Tuma salamu zako hapa

Tuma salamu zako hapa

Natuma selemu kwa wafuatao... Erickb52.. Mr Rocky.. Kaizer.. KakaKiiza.. Mtambuzi.. Kipaji Halisi.. Arushaone.. Mentor.. watu8.. LiverpoolFC... Mzee wa Rula.. Filipo.. Mungi.. Paloma. amu. Chocs... gfsonwin. Arabela. Madame B.. Mamndenyi...my number one girl charminglady...dada yangu kipenzi AshaDii...nanihii wangu Heaven on Earth.. Passionlady.. ladyfurahia..cheupe dawa wangu KOKUTONA...
salam ziwafikie....marafiki zangu wote walio mlogolo....
jamani wino umeisha,wengine kesho......

@Vin Diesel
 
hahahaaa...... Haya poa.
Natuma salamu kwa kaka yangu kipenzi figganigga, kabanga, Mr Rocky. Mtambuzi, MziziMkavu

Washkaji zangu Chimbuvu, Vin Diesel, Mapi, Himidini, grand amour, WA-UKENYENGE, Wisest man, Simplicity, mwungwana, The Boss, mathematics, Jiwe Linaloishi

na mashostito... Madame B, farkhina, The secretary, Sista, miss chagga, Ablessed, MwanajamiiOne, tinna cute, DEMBA, AshaDii christine ibrahim

UJUMBE: TUKUMBUKANE KWENYE POLL: MISS CHIT-CHAT 2013.

figganigga nimetumia fursa aisee maana safari moja huanzisha nyingine lol!

Haya wajii
Salam zimefika na zikurudie

Na kura nishapiga bana
Ngoja nimuite na mdogo ako mentor aje akupigie kura
 
Last edited by a moderator:
Napenda kutuma salamu kwa washawasha na majib yake yanayinifanya nicheke peke yangu
 
Salamu zimefika kwa shida kweli Kaizer. Kuna jirani alikuwa mjini ndio akazisikia. Huku redio haishiki mawimbi sawasawa.

Ujumbe: Ukimwona rafiki yangu best wa mabest papaaa Bujibuji msalimie na umwambie Mwita Maranya akipata pesa baada ya kuuza wale ng'ombe wa wizi atanipa nauli nije mjini.

hivi msiri wangu mwaJ Bujibuji alitoka kifungoni kweli?
 
Last edited by a moderator:
mwaJ series zimekuwa nyingi sana hadi tunachanganyikiwa wanatengeneza episode moja kabla hata haijaisha inaanza nyingine mpaka tunachanganyikiwa na hizi movies haziishi kila siku mpya tuu
`
Ni kweli ila nilidhani siku hizi unazifuatilia peke yako Mr Rocky
 
Last edited by a moderator:
Shukran Vin Diesel,hakika zimenifikia
Natuma selemu kwa wafuatao... Erickb52.. Mr Rocky.. Kaizer.. KakaKiiza.. Mtambuzi.. Kipaji Halisi.. Arushaone.. Mentor.. watu8.. LiverpoolFC... Mzee wa Rula.. Filipo.. Mungi.. Paloma. amu. Chocs... gfsonwin. Arabela. Madame B.. Mamndenyi...my number one girl charminglady...dada yangu kipenzi AshaDii...nanihii wangu Heaven on Earth.. Passionlady.. ladyfurahia..cheupe dawa wangu KOKUTONA...
salam ziwafikie....marafiki zangu wote walio mlogolo....
jamani wino umeisha,wengine kesho......
 
Last edited by a moderator:
Vin Diesel???
Natuma selemu kwa wafuatao... Erickb52.. Mr Rocky.. Kaizer.. KakaKiiza.. Mtambuzi.. Kipaji Halisi.. Arushaone.. Mentor.. watu8.. LiverpoolFC... Mzee wa Rula.. Filipo.. Mungi.. Paloma. amu. Chocs... gfsonwin. Arabela. Madame B.. Mamndenyi...my number one girl charminglady...dada yangu kipenzi AshaDii...nanihii wangu Heaven on Earth.. Passionlady.. ladyfurahia..cheupe dawa wangu KOKUTONA...
salam ziwafikie....marafiki zangu wote walio mlogolo....
jamani wino umeisha,wengine kesho......
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom