Halafu mavuvuzela wa Gwajima Chameleon wengi karibu wote ukiwauliza kwa nini wanataka uthibitisho wa chanjo miaka 10 mbele na kwanini isiwe 20, 30,au 50 au miaka 5 jibu watakuambia
dawa ndio muda wa uthibitisho.
Nani kapanga hiyo miaka waulize wakupe jibu.
Kwa ugunduzi wetu au wa hao hao wanaotupa dawa na chanjo kila siku !!?
Je chanjo ba dawa tutumiazo toka tuwe nchi huru tulishadai uhakika wa miaka 10 mbele.
Wajinga sana. Wanasahau computer zenye nguvu kabisa zimegunduliwa ndani ya miaka ya 50 tu iliyopita.
1970 windows computer hata mouse yenyewe au cd au dvd vitu hivi havikuwepo duniani, labda kwa Billgates huko.
Flash ilipotea bongo watu wengine walikuwa wanazivaa shingoni kwenye chain. !!! Ilikuwa uvbuzi wa kutisha 60mb !!!!
Lakini upuuzi wowote wa Gwaji Chameleon wanapiga vuvuzela sijui ndg zetu mmelogwa na huyu Chameleon.
Sambamba na uvumbuzi na ugunduzi ni kuokoa muda.
Muulizeni alipokuwa anaanza kile kanisa pale hunters pub ubungo alikuwa anaenda na Tablet au smartphone.
Ile clip ya kwichikwichi hatujaisahau pia.
dawa ndio muda wa uthibitisho.
Nani kapanga hiyo miaka waulize wakupe jibu.
Kwa ugunduzi wetu au wa hao hao wanaotupa dawa na chanjo kila siku !!?
Je chanjo ba dawa tutumiazo toka tuwe nchi huru tulishadai uhakika wa miaka 10 mbele.
Wajinga sana. Wanasahau computer zenye nguvu kabisa zimegunduliwa ndani ya miaka ya 50 tu iliyopita.
1970 windows computer hata mouse yenyewe au cd au dvd vitu hivi havikuwepo duniani, labda kwa Billgates huko.
Flash ilipotea bongo watu wengine walikuwa wanazivaa shingoni kwenye chain. !!! Ilikuwa uvbuzi wa kutisha 60mb !!!!
Lakini upuuzi wowote wa Gwaji Chameleon wanapiga vuvuzela sijui ndg zetu mmelogwa na huyu Chameleon.
Sambamba na uvumbuzi na ugunduzi ni kuokoa muda.
Muulizeni alipokuwa anaanza kile kanisa pale hunters pub ubungo alikuwa anaenda na Tablet au smartphone.
Ile clip ya kwichikwichi hatujaisahau pia.