Tumepigwa tena? Tovuti ya TRC haina hata mpango kazi wa ujenzi wa SGR Tabora - Kigoma

Sexless

JF-Expert Member
Mar 11, 2017
21,563
50,407
Nimeingia kwenye tovuti ya TRC nimekutana na mpango kazi wa ujenzi wa mtandao wa reli ya kisasa ukiwa na awamu 5. Katika awamu zote hizo hakuna maelezo/ratiba yoyote ya ujenzi wa SGR ya kutoka Tabora mpaka Kigoma.

Kwanini? Serikali ya CCM imetupiga changa la macho tena?

Soma mwenyewe hapa chini uangalie mpango-kazi wa TRC:

Screenshot_20221226-214403.png
 
Awali mwenye kuanzisha hii project hakuweka SGR ifike kigoma, na tukiwa wakweli kupeleka SGR Kigoma is not commercially viable kwa sasa..maswali ni mengi..
1. Nani amechomeka katikati SGR ifike kigoma?
2. Kwa nini mkopo huo uchukuliwe sasa? Kuna haraka gani?
3. Kuna tofauti ya figures za mradi, ni bahati mbaya au ni deal?
4. Ni single source lakini kwa contractor aliyeonyesha uwezo mdogo kabisa kubeba mradi kama huu kwa lot aliyopewa awali, kwa nini kumuongezea?
Kwa haya maswali natamani yaliyotokea msumbiji kwa watu waliingiza nchi kwenye madeni isivyopaswa kufungwa, yatokee hapa siku moja, uzuri taarifa hazipotei, siku amepatikana Rais mzalendo watafungwa watu hata kama wako 80's
Narudia hakuna sababu kabisa kuingia deni kupeleka SGR kigoma wakati reli ya zamani bado ingefaa kwa sasa route ya kigoma..tumeibiwa!
 
Nimeingia kwenye tovuti ya TRC nimekutana na mpango-kazi wa ujenzi wa mtandao wa reli ya kisasa ukiwa na awamu 5. Ktk awamu zote hizo hakuna maelezo/ratiba yoyote ya ujenzi wa SGR ya kutoka Tabora mpk Kigoma.

Kwanini? Serikali ya CCM imetupiga changa la macho tena?

Soma mwenyewe hapa chini uangalie mpango-kazi wa TRC:-

View attachment 2459204
Kama Sheria ya nchi hairuhusu manunuzi ya mitumba,lakini mitumba imenunuliwa!inashindikana nini kujenga reli bila mpango kazi?
 
Kwanini iliyopo isifanyiwe marekebisho mazuri? Kuna ile sijui Mpanda Katavi ikichanganya mpaka vumbi jamani utazani kundi la Ng'ombe wanapita nchi hii utalii kila pahala chuma kinachopita juu ya chuma vumbi pia
 
Ilikuwa na maana Gani kutandika tena mareli wakati yalikuwepo.........Kwa nini wasiboreshe yaliyopo........daa hii bongo bana ........Bora hata ningekuwa kimba urusi uko ninyewe kwenye Karo na mvuta bangi niperekwe kwenye sawage bank basi nifie uko
 
Awali mwenye kuanzisha hii project hakuweka SGR ifike kigoma, na tukiwa wakweli kupeleka SGR Kigoma is not commercially viable kwa sasa..maswali ni mengi..
1. Nani amechomeka katikati SGR ifike kigoma?
2. Kwa nini mkopo huo uchukuliwe sasa? Kuna haraka gani?
3. Kuna tofauti ya figures za mradi, ni bahati mbaya au ni deal?
4. Ni single source lakini kwa contractor aliyeonyesha uwezo mdogo kabisa kubeba mradi kama huu kwa lot aliyopewa awali, kwa nini kumuongezea?
Kwa haya maswali natamani yaliyotokea msumbiji kwa watu waliingiza nchi kwenye madeni isivyopaswa kufungwa, yatokee hapa siku moja, uzuri taarifa hazipotei, siku amepatikana Rais mzalendo watafungwa watu hata kama wako 80's
Narudia hakuna sababu kabisa kuingia deni kupeleka SGR kigoma wakati reli ya zamani bado ingefaa kwa sasa route ya kigoma..tumeibiwa!
Wanao ifahamu reli wanajua kwamba biashara kubwa ipo Kigoma. Mpaka sasa reli ya kati inategemea zaidi mizigo na abiria wa Kigoma kuliko Mwanza
DR Congo na Burundi tegemeo lao kuu ni reli ya Kati, kwa maana hiyo uamuzi wa kupeleka SGR Kigoma ni sahihi
 
Nimeingia kwenye tovuti ya TRC nimekutana na mpango-kazi wa ujenzi wa mtandao wa reli ya kisasa ukiwa na awamu 5. Ktk awamu zote hizo hakuna maelezo/ratiba yoyote ya ujenzi wa SGR ya kutoka Tabora mpk Kigoma.

Kwanini? Serikali ya CCM imetupiga changa la macho tena?

Soma mwenyewe hapa chini uangalie mpango-kazi wa TRC:-

View attachment 2459204
 
Mlishaonywa kua huo ujenzi wa reli ya kisasa ulikufa na bwana yule, yule bwana angekuwepo asingeruhusu haya, alikuwa na nia ya kuufanya huo mradi uipe heshima hii nchi japo Pesa za ujenzi inaonekana ilikuwa mtitii sana,

Tuseme ukweli hii nchi iko mikononi mwa wafanyabiashara kwa mgongo wa wawekezaji, na hawa ndio watakaouteka huo mradi na hata huo mradi wa bwawa la umeme watauteka tu, kubali kataa, hao wafanyabiashara ndio hawa hawa wauzaji na wasambazaji wa vifaa vya magari, mafuta na umeme, pia ni wafanyabiashara wa usafirishaji abiria na mizigo kwa njia za mabasi na malori, na hao hao ndio wanufaikaji wa biashara nyingi nchini.

