mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,219
- 6,650
Umetoa ushahidi wa Uingereza kwa kile kinachoonekana. Kwa kuwa hukuweka takwimu hali ya sasa, naliacha lilivyo.Unataka ushahidi gani wakati nchi ambazo washachanja adults kwa asilimia kubwa sasa hivi kwenye hizo jamii washatoa COVID restriction zote.
Na mwezi wa tisa wanafikiria kutos COVID passport kwa watu waliokuwa fully vaccinated waende wanapotaka duniani.
Restriction baadhi ya nchi ni hatua za taasisi binafsi kwa sasa kuamua lakini kwa upande wa serikali nchi kama England na Scotland sasa hivi watu wanajiachia tu japo COVID bado ipo.
Wanaopata wengi ni vijana ambao awajachanjwa na wale wa risk group ni kwa waliokuwa wabishi.
Hao vijana wengi ni under 30 years ndio ambao bado hawana chanjo na wakipata COVID watu laki na nusu kwa week ata mia kati yao awaendi hospitali, wengi wanakaa nyumbani tu. Asilimia kubwa ya hao waliopo mahospitali wengi leo na wanaokufa ni wale design ya kina Gwajima.
Linalo nigusa ni kinachoendelea kwenye nchi jirani ambako, pamoja na chanjo, ugonjwa unazidi kupamba moto, hasa hasa Rwanda ambako takwimu, hadi jana, hazipendezi, ikizingatiwa idadi ya watu 13,309,746 (15/8/2021) na walikuwa wamechukua hatua ya lockdown:
︎ Waliochajwa kikamilifu (dose 2), 888,908;
︎ Waliochanjwa dose moja (1) ni 30,932;
︎ Maambukizi mapya ni 466; na
︎ katika siku 7 maambukizi ni 3,651