Tumjibu Askofu Gwajima Kisayansi na si Kisiasa, tuache kumshambulia na kumtishia. No research no right to speak

Hiyo documentary kama ilikuwa by design a social psychological preparation on what is to come or coincidence that is beyond me.

But either way wazungu kwenye maswala ya national security wanafanya risk assessment kwenye kila kitu wanajua mtu akija kuwavamia ataanza kutwanga wapi (most likely target ni oil reserves) kwa ivyo wana underground reserves za siri kila kona ya nchi. Wanapima chakula wataingiza vipi, morale ya nchi na hatua zipi za kivita zinahitajika etc na kujiandaa.

Sasa pandemic kwao sio kitu kipya washapambana SARS virus for decades wanajua madhara yake na wanaelewa ni influenza like of virus ila wapo wa aina tofouti. Based on previous knowledge njia sahihi ya kupambana na magonjwa kama hayo ni immunisation na wanajua to do that requires tweaking white cells; ndio maana baadhi ya hizo vaccine zinatengenezwa na egg white (ni white cells too).

So what they do in research ni kuweka new virus kweny ‘egg white’ to see how it changes and build on that to make the new vaccine.

Kwenye hiyo documentary if you watch it utaona kipindi icho walikuwa wanatafuta njia rahisi ya ku tweak hizo vaccine even further.

Lakini sio kwamba ilikuwa akitokea new wanaanza upya by then they knew what needs to be done to get the vaccine quickly.

Hizo simulation zingine ni kujua how the virus spread in society na ili wapange mbinu za kupunguza maambukizi.

Mjomba mzungu kajipanga kwa mazingira yao; kule ukisikia katibu mkuu wa wizata (watu wanao ongoza nchi kama UK jua sio mtu tia maji tia maji kabisa) they take security serious.

Yaani mtu aende tamper na source ya kupokea mafuta kama ilivyo Tanzania ina maana it’s easily accessible; dah hiyo sio kashfa ya kufukuza mtu nchi za wenzetu ni serikali kujiuzulu na kuitisha uchaguzi it is as bad as they can get. Kwetu haa ni utani utakaoishia JF sasa ngoja siku mtu alilipue ndio tutaona madhara yake kwenye uchumi.
Kongole!
BEBERUZ wana uwajibikaji siyo wachunga matumbo wetu Africa.
Similarly, huyo asiyefufua ni mchumia tumbo sukuma gang anayetapatapa kutafuta umaarufu.
Kasoma wapi?? Zaidi ya kuangalia conspiracy theories za YouTube??

Everyday is Saturday............................... :cool:
 
Kwanza kabisa tuache kutishiana kuhusu covid 19 japo kama una kinga dhaifu au kama una other risk factors ya kuambukizwa na kufa kwa ugonjwa wa uviko 19 jaribu kukaa mbali na watu ambao unahisi wanaweza kukuambukiza covid 19 au kama unahiari ya kupata chanjo ya covid 19 nenda ukachanjwe . Risk factors za kufa kwa ugonjwa wa Covid 19 ni kama ifuatavyo:unene uliyopitiliza,magonjwa ya presha na moyo,kisukari,ukimwi,umri mkubwa,utapiamlo,pumu,kansa,magonjwa yanaoathiri mapafu,upunguvu wa damu,kuwa na kinga pungufu mwilini.kama uko ndani ya makundi hayo jaribu kwa kipindi hichi cha ugonjwa huu kuwa makini sana au ikipidi kama una hofu tafuta chanjo ambao unahisi yaweza kukufaa

Nimetangulia kusema kuwa tusitishane kwa sababu hizi zifuatazo.
Tangia ugonjwa huu umekuwepo early jarunary 2020,walioambukizwa ni 206,958,371,na waliyokufa ni 4,357,179. yani kati watu 100 wanaombukizwa,wanaokufa ni asili mia 2.1.

kwa hiyo hata ukiambukizwa usiingize hofu,wahi hospitalini.na watoa huduma tusiogope kuwahudumia wagonjwa wa aina hii.ukimnyapaa ndiyo unakuwa unamuua kabisa.

Globally, as of 12:23pm CEST, 16 August 2021, there have been 206,958,371 confirmed cases of COVID-19, including 4,357,179 deaths, reported to WHO. As of 11 August 2021, a total of 4,428,168,759 vaccine doses have been administered.

Na ukiangalia kidunia waliaambukizwa ugonjwa huu ni 206,958,371, kati ya watu bilioni 7.8 wanaoshi duniania.sasa piga mahesabu ni asilimia ngapi ya watu waliyombukizwa ulimwenguni kote.

Ndiyo maana,tunatakiwa kutoingiza hofu bali tuchukue tahadhali na kufuata ushauri mzuri wa watoa huduma za afya.kama uko kwenye kundi hatarishi jitahidi sana kujikinga kwa kadri iwezekanovyo lakini pia acha hofu.wahi hospitalini endapo utahisi umeambuikizwa.

Nikizungumzia kuhusu kinga .kuna primary prevention na secondary prevention primary prevention ni pamoja na kuacha tabia hatarishi,kufuata ushauri wa watoa huduma za afya namna ya kujikinga,kupata chanjo safi na salama.

chanjo safi na salama inapatikana kwa kufuata hatua zilizoanishwa na shirika la afya duniani kwa kushirikiana na taasisi zengine kama CDC na FDA.

Utengenezwaji wa chanzo unaanza kwa kutafiti kisababishi cha ugonjwa husika,muundo wa kirusi au bacteria,tabia yake,kuzaliana kwake etc .Hii inaitwa exploratoty stage .Baada ya kukielewa kirusi au bacteria alivyo ndipo watalaam wanatengeneza chanjo.chanjo ikishapatikana inajaribishwa kwanzamaabara au kwa wanyama.this is mandatory.hii inaitwa pre clinical stage.

sasa swali ambalo Mh Askovu GWAJIMA amekuwa akiuliza ni hili .je?chanjo hii ilipitia kwa wanyama kwanza?tumjibu kisayansi na siyo kisiasa.

Ukitoka preclinical stage unakuja phase one clinical stage ambabo chanjo inajaribiwa kwa watu 20-80 wenye kuwa na ugonjwa huo huo au unaofanana na huo.Akofu GWAJIMA ana haki ya kuuliza kama hili lilifanyika.

i:The goals of Phase 1 testing are to assess the safety of the candidate vaccine and to determine the type and extent of immune response that the vaccine provokes".

ukishatoka clinial trial phase unaingia clinical trial phase ambapo chanjo inatolewa kwa mamia ya watu.lengo likiwa hili"The goals of Phase II testing are to study the candidate vaccine’s safety, immunogenicity, proposed doses, schedule of immunizations, and method of delivery.""Hapa wamesema schedule of immuizations.yani chanjo itolewe lini,mara ngapi,kwa watu gani,.nimeona jinsi watu wanavyojikanyaga mana leo wanasema ati wapewe high risk group mara wapewe watu wote mara sijui.Hili linaleta maswali mwengi.

Ukitoka phase 2 clinical trial unaingia phase 3 ambapo chanjo inatolewa kwa maelfu ya watu.maengo ya pahse 3 yakiwa haya:
One Phase III goal is to assess vaccine safety in a large group of people. Certain rare side effects might not surface in the smaller groups of subjects tested in earlier phases. For example, suppose that an adverse event related to a candidate vaccine might occur in 1 of every 10,000 people. To detect a significant difference for a low-frequency event, the trial would have to include 60,000 subjects, half of them in the control, or no vaccine, group (Plotkin SA et al. Vaccines, 5th ed. Philadelphia: Saunders, 2008).

Vaccine efficacy is tested as well. These factors might include 1) Does the candidate vaccine prevent disease? 2) Does it prevent infection with the pathogen? 3) Does it lead to production of antibodies or other types of immune responses related to the pathogen?

ASKOFU GWAJIMA anauliza chanjo ya nini ikiwa nikichanjWa nitaambukizwa,nitambukiza nitakufa kwa ugojwa huo huo.Tumujibu kisayansi siyo kisiasa.watengenezaji wasiingize siasa kwa maisha ya watu .wamesema hata ukichanja utaambukizwa,utaambukiza ,unaweza ukafa kwa ugonjwa wa covid.na pia usiache kufuata zile measures nyengine kama kuvaa barakoa,kunawa mikono,social distancing .ATI MAKALI YA UGONJWA YANAPUNGUA UKIJIPATIA CHANJO YA UVIKO.

