Tumechezwa shere! Ruzuku ya bilioni 100 kwenye mafuta ni changa la macho

EWURA imetangaza bei mpya za mafuta Tanzania kwa mwezi July. Ni bei kikomo na bei elekezi.. Maumivu ni kwamba mafuta yamepanda tena bei, kwa hiyo vilio zaidi vinakuja.

Hapa kuna kitu cha kushangaza mno kuhusu serikali yetu, na watu inaowaamini katika kutoa maamuzi...Hivi kuna haja gani ya kutoa ruzuku wakati serikali ingeweza kupunguza tu kodi ya mapato kwa kipindi hiki, huku pia ikipunguza ama kufuta kabisa tozo kwenye mafuta zinazofikia 21 toka organs za serikali? Ambapo baadhi ya organ hizo majukumu yake yanaweza kubebwa na organs nyinginezo?

Kuna nini kinafichwa hapa? Kuna nini kinalindwa hapa? Organs husika ni za serikali, ruzuku inatoka serikalini.. Sasa kujisumbua kote huku kunatokana na nini? Haioni ni kumtaabisha tu mwananchi wa kawaida na kumuongezea mzigo wa maisha magumu tayari aliyonayo!?

EWURA wamekuja na jedwali linaloonesha bei kabla ya ruzuku na bei baada ya ruzuku ili kutuaminisha kwamba serikali imefanya kitu kumsaidia mwananchi. Kama hakuna agenda ya siri hapa basi huu ni uono hafifu mno. Kwenye duru za miamala ya fedha kutoa/kupunguza kuna faida nyingi kuliko kuongeza ama kujazia.

Yaani ni sawa na kuwa na mikono miwili kisha ukaanza kuitaabisha kwa kutoa pesa mfuko wa kulia na kupeleka mfuko wa kushoto na kinyume chake.. Hapo hakuna kitu bali ni michezo ya namba tuu.. Na kwenye kuchezesha hizo number kuna watu wanafaidika kwa kiwango kikubwa mno.

Serikali haimjali mwanamchi. Haimjali kabisaa. Serikali inajali maslahi ya taasisi zake tuu na faida ya wafanyabiashara wa mafuta. Vyovyote namba zitakavyochezeshwa faida ya mfanyabiashara inabaki palepale.. Huyu ni mungu mtu anayelindwa sana.

Chezesha namba kwa kupunguza kodi ya mapato na kufutilia mbali tozo za michongo uone kama mafuta hayatashuka kufikia chini ya 2500 kwa lita. Lakini kuchezesha namba kwa kuweka ruzuku ni upigaji mwingine wa aina yake na kutufanya sisi majuha sana.

Piga hesabu ya matumizi ya mafuta kwa siku kisha kwa mwezi uone hiyo hesabu yake, halafu linganisha na hiyo ruzuku ya million 100 uone jinsi watu wanavyolamba asali kwa vidole vyote.

Hebu ona wafaidikaji wa mafuta pindi yanapotua bandarini, ambapo mwisho wa siku mzigo mkubwa unaenda kwa mwananchi na si serikali ama mfanyabiashara.

1. Total Cost (CIF to Dar Port) = 1162 Tshs/Lita.

Then, LOCAL COSTS PAYABLE TO OTHER AUTHORITIES.

2. Wharfage = 20.6 Tshs/Lita

3. Railway Development Levy (1.5% CIF) = 17.4 Tshs/Lita.

4. Customs Processing Fee = 4.8 Tshs/Lita

5. Weights & Measures (WMA) Fee = 1.0 Tshs/Lita

6. TBS Charge = 1.2 Tshs/Lita

7. TASAC Fee = 3.5 Tshs/Lita

8. EWURA Fee = 6.1 Tshs/Lita

9. Fuel Marking = 14.1 Tshs/Lita

10. Demurrage Costs = 5.5 Tshs/Lita

11. Surveyors Cost = 0.18 Tshs/Lita

12. Financing Cost = 11.6 Tshs/Lita

13. Evaporation Losses = 5.8 Tshs/Lita

14. Fuel Levy = 413. Tshs/Lita

15. Excise Duty = 379 Tshs/Lita

16. Petroleum Fee = 100 Tshs/Lita

17. Oil Marketing Companies Overheads & Margins = 123 Tshs/Lita

18. Charges Payable to Executive Agencies = 1.0 Tshs/Lita

19. Service Levy Payable to Local government authorities (Ushuru wa Halmashauri~ Wholesale) = 5.7 Tshs/Lita

Total Wholesale Price Cap = Tshs/Lita 2275.

Then
1. Retailers Margin = 108 Tshs/Lita

2. Charges payable to Executive Agencies = 5.44 Tshs/Lita

3. Transport Charges (Local) = 10 Tshs/Lita

4. Service Levy payable to Local government authorities (Retail) = 6.1 Tshs/Lita
Ngoja na mimi niingize fee yangu hapo.
 
EWURA imetangaza bei mpya za mafuta Tanzania kwa mwezi July. Ni bei kikomo na bei elekezi.. Maumivu ni kwamba mafuta yamepanda tena bei, kwa hiyo vilio zaidi vinakuja.

Hapa kuna kitu cha kushangaza mno kuhusu serikali yetu, na watu inaowaamini katika kutoa maamuzi...Hivi kuna haja gani ya kutoa ruzuku wakati serikali ingeweza kupunguza tu kodi ya mapato kwa kipindi hiki, huku pia ikipunguza ama kufuta kabisa tozo kwenye mafuta zinazofikia 21 toka organs za serikali? Ambapo baadhi ya organ hizo majukumu yake yanaweza kubebwa na organs nyinginezo?

Kuna nini kinafichwa hapa? Kuna nini kinalindwa hapa? Organs husika ni za serikali, ruzuku inatoka serikalini.. Sasa kujisumbua kote huku kunatokana na nini? Haioni ni kumtaabisha tu mwananchi wa kawaida na kumuongezea mzigo wa maisha magumu tayari aliyonayo!?

EWURA wamekuja na jedwali linaloonesha bei kabla ya ruzuku na bei baada ya ruzuku ili kutuaminisha kwamba serikali imefanya kitu kumsaidia mwananchi. Kama hakuna agenda ya siri hapa basi huu ni uono hafifu mno. Kwenye duru za miamala ya fedha kutoa/kupunguza kuna faida nyingi kuliko kuongeza ama kujazia.

Yaani ni sawa na kuwa na mikono miwili kisha ukaanza kuitaabisha kwa kutoa pesa mfuko wa kulia na kupeleka mfuko wa kushoto na kinyume chake.. Hapo hakuna kitu bali ni michezo ya namba tuu.. Na kwenye kuchezesha hizo number kuna watu wanafaidika kwa kiwango kikubwa mno.

Serikali haimjali mwanamchi. Haimjali kabisaa. Serikali inajali maslahi ya taasisi zake tuu na faida ya wafanyabiashara wa mafuta. Vyovyote namba zitakavyochezeshwa faida ya mfanyabiashara inabaki palepale.. Huyu ni mungu mtu anayelindwa sana.

Chezesha namba kwa kupunguza kodi ya mapato na kufutilia mbali tozo za michongo uone kama mafuta hayatashuka kufikia chini ya 2500 kwa lita. Lakini kuchezesha namba kwa kuweka ruzuku ni upigaji mwingine wa aina yake na kutufanya sisi majuha sana.

Piga hesabu ya matumizi ya mafuta kwa siku kisha kwa mwezi uone hiyo hesabu yake, halafu linganisha na hiyo ruzuku ya million 100 uone jinsi watu wanavyolamba asali kwa vidole vyote.

Hebu ona wafaidikaji wa mafuta pindi yanapotua bandarini, ambapo mwisho wa siku mzigo mkubwa unaenda kwa mwananchi na si serikali ama mfanyabiashara.

1. Total Cost (CIF to Dar Port) = 1162 Tshs/Lita.

Then, LOCAL COSTS PAYABLE TO OTHER AUTHORITIES.

2. Wharfage = 20.6 Tshs/Lita

3. Railway Development Levy (1.5% CIF) = 17.4 Tshs/Lita.

4. Customs Processing Fee = 4.8 Tshs/Lita

5. Weights & Measures (WMA) Fee = 1.0 Tshs/Lita

6. TBS Charge = 1.2 Tshs/Lita

7. TASAC Fee = 3.5 Tshs/Lita

8. EWURA Fee = 6.1 Tshs/Lita

9. Fuel Marking = 14.1 Tshs/Lita

10. Demurrage Costs = 5.5 Tshs/Lita

11. Surveyors Cost = 0.18 Tshs/Lita

12. Financing Cost = 11.6 Tshs/Lita

13. Evaporation Losses = 5.8 Tshs/Lita

14. Fuel Levy = 413. Tshs/Lita

15. Excise Duty = 379 Tshs/Lita

16. Petroleum Fee = 100 Tshs/Lita

17. Oil Marketing Companies Overheads & Margins = 123 Tshs/Lita

18. Charges Payable to Executive Agencies = 1.0 Tshs/Lita

19. Service Levy Payable to Local government authorities (Ushuru wa Halmashauri~ Wholesale) = 5.7 Tshs/Lita

Total Wholesale Price Cap = Tshs/Lita 2275.

Then
1. Retailers Margin = 108 Tshs/Lita

2. Charges payable to Executive Agencies = 5.44 Tshs/Lita

3. Transport Charges (Local) = 10 Tshs/Lita

4. Service Levy payable to Local government authorities (Retail) = 6.1 Tshs/Lita

Kwakweli kwa hali hii gari napaki walahi! Maana pesa imekuwa ngumu kupatikana na kama ivi mafuta yanazidi kupaa..... wanao tuongoza sio tulio wachagua ndo sababu mambo yanakuwa ivi
 
Ninachojua mimi Muislamu anamuona Mkristu kama low class binadamu, hivyo kila kitu kipo hapo, hiyo dharau yote mnayopewa, sababu ni hiyo, haijalishi mtajipendekeza vipi lkn deep down Muislamu has no respect for you, labda usilimu, umeona wanavyoanza kumvaa Majaliwa, Mke wake ni Mkristu nilisikia!
 
Siku 2 au 3 za nyuma nilikuwa sijatembelea vituo vya mafuta leo asubuhi nimeamka gauge iko chini nikasema ngoja nisogee kituoni.

Hamadi nakuta ubao umebadilika kidogo nigombane na pump attendant kuona anataka kunipiga kumbe ndio bei elekezi daah.

Serikali ile ruzuku ilikuwa changa la macho au vipi mana mafuta yamerudi kulekule yalikokuwa.
 
Kwani MAJALIWA K anasemaje? Angalau yeye huwa tofauti na wengine kwenye mambo kama haya ya kitaifa.

Hebu atupe neno la faraja
 
South africa
FB_IMG_1657108650912.jpg
 
Mie muda mwingine nakaa kimya. Hata sisi si ndo tulishangilia sana baada ya mwendazake kufariki na tuliompinga mama tulionekana NI sukuma gang sasa makelele ya nini????

Goja atunyooshe ili sote tuitwe sukuma gang!
Mwanzoni walienda Burundi sasa hivi watakuwa wamerudi.
 
Ni kweli kabisa siwezi kukataa kabisa nilifanya vile kwa nyakati husika.. Na hata sasa bado ana nafasi ya kuweza kufanya tofauti na haya yanayoendelea..Lakini kama akikubali kuwa msikivu
Na bado vita ya Urusi na Ukraine haiishi leo wala kesho sisi Sukuma gang tushazoea kunyooshwa kama mnavyo tukejeli.
 
EWURA imetangaza bei mpya za mafuta Tanzania kwa mwezi July. Ni bei kikomo na bei elekezi.. Maumivu ni kwamba mafuta yamepanda tena bei, kwa hiyo vilio zaidi vinakuja.

Hapa kuna kitu cha kushangaza mno kuhusu serikali yetu, na watu inaowaamini katika kutoa maamuzi...Hivi kuna haja gani ya kutoa ruzuku wakati serikali ingeweza kupunguza tu kodi ya mapato kwa kipindi hiki, huku pia ikipunguza ama kufuta kabisa tozo kwenye mafuta zinazofikia 21 toka organs za serikali? Ambapo baadhi ya organ hizo majukumu yake yanaweza kubebwa na organs nyinginezo?

Kuna nini kinafichwa hapa? Kuna nini kinalindwa hapa? Organs husika ni za serikali, ruzuku inatoka serikalini.. Sasa kujisumbua kote huku kunatokana na nini? Haioni ni kumtaabisha tu mwananchi wa kawaida na kumuongezea mzigo wa maisha magumu tayari aliyonayo!?

