Tume ya mabadiliko ya katiba

Tume ya mabadiliko ya katiba

Nadhani wanamzushia huyu mzee kwakweli!Kama kauli hii imetoka kinywani mwake basi naanza kudhani kuwa madai ya udini yanayotolewa na magamba juu ya CDM yanakaukweli fulani hivi!!
 
Hivi kiukweli z'bar hakuna wakristo. Maana serikali yote,bunge lote, tume ya katiba wote dini moja. Utasema hakuna cha kujadili hapa, acheni kufikiri kij....

augustino ramadhan mzaanzibar na mkristo
 
Muasis wa CHADEMA mzee MTEI,amesema kuwa tume ya katiba iliyoundwa hivi karibu na JK imejaa waislam wengi!
SOSI:JAMBOLEO

jk na udini wake,znz ametoa waislam wote wakati kuna wakristu pia?huyu jamaa analeta sana udini tz.
 
Huyu mzee Chuki yake kwa uislam haijifichi tena,kama ni mzalendo asie egemea dini mbona hakufungua kinywa jk alipounda cabinet yenye wakristo 67%,sio kila kisemwacho na CCM ni propaganda sasa ile hoja wanayomsingizia eti JK ndo kaleta udin ndo inaanza kuwaumbua,kama anataka iende sawa basi itamkwe kila uteuzi iwe sawa aone kama hakuanza kuwalilia wachaga
 
Hilo gazeti wamechukua humu humu JF, hiyu thread imetumwa jana na mtu anayejiita Edwin Mtei.
 
duhh mzee nilikuwa namheshimu sana, kwa hili natafakari upya, kwani hiyo tume ni ya kutuswalishaa....? achunge maneno yake kwa umri na heshima alojijengea, hata kama anakerekwa ajaribu kujifichaficha, inamaana magamba wako sahihi, kuwa cdm ni chama cha udini.

Ni mtazamo wake binafsi lazima tuheshimu'huyu kilaza aliyeunda tume ndiye hajui kufikiri
 
Hilo JAMBO LEO linamilikiwa na nani? Kama sikosei nasikia ni Riz moko. Wakiandika mwanach, mwanaalisi au raia mwema ntaamini
 
Hoja ya waislamu wengi haina mashiko.issue hapa ni Wazanzibar wengi. Wanamikoa sita sisi tuna 30 lakini tunakuwa na idadi sawa ya wajumbe, hii haijakaa vyema..

hata Mtei hajaongelea waisalm wengi ameongelea wazenji wengi, naona mtoa maada kaamua wazenji wengi imaanishe waislam wengi
 
MNA UHAKIKA AMEYASEMA??

KWANZA ANGALIA SOURCE YENYEWE NI JAMBA LEO.

By the way hata kama amesema kwani ni uongo?

J.K kaweka waislam wengi kwa karata ya Uzanzibar ili iwe rahisi kuanzisha mahakama ya kadhi, kujiunga na OIC na kuifanya nchi ya sharia.
 
JK ni MFALME WA UDINI nchini. Anataka kuleta mahakama ya kadhi.
 
hata Mtei hajaongelea waisalm wengi ameongelea wazenji wengi, naona mtoa maada kaamua wazenji wengi imaanishe waislam wengi

Mzee anazeeka vibaya hadi anaanza kutoa siri za chama chake!!
 
Jk anatupeleka pabaya

Mawazo mgando! Rejea namna ya tume ilivyopatikana! Kweli chadema ina Agenda isiyokuwa na dhamira ya kweli kwa taifa letu! Na kamwe hamtaongoza nchi hii! Mmejipambanua dhahiri ya kwamba nyinyi ni wabaguzi wa kidini!!
 
Hoja ya waislamu wengi haina mashiko.issue hapa ni Wazanzibar wengi. Wanamikoa sita sisi tuna 30 lakini tunakuwa na idadi sawa ya wajumbe, hii haijakaa vyema..
sijui viongozi wa ccm watumia akili gan kufikiria,sijaona umuhimu wa kuwajaza wazenji kwenye swala la katiba kabsa-yaani kifupi jionsi walivyochangua tu wameshaniboa
 
Wana JF tusiwe kwenye "state of denial" , lazima tuingalie kwa makini kauli ya Mzee Mtei kuwa haikutakiwa kutolewa na mtu kama yeye kwanza akiwa ni mzee makini na pia muasisi wa CDM ambayo tunahangaika kutwa kucha kuitafutia uhalali katika maeneo yenye waislam wengi kwa vile hata tukichukua Nchi leo hatutaweza kuongoza kwa ufanisi bila kuungwa mkono na jamii pana ya ndugu zetu waislamu. Itakuwa jambo baya kama kila kitu tutadai kiwe sawa au wakristo wazidi, tunajua katika mfumo wa serikali kuna wakristo wengi sana mpaka baadhi ya ndugu zetu waislam wanaiita "christian bureaucracy" tafadhali tusifike mahala tukakiangalia kila kitu kwa mtazamo wa kidini kufanya hivyo unajipambanua kuwa wewe ni mdini bali tupime kwa vigezo vya weledi na uadilifu. Mwisho kauli ya Mtei ni kauli yake binafsi na wala si ya CDM!
 
Wana JF tusiwe kwenye "state of denial" , lazima tuingalie kwa makini kauli ya Mzee Mtei kuwa haikutakiwa kutolewa na mtu kama yeye kwanza akiwa ni mzee makini na pia muasisi wa CDM ambayo tunahangaika kutwa kucha kuitafutia uhalali katika maeneo yenye waislam wengi kwa vile hata tukichukua Nchi leo hatutaweza kuongoza kwa ufanisi bila kuungwa mkono na jamii pana ya ndugu zetu waislamu. Itakuwa jambo baya kama kila kitu tutadai kiwe sawa au wakristo wazidi, tunajua katika mfumo wa serikali kuna wakristo wengi sana mpaka baadhi ya ndugu zetu waislam wanaiita "christian bureaucracy" tafadhali tusifike mahala tukakiangalia kila kitu kwa mtazamo wa kidini kufanya hivyo unajipambanua kuwa wewe ni mdini bali tupime kwa vigezo vya weledi na uadilifu. Mwisho kauli ya Mtei ni kauli yake binafsi na wala si ya CDM!

jana alipoleta ile thread nilistuka sana...! nikajiuliza mara mbili Mzee Mtei ni wewe ..?! mkuu! hayo maneno kwenye RED ndiyo ya kuzingatiwa.... ZAID!

M4C
 
Back
Top Bottom