Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,540
Natumaini kila mmoja ni mzima.
Hivi Tanzania ni li-inji lililofilisika kabisa kuwa hakuna mwenye kufanya kazi mpaka tume au kamati iundwe?
Majuzi kulikuwa na Tume ya Vazi la Taifa, wakimbiza upepo wetu Beijing nilitegemea wangekula Rubega, wamevaa trakisuti.
Kamati ya Mwakyembe, Tume ya Bomani, Tume ya Epa, Tume ya kuchunguza Mgololo, Tume ya Muhimbili I ya mgonjwa wa kichwa kupasuliwa goti na wa goti kupasuliwa kichwa, sasa tume ya kuchunguza mgonjwa wa akili ambaye madawa yaliisha nguvu akachukua tayarodi na kubomoa wenzake ambao nao walifikiri ni maigizo mpaka pale waliporudisha namba!
Bado kutakuwa na tume ya TFF kuchunguza Aden Rage kushinda TFF Tabora, Kamati ya kuichunguza Yanga kuwagomea Simba, Tume kumchunguza Mwanakijiji, FMES na Kuhani kwa nini hawaoni kwa jicho moja, na hata ile tume ya kumtafuta Mchungaji ipeni pesa nyingi tuu na Padiemu za kutosha!
Tume ya Chura ilishamaliza kazi, tume ya Bunge kudai mjusi kafiri ujerumani bado haijaanza kazi, tume kuchunguza kauli ya Mfipa kuwa "Wagunya" hawana nchi, tume kuchunguza ushuzi wa Manji na Mengi upi unaharibu mazingira zaidi!
Bado kuna Tume ya Wangwe kumchunguza marehemu na uhusiano wake na mtuhumiwa, tume ya Masau kutafiti kama kweli anajua kupasua moyo na THI yake, tume, kamat, tume, kamati, tumekamatitumekamatitumekamatiiii...
What the heck? Sasa hata tume kuchunguza mahandaki yaliyoko kwenye barabara Dar!
What in the hell is going on with Tanzania? nothing works efficiently and no one is accountable and responsible enough until a Kamati or a Tume is created!
Naingia mafichoni wakati mnasubiri tume kuchunguza waliomdanganya Raisi kuwa Daraja limekamilika, Kamati kuuchunguza mtumbwi ambao ulikuwa umvushe mto na tume maalum kuchunguza kwa nini Wakwere ni waoga wa maji huku wamezaliwa kando ya bahari!
Msisahau tume ya kuchunguza pesa alizopewa Mtikila na RA na Kamati ya kupinga mahakama ya Kadhi!
Peace!
By the way naunda tume kuchunguza kama kweli Mazese (Maxence DeMello) ameoa au ni danganya toto! ongezea kamati ya kumsaidia JMushi asifungiwe tena na wasiopenda wachaga!
Hivi Tanzania ni li-inji lililofilisika kabisa kuwa hakuna mwenye kufanya kazi mpaka tume au kamati iundwe?
Majuzi kulikuwa na Tume ya Vazi la Taifa, wakimbiza upepo wetu Beijing nilitegemea wangekula Rubega, wamevaa trakisuti.
Kamati ya Mwakyembe, Tume ya Bomani, Tume ya Epa, Tume ya kuchunguza Mgololo, Tume ya Muhimbili I ya mgonjwa wa kichwa kupasuliwa goti na wa goti kupasuliwa kichwa, sasa tume ya kuchunguza mgonjwa wa akili ambaye madawa yaliisha nguvu akachukua tayarodi na kubomoa wenzake ambao nao walifikiri ni maigizo mpaka pale waliporudisha namba!
Bado kutakuwa na tume ya TFF kuchunguza Aden Rage kushinda TFF Tabora, Kamati ya kuichunguza Yanga kuwagomea Simba, Tume kumchunguza Mwanakijiji, FMES na Kuhani kwa nini hawaoni kwa jicho moja, na hata ile tume ya kumtafuta Mchungaji ipeni pesa nyingi tuu na Padiemu za kutosha!
Tume ya Chura ilishamaliza kazi, tume ya Bunge kudai mjusi kafiri ujerumani bado haijaanza kazi, tume kuchunguza kauli ya Mfipa kuwa "Wagunya" hawana nchi, tume kuchunguza ushuzi wa Manji na Mengi upi unaharibu mazingira zaidi!
Bado kuna Tume ya Wangwe kumchunguza marehemu na uhusiano wake na mtuhumiwa, tume ya Masau kutafiti kama kweli anajua kupasua moyo na THI yake, tume, kamat, tume, kamati, tumekamatitumekamatitumekamatiiii...
What the heck? Sasa hata tume kuchunguza mahandaki yaliyoko kwenye barabara Dar!
What in the hell is going on with Tanzania? nothing works efficiently and no one is accountable and responsible enough until a Kamati or a Tume is created!
Naingia mafichoni wakati mnasubiri tume kuchunguza waliomdanganya Raisi kuwa Daraja limekamilika, Kamati kuuchunguza mtumbwi ambao ulikuwa umvushe mto na tume maalum kuchunguza kwa nini Wakwere ni waoga wa maji huku wamezaliwa kando ya bahari!
Msisahau tume ya kuchunguza pesa alizopewa Mtikila na RA na Kamati ya kupinga mahakama ya Kadhi!
Peace!
By the way naunda tume kuchunguza kama kweli Mazese (Maxence DeMello) ameoa au ni danganya toto! ongezea kamati ya kumsaidia JMushi asifungiwe tena na wasiopenda wachaga!
Last edited by a moderator: