Sn2139
JF-Expert Member
- Apr 9, 2010
- 834
- 251
Pasco, mimi nakuandama kwa sababu wewe unajifanya kuwa well informed and knowledgable kuliko watu wengine kwa muda mrefu sasa. Lakini, bahati mbaya sana, wewe ni sawa na nabii wa uongo tu. Ninakumbuka mifano miwili ili kuthibitisha tuhuma yangu kwako:
(1) Ulisema: Kuna tume ya uchunguzi, iliyoundwa kuchunguza chanzo cha ugonjwa wa Mh Dr Mwakyembe, na ya kwamba tutashangaa, Dr Mwakyembe hakuwekewa sumu, bali ugonjwa wake wa sasa unasababishwa na matumizi mabaya ya dawa za ugonjwa wake alio nao kwa siku nyingi. Sasa hiyo tume haipo..na wewe ulitusihi kuvuta subira..thus, this is nonsense of yours
(2) Kama miezi miwili iliyopita kabla ya campaign za ubunge huko Arumeru, ulitabiri kuwa: "hadi sasa uchaguzi umekwisha, kinachongojewa ni kumtangaza tu Siyoi kama Mbunge wa Arumeru! Sasa hivi Mbunge ni Mh Nasari...Je, unabii wako uko wapi? Wewe ni nabii wa uwongo na unatuudhi sisi watu wazima
You are becoming too much on all false alarts & predictions..Pasco, stop it immediately .. its nonsense of you
Pasco, hapa unataka kutuaminisha nini tena? Kwani ni lini maoni ya wa-Tz yaliwahi kuzingatiwa? Multi-partism tulivote against it by 80% mbona hatukupewa? Mwaka juzi watu wali-vote out wabunge wengi wa CCM wakatangazwa kwa nguvu..nani anasikiliza wakulima na wafanyakazi siku hizi? Tunachoona sasa hivi ni viongozi kutumia udini, rushwa na maguvu ili kuendelea kubaki kwenye uongozi. Je, watu wanapoanza kuwa na mashaka na composition ya tume na kamati hizi wewe unafikiri wanaleta udini sana? No, udini umeleywa na hao unao wateetea. Wananchi sasa wamefahamu hila zao na wanataka kufahamu..wasikilizwe.
Ukiiangalia hiyo Kamati iliyoundwa unapata masuali mengi na mengine yameulizwa ..
(1) Je, kwanini Prof Shivj hakuwekwa kwenye hiyo Kamati? na sisi wote tunajuwa uzalendo wake na ufaham wake mkubwa katika mambo ya sheria na katiba? Je, ni kweli rais anataka Kamati yenye uwezo wa kufanya kazi ? au Kamati yenye uwezo wa kuibeba serikali tu
(2) Kwanini %-ge kubwa ya wajumbe wa Kamati ya Katiba ni kutoka chama tawala tu? Kwani Katiba tunayotaka ni ya CCM?
(3) Tatizo la uwingi wa wajumbe wa dini moja linaonesha mwendelezo wa mchezo na mbinu anazotumia Dkt Kikwete, na hii ndio sababu watu tunalalamika hapa. Kwa nini wewe unajifanya kuvaa miwani ya mbao? Je, unatafuta kupewa ubwabwa
(4) Uwepo wa Warioba na Dkt Salim haimaanishi hiyo Kamati ni nzuri na itakusanya maoni yetu bila hila za kuilinda CCM yako
Wewe ni Mkatoliki kwa jina tu, lakini tayari umeukana u-Katoliki wako kwa kutofautiana na misingi ya kanisa. Wewe anza kuvaa baraghashia ili tukujuwe wazi. Usijifanye Mkatoliki die hard na mtetezi wa Mahakama ya Kadhi na OIC...unatuzuga tu hapa..
