Tume ya mabadiliko ya katiba

Tume ya mabadiliko ya katiba

Mtoa mada (Mtei) ana habari kuwa hao waisilamu walio wengi wamepta elimu wakiwa shule zenye misingi ya kikristo ama shule za mchanganyiko wakristo na waislamu!. Muisilamu ama mkristo huwezi mtambua kwa jina ,tupo wengi sana tz wenye majina tofauti na dini zetu. Ni dhahiri waafrika tulio wengi ambao wamepata elimu dunia suala la udini halina nafasi kama alivyoonyesha mtoa mada (Mtei).
Mwakalinga

Tueleze sign ya kwanza ya kumtambua mtu kuwa huyu ni mwislam au mkristo tofauti na jina, kibaragashia? labda kama tunataka kufungisha ndoa hapo tutalazimika kwenda kuuliza wanakoswalia. Bado nafikiri jina ni sign muhimu ya kwanza ya kutambua madhehebu yao (kabla ya kumuuliza mwenyewe) kitu ambacho ndicho alichofanya mzee Mtei. Yes sikatai kuwa kuna wengine wamechanganya majina kama Augustino Ramadhan lakini si wengi especially kwenye hii kamati wanajulikana.
 
uwivu wa kijinga
Mkuu utakuwa umekosea jukwaa?Maybe ulidhani MMU?

Ishawatokea wengi tu humu.Mambo ya wivu ni kwenye jukwaa la mapenzi mkuu.

Kama ulikusudia kuposti hapa, fafanua zaidi "uwivu" ni kitu gani
 
Namuheshimu sana sana mzee Mtei lakini katika hili amepotaka sana..........................

Ninachoweza kusema kwa sasa ni kwamba hili ni pigo lingine kwa chadema kwenye kusaka kura za uraisi
Nipigo kusaka kura za waislam ambao sasa watadhihirishiwa wazi kuwa CDM ipo against nao

Mtei na CDM wanaju vizuri ni kwanamnagani wamekuwa wakipigana kwa nguvu zote kuwaaminisha wananchi na wapiga kura wao wasikiangalie chama kwa mtazamo wa kidini na kikanda bali kwa sera zao
Lakini leo Mtei anakuja kutuaminisha tuiangalie Tume hii kwa jicho la kikanda(visiwani na bara) na kidini badala ya wajibu wake.........

Siamini wala sitaki kuamini kama kweli Mtei ameandika hivyo na kama kweli ameandika basi natumaini wakati huu atakuwa anajutia alichoandika na pengine ndio maana ameshindwa kurudi walau kujibu hoja hata moja
 
Namuheshimu sana sana mzee Mtei lakini katika hili amepotaka sana..........................

wamekuwa wakipigana kwa nguvu zote kuwaaminisha wananchi na wapiga kura wao wasikiangalie chama kwa mtazamo wa kidini na kikanda bali kwa sera zao
Lakini leo Mtei anakuja kutuaminisha tuiangalie Tume hii kwa jicho la kikanda(visiwani na bara) na kidini badala ya wajibu wake.........

Siamini wala sitaki kuamini kama kweli Mtei ameandika hivyo
Paulss, sasa unatakiwa uamini kuwa ameandika hivyo na ujadili kwanini amepotoka.

Mfano wako wa CHADEMA na katiba ya Tanzania wapi na wapi, ama wewe ni kati ya wale wenye kushindwa kutofautisha kati ya maslahi ya chama na yale ya Taifa?
 
Mzee Mtei tunakuomba mzee wetu rudi kwenye thread yako kuna mambo ya msingi tujadili kwa mustakabali wa nchi yetu.
 
Paulss, sasa unatakiwa uamini kuwa ameandika hivyo na ujadili kwanini amepotoka.

Mfano wako wa CHADEMA na katiba ya Tanzania wapi na wapi, ama wewe ni kati ya wale wenye kushindwa kutofautisha kati ya maslahi ya chama na yale ya Taifa?

Kamanda udini ni udini tu, hautakiwi kwenye ngazi ya vyama hadi kitaifa.......... ndio maana yangu mkuu

Kumbuka vilio vya Waislam Tanzania wanaodai wakristo wanapendelewa na tunavyo wakemea kila kukicha waache kulia lia,
Leo Mtei anafanya nini?
 