Kwa kuzungu ni hivii:
Safe and effective vaccines are a game-changing tool: but for the foreseeable future we must continue wearing masks, cleaning our hands, ensuring good ventilation indoors, physically distancing and avoiding crowds.

Being vaccinated does not mean that we can throw caution to the wind and put ourselves and others at risk, particularly because research is still ongoing into how much vaccines protect not only against disease but also against infection and transmission. See WHO’s landscape of COVID-19 vaccine candidates

Mashirika ya CDC ,FDA,WHO,yameweka wazi kuwa chanjo ni hiari.sasa kwa nini wanasiasa ambao mahala pengine hawajasomea mambo ya afya,layman kabisa wanalazimisha chanjo klutolewa kwa nguvu.embu jiulize MBUNGE wa tanzania ambaye amemaliza la saba,sijui form 4,form 6 ,mwanasheria ,mwalimu wa kawaida kabisa yani mtu hajawahi kufanya utafiti wowote anataka kulazimisha chanjo kwa nguvu.!!!!!!common.embu heshimuni taluma za watu.na kama wewe unataluma ya afya au ni mtafiti weka uzalendo kwanza mbele achana na siasa kichani.madaktari wanaelewa ninacho kisema.yani medical ethics.Hata kipimo huwezi kukifanya kama mgonjwa hataki.HUWEZI KUMPA MGONJWA DAWA KAMA HATAKI SEMBUSE CHANJO???

Kwa kizungu ni hivi"that they have the option to accept or refuse the vaccine""

How will vaccine recipients be informed about the benefits and risks of any vaccine that receives an EUA?​

FDA must ensure that recipients of the vaccine under an EUA are informed, to the extent practicable given the applicable circumstances, that FDA has authorized the emergency use of the vaccine, of the known and potential benefits and risks, the extent to which such benefits and risks are unknown, that they have the option to accept or refuse the vaccine, and of any available alternatives to the product. Typically, this information is communicated in a patient “fact sheet.” The FDA posts these fact sheets on our website.

sasa povu la nini na kumtishia askofu GWAJIMA.siasa za nini?chanjo ni hiari.acheni kulazimisha watu.kama wewe unaona ni lazima kupata chanjo nenda ukachanjwe .ASKOFU GWAJIMA anachokifanya ni ku compliment missing doubtful information about the vaccine.

kama chanjo imetolewa under EMERGENCY USE UUTHORIZATION kwamba wanayoitoa wahakikishe wanamonitor chanjo hiyo kwa sababu ni" Under an EUA, FDA may allow the use of unapproved medical products, or unapproved uses of approved medical products in an emergency to diagnose, treat, or prevent serious or life-threatening diseases or conditions when certain statutory criteria have been met, including that there are no adequate, approved, and available alternatives""" KOSA LA ASKOFU GWAJIMA LIKO WAPI?

sisi wanasiasa tuache siasa kwa afya za watu.chanjo ni hiari.nashauri kama kuna mtu atalazimishwa chanjo fungua kesi mahakamani na nakuhakikishia utawashinda mapema kabisa

AFYA NI HAKI YAKO .KUTOA ELIMU NI HAKI .

NIWAKUMBUSHE WATU WOTE HASA WANASIASA KUWA KILA CHANJO NI HIARI YA MTU KUKUBARI AU KUKATAA KUCHANJWA.na KAMA CHANJO INAFANYA KAZI INAVYOTAKIWA INATAKIWA IKUKINGE NA UGONJWA.NDIYON MAANA CHANJO NI HIARI .KWAMBA WEWE UNAYECHANJWA HUTAAMBUKIZWA AU UKIAMBIKIZWA USIFE.

Mbona hepatitis B Vaccine hatualazimishani?kwani hepatititis B Hiuwi?


Jioni njema
Utamjibuje mbangaizaji anayetumia ushirikina kisayansi? Dawa ya moto moto na upuuzi upuuzi. Gwajima anatafuta kiki baada ya muungu wake Magu kuondoka.
 
Gwajima ana ajenda zake, huo ndio ukweli.

Kama angetaka kujua, angeweza kujua. Tatizo ana maswali na majibu yake kichwani, hata apewe jibu gani, akili yake haitakubali.
 
Kwanza kabisa tuache kutishiana kuhusu covid 19 japo kama una kinga dhaifu au kama una other risk factors ya kuambukizwa na kufa kwa ugonjwa wa uviko 19 jaribu kukaa mbali na watu ambao unahisi wanaweza kukuambukiza covid 19 au kama unahiari ya kupata chanjo ya covid 19 nenda ukachanjwe . Risk factors za kufa kwa ugonjwa wa Covid 19 ni kama ifuatavyo:unene uliyopitiliza,magonjwa ya presha na moyo,kisukari,ukimwi,umri mkubwa,utapiamlo,pumu,kansa,magonjwa yanaoathiri mapafu,upunguvu wa damu,kuwa na kinga pungufu mwilini.kama uko ndani ya makundi hayo jaribu kwa kipindi hichi cha ugonjwa huu kuwa makini sana au ikipidi kama una hofu tafuta chanjo ambao unahisi yaweza kukufaa

Nimetangulia kusema kuwa tusitishane kwa sababu hizi zifuatazo.
Tangia ugonjwa huu umekuwepo early jarunary 2020,walioambukizwa ni 206,958,371,na waliyokufa ni 4,357,179. yani kati watu 100 wanaombukizwa,wanaokufa ni asili mia 2.1.

kwa hiyo hata ukiambukizwa usiingize hofu,wahi hospitalini.na watoa huduma tusiogope kuwahudumia wagonjwa wa aina hii.ukimnyapaa ndiyo unakuwa unamuua kabisa.

Globally, as of 12:23pm CEST, 16 August 2021, there have been 206,958,371 confirmed cases of COVID-19, including 4,357,179 deaths, reported to WHO. As of 11 August 2021, a total of 4,428,168,759 vaccine doses have been administered.

Na ukiangalia kidunia waliaambukizwa ugonjwa huu ni 206,958,371, kati ya watu bilioni 7.8 wanaoshi duniania.sasa piga mahesabu ni asilimia ngapi ya watu waliyombukizwa ulimwenguni kote.

Ndiyo maana,tunatakiwa kutoingiza hofu bali tuchukue tahadhali na kufuata ushauri mzuri wa watoa huduma za afya.kama uko kwenye kundi hatarishi jitahidi sana kujikinga kwa kadri iwezekanovyo lakini pia acha hofu.wahi hospitalini endapo utahisi umeambuikizwa.

Nikizungumzia kuhusu kinga .kuna primary prevention na secondary prevention primary prevention ni pamoja na kuacha tabia hatarishi,kufuata ushauri wa watoa huduma za afya namna ya kujikinga,kupata chanjo safi na salama.

chanjo safi na salama inapatikana kwa kufuata hatua zilizoanishwa na shirika la afya duniani kwa kushirikiana na taasisi zengine kama CDC na FDA.

Utengenezwaji wa chanzo unaanza kwa kutafiti kisababishi cha ugonjwa husika,muundo wa kirusi au bacteria,tabia yake,kuzaliana kwake etc .Hii inaitwa exploratoty stage .Baada ya kukielewa kirusi au bacteria alivyo ndipo watalaam wanatengeneza chanjo.chanjo ikishapatikana inajaribishwa kwanzamaabara au kwa wanyama.this is mandatory.hii inaitwa pre clinical stage.

sasa swali ambalo Mh Askovu GWAJIMA amekuwa akiuliza ni hili .je?chanjo hii ilipitia kwa wanyama kwanza?tumjibu kisayansi na siyo kisiasa.

Ukitoka preclinical stage unakuja phase one clinical stage ambabo chanjo inajaribiwa kwa watu 20-80 wenye kuwa na ugonjwa huo huo au unaofanana na huo.Akofu GWAJIMA ana haki ya kuuliza kama hili lilifanyika.

i:The goals of Phase 1 testing are to assess the safety of the candidate vaccine and to determine the type and extent of immune response that the vaccine provokes".

ukishatoka clinial trial phase unaingia clinical trial phase ambapo chanjo inatolewa kwa mamia ya watu.lengo likiwa hili"The goals of Phase II testing are to study the candidate vaccine’s safety, immunogenicity, proposed doses, schedule of immunizations, and method of delivery.""Hapa wamesema schedule of immuizations.yani chanjo itolewe lini,mara ngapi,kwa watu gani,.nimeona jinsi watu wanavyojikanyaga mana leo wanasema ati wapewe high risk group mara wapewe watu wote mara sijui.Hili linaleta maswali mwengi.

