Tuliowahi 'kuchungulia kaburi' tukutane hapa

Ilikuwaje?
Kaka yangu alikua na kigugumizi tulivyokuwa wadogo alikua anapenda kunikorofisha(tumefuatana) ..nikasikiaga ukimfunikia ungo mtu mwenye kigugumizi wakati anaongea anakosa pumzi..siku yake ikafika Bana alinikorofisha nikasema dawa yako inachemka.

Nikambamba siku hiyo anaongea Tena alikua ananiongelesha kwa ugomvi nikakumbuka ungo nikaingia ndani nikachukua ungo vile anaendelea kuongea nikafunika alianza kukata kuongea ametoa tu mimacho ana hema kwa shida Mama anatoka nje ananikuta nimefunika ungo na mwanae ahemi akaniambia wewe utamuua Kaka yako akawahi kufunua ule ungo.

Tangu hapo akunichokoza tena
 
Kaka yangu alikua na kigugumizi tulivyokuwa wadogo alikua anapenda kunikorofisha(tumefuatana) ..nikasikiaga ukimfunikia ungo mtu mwenye kigugumizi wakati anaongea anakosa pumzi..siku yake ikafika Bana alinikorofisha nikasema dawa yako inachemka.

Nikambamba siku hiyo anaongea Tena alikua ananiongelesha kwa ugomvi nikakumbuka ungo nikaingia ndani nikachukua ungo vile anaendelea kuongea nikafunika alianza kukata kuongea ametoa tu mimacho ana hema kwa shida Mama anatoka nje ananikuta nimefunika ungo na mwanae ahemi akaniambia wewe utamuua Kaka yako akawahi kufunua ule ungo.

Tangu hapo akunichokoza tena
Aisee una balaaa...
 
hii sasa ilikua funga kazi japo mwanzo wake ilikua kam utan na kwa waliosoma shule ya msingi mbata mbeya mjin watakua wanakumbuka (hasa mtot wa meya wa mbeya enzi izo (meya alikua anaitwa kapunga) ndo alikua msaada kwangu kwan tulikua tunakaa mtaan mmoja uitwao nonde

Ilikua siku ya ijumaa na kwa taratibu za shule waislamu wanaruhusiwa kwenda kuswali na wengine vipindi vinaendelea kam kawaida

Tuendelee

2.Kuna mwalimu alikua mkal san sasa akawa amekuja kupiga biti na akawa anasema "leo adhabu ntakazowapa hamatakuja sahau" kwan kuna makosa tulifanya jana yake (ila sikumbuki ni makosa gan).baada ya hapo akawa ametoka kwenda kutafuta fimbo

Basi bwana ujuaji mwingi + utundu nikaruka dirisha ili nitoroke zangu. Yaan ata sielewi kilitokea nin kwan mpak kesho nashindwa kueleza vizur ila nilipokuja kutua chini nikawa nimekatika ulimi na kubaki kipande kidogo san kinachounganisha (apa niweke sawa, kam ushawahi kata nyama basi unakata alaf hautenganishi kabisa yaan unaacha kipande kimoja cha nyama kiungane na kingine)

Ninachokumbuka kidogo ni kuna kitu chenye ncha kilinichoma kidevuni ila kidg saan na nikajigonga kidevun pia .kutokana na kujigonga meno yakaenda kung'ata ulimi na kuchana kabisa

Wakati kitendo kinatokea kumbe yule mtot wa meya aliniona na alikua mkubwa kidg kwangu ndo kwenda kutoa taarifa om.

Basi nikapelekwa hospital iliopo karibu apo apo inaitwa 'kiwanja mpak' (wenyeji wanaifahm).ila wakasema tatiz ni kubwa nikapelekwa moja kwa moja hospitl ya rufaa ya mbeya. Kila daktari alishangaa imekuaje ila hawakuweza kupata jibu kwan muhusika siwezi kuongea kwa wakati huo.

