Tumpe Rais Kikwete heshima yake

Tumpe Rais Kikwete heshima yake

Kwa kifupi hastahili heshima yeyote, maana kwa cheo chake ana nafasi ya kumfunga paka kengele kwa karibia kila tatizo..kuanzia huo umeme unaousema. Can you imagine tangia akiwa waziri wa nishati na madini mpaka leo hii ni prezidaa wa JMT bado anashindwa kuwapatia watz asilimia 10% tu umeme wa uhakika, tena kwa kuwauzia? halafu wewe unademand aheshimiwe..

Aisee samahani sana.
 
Kikwete hastahili heshima - Anatumbukiza nchi katika matatizo halafu yeye "anacheka cheka tu"!

Hivi ameshaenda visiwa vya karibiani "kuangaliwa Afya yake"?
 
Heshima gani unayomwombea ile ya kuilipa Dowans pale Movenpick au ile ya kuiba kura au ile ya kuua waandamanaji ni ipi iliyo nafuu unayoiona wewe tuanze nayo kumpa heshima, you must be joking.
 
heshima mpe wewe na mkeo, kwani inaonekana mnafaidi sana na kuwepo kwake, lakini sisi tunaoguza majeraha ya risasi za arusha, mgao wa umeme, kupanda kwa bei ya gesi, nk tutawapa heshima wapiganaji wetu walipoteza maisha huko arusha

bull shit!!!
 
Kamundu,
Kama unataka rais wako huyo aheshimiwe mwambie na yeye aache kuwatumia kina Salva Rqweyemamu kuwaita akina Slaa mazabizabina.
Huwezi kuheshimika kama wewe unacheza mchezo wa maji taka/tope. Kumbuka unapomrushia mwenzako tope na wewe mikono yako inabaki michafu.Tatizo la rushwa ambalo linatafuna nchi linatokana na uongozi wake Kikwete mwenyewe.
 
jamani ee! Kila kitu kina kanuni zake na moja kanuni za heshima ni lazima wewe ujiheshimu na wewe utashimiwa na kushimika na jamii pia lakini siyo unafanya mambo ya kitoto halafu unataka kuheshimika na watu eti kwa sababu tu unaitwa rais siyo sawa
 
Mzee Kamundu usije ukaongelea habari hii karibu na Hospitali ya Mount Meru utavunjwa kiuno jamaa bado wanauguza majeraha ya risasi.
 
Heshima gani unayomwombea ile ya kuilipa Dowans pale Movenpick au ile ya kuiba kura au ile ya kuua waandamanaji ni ipi iliyo nafuu unayoiona wewe tuanze nayo kumpa heshima, you must be joking.
Hiyo saini yako Hamad Rashid anaikumbuka kweli?ilia ni kweli wanakula wote
 
Kamundu, nakuunga mkono rais aheshimiwe ndio maana anaitwa rais. Japo humu jamvini anadhaulika na kuitwa kwa kila aina ya majina. in reality kiukweli ukweli heshima yake kama rais iko pale pale, akipita sote huwa tunasimama tupende tusipende hizi lugha za kejeli humu jukwaani hazimkoseshi usingizi kwa sababu JK ni mtoto wa mujini na hizi ndizo lugha zake.
 
Kamundu, nakuunga mkono rais aheshimiwe ndio maana anaitwa rais. Japo humu jamvini anadhaulika na kuitwa kwa kila aina ya majina. in reality kiukweli ukweli heshima yake kama rais iko pale pale, akipita sote huwa tunasimama tupende tusipende hizi lugha za kejeli humu jukwaani hazimkoseshi usingizi kwa sababu JK ni mtoto wa mujini na hizi ndizo lugha zake.

Pasco:

Hivi Kikwete akipita huwa tunasimama au tunazuiliwa kupita?

Hivi Pasco unakumbuka kwenye late 70s and early 80s ulikuwa unasimama unapokuta Bendera ya Taifa inapandishwa au inashushwa?

What is it that has gone wrong? Uongozi makini (Leadership) wa Taifa umekwenda wapi? Mbona kila mtu yupo "kivyake vyake"?

Hivi unakumbuka kwenye miaka hiyo hiyo niliyotaja hapo juu kila raia alikuwa anamtii na kumheshimu Balozi wa Nyumba Kumi?
 
Kamundu said:
uchumi wa dunia hasa kwa nchi zinazoendelea unakuwa kwa kasi hata Tanzania.


Uchumi wa TZ unakua?! The national economy or real economy? Mpaka pale real economy itakaporise ndo tunaweza kusema uchumi umekua. Otherwise don't be fooled by BoT and IMF cooked data.

Kuhusu kutoa ushauri kwa raisi na serikali yake;naomba nikuulize,unaishi TZ? Kwa maana ka ungekua TZ ungejua vyema. Huyo raisi wako hapokei ushauri. Wataalamu,UWT na wananchi wa kawaida wanalalamika mara zote juu ya hili. Pia katiba yetu inampa mamlaka rais kukataa ushauri toka kwa watalaamu,UWT na wananchi wa kawaida.

Suluhisho:ni kupiga kelele mpaka achoke na kukereka. Hasipochoka na hasipokereka,then actions will take their course.
 
KAMUDU

Nakubaliana na wewe kuwa Rais tuliye naye IS THE BEST PRESIDENT na ana mapenzi ya dhati kuhusu maslahi na ustawi wa nchi yetu na sio vizuri kumlaumu ilhali wa kulaumu ni sisi wenyewe. Kwa bahati mbaya watanzania tunajulikana kwa ufundi wa kulaumu na kutopenda kufanya kazi. Wengine hata wanauliza UHALALI wa RAis kama vile wao ndio kipimo cha uhalali. Sisi tulio na kumbu kumbu tunakumbuka kuwa hata Baba wa Taifa walikuwa wakimlaumu sana ingaWA SASA utawasikia wakimsifia (someni maandiko yao, yanawasuta).

Watanzania ni wepesi kwa kulaumu wengine bila kujiuliza binafsi kama sisi watanzania tunachapa kazi kwa bidii, tunaweka akiba na kuwekeza. Marekani na NCHI NYINGINE ZILIZOPIGA HATUA KUBWA ZA KIUCHUMI HAZIKUJENGWA na watu kila kukicha wanatafuta mchawi wa kulaumu. Hao CCM unaolaumu ni wananchi wengi wa kawaida ambao ni maskini na hawana uwezo. Ndugu zetu wa Kenya, Uganda na Rwanda wanatujua sisi watanzania kuwa ni watu wa maneno matamu na tusiopenda kufanya kazi. Bila kila mmoja wetu kufanya kazi kwa bidii, kujisomea kwa bidii, kulipa kodi, kuhakikisha kodi zinatumika katika kuwekeza katika elimu, uwezeshji na miundo mbinu, kupunguza kupiga soga, kupunguza kulaumu nchi yetu haitaendelea na kulaumu. Mchawi wetu ni tabia zetu sisi watanzania. Sisi ni wavivu na wepesi wa kulaumu wengine. Kwa sasa tutalaumu CCM, lakini yeyote atakayepata nafasi ya kuongoza Tanzania tutamlaumu tuu.

Wote tunajua kuwa nchi yetu inahitaji uwekezaji ili ipate mitaji ya kujenga nafasi za ajra na KIUCHUMI. Lakini Watanzania tunajulikana kwa kulaumu na kuwalaani wawekezaji.
 
jk ajiheshimu kwanza yeye ndo wengne wamuheshimu-awe serious na kaz zake-pamoja na kukomalia matatatzo sugu ya hii nchi ndo ataheshimika-si kukaa kimya kama anavofanya
 
Nyinyi wenyewe wasafi? Wa tz banaa!! corruption is emedded within Tz society. If JK is cprrupt h he only reflect utanzania, didnt u hear Ulimwengu. Tatizo lenu kwenye makongamano kama lile la katiba mnachagua nini cha kusikiliza hata kama aliyeongea ni wale mnaowaamini.
 
Afu wewe kandumu,heshima hailazimishwi,bali uja yenyewe automatically. So huyo rais wako afanye mambo ambayo yatamjengea heshima na waTZ watamuheshimu.

Lakini kwa madudu na upupu anaoufanya sasa ataishia kutukanwa na kuitwa kwa kila neno baya.
 
Kamundu, nakuunga mkono rais aheshimiwe ndio maana anaitwa rais. Japo humu jamvini anadhaulika na kuitwa kwa kila aina ya majina. in reality kiukweli ukweli heshima yake kama rais iko pale pale, akipita sote huwa tunasimama tupende tusipende hizi lugha za kejeli humu jukwaani hazimkoseshi usingizi kwa sababu JK ni mtoto wa mujini na hizi ndizo lugha zake.
Kusimama wakati anapita si heshima Pasco you are missing the meaning of heshima hata train ikipita huwa tunasimama ipite hiyo si heshima. Hata Hitler alipokuwa akipita wote walikuwa wanasimama, heshima inatokana na busara ulizonazo towards wale wanaokuzunguka haitokani na uwezo ulionao.

Definition yako ya heshima ni ya mitaani zaidi maana hata mtoto mdogo akiwa na pesa kukuzidi utampa heshima hata kumwamkia(shikamoo).
 
Kusimama wakati anapita si heshima Pasco you are missing the meaning of heshima hata train ikipita huwa tunasimama ipite hiyo si heshima. Hata Hitler alipokuwa akipita wote walikuwa wanasimama, heshima inatokana na busara ulizonazo towards wale wanaokuzunguka haitokani na uwezo ulionao.

Definition yako ya heshima ni ya mitaani zaidi maana hata mtoto mdogo akiwa na pesa kukuzidi utampa heshima hata kumwamkia(shikamoo).
read me in btn the lines. Nimesema raisi ni raisi heshima mbele ya kusimama akipita tunampa hizi lugha za kejeli humu jukwaani ndizo stahili yake maana yeye ni mtoto wa mijini au to be more specific, JK ni mtoto wa kihuni, hizi lugha ndizo lugha zake hazimkoseshi usingizi!.
 
KAMUDU

Nakubaliana na wewe kuwa Rais tuliye naye IS THE BEST PRESIDENT na ana mapenzi ya dhati kuhusu maslahi na ustawi wa nchi yetu na sio vizuri kumlaumu ilhali wa kulaumu ni sisi wenyewe. Kwa bahati mbaya watanzania tunajulikana kwa ufundi wa kulaumu na kutopenda kufanya kazi. Wengine hata wanauliza UHALALI wa RAis kama vile wao ndio kipimo cha uhalali. Sisi tulio na kumbu kumbu tunakumbuka kuwa hata Baba wa Taifa walikuwa wakimlaumu sana ingaWA SASA utawasikia wakimsifia (someni maandiko yao, yanawasuta).

Watanzania ni wepesi kwa kulaumu wengine bila kujiuliza binafsi kama sisi watanzania tunachapa kazi kwa bidii, tunaweka akiba na kuwekeza. Marekani na NCHI NYINGINE ZILIZOPIGA HATUA KUBWA ZA KIUCHUMI HAZIKUJENGWA na watu kila kukicha wanatafuta mchawi wa kulaumu. Hao CCM unaolaumu ni wananchi wengi wa kawaida ambao ni maskini na hawana uwezo. Ndugu zetu wa Kenya, Uganda na Rwanda wanatujua sisi watanzania kuwa ni watu wa maneno matamu na tusiopenda kufanya kazi. Bila kila mmoja wetu kufanya kazi kwa bidii, kujisomea kwa bidii, kulipa kodi, kuhakikisha kodi zinatumika katika kuwekeza katika elimu, uwezeshji na miundo mbinu, kupunguza kupiga soga, kupunguza kulaumu nchi yetu haitaendelea na kulaumu. Mchawi wetu ni tabia zetu sisi watanzania. Sisi ni wavivu na wepesi wa kulaumu wengine. Kwa sasa tutalaumu CCM, lakini yeyote atakayepata nafasi ya kuongoza Tanzania tutamlaumu tuu.

Wote tunajua kuwa nchi yetu inahitaji uwekezaji ili ipate mitaji ya kujenga nafasi za ajra na KIUCHUMI. Lakini Watanzania tunajulikana kwa kulaumu na kuwalaani wawekezaji.

You are so delusional.

Hivi hao wawekezaji hata hao kidogo waliopo wameleta mabadiliko gani mazuri kwa taifa hili? hao akina Dowans na Barrick sio wawekezaji? Akili matope kabisa hizi za kudhani nchi itaendelezwa na wawekezaji. Kuna mambo mengi tu yanaeza fanyika na nchi ikapiga hatua bila kutegemea wageni. Tz ina kila kitu kwa ajili ya kujiendeleza na kuwa nchi tajiri kabisa. Kuna watu wa kutosha, tena vijana barubaru wenye nguvu na ari, kuna prospects za nishati za kila namna kuanzia Uranium, gesi na mafuta, kuna ardhi yenye rutuba, kuna maliasili mbalimbali you name it..halafu anakuja mpuuzi mmoja ati anasema tunahityaji mwekezaji kukuza uchumi..huu mni utaahira..hakuna mwekezaji anayekuja kutoa msaada, they come to make a kill , plunder and loot.

Halafu eti watz hawafanyi kazi, wangekuwa hawafanyi kazi si wangekufa kwa njaa? ..Sasa kama jukumu la kuleta maendeleo ni la wananchi peke yao, kuna faida gani ya kuwa na serikali na rais asiye na faida yeyote? Bora tuondoe huu utegemezi wa serikali ambayo inanyonya wanachi na rasilimali badala ya kuwaletea maendeleo. Ni kheri tusiwe na serikali tujue moja!
 
Back
Top Bottom