Ukitoka phase 2 clinical trial unaingia phase 3 ambapo chanjo inatolewa kwa maelfu ya watu.maengo ya pahse 3 yakiwa haya:
One Phase III goal is to assess vaccine safety in a large group of people. Certain rare side effects might not surface in the smaller groups of subjects tested in earlier phases. For example, suppose that an adverse event related to a candidate vaccine might occur in 1 of every 10,000 people. To detect a significant difference for a low-frequency event, the trial would have to include 60,000 subjects, half of them in the control, or no vaccine, group (Plotkin SA et al. Vaccines, 5th ed. Philadelphia: Saunders, 2008).

Vaccine efficacy is tested as well. These factors might include 1) Does the candidate vaccine prevent disease? 2) Does it prevent infection with the pathogen? 3) Does it lead to production of antibodies or other types of immune responses related to the pathogen?

ASKOFU GWAJIMA anauliza chanjo ya nini ikiwa nikichanjWa nitaambukizwa,nitambukiza nitakufa kwa ugojwa huo huo.Tumujibu kisayansi siyo kisiasa.watengenezaji wasiingize siasa kwa maisha ya watu .wamesema hata ukichanja utaambukizwa,utaambukiza ,unaweza ukafa kwa ugonjwa wa covid.na pia usiache kufuata zile measures nyengine kama kuvaa barakoa,kunawa mikono,social distancing .ATI MAKALI YA UGONJWA YANAPUNGUA UKIJIPATIA CHANJO YA UVIKO.

Kwa kuzungu ni hivii:
Safe and effective vaccines are a game-changing tool: but for the foreseeable future we must continue wearing masks, cleaning our hands, ensuring good ventilation indoors, physically distancing and avoiding crowds.

Being vaccinated does not mean that we can throw caution to the wind and put ourselves and others at risk, particularly because research is still ongoing into how much vaccines protect not only against disease but also against infection and transmission. See WHO’s landscape of COVID-19 vaccine candidates

Mashirika ya CDC ,FDA,WHO,yameweka wazi kuwa chanjo ni hiari.sasa kwa nini wanasiasa ambao mahala pengine hawajasomea mambo ya afya,layman kabisa wanalazimisha chanjo klutolewa kwa nguvu.embu jiulize MBUNGE wa tanzania ambaye amemaliza la saba,sijui form 4,form 6 ,mwanasheria ,mwalimu wa kawaida kabisa yani mtu hajawahi kufanya utafiti wowote anataka kulazimisha chanjo kwa nguvu.!!!!!!common.embu heshimuni taluma za watu.na kama wewe unataluma ya afya au ni mtafiti weka uzalendo kwanza mbele achana na siasa kichani.madaktari wanaelewa ninacho kisema.yani medical ethics.Hata kipimo huwezi kukifanya kama mgonjwa hataki.HUWEZI KUMPA MGONJWA DAWA KAMA HATAKI SEMBUSE CHANJO???

Kwa kizungu ni hivi"that they have the option to accept or refuse the vaccine""

How will vaccine recipients be informed about the benefits and risks of any vaccine that receives an EUA?​

FDA must ensure that recipients of the vaccine under an EUA are informed, to the extent practicable given the applicable circumstances, that FDA has authorized the emergency use of the vaccine, of the known and potential benefits and risks, the extent to which such benefits and risks are unknown, that they have the option to accept or refuse the vaccine, and of any available alternatives to the product. Typically, this information is communicated in a patient “fact sheet.” The FDA posts these fact sheets on our website.

sasa povu la nini na kumtishia askofu GWAJIMA.siasa za nini?chanjo ni hiari.acheni kulazimisha watu.kama wewe unaona ni lazima kupata chanjo nenda ukachanjwe .ASKOFU GWAJIMA anachokifanya ni ku compliment missing doubtful information about the vaccine.

kama chanjo imetolewa under EMERGENCY USE UUTHORIZATION kwamba wanayoitoa wahakikishe wanamonitor chanjo hiyo kwa sababu ni" Under an EUA, FDA may allow the use of unapproved medical products, or unapproved uses of approved medical products in an emergency to diagnose, treat, or prevent serious or life-threatening diseases or conditions when certain statutory criteria have been met, including that there are no adequate, approved, and available alternatives""" KOSA LA ASKOFU GWAJIMA LIKO WAPI?

sisi wanasiasa tuache siasa kwa afya za watu.chanjo ni hiari.nashauri kama kuna mtu atalazimishwa chanjo fungua kesi mahakamani na nakuhakikishia utawashinda mapema kabisa

AFYA NI HAKI YAKO .KUTOA ELIMU NI HAKI .

NIWAKUMBUSHE WATU WOTE HASA WANASIASA KUWA KILA CHANJO NI HIARI YA MTU KUKUBARI AU KUKATAA KUCHANJWA.na KAMA CHANJO INAFANYA KAZI INAVYOTAKIWA INATAKIWA IKUKINGE NA UGONJWA.NDIYON MAANA CHANJO NI HIARI .KWAMBA WEWE UNAYECHANJWA HUTAAMBUKIZWA AU UKIAMBIKIZWA USIFE.

Mbona hepatitis B Vaccine hatualazimishani?kwani hepatititis B Hiuwi?


Jioni njema
GWAJIMA SIO MWANA SAYANI HABARI NYINGI ZA KISAYANSI ANACHAPIA SANA KWA TAARIFA YAKO
 
Unataka ushahidi gani wakati nchi ambazo washachanja adults kwa asilimia kubwa sasa hivi kwenye hizo jamii washatoa COVID restriction zote.

Na mwezi wa tisa wanafikiria kutos COVID passport kwa watu waliokuwa fully vaccinated waende wanapotaka duniani.

Restriction baadhi ya nchi ni hatua za taasisi binafsi kwa sasa kuamua lakini kwa upande wa serikali nchi kama England na Scotland sasa hivi watu wanajiachia tu japo COVID bado ipo.

Wanaopata wengi ni vijana ambao awajachanjwa na wale wa risk group ni kwa waliokuwa wabishi.

Hao vijana wengi ni under 30 years ndio ambao bado hawana chanjo na wakipata COVID watu laki na nusu kwa week ata mia kati yao awaendi hospitali, wengi wanakaa nyumbani tu. Asilimia kubwa ya hao waliopo mahospitali wengi leo na wanaokufa ni wale design ya kina Gwajima.

Kaka utaangaika sana na ivi vichwa vya watanzania,hawataki kuelewa na hawataki kujifunza sababu ukielewa na kujifunza itabidi uwajibike,na hili ndo wasolitaka.Wataendelea kuja na maswali ili ushindwe kujibu, sio wao waelewe unachoongea.

Watu wanaamini ukipata chanjo na usipopata chanjo ni sawa,hawajui ukipata chanjo corona haikupeleki hospitalini wala kukufanya mahututi au kufa.

Wabongo wengi hawajui kuwa wenzetu nchi zilizoendelea hawalali,kila siku wanakesha maabara,wana maresearch magonjwa ya kila aina na wana data nyingi,huku kwetu bado tunaulizana "walijuaje kama kutakuja wimbi lingine la delta?,wamelileta hawa!" Na Ngwaji akibwatuka basi tunaona tuna point za maana,wakati virus kubadirika(mutate) ni asili yake,na hili linajulikana karibun miaka 100 ilopita.

Tunatumia mda mwingi kuwapinga watu walotumia mda wao,akili na elimu zao,pesa zao na uzoefu wao kupambana na gonjwa lililoathiri dunia,sisi hatujatoa wazo lolote,hatujachangia ujuzi wowote,nguvu zozote na wala hatuna mipango yoyote ya kujikinga.

Yaani tupo kama 'spoilt brats' tumeishia kulalamika "kama wanajua sana mbona hawajaleta chanjo ya ukimwi" wakati hatujui hata tuanzie wapi kupata chanjo ya chochote. Corona ipo na inaua, ikitulia bongo kwa miaka mitatu ndipo akili zitatulia ,lakini sitoshangaa watu watageuka na kusema chanjo ndo zimeleta wimbi lingine,tena wasiochanja ndo watasema ivi.
 
Wadau, naomba kuuliza swali.
Ukiacha chanjo kuruhusiwa under Emergency Use Authorization (EUA), Je kisayansi chanjo kabla haijaruhusiwa inatakiwa kutumia miaka mingapi katika kila stages za majaribio(Trials)?
 
Kaka utaangaika sana na ivi vichwa vya watanzania,hawataki kuelewa na hawataki kujifunza sababu ukielewa na kujifunza itabidi uwajibike,na hili ndo wasolitaka.Wataendelea kuja na maswali ili ushindwe kujibu, sio wao waelewe unachoongea.Watu wanaamini ukipata chanjo na usipopata chanjo ni sawa,hawajui ukipata chanjo corona haikupeleki hospitalini wala kukufanya mahututi au kufa.
Wabongo wengi hawajui kuwa wenzetu nchi zilizoendelea hawalali,kila siku wanakesha maabara,wana maresearch magonjwa ya kila aina na wana data nyingi,huku kwetu bado tunaulizana "walijuaje kama kutakuja wimbi lingine la delta?,wamelileta hawa!" Na Ngwaji akibwatuka basi tunaona tuna point za maana,wakati virus kubadirika(mutate) ni asili yake,na hili linajulikana karibun miaka 100 ilopita.
Tunatumia mda mwingi kuwapinga watu walotumia mda wao,akili na elimu zao,pesa zao na uzoefu wao kupambana na gonjwa lililoathiri dunia,sisi hatujatoa wazo lolote,hatujachangia ujuzi wowote,nguvu zozote na wala hatuna mipango yoyote ya kujikinga! Yaani tupo kama 'spoilt brats' tumeishia kulalamika "kama wanajua sana mbona hawajaleta chanjo ya ukimwi" wakati hatujui hata tuanzie wapi kupata chanjo ya chochote. Corona ipo na inaua,ikitulia bongo kwa miaka mitatu ndipo akili zitatulia ,lakini sitoshangaa watu watageuka na kusema chanjo ndo zimeleta wimbi lingine,tena wasiochanja ndo watasema ivi.

Mkuu kwa miaka yangu duniani kama mtanzania nina experience ya kuwaelewa ndugu zangu.

For starters tuna sifa ya unafiki nadhani ndani E.A tunaongoza. Na tabia ya mtu mnafiki (as self defence) popote duniani anapokuwa wrong badala ya kukubali makosa yake to justify their ill actions mbele ya kadamnasi atatunga uongo zaidi to vilify his victim.

Kwa hivyo wala sishangai mtu kama Gwajima kuja na madai ya viongozi kuchanjwa maji na ujinga mwingine anaowalisha his gullible audience in his attempt to vilify government actions.

Hata humu tunapojibizana na watu for the most part is to pass time only some days.

Hila ukitaka serious debates na watanzania utakutana na watu nadra sana wenye hoja za merit wapo hata humu JF but they just don’t bother anymore.

Mie mwenyewe baada ya sakata la mafuta nimegundua kuna vitu vingine kutumia nguvu kuelezea ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu kama wahusika awaelewi mtu akililipua hilo Tank ndege zako hazipai wala vifaru avitembei anakucharaza tu hewani na target zake.
 
Nyie kina mama mnaokaribia kumaliza hedhi sijui kwanini mnakuwaga na genye sana,ona sasa unavyo vamia watu ovyo.
Wewe ulishamaliza bint yangu? Hongera.maana naona unatokwa povu kila sehemu yako ya mwili. Maisha kama yanakushinda usiwe na hasira ...tulia tafakari. Unawatukanisha wazazi wako waliokuzaa kuwa waliishia kukufundisha lugha hiyo tu akili hukupata...😂
 
Gwajima amekataa kuwa mnafiki anasimamia anachoamini. Ajibiwe hoja zake. Yaani watu badala ya kujibu hoja wanaanza matusi. Mtu akianza kutukana wafuasi wa gwajima au gwajima mwenyewe ni kuwa amekosa hoja marekani kwenyewe waliochanjwa ni wachache hawafiki asilimia 10 mpaka wanaaahidiwa pesa na wanakataa ...kwa nini wewe mswahili uone kuwa gwajima anakosea bila kutoa majibu kwa hoja zake? Use your brain....msiwe wafuasi wa mtu yeyote. Zijibiwe hoja zake.

Mkuu kwa miaka yangu duniani kama mtanzania nina experience ya kuwaelewa ndugu zangu.

For starters tuna sifa ya unafiki nadhani ndani E.A tunaongoza. Na tabia ya mtu mnafiki (as self defence) popote duniani anapokuwa wrong badala ya kukubali makosa yake to justify their ill actions mbele ya kadamnasi atatunga uongo zaidi to vilify his victim.

Kwa hivyo wala sishangai mtu kama Gwajima kuja na madai ya viongozi kuchanjwa maji na ujinga mwingine anaowalisha his gullible audience in his attempt to vilify government actions.

Hata humu tunapojibizana na watu for the most part is to pass time only some days.

Hila ukitaka serious debates na watanzania utakutana na watu nadra sana wenye hoja za merit wapo hata humu JF but they just don’t bother anymore.

Mie mwenyewe baada ya sakata la mafuta nimegundua kuna vitu vingine kutumia nguvu kuelezea ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu kama wahusika awaelewi mtu akililipua hilo Tank ndege zako hazipai wala vifaru avitembei anakucharaza tu hewani na target zake.
 
Kwanza kabisa tuache kutishiana kuhusu covid 19 japo kama una kinga dhaifu au kama una other risk factors ya kuambukizwa na kufa kwa ugonjwa wa uviko 19 jaribu kukaa mbali na watu ambao unahisi wanaweza kukuambukiza covid 19 au kama unahiari ya kupata chanjo ya covid 19 nenda ukachanjwe . Risk factors za kufa kwa ugonjwa wa Covid 19 ni kama ifuatavyo:unene uliyopitiliza,magonjwa ya presha na moyo,kisukari,ukimwi,umri mkubwa,utapiamlo,pumu,kansa,magonjwa yanaoathiri mapafu,upunguvu wa damu,kuwa na kinga pungufu mwilini.kama uko ndani ya makundi hayo jaribu kwa kipindi hichi cha ugonjwa huu kuwa makini sana au ikipidi kama una hofu tafuta chanjo ambao unahisi yaweza kukufaa

Nimetangulia kusema kuwa tusitishane kwa sababu hizi zifuatazo.
Tangia ugonjwa huu umekuwepo early jarunary 2020,walioambukizwa ni 206,958,371,na waliyokufa ni 4,357,179. yani kati watu 100 wanaombukizwa,wanaokufa ni asili mia 2.1.

kwa hiyo hata ukiambukizwa usiingize hofu,wahi hospitalini.na watoa huduma tusiogope kuwahudumia wagonjwa wa aina hii.ukimnyapaa ndiyo unakuwa unamuua kabisa.

Globally, as of 12:23pm CEST, 16 August 2021, there have been 206,958,371 confirmed cases of COVID-19, including 4,357,179 deaths, reported to WHO. As of 11 August 2021, a total of 4,428,168,759 vaccine doses have been administered.

Na ukiangalia kidunia waliaambukizwa ugonjwa huu ni 206,958,371, kati ya watu bilioni 7.8 wanaoshi duniania.sasa piga mahesabu ni asilimia ngapi ya watu waliyombukizwa ulimwenguni kote.

Ndiyo maana,tunatakiwa kutoingiza hofu bali tuchukue tahadhali na kufuata ushauri mzuri wa watoa huduma za afya.kama uko kwenye kundi hatarishi jitahidi sana kujikinga kwa kadri iwezekanovyo lakini pia acha hofu.wahi hospitalini endapo utahisi umeambuikizwa.

Nikizungumzia kuhusu kinga .kuna primary prevention na secondary prevention primary prevention ni pamoja na kuacha tabia hatarishi,kufuata ushauri wa watoa huduma za afya namna ya kujikinga,kupata chanjo safi na salama.

chanjo safi na salama inapatikana kwa kufuata hatua zilizoanishwa na shirika la afya duniani kwa kushirikiana na taasisi zengine kama CDC na FDA.

Utengenezwaji wa chanzo unaanza kwa kutafiti kisababishi cha ugonjwa husika,muundo wa kirusi au bacteria,tabia yake,kuzaliana kwake etc .Hii inaitwa exploratoty stage .Baada ya kukielewa kirusi au bacteria alivyo ndipo watalaam wanatengeneza chanjo.chanjo ikishapatikana inajaribishwa kwanzamaabara au kwa wanyama.this is mandatory.hii inaitwa pre clinical stage.

sasa swali ambalo Mh Askovu GWAJIMA amekuwa akiuliza ni hili .je?chanjo hii ilipitia kwa wanyama kwanza?tumjibu kisayansi na siyo kisiasa.

