Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 22,781
- 20,024
Shule huna fuata upepo.....Mwanza NYEGEZIMi nna hela wewe. Sina ziki
Shule huna fuata upepo.....Mwanza NYEGEZIMi nna hela wewe. Sina ziki
kati ya wafuasi wa Cdm wajinga na wapuuzi wa Cdm ni wewe.Huna akili bali unapost upuuzi uonekane upo hai Jf.
Adhabu kwa kosa gani?Lissu apewe azabu kali iwe fundisho
Zipo taarifa kuwa baada ya Tundu Lissu kutaka tume ipeleke barua kwake akiwa Serengeti tume imemtuma mtumishi mwandamizi akiwa amepakiwa kwenye pikipiki kupeleka barua hiyo.
Taarifa hizi zinazidi kuumiza kichwa kuhusu Uhuru walionao wajumbe wa tume yetu ya uchaguzi. Uwezo wao wa akili na kama wanaelewa nafasi ya tume katika mchakato wa uchaguzi.
Pikipiki aka bodaboda?
Yani ww unacoment ili mradi wenzio wakuone humu ili wasikunyime buku 7Lissu apewe azabu kali iwe fundisho
HIVI NEC NA ofisi ya msajili ni kitukimojZipo taarifa kuwa baada ya Tundu Lissu kutaka tume ipeleke barua kwake akiwa Serengeti tume imemtuma mtumishi mwandamizi akiwa amepakiwa kwenye pikipiki kupeleka barua hiyo.
Taarifa hizi zinazidi kuumiza kichwa kuhusu Uhuru walionao wajumbe wa tume yetu ya uchaguzi. Uwezo wao wa akili na kama wanaelewa nafasi ya tume katika mchakato wa uchaguzi.
Pikipiki aka bodaboda?
Jamani hii imenikumbusha m-JF mmoja akijulikana kama Faiza Fox (FF) alikuwa akitoa darasa zuri la matumizi sahihi/fasaha ya Kiswahili. Sijui siku hizi yuko wapi? Aliteuliwa uwaziri?azabu?
What's in a name? Watu wenyewe ni wale wale, anayewateua ni yule yule, vitimbwi vyao ni vile vile...HIVI NEC NA ofisi ya msajili ni kitukimoj
Chadema mi siipendi kabisa
Kamwe mkuu kula dagaa, kula ugali na chumvi kwa raha zako kazi ya kuteuliwa ni ngumKuna watu kweli wanatolewaga Majalalani wanapewa kazi hizi za uteuzi
Naamini unafahamu unachoki-instigate.Zipo taarifa kuwa baada ya Tundu Lissu kutaka tume ipeleke barua kwake akiwa Serengeti tume imemtuma mtumishi mwandamizi akiwa amepakiwa kwenye pikipiki kupeleka barua hiyo.
Taarifa hizi zinazidi kuumiza kichwa kuhusu Uhuru walionao wajumbe wa tume yetu ya uchaguzi. Uwezo wao wa akili na kama wanaelewa nafasi ya tume katika mchakato wa uchaguzi.
Pikipiki aka bodaboda?
What I know for sure is , this october i’m voting for TUNDU LISSUu for so many reasons. but the biggest of all is that i don’t want to see some insecure, paranoid man in the highest office in the country who cares very little about laws and constitution. i also ask you to vote for TUNDU LISSU.Naamini unafahamu unachoki-instigate.
Unaongea kama hayawani kwa sababu unaamini wapo low minded watakaokubaliana na hoja zako
Eti "azabu" Kajifunze kuandika kwanzaLissu apewe azabu kali iwe fundisho
Huna ziki ila una dhiki imekutafuna mpaka kwenye ubongoMi nna hela wewe. Sina ziki