaguzi wa Ghana ambao ulipita mwaka jana bila kumwaga damu, nyumba na mali za watu kuchomwa si kigezo pekee cha kupima ubora wa Kiongozi. Ghana wana vyama viwili ambavyo ni pacha tofauti ni majina tu NPP ya Nana na NDC ambavyo huachiana madaraka kila uchaguzi; kimoja kikiwa upinzani kinaonekana bora kwa kukisema kilichopo madarakani lakini maisha ya raia wa kawaida ni magumu mno. Huku si kukomaa kwa demokrasia bali kudumaa kwa demokrasia tofauti na tunavyoaminishwa na wanaharakati mtandaoni.

Hivyo nawaombeni kura zote tumpigie Rais wetu Magufuli ambaye ni mchapakazi wa kweli, msimamizi makini wa kodi zetu na mwendelezaji wa miradi mikubwa ya wananchi wake, na kinara wa Utawala bora unaompa mwananchi wa kawaida fursa ya kummwajibisha Kiongozi wake muda wowote kuliko kusubiri wakati wa uchaguzi kama huko kwa Nana Akufo-Addo wa Ghana.

Bofya: https://t.co/xhDotKvYzI?amp=1

Mwisho wa kupiga kura ni Januari 8, 2021. Wahi sasa tuing'arishe Tanzania yetu duniani.

Suphian Juma Nkuwi,
Mtanzania Halisi,
Januari 06, 2020
Phone: 0717027973
Email: yessuphian@gmail.comView attachment 1669966View attachment 1669967
Unamtindio wa ubongo,hii makala yako ni dog shit,
Yaani uzuri wa Maghufuri,ndio ubaya wa Nana,
Umesema Nana ana mawaziri wengi,125,Magu anao wachache,kwahiyo Maghu ni mzuri.
Nana amekopa sana,Maghu hajakopa,kwahiyo Maghu ni bora,
Ajira Ghana ni ngumu,kwahiyo Maghu ni bora.
Hii makala yako imejaa ushabiki mtupu,
Bongo,Maghu amebaka demokrasia,mwaka jana tu alizima internet aibe kura.
Ndio kipindi pekee,serikali imeendesha vitendo vya kijambazi vya kuua watu,Na kuumiza,Rejea tukio la Lisu,Ben saanane,
Tangu ameingia sekta binafsi imekufa,
Taasisi zote,bunge,Takukuru,polisi,zinafsnya kazi kwa kumsikiliza yeye,
 
RAIS MAGUFULI NI BORA KULIKO RAIS NANA AKUFO-ADDO WA GHANA; TUZO TUIREJESHE KWETU

Na: Suphian Juma

Jarida la African Leadership ambalo husaidia kuinena vema Afrika duniani, linaendesha zoezi la upigaji kura. Katika kipengele cha Kiongozi Bora wa Kisiasa Afrika yaani AFRICAN POLITICAL LEADER OF THE YEAR; Rais wetu Magufuli yumo akiwaacha mbali MaRais wa Senegal, Afrika Kusini, huku akipitwa kura kiduchu na Rais wa Ghana Nana Akufo-Addo katika upigaji kura unaoendelea mtandaoni.

Naona baadhi yetu Watanzania wanampigia chapuo Nana, nadhani hii ni kwa sababu aidha hawajawahi kuishi Ghana ya Nana, hawajazisoma vema siasa za Ghana ama basi tu ni chuki zao binafsi kwa Rais wetu Magufuli.

Wasiojua Nana ndiye Rais wa kwanza wa Ghana kukopa fedha nyingi zaidi kuliko Rais yeyote tangu Ghana ipate Uhuru. Shirika la Fedha duniani (IMF) limetamka kwamba deni la Ghana linakadiriwa kufika 74.7% kufikia mwaka huu wa 2021. Huyu Rais wa madeni ambaye anawaumiza wananchi wake maskini kulipa madeni hayo atafaaje kuwa bora kuliko Rais wetu Magufuli?

Nana anakadiriwa ndiye Rais ambaye hadi sasa ndiye mwenye mawaziri wengi zaidi kuliko Rais yeyote duniani. Yaani Baraza la mawaziri lake lina jumla ya mawaziri 125 achilia mbali Manaibu waziri wake. Fikiria mishahara yao na marupurupu yao katika nchi ndogo kama Ghana yenye jumla ya watu milioni 30. Sisi Tanzania tupo milioni karibia 60 yaani mara mbili ya Ghana ila Rais Magufuli hata mawaziri robo ya mawaziri wake Nana hatujawahi kuwafikisha. Maana hadi sasa Rais Magufuli ana mawaziri 23 tu.

Kingine cha kutia huzuni Ghana ya Nana ni AJIRA. Unaambiwa Ghana kijana kupata kazi Serikalini au hata kwa Taasisi binafsi ni kizungumkuti. Mwandishi wa DW wa Ghana Manasseh Azure Awuni katika uhariri wake uliochapishwa Desemba 10, 2020 anasema
ni rahisi kijana kubebeshwa mfuko wa saruji shingoni mwake na akapita bahari ya Atlantiki ila si kijana huyo kupata kazi Ghana katika utawala wa Nana Akudo-Addo. Sasa tujiulize Nana Serikali yake kukopa kote huko kwanini pasisaidie kutatua janga la ajira? Nana ni msanii.

