Je video yenyewe ndiyo hii?Nimeona video katika mtandao wa twitter,video inayodaiwa ni ya Msajili Msaidizi akiwa kwenye bodaboda karibu kabisa na ofis za Makao Makuu ya chama kinachotajwa kupelekewa barua hiyo.
Mi nna hela wewe. Sina zikiMataga mna tabu sana,ushachukua buku Saba zako?
Lidume hili linatumia avatar ya demu. Kuna muda huwa anajisahau.Mimi ninafikiri hiki kiumbe ni kile kile kimejibatiza Alumni Kawe na Bia yetu. Ukisoma vizuri comments zake muundo ni ule ule na maudhui ni yale yale ya kichekechea. Kwa vile ana hivyo vi-avatar inakusaidia kutosoma hata neno la kwanza la comment. Unapitiliza na inakusaidia kutohangaika kumjibu. Maana kujibizana na mpumbavu nako ni kazi.
Salute Mingi sana........Zipo taarifa kuwa baada ya Tundu Lissu kutaka tume ipeleke barua kwake akiwa Serengeti tume imemtuma mtumishi mwandamizi akiwa amepakiwa kwenye pikipiki kupeleka barua hiyo.
Taarifa hizi zinazidi kuumiza kichwa kuhusu Uhuru walionao wajumbe wa tume yetu ya uchaguzi. Uwezo wao wa akili na kama wanaelewa nafasi ya tume katika mchakato wa uchaguzi.
Pikipiki aka bodaboda?
Wako juu ya sheria hawa!Je video yenyewe ndiyo hii?
View attachment 1583819
Kama ndiyo hii nashukuru sana kumfahamu huyu naibu msajili, nimekuwa nikimsikia tu. Hata hivyo nina kaswali kamoja tu kwake...Ndugu Sixty Nyahoza, kwa nini hukuvaa kofia ya chuma (helmet) kama sheria ya barabarani inavyotaka? Au hiyo sheria ni kwa sisi makabwela tu?
Boda boda..... Dada Njoo Ango Babati nikununulie kuku maana dingiii aliharibu hali ya hewaa..Mi nna hela wewe. Sina ziki
Wacha tu Mkuuu.....Shame! Shame! Shame! Very disgracing to NEC.
Uzuli wa Lissu kila hatua wanayotaka kumbana ndio anawafumulia hapo hapo.....Sina wasiwasi na Lissu, lazima kesho ataanika kilichomo
Alafu hata kuandika hujui!!.Ndiyo walivyo hao Chadema. Ata siku moja siyo wakweri
Wako juu ya sheria hawa!
Definitileee Yes...Hahaha ndio ya kuifuta CHADEMA au mualiko wa kuitwa kujieleza?!
CHADEMA kwenye uchaguzi huu inachangiwa na ccm, msajili, cuf na nec.
Hakijui kuandika hicho kibek3....Adhabu sio azabu
Sawa ?
Hivi ofisi ya Msajili wa vyama siasa na tume ni ofisi moja? Sisti Nyahoza ni afisa wa tume au msajili wa vyama. Mwaka huu tutaona mengi. Au ndio ya mnara wa Babeli?Zipo taarifa kuwa baada ya Tundu Lissu kutaka tume ipeleke barua kwake akiwa Serengeti tume imemtuma mtumishi mwandamizi akiwa amepakiwa kwenye pikipiki kupeleka barua hiyo.
Taarifa hizi zinazidi kuumiza kichwa kuhusu Uhuru walionao wajumbe wa tume yetu ya uchaguzi. Uwezo wao wa akili na kama wanaelewa nafasi ya tume katika mchakato wa uchaguzi.
Pikipiki aka bodaboda?
kati ya wafuasi wa Cdm wajinga na wapuuzi wa Cdm ni wewe.Huna akili bali unapost upuuzi uonekane upo hai Jf.KICHAA kaingiwa woga mkubwa sana sasa kabaki KUTAPATAPA!
Dhiki sio ziki....... mweupe kama wali!Mi nna hela wewe. Sina ziki
azabu?Lissu apewe azabu kali iwe fundisho
Kibeki tatu cha slut polepoleHakijui kuandika hicho kibek3....