Ujenzi wa reli ya treni pia ni tishio kwa wauzaji wa vipuri vya mabasi na malori, maana malori yao na mabasi yakipunguza routes mnadhani watauzaje spea?

Ukweli mchungu huo mradi lazima ucheleweshwe na hata ukitimia lzma ufanyiwe hujuma za kuupunguza kasi ama thamani kwa waTanzania ili wauchukie, ni kama hivyo mnavyoletewa matreni ya vita vya pili vya dunia, ili muyachukie na mubaki na safari luxuries za mabasi, karibia90% ya wasafiri wa Dar-Dodoma, dar-moro wangeachana na mabasi, maana treni ingetatua kero ya muda wa safari, usalama, na nauli ya safari, na tungesikia vilio vikubwa vya matajiri wa mabasi wakiilalamikia serikali.

Kwa nchi masikini na isiyo na dira ya maendeleo ni ngumu kutoroka kwenye mitego ya hawa washenzi wanyonyaji wanaojificha kwenye mwamvuli wa wawekezaji.

Wawekezaji bora ni wale wanaoipa thamani miradi ya wazawa.

Sir100 na genge lake la c+c+m hawana huruma na maisha ya waTanzania.
 
Ujenzi wa reli ya treni pia ni tishio kwa wauzaji wa vipuri vya mabasi na malori, maana malori yao na mabasi yakipunguza routes mnadhani watauzaje spea?
Hii hoja haina mantiki. SGR inatoka Dar kwenda mikoa ya kaskaxini magharibi tu. Vipi pande nyingine za nchi, malori hatatatumika?
 
Ukimpata mtalii boya yeyote kwenye harakati zake za kupambana na VISA/passport mng'ang'anie huyo muondoke naye, hata ukawe house boy wake huko maulaya ama mambele na hakikisha unaipata chance, na ukiipata usirudi tena huku nchi ya giza
Ni giza kwelikweli
Tangu 2018 walituambia utaanza kutumika cha ajabu ni kufanya press za kipumbavu tu kila siku
 
Awali mwenye kuanzisha hii project hakuweka SGR ifike kigoma, na tukiwa wakweli kupeleka SGR Kigoma is not commercially viable kwa sasa..maswali ni mengi..
1. Nani amechomeka katikati SGR ifike kigoma?
2. Kwa nini mkopo huo uchukuliwe sasa? Kuna haraka gani?
3. Kuna tofauti ya figures za mradi, ni bahati mbaya au ni deal?
4. Ni single source lakini kwa contractor aliyeonyesha uwezo mdogo kabisa kubeba mradi kama huu kwa lot aliyopewa awali, kwa nini kumuongezea?
Kwa haya maswali natamani yaliyotokea msumbiji kwa watu waliingiza nchi kwenye madeni isivyopaswa kufungwa, yatokee hapa siku moja, uzuri taarifa hazipotei, siku amepatikana Rais mzalendo watafungwa watu hata kama wako 80's
Narudia hakuna sababu kabisa kuingia deni kupeleka SGR kigoma wakati reli ya zamani bado ingefaa kwa sasa route ya kigoma..tumeibiwa!
Kupeleka sgr mwanza Kuna faida gani!?..ya kigoma ni rahisi kuunga na Burundi ambako pia wakongo wanaweza tumia,kupeleka mwanza Kuna faida gani?!..maana treni hairudishi faida ikiwa lengo ni abiria tu
 
Kupeleka sgr mwanza Kuna faida gani!?..ya kigoma ni rahisi kuunga na Burundi ambako pia wakongo wanaweza tumia,kupeleka mwanza Kuna faida gani?!..maana treni hairudishi faida ikiwa lengo ni abiria tu
Jiwe alipeleka SGR Mwanza kwasabb za ukanda na ukabila zilizokuwa zimemlevya. Lkn Mwanza haina tija kwa SGR. Kigoma ndiyo mahala pake
 
Wanao ifahamu reli wanajua kwamba biashara kubwa ipo Kigoma. Mpaka sasa reli ya kati inategemea zaidi mizigo na abiria wa Kigoma kuliko Mwanza
DR Congo na Burundi tegemeo lao kuu ni reli ya Kati, kwa maana hiyo uamuzi wa kupeleka SGR Kigoma ni sahihi
Tunajua zaidi yako, mizigo gani ya DRC na Burundi treni inabeba kwa sasa..treni hukata na kunganisha mabehewa Tabora ..hata kwa kuangalia tu mabehewa ya kwenda mwanza ni mengi zaidi kuliko ya kwenda kigoma..zamani hakukuwepo treni ya mizigo kwenda kigoma treni ya abiria ndiyo ilikuwa inatumika kubeba mabehewa ya mizigo tofauti na mwanza ambako kuna treni ya mizigo na abiria peke yake..lakini route ya mwanza inaserve mikoa 5 shinyanga, mwanza, geita, kagera, mara plus Uganda na Eastern Congo..huwezi linganisha na kigoma..treni inaserve mkoa mmoja tu, tumetumia treni maisha yetu yote, baada ya zao la mchikichi kudorora hakuna biashara nyingine kigoma usidanganye watu hapa, mzigo gani wa DRC na Burundi..
 
Back
Top Bottom