Je Ungependa kupandisha mauzo
Ya Biashara Yako Ndani Ya Siku 30
Kama jibu lako Ni Ndio Naomba Uniazime Dakika zako Tano Nikuoneshe
Jinsi Ya Kufanya Hivyo
Twende pamoja
Kwenye Ulimwengu Wa Mauzo Kuna Siri
Inatumiwa Na kampuni Chache Sana
Kupandisha Mauzo Ya Kampuni zao
Kama Vile Pepsi,Amazon,Mr uk nk
Na
Siri Hiyo inaitwa Sales Target
Na Je Sale Target Ni Nini
Ngoja Nielezee Hapa Chini
Sale Target ni Kitendo Cha Kuwa na Lengo la idadi ya Bidhaa unazotakiwa
Kuuza Ndani ya kipindi Fulani
Au kuwa na lengo ya idadi watu unaotakiwa Kuwahudumia Kwa Kipindi Fulani Kama Kwa siku,wiki,mwezi nk
Mfano kama Unafanya Biashara ya Magauni ya wanawake Keti Chini Kisha andika idadi ya Magauni
Unayotakiwa kuuza Ndani Ya Mwezi Husika Mfano ikitokea umepata idadi ya Magauni 100
Kwahiyo Baada ya Kupata Hiyo idadi
Unachotakiwa kufanya ni Kuweka
Mikakati ya masoko ili Uweze Kufikisha
Iyo idadi ya Magauni 100
Na
Unaweza Kuamua Kuweka Lengo la siku,
Wiki,Mwaka nk
Na kwanini Mbinu Hii inafanya kazi
Sana kwenye ulimwengu wa Mauzo ni
Kwa Sababu itakufanya uwe Unatumia
Mda wako mwingi Kutangaza na Kuuza Bidhaa zako ili uweze Kutimiza Lengo la idadi ya Bidhaa ulizojiwekea
Na Kampuni inayongoza kwa kutumia Mbinu Hii Ni Kampuni Ya Pepsi,Pepsi Kabla Hawajaaza Kutangaza na Kuuza soda
Timu Yao ya Mauzo uwa inakaa Chini na Kuweka Lengo la idadi ya Soda
Wanazotakiwa kuuza Kwa Mwaka Husika
Wakisha Pata Idadi ya Soda Wanazotakiwa kuuza Ndani Ya Mwaka
Husika
Wanaingia Sokoni Kuaza Kutangaza na Kuuza soda Hadi wafikishe Hiyo idadi Waliojiwekea
Bonasi Tips
Jeff Bezzo Anasema Kuwa na Lengo la idadi ya Bidhaa ambazo Unatakiwa kuuza Ndani ya kipindi Fulani Ndio
Kiashiria Cha kwanza cha Kukuonesha
Kama Mauzo Kwenye Biashara Yako
Yanapanda Au Yanashuka
Tumaini Langu Umepata Kitu Kipya Cha Kujifunza uwe na siku Njema
Ya Biashara Yako Ndani Ya Siku 30
Kama jibu lako Ni Ndio Naomba Uniazime Dakika zako Tano Nikuoneshe
Jinsi Ya Kufanya Hivyo
Twende pamoja
Kwenye Ulimwengu Wa Mauzo Kuna Siri
Inatumiwa Na kampuni Chache Sana
Kupandisha Mauzo Ya Kampuni zao
Kama Vile Pepsi,Amazon,Mr uk nk
Na
Siri Hiyo inaitwa Sales Target
Na Je Sale Target Ni Nini
Ngoja Nielezee Hapa Chini
Sale Target ni Kitendo Cha Kuwa na Lengo la idadi ya Bidhaa unazotakiwa
Kuuza Ndani ya kipindi Fulani
Au kuwa na lengo ya idadi watu unaotakiwa Kuwahudumia Kwa Kipindi Fulani Kama Kwa siku,wiki,mwezi nk
Mfano kama Unafanya Biashara ya Magauni ya wanawake Keti Chini Kisha andika idadi ya Magauni
Unayotakiwa kuuza Ndani Ya Mwezi Husika Mfano ikitokea umepata idadi ya Magauni 100
Kwahiyo Baada ya Kupata Hiyo idadi
Unachotakiwa kufanya ni Kuweka
Mikakati ya masoko ili Uweze Kufikisha
Iyo idadi ya Magauni 100
Na
Unaweza Kuamua Kuweka Lengo la siku,
Wiki,Mwaka nk
Na kwanini Mbinu Hii inafanya kazi
Sana kwenye ulimwengu wa Mauzo ni
Kwa Sababu itakufanya uwe Unatumia
Mda wako mwingi Kutangaza na Kuuza Bidhaa zako ili uweze Kutimiza Lengo la idadi ya Bidhaa ulizojiwekea
Na Kampuni inayongoza kwa kutumia Mbinu Hii Ni Kampuni Ya Pepsi,Pepsi Kabla Hawajaaza Kutangaza na Kuuza soda
Timu Yao ya Mauzo uwa inakaa Chini na Kuweka Lengo la idadi ya Soda
Wanazotakiwa kuuza Kwa Mwaka Husika
Wakisha Pata Idadi ya Soda Wanazotakiwa kuuza Ndani Ya Mwaka
Husika
Wanaingia Sokoni Kuaza Kutangaza na Kuuza soda Hadi wafikishe Hiyo idadi Waliojiwekea
Bonasi Tips
Jeff Bezzo Anasema Kuwa na Lengo la idadi ya Bidhaa ambazo Unatakiwa kuuza Ndani ya kipindi Fulani Ndio
Kiashiria Cha kwanza cha Kukuonesha
Kama Mauzo Kwenye Biashara Yako
Yanapanda Au Yanashuka
Tumaini Langu Umepata Kitu Kipya Cha Kujifunza uwe na siku Njema