Tuliowahi 'kuchungulia kaburi' tukutane hapa

Tuliowahi 'kuchungulia kaburi' tukutane hapa

Story yangu inaanza kama ifuatavyo baada ya kumaliza shughuli zangu za kuuza chipsi usiku napita karbu na nyumba ya jiran namsikia bwana mifugo akimwambia jiran yangu ambae ngombe wake alkuwa kasha dead amzike Mara moja kwani alkuwa ana anthrax basi nikaendelea kupeleleza nkaona alpomzka walipomaliza walivyoondoka nikaenda mfukua skuwa na gloves nikavaa mifuko ya Rambo maana nlsikia akisema ugonjwa ni hatar unaambukzwa na bacteria aina ya bacillus anthrax sjui kama nimepatia spelling au laa ila hayanihusu basi tuendelee na story basi bwana nikamuosha nikamkatakata vipande kesho nikamuuze mishkak vipande vilivyobakia nikampa mshkaj aweke kwenye freezer lake maana anatuchaj per day bwana nikauza wee mara watu wakaanza kuanguka baada ya kula wengne kutapika na kuhara palepale RAIA waliponishtukia wakaanza nikimbiza na mapanga wengine magongo sauti zilisikika zikisema "lazma tukukate vipandevipande" kwa bahat nzur kulikuwa kuna fuso sjui Lori hata skumbuk vzr lilikuwa linaanza kuondoka sjui lilikuwa linaenda WAP bas bwana nikalidandia baada ya masaa mawil mule ndan ya fuso simu yangu inaita mama mwenye nyumba anasema upo WAP mbona kuna polis wanakutafuta hapa nikakata Sm mara tena simu inaitaa kapiga RFK take yule mshkaj anatuifadhia nyama akasema nyama yako ina nn jamaa alikuibia kdogo kaenda itumia gheto sahiv ninavyokwambia tumemuwahisha hospital nikakata Sm .gar likiwa linaenda ktk kukaguakagua mule ndan nikakuta magunia kuyacheck ndani naona bangi pia kulikuwa na madawa mengne syajui kumbe skudandia fuso nilidandia kifo Mara gar likasimama kumbe hlo eneo kulikuwa na police patrol nkasikia shuken wote tukague gari
mwendelezo
 
Acha mama aitwe mama. Nikiwa mdogo nina kama miaka 5 miaka ya 1988 hivi. Tunatoka kuteka maji kisimani na na watoto wa jirani. Kumbe houseboy kawaponda na jiwe nyuki wamesambaa mji mzima. Tulikuwa na mizinga mingi ya nyuki home, sasa wameuma kuku wote wamekufa wameuma mbuzi zizini wamekufa ng,ombe tu walifanikiwa kuvunja zizi na kutoroka.
Sina hili wala lile nastukia nimevamiwa na jeshi la nyuki, ukilia wanaingia mdomoni, ukifumbua macho wanakudunga machoni nlitupa ndum lita5 na kukimbia sikwenda hata mita 50 nikazidiwa nikadondoka. Basi kumbe mama aliyekuwa amejifungia alisikia nalia
Mama alitoka ndani bila kujali hao nyuki na kuja kuniokota nlipokuwa na kunipeleka kwa jirani. Kichwani nlikuwa mweupe maana wadudu wale wamedunga sindano zao na kuziacha hapo. Nyuki kumbe wanashambulia kichwani tu. Nikanyweshwa maziwa na maji ya moto nikatapika sumu ya nyuki balaaa. Nikapewa huduma pale baada ya siku 3 nikaanza angalau kuona kidogo. Ila nlikuwa nife aiseee
 
Aisee pole sana vp mama yeye hakudhurika
Acha mama aitwe mama. Nikiwa mdogo nina kama miaka 5 miaka ya 1988 hivi. Tunatoka kuteka maji kisimani na na watoto wa jirani. Kumbe houseboy kawaponda na jiwe nyuki wamesambaa mji mzima. Tulikuwa na mizinga mingi ya nyuki home, sasa wameuma kuku wote wamekufa wameuma mbuzi zizini wamekufa ng,ombe tu walifanikiwa kuvunja zizi na kutoroka.
Sina hili wala lile nastukia nimevamiwa na jeshi la nyuki, ukilia wanaingia mdomoni, ukifumbua macho wanakudunga machoni nlitupa ndum lita5 na kukimbia sikwenda hata mita 50 nikazidiwa nikadondoka. Basi kumbe mama aliyekuwa amejifungia alisikia nalia
Mama alitoka ndani bila kujali hao nyuki na kuja kuniokota nlipokuwa na kunipeleka kwa jirani. Kichwani nlikuwa mweupe maana wadudu wale wamedunga sindano zao na kuziacha hapo. Nyuki kumbe wanashambulia kichwani tu. Nikanyweshwa maziwa na maji ya moto nikatapika sumu ya nyuki balaaa. Nikapewa huduma pale baada ya siku 3 nikaanza angalau kuona kidogo. Ila nlikuwa nife aiseee
 
Sitashau siku ambayo nilikuwa kijijini kwetu nilienda kwa ajili ya mapumziko likizo. Baada ya siku kadhaa nilianza kuumwa jino sana. sikuwa na huduma yoyote kwani ni kijijini ikabidi nipewe dawa za kienyeji lakini sikupona.

Alikuja bwana mmoja aliniambia kuwa ana dawa kwa hiyo ataniletea. Siku moja mida ya saa 7 mchana akaniletea dawa, Hiyo dawa ilikuwa ni ugoro. Aliniambia nisugue jini linaloniuka kisha niweke ugoro nitapona.

Baada ya muda nikafanya hivyo. Nilikua nipo kwenye mashamba ya migomba, Magimbi na mitimiti ya matunda. Baada ya kuweka ule ugoro hali yangu ilibadirika nikaanza kuona mawenge mara nikadondoka chini nikawa sijielewi.

nililala hapi hadi usiku wa manane huku nikiwa nimetafutwa sana bila mafanikio. usiku huo nilianza kung’atwa na fisi mwilini, baada ya fisi kupiga kelele ule usiku na watu kufuatilia ile milio ndio nikaonekana na kukimbizwa zahanati.

Nilipata matibabu kwa muda wa mwezi mzima na sindano za tetenasi sijui na vichaa vya Umbwa [emoji3][emoji3][emoji3] Lakini nashukuru nikapona maisha yakaendelea.

Hadi leo sijarudi kijijini wala sitaki kusikia labda siku nikazikwe huko na sio mm kujipeleka.
 
Sitashau siku ambayo nilikuwa kijijini kwetu nilienda kwa ajili ya mapumziko likizo. Baada ya siku kadhaa nilianza kuumwa jino sana. sikuwa na huduma yoyote kwani ni kijijini ikabidi nipewe dawa za kienyeji lakini sikupona.

Alikuja bwana mmoja aliniambia kuwa ana dawa kwa hiyo ataniletea. Siku moja mida ya saa 7 mchana akaniletea dawa, Hiyo dawa ilikuwa ni ugoro. Aliniambia nisugue jini linaloniuka kisha niweke ugoro nitapona.

Baada ya muda nikafanya hivyo. Nilikua nipo kwenye mashamba ya migomba, Magimbi na mitimiti ya matunda. Baada ya kuweka ule ugoro hali yangu ilibadirika nikaanza kuona mawenge mara nikadondoka chini nikawa sijielewi.

nililala hapi hadi usiku wa manane huku nikiwa nimetafutwa sana bila mafanikio. usiku huo nilianza kung’atwa na fisi mwilini, baada ya fisi kupiga kelele ule usiku na watu kufuatilia ile milio ndio nikaonekana na kukimbizwa zahanati.

Nilipata matibabu kwa muda wa mwezi mzima na sindano za tetenasi sijui na vichaa vya Umbwa [emoji3][emoji3][emoji3] Lakini nashukuru nikapona maisha yakaendelea.

Hadi leo sijarudi kijijini wala sitaki kusikia labda siku nikazikwe huko na sio mm kujipeleka.
Dah pole sana.
 
Sitashau siku ambayo nilikuwa kijijini kwetu nilienda kwa ajili ya mapumziko likizo. Baada ya siku kadhaa nilianza kuumwa jino sana. sikuwa na huduma yoyote kwani ni kijijini ikabidi nipewe dawa za kienyeji lakini sikupona.

