Uchaguzi 2020 Tume yapeleka barua Makao Makuu ya CHADEMA kwa pikipiki. Afisa mwandamizi ahusishwa

Nimeona video katika mtandao wa twitter,video inayodaiwa ni ya Msajili Msaidizi akiwa kwenye bodaboda karibu kabisa na ofis za Makao Makuu ya chama kinachotajwa kupelekewa barua hiyo.

Kilichonishangaza ni mtu huyo anaedaiwa kuwa Msajili Msaidizi(sura inaonekana kwenye video akiongea na wakazi wa eneo hilo na wanaomtambua watamfahamu wakiona video hiyo) akihojiwa na mtu pembeni mwa barabara opposite na ofisi za chama husika akikiri kufika katika ofisi hiyo kwa bodaboda(utadhani ni comedy fulani ukiona hiyo video).

Kilichinishangaza ni mtu huyo anaedaiwa kuwa ni Msajili Msaidizi anapeleka barua katika ofisi za chama tajwa na kisha anahojiwa na raia mtaani na kukiri kufanya hivyo na kisha anaondoka na bodaboda.Hii ni sawa kwa ofisi kubwa kama hiyo kufanya mambo kama haya?

Hakika inashangaza sana!!

Mods msifute huu uzi watu wajue kinachoendelea vinginevyo wahusika wakanushe ingawa teyari sura ya muhusika iko wazi akiwa na tai yake.
imetokea ajali lengo lilikuwa asijulikane bahati mbaya ikawa sivyo ni sawa kuwanga karibu na asubuhi
 
Nimeona video katika mtandao wa twitter,video inayodaiwa ni ya Msajili Msaidizi akiwa kwenye bodaboda karibu kabisa na ofis za Makao Makuu ya chama kinachotajwa kupelekewa barua hiyo.

Kilichonishangaza ni mtu huyo anaedaiwa kuwa Msajili Msaidizi(sura inaonekana kwenye video akiongea na wakazi wa eneo hilo na wanaomtambua watamfahamu wakiona video hiyo) akihojiwa na mtu pembeni mwa barabara opposite na ofisi za chama husika akikiri kufika katika ofisi hiyo kwa bodaboda(utadhani ni comedy fulani ukiona hiyo video).

Kilichinishangaza ni mtu huyo anaedaiwa kuwa ni Msajili Msaidizi anapeleka barua katika ofisi za chama tajwa na kisha anahojiwa na raia mtaani na kukiri kufanya hivyo na kisha anaondoka na bodaboda.Hii ni sawa kwa ofisi kubwa kama hiyo kufanya mambo kama haya?

Hakika inashangaza sana!!

Mods msifute huu uzi watu wajue kinachoendelea vinginevyo wahusika wakanushe ingawa teyari sura ya muhusika iko wazi akiwa na tai yake.
Mimi nadhani hakuna tatizo. Labda alionelea bodaboda ingemsaidia kuokoa muda/kufika mapema. Au ni njia ipi unadhani ingekuwa bora kutumika!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lissu apewe azabu kali iwe fundisho
JamiiForums-931025076.jpg
 
Kwani NEC na ofisi ya msajili wa vyama ni ofisi moja?!

Hawa wateule wa meko ni aibu kwa taifa, I wish ningekuwa hapo ofisini ningemwambia live matendo yenu ni aibu kwa taifa letu.

Lissu keshasema sheria inataka apewe masaa 48 kujibu hizo tuhuma, sasa hizo mbio zao za bodaboda hazina maana yoyote, na wasijaribu kumsimamisha kuendelea na kampeni, utakuwa ujinga wa kiwango cha juu na fedheha kwa hiyo ofisi.

Akitoka Lissu wamuite na Magufuli akajieleze kwa nini anatoa ahadi za ujenzi wa barabara wakati huu wa kampeni, wakishindwa kufanya hivyo ndio watathibitisha wao ni aibu kwa hili taifa.