Ukitoka preclinical stage unakuja phase one clinical stage ambabo chanjo inajaribiwa kwa watu 20-80 wenye kuwa na ugonjwa huo huo au unaofanana na huo.Akofu GWAJIMA ana haki ya kuuliza kama hili lilifanyika.

i:The goals of Phase 1 testing are to assess the safety of the candidate vaccine and to determine the type and extent of immune response that the vaccine provokes".

ukishatoka clinial trial phase unaingia clinical trial phase ambapo chanjo inatolewa kwa mamia ya watu.lengo likiwa hili"The goals of Phase II testing are to study the candidate vaccine’s safety, immunogenicity, proposed doses, schedule of immunizations, and method of delivery.""Hapa wamesema schedule of immuizations.yani chanjo itolewe lini,mara ngapi,kwa watu gani,.nimeona jinsi watu wanavyojikanyaga mana leo wanasema ati wapewe high risk group mara wapewe watu wote mara sijui.Hili linaleta maswali mwengi.

Ukitoka phase 2 clinical trial unaingia phase 3 ambapo chanjo inatolewa kwa maelfu ya watu.maengo ya pahse 3 yakiwa haya:
One Phase III goal is to assess vaccine safety in a large group of people. Certain rare side effects might not surface in the smaller groups of subjects tested in earlier phases. For example, suppose that an adverse event related to a candidate vaccine might occur in 1 of every 10,000 people. To detect a significant difference for a low-frequency event, the trial would have to include 60,000 subjects, half of them in the control, or no vaccine, group (Plotkin SA et al. Vaccines, 5th ed. Philadelphia: Saunders, 2008).

Vaccine efficacy is tested as well. These factors might include 1) Does the candidate vaccine prevent disease? 2) Does it prevent infection with the pathogen? 3) Does it lead to production of antibodies or other types of immune responses related to the pathogen?

ASKOFU GWAJIMA anauliza chanjo ya nini ikiwa nikichanjWa nitaambukizwa,nitambukiza nitakufa kwa ugojwa huo huo.Tumujibu kisayansi siyo kisiasa.watengenezaji wasiingize siasa kwa maisha ya watu .wamesema hata ukichanja utaambukizwa,utaambukiza ,unaweza ukafa kwa ugonjwa wa covid.na pia usiache kufuata zile measures nyengine kama kuvaa barakoa,kunawa mikono,social distancing .ATI MAKALI YA UGONJWA YANAPUNGUA UKIJIPATIA CHANJO YA UVIKO.

Kwa kuzungu ni hivii:
Safe and effective vaccines are a game-changing tool: but for the foreseeable future we must continue wearing masks, cleaning our hands, ensuring good ventilation indoors, physically distancing and avoiding crowds.

Being vaccinated does not mean that we can throw caution to the wind and put ourselves and others at risk, particularly because research is still ongoing into how much vaccines protect not only against disease but also against infection and transmission. See WHO’s landscape of COVID-19 vaccine candidates

Mashirika ya CDC ,FDA,WHO,yameweka wazi kuwa chanjo ni hiari.sasa kwa nini wanasiasa ambao mahala pengine hawajasomea mambo ya afya,layman kabisa wanalazimisha chanjo klutolewa kwa nguvu.embu jiulize MBUNGE wa tanzania ambaye amemaliza la saba,sijui form 4,form 6 ,mwanasheria ,mwalimu wa kawaida kabisa yani mtu hajawahi kufanya utafiti wowote anataka kulazimisha chanjo kwa nguvu.!!!!!!common.embu heshimuni taluma za watu.na kama wewe unataluma ya afya au ni mtafiti weka uzalendo kwanza mbele achana na siasa kichani.madaktari wanaelewa ninacho kisema.yani medical ethics.Hata kipimo huwezi kukifanya kama mgonjwa hataki.HUWEZI KUMPA MGONJWA DAWA KAMA HATAKI SEMBUSE CHANJO???

Kwa kizungu ni hivi"that they have the option to accept or refuse the vaccine""

How will vaccine recipients be informed about the benefits and risks of any vaccine that receives an EUA?​

FDA must ensure that recipients of the vaccine under an EUA are informed, to the extent practicable given the applicable circumstances, that FDA has authorized the emergency use of the vaccine, of the known and potential benefits and risks, the extent to which such benefits and risks are unknown, that they have the option to accept or refuse the vaccine, and of any available alternatives to the product. Typically, this information is communicated in a patient “fact sheet.” The FDA posts these fact sheets on our website.

sasa povu la nini na kumtishia askofu GWAJIMA.siasa za nini?chanjo ni hiari.acheni kulazimisha watu.kama wewe unaona ni lazima kupata chanjo nenda ukachanjwe .ASKOFU GWAJIMA anachokifanya ni ku compliment missing doubtful information about the vaccine.

kama chanjo imetolewa under EMERGENCY USE UUTHORIZATION kwamba wanayoitoa wahakikishe wanamonitor chanjo hiyo kwa sababu ni" Under an EUA, FDA may allow the use of unapproved medical products, or unapproved uses of approved medical products in an emergency to diagnose, treat, or prevent serious or life-threatening diseases or conditions when certain statutory criteria have been met, including that there are no adequate, approved, and available alternatives""" KOSA LA ASKOFU GWAJIMA LIKO WAPI?

sisi wanasiasa tuache siasa kwa afya za watu.chanjo ni hiari.nashauri kama kuna mtu atalazimishwa chanjo fungua kesi mahakamani na nakuhakikishia utawashinda mapema kabisa

AFYA NI HAKI YAKO .KUTOA ELIMU NI HAKI .

NIWAKUMBUSHE WATU WOTE HASA WANASIASA KUWA KILA CHANJO NI HIARI YA MTU KUKUBARI AU KUKATAA KUCHANJWA.na KAMA CHANJO INAFANYA KAZI INAVYOTAKIWA INATAKIWA IKUKINGE NA UGONJWA.NDIYON MAANA CHANJO NI HIARI .KWAMBA WEWE UNAYECHANJWA HUTAAMBUKIZWA AU UKIAMBIKIZWA USIFE.

Mbona hepatitis B Vaccine hatualazimishani?kwani hepatititis B Hiuwi?


Jioni njema
Mkuu, naomba kuuliza swali.
Ukiacha chanjo kuruhusiwa under Emergency Use Authorization (EUA), Je kisayansi chanjo kabla haijaruhusiwa inatakiwa kutumia miaka mingapi katika kila stages za majaribio(Trials)?
 
Kwanza kabisa tuache kutishiana kuhusu covid 19 japo kama una kinga dhaifu au kama una other risk factors ya kuambukizwa na kufa kwa ugonjwa wa uviko 19 jaribu kukaa mbali na watu ambao unahisi wanaweza kukuambukiza covid 19 au kama unahiari ya kupata chanjo ya covid 19 nenda ukachanjwe . Risk factors za kufa kwa ugonjwa wa Covid 19 ni kama ifuatavyo:unene uliyopitiliza,magonjwa ya presha na moyo,kisukari,ukimwi,umri mkubwa,utapiamlo,pumu,kansa,magonjwa yanaoathiri mapafu,upunguvu wa damu,kuwa na kinga pungufu mwilini.kama uko ndani ya makundi hayo jaribu kwa kipindi hichi cha ugonjwa huu kuwa makini sana au ikipidi kama una hofu tafuta chanjo ambao unahisi yaweza kukufaa

Nimetangulia kusema kuwa tusitishane kwa sababu hizi zifuatazo.
Tangia ugonjwa huu umekuwepo early jarunary 2020,walioambukizwa ni 206,958,371,na waliyokufa ni 4,357,179. yani kati watu 100 wanaombukizwa,wanaokufa ni asili mia 2.1.

kwa hiyo hata ukiambukizwa usiingize hofu,wahi hospitalini.na watoa huduma tusiogope kuwahudumia wagonjwa wa aina hii.ukimnyapaa ndiyo unakuwa unamuua kabisa.

Globally, as of 12:23pm CEST, 16 August 2021, there have been 206,958,371 confirmed cases of COVID-19, including 4,357,179 deaths, reported to WHO. As of 11 August 2021, a total of 4,428,168,759 vaccine doses have been administered.