Huku kwetu tangu Rais Magufuli aingie madarakani tukiweka unafiki pembeni, hakika viongozi wamekuwa na adabu kwa wananchi. Hali haiko hivo kwa Nana. Wachambuzi wa Siasa walioko Ghana wanasema Mghana wa kawaida hana mamlaka ya kummwajibisha Kiongozi isipokuwa tu hadi ifike muda wa uchaguzi kupitia kura yake sandukuni. Ila huku kwa Mzee Magu, mwananchi wa Buza kwa Mpalange alitukanwa tu na M/kiti wake wa Mtaa, mwenyekiti huyo kazi hana.

Mfano wa hili la kukosekana 'accountability' kwa Viongozi huko Ghana; mwaka 2019 Mwandishi wa Habari za Uchaguzi wa Ghana Ahmed Hussein-Suale alipigwa risasi na kufa Accra. Kabla ya kuuawa Ahmed alitishiwa kifo na Mbunge wa Chama cha Nana, na hadi sasa si Polisi wa Nana wala vyombo vyake vya Ulinzi na Usalama ambavyo vimewahi kutoa matokeo ya uchunguzi wala kumwajibisha huyo Mbunge ambaye alimtishia kifo Ahmed.

Nana si muumini wa Utawala bora wala wa Uhuru wa vyombo vya habari; Imagine Julai mwaka jana Rais Nana aliamuru kuachishwa kazi Mhariri Mkuu wa Chombo cha habari nchini humo aitwaye Daniel Domelevo licha ya kukatazwa na Asasi za Kiraia kisa tu Mhariri huyo aliruhusu habari irushwe iliyohusu ukaguzi wa Mali za kifisadi za Waziri wake aliyemtegemea kwenye Baraza aitwaye Yaw Osafo-Maafo.

Kiufupi Rais Nana Akufo-Addo ana udhaifu mkubwa mno katika maeneo ya utawala bora na katika vita dhidi ya ufisaidi ukimlinganisha na jembe letu Magufuli. Demokrasia ya kweli lazima iambatane na Utawala bora, uwajibishwaji wa Viongozi na Serikali huku matatizo makubwa kama ajira na maisha bora kwa wananchi yakitekelezwa kikamilifu ila haya kwa Nana bado ni mtihani Mkubwa.

Na isitoshe kusema: uchaguzi wa Ghana ambao ulipita mwaka jana bila kumwaga damu, nyumba na mali za watu kuchomwa si kigezo pekee cha kupima ubora wa Kiongozi. Ghana wana vyama viwili ambavyo ni pacha tofauti ni majina tu NPP ya Nana na NDC ambavyo huachiana madaraka kila uchaguzi; kimoja kikiwa upinzani kinaonekana bora kwa kukisema kilichopo madarakani lakini maisha ya raia wa kawaida ni magumu mno. Huku si kukomaa kwa demokrasia bali kudumaa kwa demokrasia tofauti na tunavyoaminishwa na wanaharakati mtandaoni.

Hivyo nawaombeni kura zote tumpigie Rais wetu Magufuli ambaye ni mchapakazi wa kweli, msimamizi makini wa kodi zetu na mwendelezaji wa miradi mikubwa ya wananchi wake, na kinara wa Utawala bora unaompa mwananchi wa kawaida fursa ya kummwajibisha Kiongozi wake muda wowote kuliko kusubiri wakati wa uchaguzi kama huko kwa Nana Akufo-Addo wa Ghana.

Bofya: https://t.co/xhDotKvYzI?amp=1

Mwisho wa kupiga kura ni Januari 8, 2021. Wahi sasa tuing'arishe Tanzania yetu duniani.

Suphian Juma Nkuwi,
Mtanzania Halisi,
Januari 06, 2020
Phone: 0717027973
Email: yessuphian@gmail.comView attachment 1669966View attachment 1669967
Safi sana Suphian naona na namba ya simu umeweka hapo lakini nina uhakika hapo Lumumba wanayo namba yako hivyo hawawezi kupata shida kukupata pindi ukipata uteuzi.

Uteuzi utasaidia uache kuandika andika mambo yasiyo na kichwa wala miguu kama haya uliyoandika hapa. Mwenzio Kitila huu ujinga wa post zisizoeleweka ameacha kuleta humu
 
Nani anateseka sasa? Sisi tupo Ikulu nyie mpo kwa Amsterdam. Haya nani anateseka hapo
WE lini ulienda ikulu na nani?,ikulu ipi kwanza unaiongelea ya Dar,chamwino au zile za mikoani, maana ninavyojua hata kwenye malango tu hujafika.
 
Tatizo sio maendeleo au mipango ni maono ya viongozi. Jinsi Magufuli alivyo endesha uchaguzi wa 2020 ni ngumu kumzidi Raisi wa Ghana na uchaguzi wao wa kidemokrasia.Vilevile kuhusu mkata mpya wa soko la pamoja la AFRICA Magufuli hasikiki kabisa, sio muongeaji mzuri kimataifa na ametengeneza maadui pasipo lazima
Soma hapa
 

Attachments

  • Screenshot_20210106-155327.png
    Screenshot_20210106-155327.png
    143.7 KB · Views: 1
Mkuu,

Are you ahead of us by one year? (January 2022)? You must be kidding!!!

What I said is that in earlier days when the voting started JPM was leading by a close up gap, but as days rolled by the count down reversed in favour of Nana. However, as of today the 5th January 2021 Nana was gradually losing some percentage from 55.48% down to 55.08% whilst JPM slightly gained momentum from 43.42% to 43.67% that is what I meant.
ooh ok ok thanks
 
Back
Top Bottom