EWURA wamekuja na jedwali linaloonesha bei kabla ya ruzuku na bei baada ya ruzuku ili kutuaminisha kwamba serikali imefanya kitu kumsaidia mwananchi. Kama hakuna agenda ya siri hapa basi huu ni uono hafifu mno. Kwenye duru za miamala ya fedha kutoa/kupunguza kuna faida nyingi kuliko kuongeza ama kujazia.

Yaani ni sawa na kuwa na mikono miwili kisha ukaanza kuitaabisha kwa kutoa pesa mfuko wa kulia na kupeleka mfuko wa kushoto na kinyume chake.. Hapo hakuna kitu bali ni michezo ya namba tuu.. Na kwenye kuchezesha hizo number kuna watu wanafaidika kwa kiwango kikubwa mno.

Serikali haimjali mwanamchi. Haimjali kabisaa. Serikali inajali maslahi ya taasisi zake tuu na faida ya wafanyabiashara wa mafuta. Vyovyote namba zitakavyochezeshwa faida ya mfanyabiashara inabaki palepale.. Huyu ni mungu mtu anayelindwa sana.

Chezesha namba kwa kupunguza kodi ya mapato na kufutilia mbali tozo za michongo uone kama mafuta hayatashuka kufikia chini ya 2500 kwa lita. Lakini kuchezesha namba kwa kuweka ruzuku ni upigaji mwingine wa aina yake na kutufanya sisi majuha sana.

Piga hesabu ya matumizi ya mafuta kwa siku kisha kwa mwezi uone hiyo hesabu yake, halafu linganisha na hiyo ruzuku ya million 100 uone jinsi watu wanavyolamba asali kwa vidole vyote.

Hebu ona wafaidikaji wa mafuta pindi yanapotua bandarini, ambapo mwisho wa siku mzigo mkubwa unaenda kwa mwananchi na si serikali ama mfanyabiashara.

1. Total Cost (CIF to Dar Port) = 1162 Tshs/Lita.

Then, LOCAL COSTS PAYABLE TO OTHER AUTHORITIES.

2. Wharfage = 20.6 Tshs/Lita

3. Railway Development Levy (1.5% CIF) = 17.4 Tshs/Lita.

4. Customs Processing Fee = 4.8 Tshs/Lita

5. Weights & Measures (WMA) Fee = 1.0 Tshs/Lita

6. TBS Charge = 1.2 Tshs/Lita

7. TASAC Fee = 3.5 Tshs/Lita

8. EWURA Fee = 6.1 Tshs/Lita

9. Fuel Marking = 14.1 Tshs/Lita

10. Demurrage Costs = 5.5 Tshs/Lita

11. Surveyors Cost = 0.18 Tshs/Lita

12. Financing Cost = 11.6 Tshs/Lita

13. Evaporation Losses = 5.8 Tshs/Lita

14. Fuel Levy = 413. Tshs/Lita

15. Excise Duty = 379 Tshs/Lita

16. Petroleum Fee = 100 Tshs/Lita

17. Oil Marketing Companies Overheads & Margins = 123 Tshs/Lita

18. Charges Payable to Executive Agencies = 1.0 Tshs/Lita

19. Service Levy Payable to Local government authorities (Ushuru wa Halmashauri~ Wholesale) = 5.7 Tshs/Lita

Total Wholesale Price Cap = Tshs/Lita 2275.

Then
1. Retailers Margin = 108 Tshs/Lita

2. Charges payable to Executive Agencies = 5.44 Tshs/Lita

3. Transport Charges (Local) = 10 Tshs/Lita

4. Service Levy payable to Local government authorities (Retail) = 6.1 Tshs/Lita
Du hayo makolokolo yooote kwanini yasiondolewe?
 
Magufuli aliwezaje kucheza na wafanya biashara?? Kipindi cha Corona tulinunua wese kwa 1,500. Mafuta hayawezi shuka bei sababu viongozi wakubwa wa hii nchi wanafanya biashara za mafuta.

Na kwanini serikali isichukue jukumu la kuagiza mafuta then ikayauza kwa wafanyabiashara??

HII NCHI ITAJITAMBUA PALE CCM ITAKAVYOTOKA MADARAKANI lasivyo niiteni mbwa nimekaa palee!!
 
Back
Top Bottom