Kumbuka kuwa, sisi ni Tanzania, hatupo hapa kuiga kile kinachofanyika Kenya, Uganda, Zanzibar na serikali ya Mkoloni. Sisi tunataka Katiba inayotuunganisha kama nchi ili tukae kwa amani kama hapo awali. Mahakama ya Kadhi ni suala la kidini na wa-Islam hawazuiliwi kuanzisha hiyo Mahakama ya Kadhi. Hata wa-Katoliki wana Mahakama yao na Sharia (canons) zao lakini hawajalazimisha zitambuliwe katika sheria ya nchi na katiba.
Tanzania inafuata utaratibu wa kutenganisha serikali na dini. Nchi haina dini isipokuwa raia zake wana dini zao
Sasa hapo ndio unaongea nini sasa? Yaani hakuna uwezo wa kuleta mabadiliko, siyo? Yaani hata kama hatutaki Muungano hatutaweza kuuvunja? Hilo ndio tunaloogopa. Ndiyo maana tunaituhumu Kamati ilivyoundwa.
Elimu kwa umma ni pamoja na watu kuhoji composition ya Kamati. Tunahoji mambo yote bila mipaka ili tupewe majibu ya kuridhisha. Hapo nyuma tumevurugwa, na kupoteza imani na matumaini. Tuna mashaka na watu kama wewe wanaongea vitu ambavyo hawana uhakika navyo. Kesho mambo yakiwa tofauti hatuna pa kukuhoji na kukuwajibisha
ama kweli this is nonsense
(1) Ulisema: Kuna tume ya uchunguzi, iliyoundwa kuchunguza chanzo cha ugonjwa wa Mh Dr Mwakyembe, na ya kwamba tutashangaa, Dr Mwakyembe hakuwekewa sumu, bali ugonjwa wake wa sasa unasababishwa na matumizi mabaya ya dawa za ugonjwa wake alio nao kwa siku nyingi. Sasa hiyo tume haipo..na wewe ulitusihi kuvuta subira..thus, this is nonsense of yours
(2) Kama miezi miwili iliyopita kabla ya campaign za ubunge huko Arumeru, ulitabiri kuwa: "hadi sasa uchaguzi umekwisha, kinachongojewa ni kumtangaza tu Siyoi kama Mbunge wa Arumeru! Sasa hivi Mbunge ni Mh Nasari...Je, unabii wako uko wapi? Wewe ni nabii wa uwongo na unatuudhi sisi watu wazima
You are becoming too much on all false alarts & predictions..Pasco, stop it immediately .. its nonsense of you
Kule kwenye thread ya Mzee nimejibu na hapa najibu tena!
Kazi ya tume ni kukusanya maoni, hoja ya msingi sio dini za wajumbe wa hiyo tume bali competences zao!. Upatikanaji wa katiba nzuri, utategemea maoni tunayoyatoa na uwezo wa mkusanyaji kuya compile na sio dini yake!.
Pasco
Pasco, hapa unataka kutuaminisha nini tena? Kwani ni lini maoni ya wa-Tz yaliwahi kuzingatiwa? Multi-partism tulivote against it by 80% mbona hatukupewa? Mwaka juzi watu wali-vote out wabunge wengi wa CCM wakatangazwa kwa nguvu..nani anasikiliza wakulima na wafanyakazi siku hizi? Tunachoona sasa hivi ni viongozi kutumia udini, rushwa na maguvu ili kuendelea kubaki kwenye uongozi. Je, watu wanapoanza kuwa na mashaka na composition ya tume na kamati hizi wewe unafikiri wanaleta udini sana? No, udini umeleywa na hao unao wateetea. Wananchi sasa wamefahamu hila zao na wanataka kufahamu..wasikilizwe.
Ukiiangalia hiyo Kamati iliyoundwa unapata masuali mengi na mengine yameulizwa ..
(1) Je, kwanini Prof Shivj hakuwekwa kwenye hiyo Kamati? na sisi wote tunajuwa uzalendo wake na ufaham wake mkubwa katika mambo ya sheria na katiba? Je, ni kweli rais anataka Kamati yenye uwezo wa kufanya kazi ? au Kamati yenye uwezo wa kuibeba serikali tu
(2) Kwanini %-ge kubwa ya wajumbe wa Kamati ya Katiba ni kutoka chama tawala tu? Kwani Katiba tunayotaka ni ya CCM?
(3) Tatizo la uwingi wa wajumbe wa dini moja linaonesha mwendelezo wa mchezo na mbinu anazotumia Dkt Kikwete, na hii ndio sababu watu tunalalamika hapa. Kwa nini wewe unajifanya kuvaa miwani ya mbao? Je, unatafuta kupewa ubwabwa
(4) Uwepo wa Warioba na Dkt Salim haimaanishi hiyo Kamati ni nzuri na itakusanya maoni yetu bila hila za kuilinda CCM yako
..Natishwa na "the motive behind" wa hii karata ya udini kwenye tume ya katiba na sasa kuinganisha na suala la IOC na Mahakama ya Kadhi!. Mimi ni Mkisto tena Mkatoliki die hard!, kwenye suala la matumizi ya "protection", nimetofautiana na msimamo wa kanisa langu, vivyo hivyo sina tatizo na Tanzania kujiunga OIC au kuwepo kwa Mahakama ya Kadhi, kwani mahakama hiyo ilikuwepo enzi za mkoloni, mahakama hiyo ipo Zanzibar, Kenya na Uganda!.Pasco
Wewe ni Mkatoliki kwa jina tu, lakini tayari umeukana u-Katoliki wako kwa kutofautiana na misingi ya kanisa. Wewe anza kuvaa baraghashia ili tukujuwe wazi. Usijifanye Mkatoliki die hard na mtetezi wa Mahakama ya Kadhi na OIC...unatuzuga tu hapa..
Kumbuka kuwa, sisi ni Tanzania, hatupo hapa kuiga kile kinachofanyika Kenya, Uganda, Zanzibar na serikali ya Mkoloni. Sisi tunataka Katiba inayotuunganisha kama nchi ili tukae kwa amani kama hapo awali. Mahakama ya Kadhi ni suala la kidini na wa-Islam hawazuiliwi kuanzisha hiyo Mahakama ya Kadhi. Hata wa-Katoliki wana Mahakama yao na Sharia (canons) zao lakini hawajalazimisha zitambuliwe katika sheria ya nchi na katiba.
Tanzania inafuata utaratibu wa kutenganisha serikali na dini. Nchi haina dini isipokuwa raia zake wana dini zao
Hivyo kitakachoingizwa kwenye katiba mpya hakitokani na wajumbe wengi ni wa imani gani, bali Watanzania waliowengi wanataka nini. Hata kama wajumbe wote 28 wa tume hiyo wangekuwa Wakristu, halamu maoni ya asilimia 30% ya Watanzania wakaitaka mahakama ya kadhi, mahakama hiyo itakuwepo!. Sambamba na suala la uwepo wa muungano, hata kama Wanzanzibari asilimia 99% hawaitaki na asilimia 0.1% tuu ndio wanautaka, muungano utaendelea!.
Kinachohitajika sasa more than anything else ni elimu kwa umma kuhusu zoezi hili!.
Please stop this "udini" nonsense!Pasco
Sasa hapo ndio unaongea nini sasa? Yaani hakuna uwezo wa kuleta mabadiliko, siyo? Yaani hata kama hatutaki Muungano hatutaweza kuuvunja? Hilo ndio tunaloogopa. Ndiyo maana tunaituhumu Kamati ilivyoundwa.
Elimu kwa umma ni pamoja na watu kuhoji composition ya Kamati. Tunahoji mambo yote bila mipaka ili tupewe majibu ya kuridhisha. Hapo nyuma tumevurugwa, na kupoteza imani na matumaini. Tuna mashaka na watu kama wewe wanaongea vitu ambavyo hawana uhakika navyo. Kesho mambo yakiwa tofauti hatuna pa kukuhoji na kukuwajibisha
ama kweli this is nonsense