Muasis wa CHADEMA mzee MTEI,amesema kuwa tume ya katiba iliyoundwa hivi karibu na JK imejaa waislam wengi!
SOSI:JAMBOLEO
Wivu wa kike
Tusiyawazie haya wadau!
inabidi swala la uwakilishi katika ngazi zote za uongozi liwekwe kwenye katiba hii mpya. Zenji ina watu wasiozidi 2 million, iweje wapewe representation kubwa hivyo?
Mimi nilichoona ina wazanzibari wengi.
haituzuii kupata katiba mpya. ninachoona wazenji ni wengi wakati wanawakilisha watu wachache. anyway, tunajua kama haitakuwa nzuri, CDM tutatengeneza nyingine ndani ya mda mfupi itakayokuwa ya watanzania wengi
Udini umeanzishwa na Kikwete mwenyewe anataka kuturithisha kupitia katiba kitu ambacho nafikiri hatoweza ni sawa na kuchezea kiberiti karibu na pipa la petrol.Please stop this "udini" nonsense!
Pasco