Na ukiangalia kidunia waliaambukizwa ugonjwa huu ni 206,958,371, kati ya watu bilioni 7.8 wanaoshi duniania.sasa piga mahesabu ni asilimia ngapi ya watu waliyombukizwa ulimwenguni kote.

Ndiyo maana,tunatakiwa kutoingiza hofu bali tuchukue tahadhali na kufuata ushauri mzuri wa watoa huduma za afya.kama uko kwenye kundi hatarishi jitahidi sana kujikinga kwa kadri iwezekanovyo lakini pia acha hofu.wahi hospitalini endapo utahisi umeambuikizwa.

Nikizungumzia kuhusu kinga .kuna primary prevention na secondary prevention primary prevention ni pamoja na kuacha tabia hatarishi,kufuata ushauri wa watoa huduma za afya namna ya kujikinga,kupata chanjo safi na salama.

chanjo safi na salama inapatikana kwa kufuata hatua zilizoanishwa na shirika la afya duniani kwa kushirikiana na taasisi zengine kama CDC na FDA.

Utengenezwaji wa chanzo unaanza kwa kutafiti kisababishi cha ugonjwa husika,muundo wa kirusi au bacteria,tabia yake,kuzaliana kwake etc .Hii inaitwa exploratoty stage .Baada ya kukielewa kirusi au bacteria alivyo ndipo watalaam wanatengeneza chanjo.chanjo ikishapatikana inajaribishwa kwanzamaabara au kwa wanyama.this is mandatory.hii inaitwa pre clinical stage.

sasa swali ambalo Mh Askovu GWAJIMA amekuwa akiuliza ni hili .je?chanjo hii ilipitia kwa wanyama kwanza?tumjibu kisayansi na siyo kisiasa.

Ukitoka preclinical stage unakuja phase one clinical stage ambabo chanjo inajaribiwa kwa watu 20-80 wenye kuwa na ugonjwa huo huo au unaofanana na huo.Akofu GWAJIMA ana haki ya kuuliza kama hili lilifanyika.

i:The goals of Phase 1 testing are to assess the safety of the candidate vaccine and to determine the type and extent of immune response that the vaccine provokes".

ukishatoka clinial trial phase unaingia clinical trial phase ambapo chanjo inatolewa kwa mamia ya watu.lengo likiwa hili"The goals of Phase II testing are to study the candidate vaccine’s safety, immunogenicity, proposed doses, schedule of immunizations, and method of delivery.""Hapa wamesema schedule of immuizations.yani chanjo itolewe lini,mara ngapi,kwa watu gani,.nimeona jinsi watu wanavyojikanyaga mana leo wanasema ati wapewe high risk group mara wapewe watu wote mara sijui.Hili linaleta maswali mwengi.

Ukitoka phase 2 clinical trial unaingia phase 3 ambapo chanjo inatolewa kwa maelfu ya watu.maengo ya pahse 3 yakiwa haya:
One Phase III goal is to assess vaccine safety in a large group of people. Certain rare side effects might not surface in the smaller groups of subjects tested in earlier phases. For example, suppose that an adverse event related to a candidate vaccine might occur in 1 of every 10,000 people. To detect a significant difference for a low-frequency event, the trial would have to include 60,000 subjects, half of them in the control, or no vaccine, group (Plotkin SA et al. Vaccines, 5th ed. Philadelphia: Saunders, 2008).

Vaccine efficacy is tested as well. These factors might include 1) Does the candidate vaccine prevent disease? 2) Does it prevent infection with the pathogen? 3) Does it lead to production of antibodies or other types of immune responses related to the pathogen?

ASKOFU GWAJIMA anauliza chanjo ya nini ikiwa nikichanjWa nitaambukizwa,nitambukiza nitakufa kwa ugojwa huo huo.Tumujibu kisayansi siyo kisiasa.watengenezaji wasiingize siasa kwa maisha ya watu .wamesema hata ukichanja utaambukizwa,utaambukiza ,unaweza ukafa kwa ugonjwa wa covid.na pia usiache kufuata zile measures nyengine kama kuvaa barakoa,kunawa mikono,social distancing .ATI MAKALI YA UGONJWA YANAPUNGUA UKIJIPATIA CHANJO YA UVIKO.

Kwa kuzungu ni hivii:
Safe and effective vaccines are a game-changing tool: but for the foreseeable future we must continue wearing masks, cleaning our hands, ensuring good ventilation indoors, physically distancing and avoiding crowds.

Being vaccinated does not mean that we can throw caution to the wind and put ourselves and others at risk, particularly because research is still ongoing into how much vaccines protect not only against disease but also against infection and transmission. See WHO’s landscape of COVID-19 vaccine candidates

Mashirika ya CDC ,FDA,WHO,yameweka wazi kuwa chanjo ni hiari.sasa kwa nini wanasiasa ambao mahala pengine hawajasomea mambo ya afya,layman kabisa wanalazimisha chanjo klutolewa kwa nguvu.embu jiulize MBUNGE wa tanzania ambaye amemaliza la saba,sijui form 4,form 6 ,mwanasheria ,mwalimu wa kawaida kabisa yani mtu hajawahi kufanya utafiti wowote anataka kulazimisha chanjo kwa nguvu.!!!!!!common.embu heshimuni taluma za watu.na kama wewe unataluma ya afya au ni mtafiti weka uzalendo kwanza mbele achana na siasa kichani.madaktari wanaelewa ninacho kisema.yani medical ethics.Hata kipimo huwezi kukifanya kama mgonjwa hataki.HUWEZI KUMPA MGONJWA DAWA KAMA HATAKI SEMBUSE CHANJO???

Kwa kizungu ni hivi"that they have the option to accept or refuse the vaccine""

How will vaccine recipients be informed about the benefits and risks of any vaccine that receives an EUA?​

FDA must ensure that recipients of the vaccine under an EUA are informed, to the extent practicable given the applicable circumstances, that FDA has authorized the emergency use of the vaccine, of the known and potential benefits and risks, the extent to which such benefits and risks are unknown, that they have the option to accept or refuse the vaccine, and of any available alternatives to the product. Typically, this information is communicated in a patient “fact sheet.” The FDA posts these fact sheets on our website.

sasa povu la nini na kumtishia askofu GWAJIMA.siasa za nini?chanjo ni hiari.acheni kulazimisha watu.kama wewe unaona ni lazima kupata chanjo nenda ukachanjwe .ASKOFU GWAJIMA anachokifanya ni ku compliment missing doubtful information about the vaccine.

kama chanjo imetolewa under EMERGENCY USE UUTHORIZATION kwamba wanayoitoa wahakikishe wanamonitor chanjo hiyo kwa sababu ni" Under an EUA, FDA may allow the use of unapproved medical products, or unapproved uses of approved medical products in an emergency to diagnose, treat, or prevent serious or life-threatening diseases or conditions when certain statutory criteria have been met, including that there are no adequate, approved, and available alternatives""" KOSA LA ASKOFU GWAJIMA LIKO WAPI?

sisi wanasiasa tuache siasa kwa afya za watu.chanjo ni hiari.nashauri kama kuna mtu atalazimishwa chanjo fungua kesi mahakamani na nakuhakikishia utawashinda mapema kabisa

AFYA NI HAKI YAKO .KUTOA ELIMU NI HAKI .

NIWAKUMBUSHE WATU WOTE HASA WANASIASA KUWA KILA CHANJO NI HIARI YA MTU KUKUBARI AU KUKATAA KUCHANJWA.na KAMA CHANJO INAFANYA KAZI INAVYOTAKIWA INATAKIWA IKUKINGE NA UGONJWA.NDIYON MAANA CHANJO NI HIARI .KWAMBA WEWE UNAYECHANJWA HUTAAMBUKIZWA AU UKIAMBIKIZWA USIFE.

Mbona hepatitis B Vaccine hatualazimishani?kwani hepatititis B Hiuwi?


Jioni njema
Nilipo ona umetumia data za hao hao walio pachika jina pandemic kwenye ugonjwa ambao sio pandemic,nimeacha kusoma bandiko lako.Utatumiaje data za walio tengeneza chanjo kuhalalisha uzuri wa chanjo hiyo?Kwa chanjo hizi palipaswa kuwa na independent verifiers,you can't be your own judge.

Apart from that,tatizo linaloitwa C-19 lina letwa na deliberate air pollution,ila wanasingizia virus ambaye wala hajawahi kuwa tatizo ili kutekeleza ajenda zao za kishetani.Na sisi bila kujua tumetekwa na uzushi wao,very sad.
 
Gwajima amekataa kuwa mnafiki anasimamia anachoamini. Ajibiwe hoja zake. Yaani watu badala ya kujibu hoja wanaanza matusi. Mtu akianza kutukana wafuasi wa gwajima au gwajima mwenyewe ni kuwa amekosa hoja marekani kwenyewe waliochanjwa ni wachache hawafiki asilimia 10 mpaka wanaaahidiwa pesa na wanakataa ...kwa nini wewe mswahili uone kuwa gwajima anakosea bila kutoa majibu kwa hoja zake? Use your brain....msiwe wafuasi wa mtu yeyote. Zijibiwe hoja zake.
Duh, Ivi kuna mtaalamu yeyote kwenye taaruma ya utabibu unaemsikilza kuhusu corona au unaishia kwa Ngwajima tu?!.Wengi wanaongelea hili na washajibu hoja za ngwajima,wengine wanampuuza sababu aloongea mengi hayaendani na uhalisia wa sayansi,yaani kachapia sana na vingi alivoongea havina ukweli.Nakushauri nenda instagram na mtafute 'seceangie' utapata majibu yako.
Alafu unaandika USA hata asilimia waliochanjwa america hawafiki hata 10%!?! We unaishi dunia gani,amerika waliochanja ni zaid ya 70% ya population yao.
 
Wewe ulishamaliza bint yangu? Hongera.maana naona unatokwa povu kila sehemu yako ya mwili. Maisha kama yanakushinda usiwe na hasira ...tulia tafakari. Unawatukanisha wazazi wako waliokuzaa kuwa waliishia kukufundisha lugha hiyo tu akili hukupata...😂
Hasira anazo yule mbwa mwenzako baada ya kuona bwana wenu amejifia zake.
 
Kwanza kabisa tuache kutishiana kuhusu covid 19 japo kama una kinga dhaifu au kama una other risk factors ya kuambukizwa na kufa kwa ugonjwa wa uviko 19 jaribu kukaa mbali na watu ambao unahisi wanaweza kukuambukiza covid 19 au kama unahiari ya kupata chanjo ya covid 19 nenda ukachanjwe . Risk factors za kufa kwa ugonjwa wa Covid 19 ni kama ifuatavyo:unene uliyopitiliza,magonjwa ya presha na moyo,kisukari,ukimwi,umri mkubwa,utapiamlo,pumu,kansa,magonjwa yanaoathiri mapafu,upunguvu wa damu,kuwa na kinga pungufu mwilini.kama uko ndani ya makundi hayo jaribu kwa kipindi hichi cha ugonjwa huu kuwa makini sana au ikipidi kama una hofu tafuta chanjo ambao unahisi yaweza kukufaa

Nimetangulia kusema kuwa tusitishane kwa sababu hizi zifuatazo.
Tangia ugonjwa huu umekuwepo early jarunary 2020,walioambukizwa ni 206,958,371,na waliyokufa ni 4,357,179. yani kati watu 100 wanaombukizwa,wanaokufa ni asili mia 2.1.

kwa hiyo hata ukiambukizwa usiingize hofu,wahi hospitalini.na watoa huduma tusiogope kuwahudumia wagonjwa wa aina hii.ukimnyapaa ndiyo unakuwa unamuua kabisa.

Globally, as of 12:23pm CEST, 16 August 2021, there have been 206,958,371 confirmed cases of COVID-19, including 4,357,179 deaths, reported to WHO. As of 11 August 2021, a total of 4,428,168,759 vaccine doses have been administered.

Na ukiangalia kidunia waliaambukizwa ugonjwa huu ni 206,958,371, kati ya watu bilioni 7.8 wanaoshi duniania.sasa piga mahesabu ni asilimia ngapi ya watu waliyombukizwa ulimwenguni kote.

Ndiyo maana,tunatakiwa kutoingiza hofu bali tuchukue tahadhali na kufuata ushauri mzuri wa watoa huduma za afya.kama uko kwenye kundi hatarishi jitahidi sana kujikinga kwa kadri iwezekanovyo lakini pia acha hofu.wahi hospitalini endapo utahisi umeambuikizwa.

Nikizungumzia kuhusu kinga .kuna primary prevention na secondary prevention primary prevention ni pamoja na kuacha tabia hatarishi,kufuata ushauri wa watoa huduma za afya namna ya kujikinga,kupata chanjo safi na salama.

chanjo safi na salama inapatikana kwa kufuata hatua zilizoanishwa na shirika la afya duniani kwa kushirikiana na taasisi zengine kama CDC na FDA.

Utengenezwaji wa chanzo unaanza kwa kutafiti kisababishi cha ugonjwa husika,muundo wa kirusi au bacteria,tabia yake,kuzaliana kwake etc .Hii inaitwa exploratoty stage .Baada ya kukielewa kirusi au bacteria alivyo ndipo watalaam wanatengeneza chanjo.chanjo ikishapatikana inajaribishwa kwanzamaabara au kwa wanyama.this is mandatory.hii inaitwa pre clinical stage.

sasa swali ambalo Mh Askovu GWAJIMA amekuwa akiuliza ni hili .je?chanjo hii ilipitia kwa wanyama kwanza?tumjibu kisayansi na siyo kisiasa.

Ukitoka preclinical stage unakuja phase one clinical stage ambabo chanjo inajaribiwa kwa watu 20-80 wenye kuwa na ugonjwa huo huo au unaofanana na huo.Akofu GWAJIMA ana haki ya kuuliza kama hili lilifanyika.

i:The goals of Phase 1 testing are to assess the safety of the candidate vaccine and to determine the type and extent of immune response that the vaccine provokes".

ukishatoka clinial trial phase unaingia clinical trial phase ambapo chanjo inatolewa kwa mamia ya watu.lengo likiwa hili"The goals of Phase II testing are to study the candidate vaccine’s safety, immunogenicity, proposed doses, schedule of immunizations, and method of delivery.""Hapa wamesema schedule of immuizations.yani chanjo itolewe lini,mara ngapi,kwa watu gani,.nimeona jinsi watu wanavyojikanyaga mana leo wanasema ati wapewe high risk group mara wapewe watu wote mara sijui.Hili linaleta maswali mwengi.

Ukitoka phase 2 clinical trial unaingia phase 3 ambapo chanjo inatolewa kwa maelfu ya watu.maengo ya pahse 3 yakiwa haya:
One Phase III goal is to assess vaccine safety in a large group of people. Certain rare side effects might not surface in the smaller groups of subjects tested in earlier phases. For example, suppose that an adverse event related to a candidate vaccine might occur in 1 of every 10,000 people. To detect a significant difference for a low-frequency event, the trial would have to include 60,000 subjects, half of them in the control, or no vaccine, group (Plotkin SA et al. Vaccines, 5th ed. Philadelphia: Saunders, 2008).

Vaccine efficacy is tested as well. These factors might include 1) Does the candidate vaccine prevent disease? 2) Does it prevent infection with the pathogen? 3) Does it lead to production of antibodies or other types of immune responses related to the pathogen?

ASKOFU GWAJIMA anauliza chanjo ya nini ikiwa nikichanjWa nitaambukizwa,nitambukiza nitakufa kwa ugojwa huo huo.Tumujibu kisayansi siyo kisiasa.watengenezaji wasiingize siasa kwa maisha ya watu .wamesema hata ukichanja utaambukizwa,utaambukiza ,unaweza ukafa kwa ugonjwa wa covid.na pia usiache kufuata zile measures nyengine kama kuvaa barakoa,kunawa mikono,social distancing .ATI MAKALI YA UGONJWA YANAPUNGUA UKIJIPATIA CHANJO YA UVIKO.

Kwa kuzungu ni hivii:
Safe and effective vaccines are a game-changing tool: but for the foreseeable future we must continue wearing masks, cleaning our hands, ensuring good ventilation indoors, physically distancing and avoiding crowds.