Alikuja bwana mmoja aliniambia kuwa ana dawa kwa hiyo ataniletea. Siku moja mida ya saa 7 mchana akaniletea dawa, Hiyo dawa ilikuwa ni ugoro. Aliniambia nisugue jini linaloniuka kisha niweke ugoro nitapona.

Baada ya muda nikafanya hivyo. Nilikua nipo kwenye mashamba ya migomba, Magimbi na mitimiti ya matunda. Baada ya kuweka ule ugoro hali yangu ilibadirika nikaanza kuona mawenge mara nikadondoka chini nikawa sijielewi.

nililala hapi hadi usiku wa manane huku nikiwa nimetafutwa sana bila mafanikio. usiku huo nilianza kung’atwa na fisi mwilini, baada ya fisi kupiga kelele ule usiku na watu kufuatilia ile milio ndio nikaonekana na kukimbizwa zahanati.

Nilipata matibabu kwa muda wa mwezi mzima na sindano za tetenasi sijui na vichaa vya Umbwa [emoji3][emoji3][emoji3] Lakini nashukuru nikapona maisha yakaendelea.

Hadi leo sijarudi kijijini wala sitaki kusikia labda siku nikazikwe huko na sio mm kujipeleka.
Aisee pole sana
 
Acha mama aitwe mama. Nikiwa mdogo nina kama miaka 5 miaka ya 1988 hivi. Tunatoka kuteka maji kisimani na na watoto wa jirani. Kumbe houseboy kawaponda na jiwe nyuki wamesambaa mji mzima. Tulikuwa na mizinga mingi ya nyuki home, sasa wameuma kuku wote wamekufa wameuma mbuzi zizini wamekufa ng,ombe tu walifanikiwa kuvunja zizi na kutoroka.
Sina hili wala lile nastukia nimevamiwa na jeshi la nyuki, ukilia wanaingia mdomoni, ukifumbua macho wanakudunga machoni nlitupa ndum lita5 na kukimbia sikwenda hata mita 50 nikazidiwa nikadondoka. Basi kumbe mama aliyekuwa amejifungia alisikia nalia
Mama alitoka ndani bila kujali hao nyuki na kuja kuniokota nlipokuwa na kunipeleka kwa jirani. Kichwani nlikuwa mweupe maana wadudu wale wamedunga sindano zao na kuziacha hapo. Nyuki kumbe wanashambulia kichwani tu. Nikanyweshwa maziwa na maji ya moto nikatapika sumu ya nyuki balaaa. Nikapewa huduma pale baada ya siku 3 nikaanza angalau kuona kidogo. Ila nlikuwa nife aiseee
Daah pole sana ndugu yangu
 
Mimi nakumbuka nilivyokua kidato cha kwanza kabla shule hazijafunguliwa mama akatutoa twenda kuogelea me na dogo

Kufika pale nikavaa tayari kwa kuogelea nikaingua kwenye ile swimming pool kichwakichwa.

Wacha nidumbukie kama jiwe kumbe kule chini kulikua na kina kirefu sana uko ndani natapatapa kam samaki eti

Bahat nzur nlkua na mama ndio akasanuka kua mezama na yeye akaingia ndan ya maji kuntoa baada ya kunywa mavikombe kadhaa ya maji na mikojo[emoji23][emoji23]

Thanks much to my mama maana ngekua ni marehemu jamani alinitoa pale cha kushangaza na yeye akashindwa kutoka ndio akasaidiwa akatoka kwenye maji
 
Mimi nakumbuka nilivyokua kidato cha kwanza kabla shule hazijafunguliwa mama akatutoa twenda kuogelea me na dogo

Kufika pale nikavaa tayari kwa kuogelea nikaingua kwenye ile swimming pool kichwakichwa.

Wacha nidumbukie kama jiwe kumbe kule chini kulikua na kina kirefu sana uko ndani natapatapa kam samaki eti

Bahat nzur nlkua na mama ndio akasanuka kua mezama na yeye akaingia ndan ya maji kuntoa baada ya kunywa mavikombe kadhaa ya maji na mikojo[emoji23][emoji23]

Thanks much to my mama maana ngekua ni marehemu jamani alinitoa pale cha kushangaza na yeye akashindwa kutoka ndio akasaidiwa akatoka kwenye maji
Pole sana
 
Back
Top Bottom