Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,026
Bado wamechemka ngoja mfundishwe sheria nyie vibaraka wa mhutu , Sasa mlivyopanga mnamwita kupitia mitandaoni mlifikili yeye ni mbumbumbu mwenzenu wa sheria , amewaambia muandike barua mmeandika , Sasa rudieni kuandika nyingine mmekosea mbumbumbu wa sheria nyinyi mpeni saa 48 za kujibu hiyo barua uchwara ya kihutu , kesho tena haji anawapiga kifungu kingine , mtakoma mwaka huu , mtatapika ndoano .