Kumbuka ulimi umekatika kiasi kwamba nikifumbua mdomo basi lazima ulimi nishike na mikono kwan kipande kilichobaki kimeshikwa na ngozi ndogo san (alaf cha kushangaza sikua nasikia maumivu yoyote yale)...kila daktari akawa ansema wazi wazi ili tatizo kubwa na anaweza akawa bubu kabisa apo mama analia balaa kwan mim ndo jembe lake la kwanza.

Kuna mama mmoja (daktari ) akasema najitolea kumshona ila tuwe tayar kwa chochte kitakachotokea kwan hajwah kutana na kitu kam icho (huwa namshukuru mpak kesho yule daktar). Nikashonwa na kupona kabisa ila effect yake nikawa na saut ndogo saan ukilinganisha na umri wangu.

Nashukuru nimepona kabisa saiz nipo fresh san
Duuuh Pole sana brother, Kiwanja Mpaka Nimeuguzwa pale majeraha ya moto pale nikiwa under 5 enzi hizo naishi mbeya.
 
Near death experiance ilinikuta darasa la 4 hiyo,tumechukuana wanne tukaogelee posta hapa pembeni ya pastoni.

Sasa pale kina chake tofauti na sehemu nyingine, hatua tano tu unazama ukizingatia nilikuwa mdogo.

Nakumbuka tulivua sare zetu za shule ya msingi maana tulitoroka shule siku hiyo.Hazikupita hata dk.10 nilikuwa naogelea maji ya kifuani si ndo nikarudi nyuma,kumbe hukohuko kwenye maji kuna shimo ghafla nilivyorudi nyuma hatua moja nikatumbukia.Nilipiga vikombe vyangu vya kutosha bahati nzuri mmoja kati yetu alikuwa darasa la 7 halafu ni mtoto wa bagamoyo,maji anayajua,basi ndo akaja niokoa,nikatoka nje nikawa nimekaa nalinda nguo macho mekundu nimetulia kama ndezi vile.Nashangaa shangaa
😁😁
 
Story yangu inaanza kama ifuatavyo baada ya kumaliza shughuli zangu za kuuza chipsi usiku napita karbu na nyumba ya jiran namsikia bwana mifugo akimwambia jiran yangu ambae ngombe wake alkuwa kasha dead amzike Mara moja kwani alkuwa ana anthrax basi nikaendelea kupeleleza nkaona alpomzka walipomaliza walivyoondoka nikaenda mfukua skuwa na gloves nikavaa mifuko ya Rambo maana nlsikia akisema ugonjwa ni hatar unaambukzwa na bacteria aina ya bacillus anthrax sjui kama nimepatia spelling au laa ila hayanihusu basi tuendelee na story basi bwana nikamuosha nikamkatakata vipande kesho nikamuuze mishkak vipande vilivyobakia nikampa mshkaj aweke kwenye freezer lake maana anatuchaj per day bwana nikauza wee mara watu wakaanza kuanguka baada ya kula wengne kutapika na kuhara palepale RAIA waliponishtukia wakaanza nikimbiza na mapanga wengine magongo sauti zilisikika zikisema "lazma tukukate vipandevipande" kwa bahat nzur kulikuwa kuna fuso sjui Lori hata skumbuk vzr lilikuwa linaanza kuondoka sjui lilikuwa linaenda WAP bas bwana nikalidandia baada ya masaa mawil mule ndan ya fuso simu yangu inaita mama mwenye nyumba anasema upo WAP mbona kuna polis wanakutafuta hapa nikakata Sm mara tena simu inaitaa kapiga RFK take yule mshkaj anatuifadhia nyama akasema nyama yako ina nn jamaa alikuibia kdogo kaenda itumia gheto sahiv ninavyokwambia tumemuwahisha hospital nikakata Sm .gar likiwa linaenda ktk kukaguakagua mule ndan nikakuta magunia kuyacheck ndani naona bangi pia kulikuwa na madawa mengne syajui kumbe skudandia fuso nilidandia kifo Mara gar likasimama kumbe hlo eneo kulikuwa na police patrol nkasikia shuken wote tukague gari
Chai
 
Nakumbuka baada ya kumaliza chuo kikuu Dom,
Niliamua kuanza Maisha dodoma Mjini.

Nilijiingiza katika biashara ya mitumba.Nimetembeza Sana mitumba, baada ya miezi kama sita, nilichoka nikapata kakijiwe Maeneo ya Mashujaa.

Mchana haturuhusiwi,Jioni ikifika ndo tulikuwa tunajiachia kumwaga pembeni mwa barabara ya Mashujaa kama unaelekea jamatini kutoka stendi ya Mabasi Makubwa.

Sasa nilikuwa nakopeshwa mzigo,ili kufidia mzigo uuzwe haraka nilikuwa nawahi sana saa 5 asubuhi mm nimemwaga,nilikuwa namwaga mzigo chini ya miti iliyo pembezoni mwa barabara.

Ikifika jioni nasogea barabarani.

Siku yangu ilifika,nimetandika turubahi vizuri,nikatandaza mzigo wangu,pembeni ya mti Mmoja.

wakapita wateja kama sita hivi wamama wakajaa mbele Mimi nimewageukia nawahudumia.Nimetizama barabara wao wameipa mgongo barabara.

Ghafla tulishtuka kuona kusikia kishindo kikubwa Sana kikiambatana na vumbi kali sana ambalo lilitufanya wote tuonekane kama tumetoka mavumbini ndani ya sekunde tano tu.

Kugeuka nyuma yangu nakuta saloon toyota hiace zile private rangi ya kahawia ikiwa imepigiza kwenye ule mti wangu,huku inaendelea kuunguluma.

Nikashangaa kundi kubwa la watu wamefika pale wameshika vichwa.

Walijua asilimia mia nimeshaaumia maana ni eneo langu.

Nashkuru Mungu skupata hata mchubuko zaidi ya kuoga vumbi,kuibiwa mzigo katika ile taharuki,na Mzigo kuchafuka sana na vumbi.

Kilichoifanya ile gari igote pale kwenye mti. nadhani ni Mungu tu,laiti ingepitiliza saizi nisingekuwa hapa kusimulia,

Ilikuja kubainika kuwa ile gari ilitoka Car wash iliyopo maeneo ya jirani pale maeneo ya garden ya mashujaa,na aliyekuwa anaendesha hakuwa anajua anachofanya ni basi tu utundu wa vijana waosha Magari wakiachiwa Magari.
 
Aisee! Pole sana.
hii sasa ilikua funga kazi japo mwanzo wake ilikua kam utan na kwa waliosoma shule ya msingi mbata mbeya mjin watakua wanakumbuka (hasa mtot wa meya wa mbeya enzi izo (meya alikua anaitwa kapunga) ndo alikua msaada kwangu kwan tulikua tunakaa mtaan mmoja uitwao nonde

Ilikua siku ya ijumaa na kwa taratibu za shule waislamu wanaruhusiwa kwenda kuswali na wengine vipindi vinaendelea kam kawaida

Tuendelee

2.Kuna mwalimu alikua mkal san sasa akawa amekuja kupiga biti na akawa anasema "leo adhabu ntakazowapa hamatakuja sahau" kwan kuna makosa tulifanya jana yake (ila sikumbuki ni makosa gan).baada ya hapo akawa ametoka kwenda kutafuta fimbo

Basi bwana ujuaji mwingi + utundu nikaruka dirisha ili nitoroke zangu. Yaan ata sielewi kilitokea nin kwan mpak kesho nashindwa kueleza vizur ila nilipokuja kutua chini nikawa nimekatika ulimi na kubaki kipande kidogo san kinachounganisha (apa niweke sawa, kam ushawahi kata nyama basi unakata alaf hautenganishi kabisa yaan unaacha kipande kimoja cha nyama kiungane na kingine)

Ninachokumbuka kidogo ni kuna kitu chenye ncha kilinichoma kidevuni ila kidg saan na nikajigonga kidevun pia .kutokana na kujigonga meno yakaenda kung'ata ulimi na kuchana kabisa

Wakati kitendo kinatokea kumbe yule mtot wa meya aliniona na alikua mkubwa kidg kwangu ndo kwenda kutoa taarifa om.

