Mwakalinga Bujo
JF-Expert Member
- Oct 22, 2008
- 2,718
- 1,443
Siamini kama haya ni maneno ya Mzee wetu mtei.
Katika mambo ambayo yameturudisha nyuma waafrika kwa takribani karne nzima ni haya ya udini.Hizi dini zimetugawa tumeshindwa kuaminiana hata kuheshimiana.Tumefikia mahali pakuanza kunyoshean vidole sio kuhusu ufanisi wa mtu bali yeye ni wa dini gani.
Sinzani kama ni sahihi kuanza kubaguana kidini
Mtoa mada (Mtei) ana habari kuwa hao waisilamu walio wengi wamepta elimu wakiwa shule zenye misingi ya kikristo ama shule za mchanganyiko wakristo na waislamu!. Muisilamu ama mkristo huwezi mtambua kwa jina ,tupo wengi sana tz wenye majina tofauti na dini zetu. Ni dhahiri waafrika tulio wengi ambao wamepata elimu dunia suala la udini halina nafasi kama alivyoonyesha mtoa mada (Mtei).
Katika mambo ambayo yameturudisha nyuma waafrika kwa takribani karne nzima ni haya ya udini.Hizi dini zimetugawa tumeshindwa kuaminiana hata kuheshimiana.Tumefikia mahali pakuanza kunyoshean vidole sio kuhusu ufanisi wa mtu bali yeye ni wa dini gani.
Sinzani kama ni sahihi kuanza kubaguana kidini
Mtoa mada (Mtei) ana habari kuwa hao waisilamu walio wengi wamepta elimu wakiwa shule zenye misingi ya kikristo ama shule za mchanganyiko wakristo na waislamu!. Muisilamu ama mkristo huwezi mtambua kwa jina ,tupo wengi sana tz wenye majina tofauti na dini zetu. Ni dhahiri waafrika tulio wengi ambao wamepata elimu dunia suala la udini halina nafasi kama alivyoonyesha mtoa mada (Mtei).