Sasa hivi hawaangalii sheria, bali wanaangalia Magufuli anataka nini. Kwao sheria hazina uhakika wa kulinda vibarua vyao, hivyo wanatii chochote atakacho Magufuli, maana hawana ujanja wa kuwa na maisha mazuri nje ya ajira za serikali. Na Magufuli anaujua ukweli huo, hivyo anawapeleka atakavyo, na sio sheria zitakavyo.
 
Zipo taarifa kuwa baada ya Tundu Lisu kutaka tume ipeleke barua kwake akiwa Serengeti tume imemtuma mtumishi mwandamizi akiwa amepakiwa kwenye pikipiki kupeleka barua hiyo.

Taarifa hizi zinazidi kuumiza kichwa kuhusu Uhuru walionao wajumbe wa tume yetu ya uchaguzi. Uwezo wao wa akili na Kama wanaelewa nafasi ya tume katika mchakato wa uchaguzi.

Pikipiki aka bodaboda?


sasa nn cha maaana apa unachotaka kusema? pikipiki sio usafiri ama? au mnataka muweke kwenye ilani yenu? saa ingine hua naaminigi wana cdm hua wanakuaga tungi 24/7,
 
Wee jamaa mbona huwa una kiherehere sana. Kila kitu Chadema.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ninafikiri hiki kiumbe ni kile kile kimejibatiza Alumni Kawe na Bia yetu. Ukisoma vizuri comments zake muundo ni ule ule na maudhui ni yale yale ya kichekechea. Kwa vile ana hivyo vi-avatar inakusaidia kutosoma hata neno la kwanza la comment. Unapitiliza na inakusaidia kutohangaika kumjibu. Maana kujibizana na mpumbavu nako ni kazi.
 
Nimeona video katika mtandao wa twitter,video inayodaiwa ni ya Msajili Msaidizi akiwa kwenye bodaboda karibu kabisa na ofis za Makao Makuu ya chama kinachotajwa kupelekewa barua hiyo.

Kilichonishangaza ni mtu huyo anaedaiwa kuwa Msajili Msaidizi(sura inaonekana kwenye video akiongea na wakazi wa eneo hilo na wanaomtambua watamfahamu wakiona video hiyo) akihojiwa na mtu pembeni mwa barabara opposite na ofisi za chama husika akikiri kufika katika ofisi hiyo kwa bodaboda(utadhani ni comedy fulani ukiona hiyo video).

Kilichinishangaza ni mtu huyo anaedaiwa kuwa ni Msajili Msaidizi anapeleka barua katika ofisi za chama tajwa na kisha anahojiwa na raia mtaani na kukiri kufanya hivyo na kisha anaondoka na bodaboda.Hii ni sawa kwa ofisi kubwa kama hiyo kufanya mambo kama haya?

Hakika inashangaza sana!!

Mods msifute huu uzi watu wajue kinachoendelea vinginevyo wahusika wakanushe ingawa teyari sura ya muhusika iko wazi akiwa na tai yake.
Kuna utopolo na matapolo ya kila aina kwenye serikali ya awamu hii tunapaswa kufanya kitu kuwaondoa hawa watu, ni zaidi tu ya kuwapigia kura ya hapana tunapaswa kuwaondoa hata kwa nguvu.
 
Wamemtaka Lissu ajieleze juu ya kauli yake kuwa atawaingiza watu barabarani. Yeye kawajibu in public kuwa alichosema ni "Tume ihakikishe uchaguzi unakuwa huru matokeo yanatangazwa kwa haki, nothing more nothing less".

Sasa Tatizo liko wapi hapo? Tume inaogopa nini kutahadharishwa kuwa ihakikishe inatenda haki kwa kuwa kinyume chake watu watapinga kwa nguvu zote kama inavyotokea huko Belarus?

Hivi Magufuli asipotendewa haki, atakaa kimya?
 
Kuna magari ya wakurugenzi yashabadilishwa namba mpaka sasa toka SM to ALK.
 
Back
Top Bottom