Tuma salamu zako hapa

Tuma salamu zako hapa

Natuma salam kwa my akanana Passion Lady ujumbe ni me mumiss

Natuma salam kwa Lady doctor ya kwamba Arusha one ana kuzunguka.

Natuma salam kwa Paloma ya kwamba alicho kifanya sosoliso pale yenu bar kimenisikitisha sana.

Natuma salam kwa AshaDii na Nicas Mtei ya kwamba hata sisi huku watukumbuke wasipotee.

Natuma salamu kwa my boss charminglady Mamndenyi ya kwamba ni miezi saba sasa hawajanilipa mshahara wangu na kinacho fata ni kuwasue.

Natuma salam kwa babu Asprin ya kwamba..................

Natuma salam kwa Madame B ya kwamba augue pole maana knockout aliyo hipata toka kwa Elizabeth domonic siyo mchezo.

Natuma salam kwa teacher gfsonwin ya kwamba, je alihusishwa kwenye reseach kabla ya kubadilisha div zero to five?

Natuma salamu kwa Bishanga ya kwamba wanajukwaa wame kumiss na huku umeacha ugomvi wa ufestiledi kati ya The secretary na Kongosho.
 
Last edited by a moderator:
Himidini
pokea salamu zangu
... ujumbe ........ [TABLE="width: 655"]
[TR]
[TD="class: xl67, width: 80, bgcolor: transparent"]Zaburi[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]119[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]66[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Unifundishe akili na maarifa, Maana nimeyaamini maagizo yako. [/TD]
[/TR]
[/TABLE]

^^
Amina Mamndenyi
Nawe soma 1 Timotheo 4:12
^^
 
Last edited by a moderator:

Unapotuma salam unganisha mtu na mkewe, kwa mfano Arushaone na mkewe Lady doctor. Sio unaandika papapapapa kama bata hapa.







Nami sasa natuma salam zangu za upendo kwa Mr Rocky na mkewe Dena Amsi popote walipo, pia natuma salam kwa Kaizer na mkewe DEMBA popote walipo kaunter ya juu.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Natuma salam kwa my akanana Passion Lady ujumbe ni me mumiss

Natuma salam kwa Lady doctor ya kwamba Arusha one ana kuzunguka.

Natuma salam kwa Paloma ya kwamba alicho kifanya sosoliso pale yenu bar kimenisikitisha sana.

Natuma salam kwa AshaDii na Nicas Mtei ya kwamba hata sisi huku watukumbuke wasipotee.

Natuma salamu kwa my boss charminglady Mamndenyi ya kwamba ni miezi saba sasa hawajanilipa mshahara wangu na kinacho fata ni kuwasue.

Natuma salam kwa babu Asprin ya kwamba..................

Natuma salam kwa Madame B ya kwamba augue pole maana knockout aliyo hipata toka kwa Elizabeth domonic siyo mchezo.

Natuma salam kwa teacher gfsonwin ya kwamba, je alihusishwa kwenye reseach kabla ya kubadilisha div zero to five?

Natuma salamu kwa Bishanga ya kwamba wanajukwaa wame kumiss na huku umeacha ugomvi wa ufestiledi kati ya The secretary na Kongosho.

Hilo jina hapo juu kidogo lingefanana na langu.
 
hahahaaa...... Haya poa.
Natuma salamu kwa kaka yangu kipenzi figganigga, kabanga, Mr Rocky. Mtambuzi, MziziMkavu

Washkaji zangu Chimbuvu, Vin Diesel, Mapi, Himidini, grand amour, WA-UKENYENGE, Wisest man, Simplicity, mwungwana, The Boss, mathematics, Jiwe Linaloishi

na mashostito... Madame B, farkhina, The secretary, Sista, miss chagga, Ablessed, MwanajamiiOne, tinna cute, DEMBA, AshaDii christine ibrahim

UJUMBE: TUKUMBUKANE KWENYE POLL: MISS CHIT-CHAT 2013.

figganigga nimetumia fursa aisee maana safari moja huanzisha nyingine lol!
asante...salamu zimefikaa
 
Last edited by a moderator:
Asante kwa kunikumbuka best siku njema
natuma salam kwa mke wangu mpendwa dena amsi chunga sana bishanga ameenda kutafuta kizizi bagamoyo eti anataka akuwekee ili umpende nakupenda sana my wife dena amsi na ni wewe tuu uko moyoni mwangu ( kokutona asione hapa)nawasalimia lady doctor, madame b zion daughter, blaki womani, preta, chocs, amu, mamndenyi, ashadii, gfsonwin, ladyfurahia, sweetlady, arabela, mwaj, king'asti, ablessed, farkhina, the secretary, demba, mwanajamiione, evelyn salt[/mention chocs, charminglady, snowhite, heaven on earth, kokutona, passion lady na paloma kaka zangu snowball, ruttashobolwa, rutashubanyuma, erickb52, arushaone, bak, emt, horsepower, jiwe linaloishi, kiwatengu, sosoliso, mentor, @excellent, kakakiiza, kaizer, figganigga, dark city, asprin, vin diesel, himidini, mzizimkavu, mtambuzi chimbuvu na wewe mwenyewe mchemsho
 
Natuma salam kwa amu ujumbe ni kwamba nitamletea ming'oko.

Natuma salam kwa Mtambuzi ya kwamba hebu rudisha series za kila ijumaa.

Natuma salam kwa lara 1 yakwamba kwanini umepote na nani kakuficha?
 
Last edited by a moderator:
Jf kiujamaa zaidi(radioni na magazetini wanafanya sana), mtumie salamu mwana Jf kwa kum-mention na kumpa ujumbe...na wewe ukiona mtu ameku mention usiuchune..there we go


Natuma selemu kwa wafuatao... Erickb52.. Mr Rocky.. Kaizer.. KakaKiiza.. Mtambuzi.. Kipaji Halisi.. Arushaone.. Mentor.. watu8.. LiverpoolFC... Mzee wa Rula.. Filipo.. Mungi.. Paloma. amu. Chocs... gfsonwin. Arabela. Madame B.. Mamndenyi...my number one girl charminglady...dada yangu kipenzi AshaDii...nanihii wangu Heaven on Earth.. Passionlady.. ladyfurahia..cheupe dawa wangu KOKUTONA...
salam ziwafikie....marafiki zangu wote walio mlogolo....
jamani wino umeisha,wengine kesho......
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom