jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 8,833
- 7,599
Sijuwi kama watakuelewa...Kikwete Urais wake ulikuwa wa ubia na familia na rafiki zake wakina 'ShKubar"! Kama ataruhusiwa kuturudisha huko kutatokea backlash kubwa kutoka kwa wananchi na Samia hata kuwa salama na utawala wake!