Tuliowahi 'kuchungulia kaburi' tukutane hapa

Tuliowahi 'kuchungulia kaburi' tukutane hapa

Unajua kuna wakati unakua mtundu hadi wazazi ndugu wanakususa hawataki hata kusikia jina lako maana wamechoka habari zako.

Hiyo hali ilinikuta mimi maana nilikua troublemaker tabia zote mbaya zangu sio wizi,mademu,bangi,nk yani zoteee kilichonisaidia ni wazazi wangu hawakufikia roho mbaya ya kunipeleka gerezani japo mjomba angu alikua akiwasisitiza kila siku huyu tukamfunge akae magereza hata mwaka tu ila wazazi wangu hawakumsikiliza.

Kwa ukorofi wangu nilipiga demu mmoja alikua mpenzi wangu,nilimfumania red handed geto kwa msela...Nilianza kupiga Jamaa plus dem maana nilikua na Panga,nilipiga wale watu ndani,bahati mbaya yule jamaa akanishnda nguvu akachoropoka Ndukiiii,Nikabaki na dem wangu asee nilipiga yule dada alipiga ukunga hadi sauti ilikata.,Baada ya kuridhika na kumchakaza nikatoka na panga langu lina damu nikasepa.

Si unajua bangi mbaya bwana,,,bangi ilipokata akili ikanirudia nikagundua kua nilimpiga sana yule mdada kiasi kwamba hata uhai wake ulikua mashakani,nikaamua kukimbia nyumbani kabisa maana nilijua lazima kesi ifike polisi,na kweli ikawa vile.

Baada ya kukimbia hapo sina mbele wala nyuma,nikageuka mtoto wa mtaani nalala nnche nazurura yani Full kuwa mtoto wa ajabu ajabu yani,siku moja nikasema HAPANA hii imefika mwisho siwezi teseka kiasi hiki bora nife mimi,basi nikatafuta kamba nikasema ni bora nikajiua..Usiku nikazurura kwenye nyumba za watu nikakuta Kamba ya kuanikia nguo imefungwa imeanikwa nguo..Nikatoa nguo zote nikatupa chini,nikafungua Kamba nikasepa nayo.

nilipopata kamba yangu nikasema hapa ngoja nilale hlf kesho ntatafuta mti porini ulioimara nikajitundike,pakakucha kesho yake nikazama porini nikatafuta mti nikauona..nikaenda kufunga kamba huku nalia peke angu,Nikajifunga kamba nikajiachia BWANA BWANA BWANA BWANA sikuweza vumilia yani shingo ilikua inakatika,nilibembea na ile kamba nataka nijiinue juuu kamba inateleza Jamani natamani nielezeee mnielewe lakini sijui.

Nilikukuruka kamba ndio inazidi kunikaba Mungu si athumani sijui nini kilitokea nikajikuta nimedondokea mgongo kwenye jiwe,Ndio ikawa pona yangu ila koo liliniuma mwezi mzima nikawa siwezi meza hata Mate...

Sikieni tu Mtu kajinyonga...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji24][emoji24][emoji24]Pole sana mkuu...duuh wewe ndo ulikiona kifo bro
 
Nakumbuka baada ya kumaliza chuo kikuu Dom,
Niliamua kuanza Maisha dodoma Mjini.

Nilijiingiza katika biashara ya mitumba.Nimetembeza Sana mitumba, baada ya miezi kama sita, nilichoka nikapata kakijiwe Maeneo ya Mashujaa.

Mchana haturuhusiwi,Jioni ikifika ndo tulikuwa tunajiachia kumwaga pembeni mwa barabara ya Mashujaa kama unaelekea jamatini kutoka stendi ya Mabasi Makubwa.

Sasa nilikuwa nakopeshwa mzigo,ili kufidia mzigo uuzwe haraka nilikuwa nawahi sana saa 5 asubuhi mm nimemwaga,nilikuwa namwaga mzigo chini ya miti iliyo pembezoni mwa barabara.

Ikifika jioni nasogea barabarani.

