Uchaguzi 2020 Tume yapeleka barua Makao Makuu ya CHADEMA kwa pikipiki. Afisa mwandamizi ahusishwa

Bado wamechemka ngoja mfundishwe sheria nyie vibaraka wa mhutu , Sasa mlivyopanga mnamwita kupitia mitandaoni mlifikili yeye ni mbumbumbu mwenzenu wa sheria , amewaambia muandike barua mmeandika , Sasa rudieni kuandika nyingine mmekosea mbumbumbu wa sheria nyinyi mpeni saa 48 za kujibu hiyo barua uchwara ya kihutu , kesho tena haji anawapiga kifungu kingine , mtakoma mwaka huu , mtatapika ndoano .
 
What I know for sure is , this october i’m voting for TUNDU LISSUu for so many reasons. but the biggest of all is that i don’t want to see some insecure, paranoid man in the highest office in the country who cares very little about laws and constitution. i also ask you to vote for TUNDU LISSU.

Babymama cariha , pls join me
Online voter.
 
Hahaha ndio ya kuifuta CHADEMA au mualiko wa kuitwa kujieleza?!
CHADEMA kwenye uchaguzi huu inachangiwa na ccm, msajili, cuf na nec.
Najua unamaanisha kuchangiwa, kwamba wanajiunga kuipiga CHADEMA kwa pamoja na siyo michango ya hali na mali!😂😂😂
 
Zipo taarifa kuwa baada ya Tundu Lissu kutaka tume ipeleke barua kwake akiwa Serengeti tume imemtuma mtumishi mwandamizi akiwa amepakiwa kwenye pikipiki kupeleka barua hiyo.

Taarifa hizi zinazidi kuumiza kichwa kuhusu Uhuru walionao wajumbe wa tume yetu ya uchaguzi. Uwezo wao wa akili na kama wanaelewa nafasi ya tume katika mchakato wa uchaguzi.

Pikipiki aka bodaboda?
Tume inajiaibisha na kujiondolea sifa yenyewe.
 
Zipo taarifa kuwa baada ya Tundu Lissu kutaka tume ipeleke barua kwake akiwa Serengeti tume imemtuma mtumishi mwandamizi akiwa amepakiwa kwenye pikipiki kupeleka barua hiyo.

Taarifa hizi zinazidi kuumiza kichwa kuhusu Uhuru walionao wajumbe wa tume yetu ya uchaguzi. Uwezo wao wa akili na kama wanaelewa nafasi ya tume katika mchakato wa uchaguzi.

Pikipiki aka bodaboda?
Uandishi wa Kishabiki sana huu.
Kwanza naamini tu,Kwa uharaka wa jambo hili na lilivyo nyeti, hata foleni inaweza kugharimu mchakato.

Ingawa naona kabisa huu uzi wako, una mfano ule ule wa vijitaarifa vya UZUSHI na UONGO.
TUME sio Mabwege kiasi cha kufanya shughuli zao kwa mtindo wa Taarabu au maonesho, Mtatafuta kila kisingizio safari hii.
 
Wakuu sina cha kuandika nafikisha tu taarifa ,,video zenyewe zi najielezea,ama kweli huu uchaguzi wa kihistoria.
View attachment 1583996
View attachment 1583997
Jamaa zangu hawanaga me gi ni wazoefu wa Siasa za upinzani miaka 25 ya CDM HAO HAWAJUI CHAMA KINGINE KBS NA KWA KART POLISI NA WANAMCHI KUELEWANA NI RAHISI SANA ILA HUKO KWINGINE MTASIKIA MENGI SANA
 
JPM alidhani maflyover, mareli, ma-ndege ndio vitu vya kuombea kura. Kwa dunia ya leo hivyo vitu sio vya kutishia watu; hata watoto wanaviona kila siku kwenye Tv,simu,games nk
Watu wanataka furaha, amani, haki, heshima, shibe - kuishi bila hofu... wameyakosa haya kwa miaka mi5.
 
JPM alidhani maflyover, mareli, ma-ndege ndio vitu vya kuombea kura. Kwa dunia ya leo hivyo vitu sio vya kutishia watu; hata watoto wanaviona kila siku kwenye Tv,simu,games nk
Watu wanataka furaha, amani, haki, heshima, shibe - kuishi bila hofu... wameyakosa haya kwa miaka mi5.
Umesema vema mkuu, miradi ya maendeleo sio hisani ya mtawala, bali ni haki na wajibu kadiri pato la taifa. Tunamhitaji Lissu asimamie katiba bora tuondokane na mfumo wa kifalme wa kishamba.( Leo hii kuanzia VP, PM, Bunge, Mahakama na taasis zote wapo wapo hofu,kusifu na kuabudu) Tunahitaji, uhuru, haki na ustawi wa jamii, mahusiano bora nchi rafiki na jumuia za kimataifa.
 
36 Reactions
Reply
Back
Top Bottom