Basi nikapelekwa hospital iliopo karibu apo apo inaitwa 'kiwanja mpak' (wenyeji wanaifahm).ila wakasema tatiz ni kubwa nikapelekwa moja kwa moja hospitl ya rufaa ya mbeya. Kila daktari alishangaa imekuaje ila hawakuweza kupata jibu kwan muhusika siwezi kuongea kwa wakati huo.

Kumbuka ulimi umekatika kiasi kwamba nikifumbua mdomo basi lazima ulimi nishike na mikono kwan kipande kilichobaki kimeshikwa na ngozi ndogo san (alaf cha kushangaza sikua nasikia maumivu yoyote yale)...kila daktari akawa ansema wazi wazi ili tatizo kubwa na anaweza akawa bubu kabisa apo mama analia balaa kwan mim ndo jembe lake la kwanza.

Kuna mama mmoja (daktari ) akasema najitolea kumshona ila tuwe tayar kwa chochte kitakachotokea kwan hajwah kutana na kitu kam icho (huwa namshukuru mpak kesho yule daktar). Nikashonwa na kupona kabisa ila effect yake nikawa na saut ndogo saan ukilinganisha na umri wangu.

Nashukuru nimepona kabisa saiz nipo fresh san
 
Duuu nimecheka japo inasikitisha nakumbuka enzi hizoo nikiwa mdogo nilitengeneza kamba ya mgomba nikaisuka vizuuri nikaenda funga kwenye mti kwa ajili ya bembea basi wee watoto bembeea kumbe tawi la mti lilikuwa tepetepe nakumbuka nilipiga makalio chini nilikaaa chini kama nusu saa kusubiri mawasiliano ya viungo yarudi utoto Mungu anatulinda na mengi
Yaani nimecheka japo inasikitisha pole sana.
 
Kaka yangu alikua na kigugumizi tulivyokuwa wadogo alikua anapenda kunikorofisha(tumefuatana) ..nikasikiaga ukimfunikia ungo mtu mwenye kigugumizi wakati anaongea anakosa pumzi..siku yake ikafika Bana alinikorofisha nikasema dawa yako inachemka.

Nikambamba siku hiyo anaongea Tena alikua ananiongelesha kwa ugomvi nikakumbuka ungo nikaingia ndani nikachukua ungo vile anaendelea kuongea nikafunika alianza kukata kuongea ametoa tu mimacho ana hema kwa shida Mama anatoka nje ananikuta nimefunika ungo na mwanae ahemi akaniambia wewe utamuua Kaka yako akawahi kufunua ule ungo.

Tangu hapo akunichokoza tena
Aiseekumbe hii kitu Ni kweli.
Kuna rafiki yangu katika story za hapa na pale alinambia hi kitu.

Duh ...nasikia ukiuacha anaweza kufa kabisa...ila utakapotoa akiwa bado mzima anaweza kukuua.

Ulikuwa mtundu wewe jamani..doh
 
Nakumbuka baada ya kumaliza chuo kikuu Dom,
Niliamua kuanza Maisha dodoma Mjini.

Nilijiingiza katika biashara ya mitumba.Nimetembeza Sana mitumba, baada ya miezi kama sita, nilichoka nikapata kakijiwe Maeneo ya Mashujaa.

Mchana haturuhusiwi,Jioni ikifika ndo tulikuwa tunajiachia kumwaga pembeni mwa barabara ya Mashujaa kama unaelekea jamatini kutoka stendi ya Mabasi Makubwa.

Sasa nilikuwa nakopeshwa mzigo,ili kufidia mzigo uuzwe haraka nilikuwa nawahi sana saa 5 asubuhi mm nimemwaga,nilikuwa namwaga mzigo chini ya miti iliyo pembezoni mwa barabara.

Ikifika jioni nasogea barabarani.

Siku yangu ilifika,nimetandika turubahi vizuri,nikatandaza mzigo wangu,pembeni ya mti Mmoja.

wakapita wateja kama sita hivi wamama wakajaa mbele Mimi nimewageukia nawahudumia.Nimetizama barabara wao wameipa mgongo barabara.

Ghafla tulishtuka kuona kusikia kishindo kikubwa Sana kikiambatana na vumbi kali sana ambalo lilitufanya wote tuonekane kama tumetoka mavumbini ndani ya sekunde tano tu.

Kugeuka nyuma yangu nakuta saloon toyota hiace zile private rangi ya kahawia ikiwa imepigiza kwenye ule mti wangu,huku inaendelea kuunguluma.

Nikashangaa kundi kubwa la watu wamefika pale wameshika vichwa.

Walijua asilimia mia nimeshaaumia maana ni eneo langu.

Nashkuru Mungu skupata hata mchubuko zaidi ya kuoga vumbi,kuibiwa mzigo katika ile taharuki,na Mzigo kuchafuka sana na vumbi.

Kilichoifanya ile gari igote pale kwenye mti. nadhani ni Mungu tu,laiti ingepitiliza saizi nisingekuwa hapa kusimulia,

Ilikuja kubainika kuwa ile gari ilitoka Car wash iliyopo maeneo ya jirani pale maeneo ya garden ya mashujaa,na aliyekuwa anaendesha hakuwa anajua anachofanya ni basi tu utundu wa vijana waosha Magari wakiachiwa Magari.
Aisee
Mungu anakupenda...anakuhitaji umtumikie..
 
Huyo muuza maziwa ana roho mbaya sana,

Huna haja ya kumkumbuka kwenye sala kabisa..
Mungu hua anatulinda sana kwakweli!
.
.
huu uzi umepita muda lakini ngoja na mimi nishee kidogo yangu!
.
.
nina matukio mawili ambayo kiukweli niliona kaburi hili hapa.
.
.
la kwanza miaka ya nyuma kuna zile dawa za malaria zilikua zikiitwa chloroquine kutokana na uchungu wake walizipaka rangi ya blue na utam kidogo kwa juu.
.
.
nilipokuwa na umri wa miaka kama minane hivi nilikuwa nahimizwa sana kulala mchana, sasa katika harakati hizo siku moja baada ya kuamka nikaona kopo la chloroquine, kwa mawazo yangu nilijua ni pipi, nikazichota nyingi nikazitupia mdomoni..
.
.
kwa uchungu wa zile dawa ukisha zitafuna huwezi zitema basi yale mate nikayameza.. dawa ikaanza kuingia.. macho yakanitoka povu likajaa mdomoni hatimae nikaanza kukata roho
.
.
katika kutupa tupa miguu niiache hii dunia kwa bahati mama akasikia akamwambia sister mkubwa kuna kitu kimeingia ndani kakifukuze,
.
.
sister kuja alitoka mbio mama mama njoo mwone kindikinyer, mama kufika kuangalia pembeni ananiona ndo nipo kwenye hatua za mwisho.. alikimbia kuomba maziwa kwa mzee maajabu akaambiwa hawezi kupewa kama hajaenda na hela!
.
.
mama alilia lakini wapii!! huku mimi mpaka na miguu nimeshaacha kurusha, bahati nzuri akaja kuna mwalim akasema ukichukua yai bichi na mkaa ukamnywesha atatapika pia..
.
.
basi nikapewa nikatapika walau nikawa nimeponea hapo.
.
.
miez michache baadae yule jamaa aliekuwa akiuza maziwa wakati akicheza ngoma alidondokea mkuki ukamchoma vibaya, utumbo ulitoka nje kwa bahati mbaya watu wakaushika kwa mkono, kitu kilichosababisha baadae uoze, alipelekwa KCMC lakini miezi mitano baadae alifariki! (hua namkumbuka katika sala zangu na mola amlaze pema peponi).
.
.
kila nikikumbuka nawaza nikivyo isogelea kaburi
 
Unajua kuna wakati unakua mtundu hadi wazazi ndugu wanakususa hawataki hata kusikia jina lako maana wamechoka habari zako.

Hiyo hali ilinikuta mimi maana nilikua troublemaker tabia zote mbaya zangu sio wizi,mademu,bangi,nk yani zoteee kilichonisaidia ni wazazi wangu hawakufikia roho mbaya ya kunipeleka gerezani japo mjomba angu alikua akiwasisitiza kila siku huyu tukamfunge akae magereza hata mwaka tu ila wazazi wangu hawakumsikiliza.

Kwa ukorofi wangu nilipiga demu mmoja alikua mpenzi wangu,nilimfumania red handed geto kwa msela...Nilianza kupiga Jamaa plus dem maana nilikua na Panga,nilipiga wale watu ndani,bahati mbaya yule jamaa akanishnda nguvu akachoropoka Ndukiiii,Nikabaki na dem wangu asee nilipiga yule dada alipiga ukunga hadi sauti ilikata.,Baada ya kuridhika na kumchakaza nikatoka na panga langu lina damu nikasepa.

Si unajua bangi mbaya bwana,,,bangi ilipokata akili ikanirudia nikagundua kua nilimpiga sana yule mdada kiasi kwamba hata uhai wake ulikua mashakani,nikaamua kukimbia nyumbani kabisa maana nilijua lazima kesi ifike polisi,na kweli ikawa vile.

Baada ya kukimbia hapo sina mbele wala nyuma,nikageuka mtoto wa mtaani nalala nnche nazurura yani Full kuwa mtoto wa ajabu ajabu yani,siku moja nikasema HAPANA hii imefika mwisho siwezi teseka kiasi hiki bora nife mimi,basi nikatafuta kamba nikasema ni bora nikajiua..Usiku nikazurura kwenye nyumba za watu nikakuta Kamba ya kuanikia nguo imefungwa imeanikwa nguo..Nikatoa nguo zote nikatupa chini,nikafungua Kamba nikasepa nayo.

nilipopata kamba yangu nikasema hapa ngoja nilale hlf kesho ntatafuta mti porini ulioimara nikajitundike,pakakucha kesho yake nikazama porini nikatafuta mti nikauona..nikaenda kufunga kamba huku nalia peke angu,Nikajifunga kamba nikajiachia BWANA BWANA BWANA BWANA sikuweza vumilia yani shingo ilikua inakatika,nilibembea na ile kamba nataka nijiinue juuu kamba inateleza Jamani natamani nielezeee mnielewe lakini sijui.

Nilikukuruka kamba ndio inazidi kunikaba Mungu si athumani sijui nini kilitokea nikajikuta nimedondokea mgongo kwenye jiwe,Ndio ikawa pona yangu ila koo liliniuma mwezi mzima nikawa siwezi meza hata Mate...

Sikieni tu Mtu kajinyonga...
 
maji ya ziwa nyasa bhna................ nmeripoti katka shule moja hv ipo hko mwambaoni mwa ziwa karibu na shule ..shughuli zote ni ziwani kama usafi wa nguo, kuoga na burudani kama kuogelea na mazoezi coz pana mchanga safi na laini...n

nikiwa na week moja tangu nifike na hapo sijui kuyakata maji kwa kiherehere changu nikajitia wa kwenda v.i.p yaan kweny kina kirefu aiseee nilipiga vikombe kama sio jagi hvi..wasingekuwa washkaji zangu wazoefu aisee spartacus ningekuwa history.. ila baada ya hapo ndo ikawa tiketi yangu kujua kuogelea mpaka sasa..NAYAPENDA MAJI JAMANI HASA YALE YENYE MWAWIMBI :rolleyes: :rolleyes: :rolleyes: :rolleyes: :rolleyes:
 
Mimi nakumbuka ilikuwa mwaka 2007 nikiwa mitaa ya dar Ubungo... Nikiwa nimekwenda kumtembelea shangazi angu... Sasa nimefika om fresh nikisema ngoja nitoke nipige misele kuielewa mitaa gafla anakimbizwa mwizi uko.... Akanipita nduki kwenye uchochoro ile nashangaa raia hawa apa aisee wakajua mimi ndo niliye kuwa nakimbizwa, na nilikuwa mgeni niliokolewa na dada mmoja alisema sio uyo aliye niibia sim kuvaa pensi afu ni mfupi raia wakaendelea na safari zao niliisi mkojo unataka kutoka... Kiranga chote chakujifanya nataka kutembea kilikata nikarudi im kimya... Usiombe ikukute ndugu ni hatari na raia wa dada ni wabishi nawajuaji
 
Back
Top Bottom