Siku yangu ilifika,nimetandika turubahi vizuri,nikatandaza mzigo wangu,pembeni ya mti Mmoja.

wakapita wateja kama sita hivi wamama wakajaa mbele Mimi nimewageukia nawahudumia.Nimetizama barabara wao wameipa mgongo barabara.

Ghafla tulishtuka kuona kusikia kishindo kikubwa Sana kikiambatana na vumbi kali sana ambalo lilitufanya wote tuonekane kama tumetoka mavumbini ndani ya sekunde tano tu.

Kugeuka nyuma yangu nakuta saloon toyota hiace zile private rangi ya kahawia ikiwa imepigiza kwenye ule mti wangu,huku inaendelea kuunguluma.

Nikashangaa kundi kubwa la watu wamefika pale wameshika vichwa.

Walijua asilimia mia nimeshaaumia maana ni eneo langu.

Nashkuru Mungu skupata hata mchubuko zaidi ya kuoga vumbi,kuibiwa mzigo katika ile taharuki,na Mzigo kuchafuka sana na vumbi.

Kilichoifanya ile gari igote pale kwenye mti. nadhani ni Mungu tu,laiti ingepitiliza saizi nisingekuwa hapa kusimulia,

Ilikuja kubainika kuwa ile gari ilitoka Car wash iliyopo maeneo ya jirani pale maeneo ya garden ya mashujaa,na aliyekuwa anaendesha hakuwa anajua anachofanya ni basi tu utundu wa vijana waosha Magari wakiachiwa Magari.
Ngoja nikutabirie kitu we jamaa..utakija kuwa tajiri mkubwa sana katika maisha yako
 
Sijui watoto wa kizazi hiki watakuja kucomment nini kwenye uzi kama huu ?. Tumepitia mengi sana. Watoto wa kizazi hiki mpaka huwa nawashangaaga na kuona kama kuna mengi sana ya maisha hawayapitii.
Hayapo kabisa
 
Kaka yangu alikua na kigugumizi tulivyokuwa wadogo alikua anapenda kunikorofisha(tumefuatana) ..nikasikiaga ukimfunikia ungo mtu mwenye kigugumizi wakati anaongea anakosa pumzi..siku yake ikafika Bana alinikorofisha nikasema dawa yako inachemka.

Nikambamba siku hiyo anaongea Tena alikua ananiongelesha kwa ugomvi nikakumbuka ungo nikaingia ndani nikachukua ungo vile anaendelea kuongea nikafunika alianza kukata kuongea ametoa tu mimacho ana hema kwa shida Mama anatoka nje ananikuta nimefunika ungo na mwanae ahemi akaniambia wewe utamuua Kaka yako akawahi kufunua ule ungo.

Tangu hapo akunichokoza tena
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duuh nimecheka kama mazuri, hivi haya mambo ni kweli kumbe
 
Unajua kuna wakati unakua mtundu hadi wazazi ndugu wanakususa hawataki hata kusikia jina lako maana wamechoka habari zako.

Hiyo hali ilinikuta mimi maana nilikua troublemaker tabia zote mbaya zangu sio wizi,mademu,bangi,nk yani zoteee kilichonisaidia ni wazazi wangu hawakufikia roho mbaya ya kunipeleka gerezani japo mjomba angu alikua akiwasisitiza kila siku huyu tukamfunge akae magereza hata mwaka tu ila wazazi wangu hawakumsikiliza.

Kwa ukorofi wangu nilipiga demu mmoja alikua mpenzi wangu,nilimfumania red handed geto kwa msela...Nilianza kupiga Jamaa plus dem maana nilikua na Panga,nilipiga wale watu ndani,bahati mbaya yule jamaa akanishnda nguvu akachoropoka Ndukiiii,Nikabaki na dem wangu asee nilipiga yule dada alipiga ukunga hadi sauti ilikata.,Baada ya kuridhika na kumchakaza nikatoka na panga langu lina damu nikasepa.

Si unajua bangi mbaya bwana,,,bangi ilipokata akili ikanirudia nikagundua kua nilimpiga sana yule mdada kiasi kwamba hata uhai wake ulikua mashakani,nikaamua kukimbia nyumbani kabisa maana nilijua lazima kesi ifike polisi,na kweli ikawa vile.

Baada ya kukimbia hapo sina mbele wala nyuma,nikageuka mtoto wa mtaani nalala nnche nazurura yani Full kuwa mtoto wa ajabu ajabu yani,siku moja nikasema HAPANA hii imefika mwisho siwezi teseka kiasi hiki bora nife mimi,basi nikatafuta kamba nikasema ni bora nikajiua..Usiku nikazurura kwenye nyumba za watu nikakuta Kamba ya kuanikia nguo imefungwa imeanikwa nguo..Nikatoa nguo zote nikatupa chini,nikafungua Kamba nikasepa nayo.

nilipopata kamba yangu nikasema hapa ngoja nilale hlf kesho ntatafuta mti porini ulioimara nikajitundike,pakakucha kesho yake nikazama porini nikatafuta mti nikauona..nikaenda kufunga kamba huku nalia peke angu,Nikajifunga kamba nikajiachia BWANA BWANA BWANA BWANA sikuweza vumilia yani shingo ilikua inakatika,nilibembea na ile kamba nataka nijiinue juuu kamba inateleza Jamani natamani nielezeee mnielewe lakini sijui.

Nilikukuruka kamba ndio inazidi kunikaba Mungu si athumani sijui nini kilitokea nikajikuta nimedondokea mgongo kwenye jiwe,Ndio ikawa pona yangu ila koo liliniuma mwezi mzima nikawa siwezi meza hata Mate...

Sikieni tu Mtu kajinyonga...
Aisee una hatari wewe
 
Mimi nakumbuka ilikuwa mwaka 2007 nikiwa mitaa ya dar Ubungo... Nikiwa nimekwenda kumtembelea shangazi angu... Sasa nimefika om fresh nikisema ngoja nitoke nipige misele kuielewa mitaa gafla anakimbizwa mwizi uko.... Akanipita nduki kwenye uchochoro ile nashangaa raia hawa apa aisee wakajua mimi ndo niliye kuwa nakimbizwa, na nilikuwa mgeni niliokolewa na dada mmoja alisema sio uyo aliye niibia sim kuvaa pensi afu ni mfupi raia wakaendelea na safari zao niliisi mkojo unataka kutoka... Kiranga chote chakujifanya nataka kutembea kilikata nikarudi im kimya... Usiombe ikukute ndugu ni hatari na raia wa dada ni wabishi nawajuaji
Kuna mtu namfahamu ilimtokea hii tena yeye alipigwa alinusurika kuuwawa bahati nzuri akatokea mtu anayemfahamu ndio kumuokoa na kumkimbiza hospitali
 
Nishachungulia sana makaburi wakati wa kuzika.
 
Aisee[emoji134][emoji134][emoji134]kumbe hii kitu Ni kweli.
Kuna rafiki yangu katika story za hapa na pale alinambia hi kitu.

Duh ...nasikia ukiuacha anaweza kufa kabisa...ila utakapotoa akiwa bado mzima anaweza kukuua.

Ulikuwa mtundu wewe jamani..doh
Na kweli nilivyouachia kidogo anivamie bila mama kuwepo pale ningebutuliwa vibaya mno
 
Aisee
Story yangu inaanza kama ifuatavyo baada ya kumaliza shughuli zangu za kuuza chipsi usiku napita karbu na nyumba ya jiran namsikia bwana mifugo akimwambia jiran yangu ambae ngombe wake alkuwa kasha dead amzike Mara moja kwani alkuwa ana anthrax basi nikaendelea kupeleleza nkaona alpomzka walipomaliza walivyoondoka nikaenda mfukua skuwa na gloves nikavaa mifuko ya Rambo maana nlsikia akisema ugonjwa ni hatar unaambukzwa na bacteria aina ya bacillus anthrax sjui kama nimepatia spelling au laa ila hayanihusu basi tuendelee na story basi bwana nikamuosha nikamkatakata vipande kesho nikamuuze mishkak vipande vilivyobakia nikampa mshkaj aweke kwenye freezer lake maana anatuchaj per day bwana nikauza wee mara watu wakaanza kuanguka baada ya kula wengne kutapika na kuhara palepale RAIA waliponishtukia wakaanza nikimbiza na mapanga wengine magongo sauti zilisikika zikisema "lazma tukukate vipandevipande" kwa bahat nzur kulikuwa kuna fuso sjui Lori hata skumbuk vzr lilikuwa linaanza kuondoka sjui lilikuwa linaenda WAP bas bwana nikalidandia baada ya masaa mawil mule ndan ya fuso simu yangu inaita mama mwenye nyumba anasema upo WAP mbona kuna polis wanakutafuta hapa nikakata Sm mara tena simu inaitaa kapiga RFK take yule mshkaj anatuifadhia nyama akasema nyama yako ina nn jamaa alikuibia kdogo kaenda itumia gheto sahiv ninavyokwambia tumemuwahisha hospital nikakata Sm .gar likiwa linaenda ktk kukaguakagua mule ndan nikakuta magunia kuyacheck ndani naona bangi pia kulikuwa na madawa mengne syajui kumbe skudandia fuso nilidandia kifo Mara gar likasimama kumbe hlo eneo kulikuwa na police patrol nkasikia shuken wote tukague gari
 
Mimi na pikipiki tu😀😀😀

1. Kuna siku nilikuwa nachota maji kwa pikipiki, sasa kuna mshkaji wangu akaja nyumbani akanikuta ndo nafunga ndoo za maji kwenye pikipiki ili niende kisimani. Kumbe mshkaji alikuwa anataka kuendesha pikipiki sema akawa anamgwaya mshua, sasa tulipo toka nyumbani tukiwa njiani jamaa akaanza kuomba nimpe naye aendeshe, ila nikawa nakataa kwa kuwa nilikuwa namjua jamaa ni mpenda sifa sana na kwa kuwa njia ilikuwa inapita hadi mtaani nilijua wazi angetaka kuonyesha kuwa yeye ni mtabe wa kukimbiza na usalama wetu ungekuwa mdogo. Ila akazidi kunisumbua nikaona isiwe tabu nikamwachia ila nikamsisitizia awe makini.
Bwana bwana, jamaa akapanda mimi nikapanda nyuma, akang'oa chuma. Nikawa naona jamaa anapandisha gia tu kila baada ya mita chache. Ndani ya dakika chache jamaa akawa ameshaikamata gia namba 5 huku spidi ikiwa ni kali sana. Mimi nikaanza kutoka na kijasho nimsihi jamaa apunguze mwendo lakini wapi.
Sasa tukafika sehemu kuna kona kali sana, na ukinyooka kwa mbele bila kukata hiyo kona kuna ka bonde halafu unakutana na reli iliyoinuliwa na kokoto. Sasa jamaa alivyoona kuwa hawezi kupiga kona ikabidi anyooke. Kwanza pikipiki iliruka na tukapita katikati ya miti ya vichaka vichaka, ilipokwenda kutua jamaa bado alikuwa na wenge akazidi kuvuta mafuta, nikaona tunaanza kupanda mlima wa kokoto za relini ikabidi niruke na kamaa akaenda kumamia juu ya makokoto. Cha kushukuru hatukuumia sana, ila pikipiki ilikuwa nyang'anyang'a.

