Uchaguzi 2020 Tume yapeleka barua Makao Makuu ya CHADEMA kwa pikipiki. Afisa mwandamizi ahusishwa

Huyu ndiyo Mahela Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi unategemea nini hapo.

Screenshot_20200928-221851_Chrome.jpg
 
Nimeona video katika mtandao wa twitter,video inayodaiwa ni ya Msajili Msaidizi akiwa kwenye bodaboda karibu kabisa na ofis za Makao Makuu ya chama kinachotajwa kupelekewa barua hiyo.
Je video yenyewe ndiyo hii?

Kama ndiyo hii nashukuru sana kumfahamu huyu naibu msajili, nimekuwa nikimsikia tu. Hata hivyo nina kaswali kamoja tu kwake...Ndugu Sixty Nyahoza, kwa nini hukuvaa kofia ya chuma (helmet) kama sheria ya barabarani inavyotaka? Au hiyo sheria ni kwa sisi makabwela tu?
 
Mimi ninafikiri hiki kiumbe ni kile kile kimejibatiza Alumni Kawe na Bia yetu. Ukisoma vizuri comments zake muundo ni ule ule na maudhui ni yale yale ya kichekechea. Kwa vile ana hivyo vi-avatar inakusaidia kutosoma hata neno la kwanza la comment. Unapitiliza na inakusaidia kutohangaika kumjibu. Maana kujibizana na mpumbavu nako ni kazi.
Lidume hili linatumia avatar ya demu. Kuna muda huwa anajisahau.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zipo taarifa kuwa baada ya Tundu Lissu kutaka tume ipeleke barua kwake akiwa Serengeti tume imemtuma mtumishi mwandamizi akiwa amepakiwa kwenye pikipiki kupeleka barua hiyo.

Taarifa hizi zinazidi kuumiza kichwa kuhusu Uhuru walionao wajumbe wa tume yetu ya uchaguzi. Uwezo wao wa akili na kama wanaelewa nafasi ya tume katika mchakato wa uchaguzi.

Pikipiki aka bodaboda?
Salute Mingi sana........
 
Je video yenyewe ndiyo hii?
View attachment 1583819
Kama ndiyo hii nashukuru sana kumfahamu huyu naibu msajili, nimekuwa nikimsikia tu. Hata hivyo nina kaswali kamoja tu kwake...Ndugu Sixty Nyahoza, kwa nini hukuvaa kofia ya chuma (helmet) kama sheria ya barabarani inavyotaka? Au hiyo sheria ni kwa sisi makabwela tu?
Wako juu ya sheria hawa!
 
Zipo taarifa kuwa baada ya Tundu Lissu kutaka tume ipeleke barua kwake akiwa Serengeti tume imemtuma mtumishi mwandamizi akiwa amepakiwa kwenye pikipiki kupeleka barua hiyo.

Taarifa hizi zinazidi kuumiza kichwa kuhusu Uhuru walionao wajumbe wa tume yetu ya uchaguzi. Uwezo wao wa akili na kama wanaelewa nafasi ya tume katika mchakato wa uchaguzi.

Pikipiki aka bodaboda?
Hivi ofisi ya Msajili wa vyama siasa na tume ni ofisi moja? Sisti Nyahoza ni afisa wa tume au msajili wa vyama. Mwaka huu tutaona mengi. Au ndio ya mnara wa Babeli?
 
Back
Top Bottom