Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 2,595
- 3,085
Huo mkono wake Chuma mbona hajautumia kumzuia malaika mtoa roho, acheni kumtukuza huyo mungu wenu bandiaMagufuli hakumhitaji Kinana wala mjinga yoyote kushinda ule uchaguzi Magufuli alikuwa na mkono wa chuma na ndio uliomrudisha Ikulu.