Being vaccinated does not mean that we can throw caution to the wind and put ourselves and others at risk, particularly because research is still ongoing into how much vaccines protect not only against disease but also against infection and transmission. See WHO’s landscape of COVID-19 vaccine candidates

Mashirika ya CDC ,FDA,WHO,yameweka wazi kuwa chanjo ni hiari.sasa kwa nini wanasiasa ambao mahala pengine hawajasomea mambo ya afya,layman kabisa wanalazimisha chanjo klutolewa kwa nguvu.embu jiulize MBUNGE wa tanzania ambaye amemaliza la saba,sijui form 4,form 6 ,mwanasheria ,mwalimu wa kawaida kabisa yani mtu hajawahi kufanya utafiti wowote anataka kulazimisha chanjo kwa nguvu.!!!!!!common.embu heshimuni taluma za watu.na kama wewe unataluma ya afya au ni mtafiti weka uzalendo kwanza mbele achana na siasa kichani.madaktari wanaelewa ninacho kisema.yani medical ethics.Hata kipimo huwezi kukifanya kama mgonjwa hataki.HUWEZI KUMPA MGONJWA DAWA KAMA HATAKI SEMBUSE CHANJO???

Kwa kizungu ni hivi"that they have the option to accept or refuse the vaccine""

How will vaccine recipients be informed about the benefits and risks of any vaccine that receives an EUA?​

FDA must ensure that recipients of the vaccine under an EUA are informed, to the extent practicable given the applicable circumstances, that FDA has authorized the emergency use of the vaccine, of the known and potential benefits and risks, the extent to which such benefits and risks are unknown, that they have the option to accept or refuse the vaccine, and of any available alternatives to the product. Typically, this information is communicated in a patient “fact sheet.” The FDA posts these fact sheets on our website.

sasa povu la nini na kumtishia askofu GWAJIMA.siasa za nini?chanjo ni hiari.acheni kulazimisha watu.kama wewe unaona ni lazima kupata chanjo nenda ukachanjwe .ASKOFU GWAJIMA anachokifanya ni ku compliment missing doubtful information about the vaccine.

kama chanjo imetolewa under EMERGENCY USE UUTHORIZATION kwamba wanayoitoa wahakikishe wanamonitor chanjo hiyo kwa sababu ni" Under an EUA, FDA may allow the use of unapproved medical products, or unapproved uses of approved medical products in an emergency to diagnose, treat, or prevent serious or life-threatening diseases or conditions when certain statutory criteria have been met, including that there are no adequate, approved, and available alternatives""" KOSA LA ASKOFU GWAJIMA LIKO WAPI?

sisi wanasiasa tuache siasa kwa afya za watu.chanjo ni hiari.nashauri kama kuna mtu atalazimishwa chanjo fungua kesi mahakamani na nakuhakikishia utawashinda mapema kabisa

AFYA NI HAKI YAKO .KUTOA ELIMU NI HAKI .

NIWAKUMBUSHE WATU WOTE HASA WANASIASA KUWA KILA CHANJO NI HIARI YA MTU KUKUBARI AU KUKATAA KUCHANJWA.na KAMA CHANJO INAFANYA KAZI INAVYOTAKIWA INATAKIWA IKUKINGE NA UGONJWA.NDIYON MAANA CHANJO NI HIARI .KWAMBA WEWE UNAYECHANJWA HUTAAMBUKIZWA AU UKIAMBIKIZWA USIFE.

Mbona hepatitis B Vaccine hatualazimishani?kwani hepatititis B Hiuwi?


Jioni njema

Covid: What do we know about China's coronavirus vaccines?​

Published13 July
Share
Related Topics
Various medical syringes seen with Sinovac Biotech company logo displayed on a screen in the background.
IMAGE SOURCEGETTY IMAGES
image captionSinovac is a Beijing-based pharmaceutical company
Chinese vaccine producers Sinovac and Sinopharm have signed on to global vaccine sharing scheme Covax, which aims to distribute vaccines to poorer countries.
The Global Alliance for Vaccines and Immunization (Gavi) said it would make 110 million doses of the vaccines available as part of the scheme.
Covax has agreements with the manufacturers of 11 vaccines and plans to provide 2 billion doses across the world by early 2022.
Both Sinopharm and Sinovac, which have been approved by the World Health Organization (WHO) for emergency use, are already being used in China and dozens of countries around the world.
ADVERTISEMENT

But what do we know about China's vaccines and how do they compare to those being developed elsewhere?

media captionHow will the new Pfizer vaccine work?

How does the Sinovac vaccine work?​

The Beijing-based biopharmaceutical company Sinovac is behind the CoronaVac, an inactivated vaccine.

It works by using killed viral particles to expose the body's immune system to the virus without risking a serious disease response.
By comparison the Moderna and Pfizer vaccines are mRNA vaccines. This means part of the coronavirus' genetic code is injected into the body, triggering the body to begin making viral proteins, but not the whole virus, which is enough to train the immune system to attack.
"CoronaVac is a more traditional method [of vaccine] that is successfully used in many well known vaccines like rabies," Associate Prof Luo Dahai of the Nanyang Technological University told the BBC.
On paper, one of Sinovac's main advantages is that it can be stored in a standard refrigerator at 2-8 degrees Celsius, like the Oxford vaccine, which is made from a genetically engineered virus that causes the common cold in chimpanzees.
In contrast Moderna's vaccine needs to be stored at -20C and Pfizer's vaccine at -70C.
It means that both Sinovac and the Oxford-AstraZeneca vaccine are a lot more useful to developing countries which may not have the facilities to store large amounts of vaccine at such low temperatures.
 
Mkuu anaetakiwa kutoa utafiti ni pande zote mbili tusinakili tu hiyo misemo ya kiingereza .

Yaani Gwajiboy aka Chameleon kwanza atoe CV yake ili wanasayansi wengine na wasomi wenye kufuatilia wajue ana utalaam gani ktk mambo hayo anayoongelea na kutolea mada, utafiti wake na data zake za utafiti aliofanya yeye kama yeye aweke mezani halafu ndio apinge kwa vigezo hivyo. Na kuwa muwazi kama kuna data au taarifa amepiga chabo sehemu nyingine.

Mpaka sasa huyu Bishop mzinzi ana anabwabwaja tu akinukuu data ambazo sio zake na haweki wazi chanzo cha taarifa zake.
Halafu ajabu anatokea mtu kama wewe unasema ajibiwe kisayansi na kunukuu misemo ya lugha ya malkia elizabeti.

Kwanza ana chofanya kuongelea kinyume na viongozi wake ni

INSUBORDINATION

Alitakiwa ajiuzulu haraka sana, kwa kwenda kinyume na mamlaka anayoitumikia na kumlipa mshahara.

Hiyo haijalishi jambo husika ni la kipuuzi au vipi kitu cha kwanza unajiuzulu, hiyo ndio sheria isemavyo.

Hili insubordination Paschal Mayalla ameilezea vizuri sana kuwaelimisha watu kama nyie nimeshindwa kupata bandiko lake tuliunge hapa.

Katika nchi yetu viongozi waliotofautiana na mamlaka ni pamoja na Zuberi Mtemvu, Oscar Kambona na Edwin Mtei aliyekuwa gavana wa Benki Kuu.

Mtei alimwambia J.K. Nyerere amekosea uamuzi wake kuhusu IMF( nadhani naomba kusahihishwa hapo).

Nyerere alipogoma kubadili uamuzi Mtei alijiuzulu. Ni Gavana ana heshimika sana mpaka leo.

Huyu Bishop anapinga wakati posho na mishahara anapiga kama kawaida. Kama yeye ana hela ndefu anatumikia wananchi angekubali basi ubunge halafu mshahara na posho angekataa. Hiyo kusema nitaacha ubunge wakati ana weka signature kwenye posho ni upumbafu wa kupitiliza wa kuwadanganya watu wasio makini na inamfanya anaonekana ni kenge tu macho ku mchuzi. Halafu eti ajibiwe kisayansi kwa utafiti gani aliofanya yeye.
 
Duh, Ivi kuna mtaalamu yeyote kwenye taaruma ya utabibu unaemsikilza kuhusu corona au unaishia kwa Ngwajima tu?!.Wengi wanaongelea hili na washajibu hoja za ngwajima,wengine wanampuuza sababu aloongea mengi hayaendani na uhalisia wa sayansi,yaani kachapia sana na vingi alivoongea havina ukweli.Nakushauri nenda instagram na mtafute 'seceangie' utapata majibu yako.
Alafu unaandika USA hata asilimia waliochanjwa america hawafiki hata 10%!?! We unaishi dunia gani,amerika waliochanja ni zaid ya 70% ya population yao.
Mimi nimewasikiliza wenye TAALUMA. wenye TAARUMA siwasikilizi ni Vilaza.😁😁😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom