Rais Samia ili ku-deal kisawasawa na watu hao, unda Tume ya kijaji kuchunguza mauaji ya MKIRU, kina Ben Saanane, Azory, kushambuliwa kwa Lissu

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,014
144,372
Kwa mtazamo wangu, hili kundi lina agenda moja ya kufanya viongozi wengine wote waliopita waonekane hawatoshi mbele ya Mwendazake akiwemo Mama aliyeko ofisini leo hii wakati si kweli.

Ingawa siikubali CCM na viongozi wake tangu nimeanza kufuatilia siasa za nchi hii, ila siungu mkono huu unafiki wa kumfanya Mwendazake kuwa is the best so far wakati alifunga watu midomo na hata Media zilidhibitiwa ipasavyo na hivyo kufanya wananchi wasikouwa wafutiliaji kutojua mabaya na mapungufu ya Mwendazake na serikali yake.

Mbali na media, hata Bunge lilidhibitiwa na ndio maana hakuna kamati ya Bunge iliiyowahi kuundwa kuchunguza tuhuma zilizokuwa zinaikabili serikali tofauti sana na wakati wa Kikwete, na matokeo yake baadhi ya wananchi waliamini serikali ya Magu ilikuwa almost perfect.

Kama nakumbuka sawa sawa, Hussein Bashe wakati huo akiwa mbunge tu, alikuja na hoja binafsi ya kutaka Bunge lichunguze mauji ya MKiRU, hoja ambayo hata Bungeni haikufika.

Hivyo, katika kukabiliana na mashambulizi ya kumfanya Mama aonekane si chochote mbele ya Mwendazake, namshauri Mama aunde Tume huru kuchunguza tuhuma nzito za wakati wa Mwendazake kama zile za mauji ya MKIRU, kupotea kwa Ben Saanane, Lissu kupigwa risasi, upotevu wa trilioni 1.5, kutekwa kwa MO, n.k.

Mama akifanya hivi na matokeo ya uchunguzi kutangazwa live kupitia television, nina hakika SUKUMA-GANG watapoteana, na watajipa likizo ya muda ya kutooneka wala ku-post chochote mitandaoni. Pia, watakuwa wapole kama kuku alienyeshewa na maji japo wapo wachache wataosalia mitandaoni kuendeleza propaganda zao dhidi ya Mama kuwa haitoshi kumlinganisha na Mwendazake katika kila sekta.

Kama wasemavyo waswajiki: "akuanzae, mmalize". Mama sasa fanya kweli na kama ni noma na iwe noma.

Anyway, hii ni vita ya panzi furaha kwa Kunguru
 
Hizo silaha za Nyuklia zina wakati wake.... ila kwa sasa huo ujanja hana. Anahitaji kanda ya ziwa 2025, kina ngosha wakimgeuka atapata tabu sana. JK walimtesa sana 2010.
 
Mama haaminiki anaweza kuunda tume ya kijaji kuchunguza ugaidi wa mwenyekiti
 
Anyway, hii ni vita ya panzi furaha kwa Kunguru
Naunga mkono hoja
qRI8Gs7.gif

thinkstupid.png
 
Kwa mtazamo wangu, hili kundi lina agenda moja ya kufanya viongozi wengine wote waliopita waonekane hawatoshi mbele ya Mwendazake akiwemo Mama aliyeko ofisini leo hii wakati si kweli.

Ingawa siikubali CCM na viongozi wake tangu nimeanza kufuatilia siasa za nchi hii, ila siungu mkono huu unafiki wa kumfanya Mwendazake kuwa is the best so far wakati alifunga watu midomo na hata Media zilidhibitiwa ipasavyo na hivyo kufanya wananchi wasikouwa wafutiliaji kutojua mabaya na mapungufu ya Mwendazake na serikali yake.

Mbali na media, hata Bunge lilidhibitiwa na ndio maana hakuna kamati ya Bunge iliiyowahi kuundwa kuchunguza tuhuma zilizokuwa zinaikabili serikali tofauti sana na wakati wa Kikwete, na matokeo yake baadhi ya wananchi waliamini serikali ya Magu ilikuwa almost perfect .

Kama nakumbuka sawa sawa, Hussein Bashe wakati huo akiwa mbunge tu, alikuja na hoja binafsi ya kutaka Bunge lichunguze mauji ya MKiRU, hoja ambayo hata Bungeni haikufika.

Hivyo, katika kukabiliana na mashambulizi ya kumfanya Mama aonekane si chochote mbele ya Mwendazake, namshauri Mama aunde Tume huru kuchunguza tuhuma nzito za wakati wa Mwendazake kama zile za mauji ya MKIRU, kupotea kwa Ben Saanane, Lissu kupigwa risasi, upotevu wa trilioni 1.5, kutekwa kwa MO, n.k.

Mama akifanya hivi na matokeo ya uchunguzi kutangazwa live kupitia television, nina hakika SUKUMA-GANG watapoteana, na watajipa likizo ya muda ya kutooneka wala ku-post chochote mitandaoni. Pia, watakuwa wapole kama kuku alienyeshewa na maji japo wapo wachache wataosalia mitandaoni kuendeleza propaganda zao dhidi ya Mama kuwa haitoshi kumlinganisha na Mwendazake katika kila sekta.

Kama wasemavyo waswajiki: "akuanzae, mmalize". Mama sasa fanya kweli na kama ni noma na iwe noma.

Anyway, hii ni vita ya panzi furaha kwa Kunguru
Mbona wakulima na wafugaji wote ni SG au hujui wewe.Unapoteza muda.Piga kazi yote yatakaa sawa.Imba Hapa KAZI TU
 
Aliyekwambia Rais na Mbunge wa Tanzania anategemea hizo takataka za makaratasi zinazoitwa kura ni nani??

Jidanganye.

Katiba Mpya na Tume huru ndio Uchumi wetu.
Kamuulize Joyce banda wa malawi ndio uje, kinana wa 1995 sio wa 2025 keshaanza kuchoka
 
Kwa mtazamo wangu, hili kundi lina agenda moja ya kufanya viongozi wengine wote waliopita waonekane hawatoshi mbele ya Mwendazake akiwemo Mama aliyeko ofisini leo hii wakati si kweli.

Ingawa siikubali CCM na viongozi wake tangu nimeanza kufuatilia siasa za nchi hii, ila siungu mkono huu unafiki wa kumfanya Mwendazake kuwa is the best so far wakati alifunga watu midomo na hata Media zilidhibitiwa ipasavyo na hivyo kufanya wananchi wasikouwa wafutiliaji kutojua mabaya na mapungufu ya Mwendazake na serikali yake.

Mbali na media, hata Bunge lilidhibitiwa na ndio maana hakuna kamati ya Bunge iliiyowahi kuundwa kuchunguza tuhuma zilizokuwa zinaikabili serikali tofauti sana na wakati wa Kikwete, na matokeo yake baadhi ya wananchi waliamini serikali ya Magu ilikuwa almost perfect .

Kama nakumbuka sawa sawa, Hussein Bashe wakati huo akiwa mbunge tu, alikuja na hoja binafsi ya kutaka Bunge lichunguze mauji ya MKiRU, hoja ambayo hata Bungeni haikufika.

Hivyo, katika kukabiliana na mashambulizi ya kumfanya Mama aonekane si chochote mbele ya Mwendazake, namshauri Mama aunde Tume huru kuchunguza tuhuma nzito za wakati wa Mwendazake kama zile za mauji ya MKIRU, kupotea kwa Ben Saanane, Lissu kupigwa risasi, upotevu wa trilioni 1.5, kutekwa kwa MO, n.k.

Mama akifanya hivi na matokeo ya uchunguzi kutangazwa live kupitia television, nina hakika SUKUMA-GANG watapoteana, na watajipa likizo ya muda ya kutooneka wala ku-post chochote mitandaoni. Pia, watakuwa wapole kama kuku alienyeshewa na maji japo wapo wachache wataosalia mitandaoni kuendeleza propaganda zao dhidi ya Mama kuwa haitoshi kumlinganisha na Mwendazake katika kila sekta.

Kama wasemavyo waswajiki: "akuanzae, mmalize". Mama sasa fanya kweli na kama ni noma na iwe noma.

Anyway, hii ni vita ya panzi furaha kwa Kunguru
Nafikiri kilichopo ni Magu gang na Sukuma gang ni kitu tu cha kufikirika.
 
Back
Top Bottom