Mzee Mtei tunakuomba mzee wetu rudi kwenye thread yako kuna mambo ya msingi tujadili kwa mustakabali wa nchi yetu.
Atakuwa amefanya jambo moja la mbolea sana kuja kuwatoa watu madukuduku yao kuliko kukaa kimya

 
Kamanda udini ni udini tu, hautakiwi kwenye ngazi ya vyama hadi kitaifa.......... ndio maana yangu mkuu

Kumbuka vilio vya Waislam Tanzania wanaodai wakristo wanapendelewa na tunavyo wakemea kila kukicha waache kulia lia,
Leo Mtei anafanya nini?
Mkuu wanaokemewa kuwa waache kulia lia si ndiyo wanaosema kuwa kuna wakristo wengi kwenye tume?Sasa kusema kwamba si kweli bali wengi ni waislam kosa liko wapi?

Issue hapa ni kuutumia muda huu kufutulia mbali ujinga tulionao, ona sasa jinsi hao "wanaokemewa" waache udini jinsi walivyobadilika na kuitetea tume kwa upande wa "mtizamo wa kitanzania" na hapo hapo wakiiponda kwa kutumia "mtizamo wa kitanganyika"

Ukitaka definition ya double standards kama ulikuwa huijui, then just follow this case.
 
Namuheshimu sana sana mzee Mtei lakini katika hili amepotaka sana..........................

Ninachoweza kusema kwa sasa ni kwamba hili ni pigo lingine kwa chadema kwenye kusaka kura za uraisi
Nipigo kusaka kura za waislam ambao sasa watadhihirishiwa wazi kuwa CDM ipo against nao

Mtei na CDM wanaju vizuri ni kwanamnagani wamekuwa wakipigana kwa nguvu zote kuwaaminisha wananchi na wapiga kura wao wasikiangalie chama kwa mtazamo wa kidini na kikanda bali kwa sera zao
Lakini leo Mtei anakuja kutuaminisha tuiangalie Tume hii kwa jicho la kikanda(visiwani na bara) na kidini badala ya wajibu wake.........

Siamini wala sitaki kuamini kama kweli Mtei ameandika hivyo na kama kweli ameandika basi natumaini wakati huu atakuwa anajutia alichoandika na pengine ndio maana ameshindwa kurudi walau kujibu hoja hata moja
Mtei hakuangalia mwisho wa uchaguzi 2015 kama unavyoangalia wewe kaangalia zaidi ya hapo. Kasema kama mtanzania yeyote wala si kama Chadema na hakusema kwa kuogopa eti Chadema kitanyimwa kura. Hatuwezi kuendelea kuishi kwa woga, kuogopa ukisema ukweli unaweza kukosa kitu fulani, lazima tuwe jasiri hata kama ukweli utauma au utatuumiza.
 
Mkuu wanaokemewa kuwa waache kulia lia si ndiyo wanaosema kuwa kuna wakristo wengi kwenye tume?Sasa kusema kwamba si kweli bali wengi ni waislam kosa liko wapi?

Issue hapa ni kuutumia muda huu kufutulia mbali ujinga tulionao, ona sasa jinsi hao "wanaokemewa" waache udini jinsi walivyobadilika na kuitetea tume kwa upande wa "mtizamo wa kitanzania" na hapo hapo wakiiponda kwa kutumia "mtizamo wa kitanganyika"

Ukitaka definition ya double standards kama ulikuwa huijui, then just follow this case.

Mkuu two wrong cant make it right, kama kuna wapuuzi wanaangali kila kitu kwa jicho la kidini kwanini na wewe ufanye hvyo?
BTW Mtei hakuwa anamjibu mtu ametoa maoni yake kuwa ni kichekesho kuwa na wajumbe sawa na pia kuwa na waislam wengi
Anaangukia kule kule bdala ya kuangalia nini tume itafanya yeye anaangalia dini za wanantume na walikotoka............for me too low brod



Kwa mfano ni jambo la kichekesho kwamba Tanzania Bara ambayo ina Watu takriban 42 milioni iwakilishe na wajumbe sawa na Tanzania Zanzibar ambayo ina watu wasiozidi 1.5 milioni. Mfano wa pili ni kwamba, licha ya kwamba Tanzania siyo nchi inayozingatia dini katika maamuzi yake ya kisiasa, ni lazima tukubali kuwa madhehebu ya dini yana influence katika mchakato na hatimaye maamuzi. Nikihesabu Waislamu katika hii Tume kwa kuzingatia majina naona zaidi ya theluthi mbili ni Wao. Wengine ni Wakristo au watu wasiokuwa na dini yoyote.

 
The worse part I always see behind this ID is hipocricy, idiocy, doublestandard, political arrogance et al!

The good part is that this ID is dented with Intellectualism.

Ushauri: Kuwa muwazi na mkweli kwa faida ya nchi yetu...
Kamanda udini ni udini tu, hautakiwi kwenye ngazi ya vyama hadi kitaifa.......... ndio maana yangu mkuu

Kumbuka vilio vya Waislam Tanzania wanaodai wakristo wanapendelewa na tunavyo wakemea kila kukicha waache kulia lia,
Leo Mtei anafanya nini?
 
Mkuu two wrong cant make it right, kama kuna wapuuzi wanaangali kila kitu kwa jicho la kidini kwanini na wewe ufanye hvyo?
BTW Mtei hakuwa anamjibu mtu ametoa maoni yake kuwa ni kichekesho kuwa na wajumbe sawa na pia kuwa na waislam wengi
Siyo lazima aseme anawajibu, busara huwa zinatake different routes, Mzee ameamuwa kutake "a beating", akijuwa matokeo yake mwishowe ni kwa manufaa yetu na si vinginevyo.

Umejuaje kama tunaepuka vita vya wenyewe kwa wenyewe kwa kufuata mkondo huu wa kujadili hili bila woga wa kusema utaitwa hiv ama vile?

Kwani yeye anataka kuwe na wakristo wengi zaidi ya waislam?Ndivyo ulivyomwelewa wewe?

Kama ndivyo anavyomaanisha, yani anataka kuwepo na wakristo wengi zaidi ya waislam, then hilo hata mimi siafiki.

Lakini kama anataka kuwepo na uwiano ambao utatuondolea hisia flani flani miongoni mwa wananchi, then ndivyo nilivyomwelewa na i am in for it.

Mfano wako wa "two wrongs dont make one right" haumake any sense, only kama utanihakikishia kuwa Mzee Mtei anataka wakristo wengi kuliko waislam kwenye tume ya katiba.
 
Japo siafikiani na mawazo ya Mtei kwenye hili ila ana point. Na kama tukimbeza mzee Mtei na kutaka kuanza kucheza siasa kwa malengo kumalizana kivyama, Ni wazi kuwa zitakazoumia ni Nyasi (mchakato wa kupata katiba bora). Kama ambavyo JK aliwahi kusema wakati wa kampeni kuwa nchi sasa inaanza kuchagua watu kwa kuangalia dini, basi Mtei nae ana haki ya kuongea alichoongea. Sitaki kusema kuwa password yake imekuwa hacked na si yeye ila naandika nikiwa naamini kuwa mwanzilishi wa thread ni mzee Mtei.

Anachoongea Mtei hadharani ni ambacho watu wengi wanakiongelea faragha. Mchakato huu umepelekwa kibabe bila ya kuwa na national concesus ya jinsi ya kuufanya kwa kuwa tu chama fulani kinajiona kina hati miliki. Hivi kwa mfano katika kuunda tume JK angepewa nafasi ya mwisho tu katika mchakato mzima yaani kutia saini ama kukataa ila pia kama 75% ya tume wakikubali anakuwa over ruled na mambo mengine yote yafanywe kwa kutunga sheria nzuri ya mchakato angekosa nini?. Mfano sheria ingetaja wazi makundi yote ya jamii yaliyo Tanzania kushiriki katika tume na idadi yao na Rais awe mratibu yaani apokee majina yote toka sehemu zote na kuyatangaza angekosa nini?

Mfano sheria ingesema Tume iwe na idadi ya wajumbe watakaotokana na makundi haya
  1. Serikali ya muungano wajumbe 5
  2. Serikali ya mapinduzi wajumbe 5
  3. Madhehebu yote ya kiislam wajumbe 3
  4. Madhehebu yote ya kikristo wajumbe 3
  5. Wasikuwa na imani ya dini hizo mbili hapo juu wajumbe 3
  6. Wakulima wajumbe 3
  7. Wafanyakazi wajumbe 3
  8. Wafanya biashara wajumbe 3
  9. Vyama vya siasa vyenye wabunge wajumbe 3 kila chama bila kujali idadi yao
  10. Walemavu wajumbe watatu 3
  11. Wasomi wajumbe 3

Pia katika sheria iweke minimum qualification ya wajumbe ni at least first degree, na kuwataka vikundi husika wawakilishe majina matatu kwa Rais ambayo yatakuwa vetted na kuangaliwa kama wamekidhi sifa za kwenye sheria na kama hawajakidhi basi majina yatakatwa na hakuna replacement. Tungeepusha manung'uniko kama haya ya Mzee Mtei. Huu mchakato tusipokuwa makini utakuwa ni igizo tu na Katiba kamili itapatikana baadae watanzania watakapokuwa na utashi wao.
 
Mtei hakuangalia mwisho wa uchaguzi 2015 kama unavyoangalia wewe kaangalia zaidi ya hapo. Kasema kama mtanzania yeyote wala si kama Chadema na hakusema kwa kuogopa eti Chadema kitanyimwa kura. Hatuwezi kuendelea kuishi kwa woga, kuogopa ukisema ukweli unaweza kukosa kitu fulani, lazima tuwe jasiri hata kama ukweli utauma au utatuumiza.
UKWELI?..........ukweli upi mkuu unaouzungumzia wewe hapa
Haya ni maoni yake tu mkuu, na hapa tunazungumzia impact ya maoni yake katika jamii kutokana na influence yake
 
We mzee kweli umezeeka kwa nini usicheze na wajukuu kuliko kutuletea udini wako huku.Mbona waislamu bara ni 4 au we hilo ulioni.Wazee wengine badala mjenge nchi kwa mawazo mazuri nyie ndo kwanza mnavuruga nchi.Pasaka njema mzee au ulipata hayo mawazo ulipokuwa unatoka church nini.
 
Siyo lazima aseme anawajibu, busara huwa zinatake different routes, Mzee ameamuwa kutake "a beating", akijuwa matokeo yake mwishowe ni kwa manufaa yetu na si vinginevyo.

Umejuaje kama tunaepuka vita vya wenyewe kwa wenyewe kwa kufuata mkondo huu wa kujadili hili bila woga wa kusema utaitwa hiv ama vile?

Kwani yeye anataka kuwe na wakristo wengi zaidi ya waislam?Ndivyo ulivyomwelewa wewe?

Kama ndivyo anavyomaanisha, yani anataka kuwepo na wakristo wengi zaidi ya waislam, then hilo hata mimi siafiki.

Lakini kama anataka kuwepo na uwiano ambao utatuondolea hisia flani flani miongoni mwa wananchi, then ndivyo nilivyomwelewa na i am in for it.

Mfano wako wa "two wrongs dont make one right" haumake any sense, only kama utanihakikishia kuwa Mzee Mtei anataka wakristo wengi kuliko waislam kwenye tume ya katiba.

Mkuu hao wanaolialia na kukemewa waache udini huwa hawataki dini yao ndio wawe wengi HAPANA, wanataka uwiano sawa kama anavyotaka Mtei......... two wrong

Muulize Mtei mwenye toka enzi za mwalimu wao walipokuwa mawaziri kama kuna wakati ilipata kutoke iwe baraza la mawaziri au wakuu wa mikoa, wabunge, makatibu wakuu, mabalozi au idara mbali mbali nyeti kukawa sawa uwiano wa dini, siku zote akina Mtei.....i mean wakristo walikuwa wengi, lakini labda kulikuwa na sababu
Isipokuwa kilichokuwa kinajulikana watu walikuwa wanateuliwa kulingana na vigezo na si dini wala ukanda.

Ndio maana leo hii nashanga sana Mtei kuanza kuangalia teuzi kwa misingi ya Udini na Ukanda


 
UKWELI?..........ukweli upi mkuu unaouzungumzia wewe hapa
Haya ni maoni yake tu mkuu, na hapa tunazungumzia impact ya maoni yake katika jamii kutokana na influence yake
John Mnyika msemaji rasmi wa Chadema ameanzisha thread leo hapa JF akifafanuwa kwamba haya ni maoni binafsi ya Mzee Mtei, kamati maalum iliyokwenda ikulu kuonana na Rais JK bado wanafanya uchambuzi wao na watatoa kauli yao.
Huyu Mzee tumtendee haki kwamba ametumia uhuru wake wa kutoa maoni ingawa hata mimi naona hakujipanga vizuri kutoa maoni yake hili liko wazi.
 
Mnyika keshatoa kauli kamruka mzee mtei maana wanajua teyari kaharibu chama.
Hoja ya mzee mtei ina maana sana kwa kuwa ndio kilio cha siku nyingi cha waislam kuwana equal proportional katika ngazi muhimu.
Natamai hii hoja ijadiliwe kitaifa kwa kuwa italeta usawa na haki katika jamii.
 
Mawazo mazuri lakini bado hao hao wajumbe wa walemavu,wasomi,wakulima wana dini zao watu bado watasema tu mbona waislam au wakristo wengi?
Japo siafikiani na mawazo ya Mtei kwenye hili ila ana point. Na kama tukimbeza mzee Mtei na kutaka kuanza kucheza siasa kwa malengo kumalizana kivyama, Ni wazi kuwa zitakazoumia ni Nyasi (mchakato wa kupata katiba bora). Kama ambavyo JK aliwahi kusema wakati wa kampeni kuwa nchi sasa inaanza kuchagua watu kwa kuangalia dini, basi Mtei nae ana haki ya kuongea alichoongea. Sitaki kusema kuwa password yake imekuwa hacked na si yeye ila naandika nikiwa naamini kuwa mwanzilishi wa thread ni mzee Mtei.

Anachoongea Mtei hadharani ni ambacho watu wengi wanakiongelea faragha. Mchakato huu umepelekwa kibabe bila ya kuwa na national concesus ya jinsi ya kuufanya kwa kuwa tu chama fulani kinajiona kina hati miliki. Hivi kwa mfano katika kuunda tume JK angepewa nafasi ya mwisho tu katika mchakato mzima yaani kutia saini ama kukataa ila pia kama 75% ya tume wakikubali anakuwa over ruled na mambo mengine yote yafanywe kwa kutunga sheria nzuri ya mchakato angekosa nini?. Mfano sheria ingetaja wazi makundi yote ya jamii yaliyo Tanzania kushiriki katika tume na idadi yao na Rais awe mratibu yaani apokee majina yote toka sehemu zote na kuyatangaza angekosa nini?

Mfano sheria ingesema Tume iwe na idadi ya wajumbe watakaotokana na makundi haya
  1. Serikali ya muungano wajumbe 5
  2. Serikali ya mapinduzi wajumbe 5
  3. Madhehebu yote ya kiislam wajumbe 3
  4. Madhehebu yote ya kikristo wajumbe 3
  5. Wasikuwa na imani ya dini hizo mbili hapo juu wajumbe 3
  6. Wakulima wajumbe 3
  7. Wafanyakazi wajumbe 3
  8. Wafanya biashara wajumbe 3
  9. Vyama vya siasa vyenye wabunge wajumbe 3 kila chama bila kujali idadi yao
  10. Walemavu wajumbe watatu 3
  11. Wasomi wajumbe 3

Pia katika sheria iweke minimum qualification ya wajumbe ni at least first degree, na kuwataka vikundi husika wawakilishe majina matatu kwa Rais ambayo yatakuwa vetted na kuangaliwa kama wamekidhi sifa za kwenye sheria na kama hawajakidhi basi majina yatakatwa na hakuna replacement. Tungeepusha manung'uniko kama haya ya Mzee Mtei. Huu mchakato tusipokuwa makini utakuwa ni igizo tu na Katiba kamili itapatikana baadae watanzania watakapokuwa na utashi wao.
 
Back
Top Bottom