2. Mimi na mshua tulikuwa tunatoka kwa bibi kuwasalimia, tukawa tunarudi nyumbani kila mmoja anaendesha pikipiki yake tukiwa tunapita kwa ile barabara ya dom-singida. Sasa mshua akawa anaendesha slow, nikaambua kumuacha mimi nikatangulia. Sasa likaja semi kwa nyuma likanipita nikasema wewe sikuachi, nikaanza kulifukuzia kwa nyuma ili nami nilipite. Tukaenda wee, baadayr nikasema sasa huu ndo muda wa kuovatake na nikaamua kuovateke kwa kushoto. Bwana wee, ile nakaribia kulipita nikaanza kuona semi linakuja kuande wangu kwa kasi, sijui ndo dereva alikuwa ananifanyia kusudi. Ikabidi nitoke barabarani nikaingia machakani huku nikijitahidi nisidondoke maana nilikuwa kasi sana. Kwa hofu iliyonikumba nikawana naendesha huku nalia kwa kupiga mayowe. Nikaenda kusimama kwa mbele kabisa nikiwa nimechubukachubuka. Niliwatukana sana wale jamaa.
3. Nikiwa na pikipiki yangu ile ile nikiwa nimetoka misele narudi nyumbani nikakuta mto umejaa maji japo hayakuwa mengi sana kiasi cha kutisha, nikasema hapa ntapita tu.
Mzee baba nikajitosa, kufika katikati ya mto ngoma ikazima. Ilipozima maji yakaingia kwenye dude la kutolea moshi, kwa hiyo hapo pikipiki kuwaka tena ni mtihani. Nikiwa sijui nifanyeje nikaona naanza nasombwa mimi na pikipiki yangu. Ikabidi nitoke nikaicha pikipiki ikaanza kubebwa baadaye nikawaza nikiiacha inaweza kwenda mbali na ikaharibika, ikabidi nijitose mtoni ili niitoe. Maji yaone kwenye glasi tu, shughuli iliyonipata pale mtoni nilianza kuwaona akina eskarioti na washkaji zake.
😧😧😧😧
 
Mimi na pikipiki tu😀😀😀

1. Kuna siku nilikuwa nachota maji kwa pikipiki, sasa kuna mshkaji wangu akaja nyumbani akanikuta ndo nafunga ndoo za maji kwenye pikipiki ili niende kisimani. Kumbe mshkaji alikuwa anataka kuendesha pikipiki sema akawa anamgwaya mshua, sasa tulipo toka nyumbani tukiwa njiani jamaa akaanza kuomba nimpe naye aendeshe, ila nikawa nakataa kwa kuwa nilikuwa namjua jamaa ni mpenda sifa sana na kwa kuwa njia ilikuwa inapita hadi mtaani nilijua wazi angetaka kuonyesha kuwa yeye ni mtabe wa kukimbiza na usalama wetu ungekuwa mdogo. Ila akazidi kunisumbua nikaona isiwe tabu nikamwachia ila nikamsisitizia awe makini.
Bwana bwana, jamaa akapanda mimi nikapanda nyuma, akang'oa chuma. Nikawa naona jamaa anapandisha gia tu kila baada ya mita chache. Ndani ya dakika chache jamaa akawa ameshaikamata gia namba 5 huku spidi ikiwa ni kali sana. Mimi nikaanza kutoka na kijasho nimsihi jamaa apunguze mwendo lakini wapi.
Sasa tukafika sehemu kuna kona kali sana, na ukinyooka kwa mbele bila kukata hiyo kona kuna ka bonde halafu unakutana na reli iliyoinuliwa na kokoto. Sasa jamaa alivyoona kuwa hawezi kupiga kona ikabidi anyooke. Kwanza pikipiki iliruka na tukapita katikati ya miti ya vichaka vichaka, ilipokwenda kutua jamaa bado alikuwa na wenge akazidi kuvuta mafuta, nikaona tunaanza kupanda mlima wa kokoto za relini ikabidi niruke na kamaa akaenda kumamia juu ya makokoto. Cha kushukuru hatukuumia sana, ila pikipiki ilikuwa nyang'anyang'a.

2. Mimi na mshua tulikuwa tunatoka kwa bibi kuwasalimia, tukawa tunarudi nyumbani kila mmoja anaendesha pikipiki yake tukiwa tunapita kwa ile barabara ya dom-singida. Sasa mshua akawa anaendesha slow, nikaambua kumuacha mimi nikatangulia. Sasa likaja semi kwa nyuma likanipita nikasema wewe sikuachi, nikaanza kulifukuzia kwa nyuma ili nami nilipite. Tukaenda wee, baadayr nikasema sasa huu ndo muda wa kuovatake na nikaamua kuovateke kwa kushoto. Bwana wee, ile nakaribia kulipita nikaanza kuona semi linakuja kuande wangu kwa kasi, sijui ndo dereva alikuwa ananifanyia kusudi. Ikabidi nitoke barabarani nikaingia machakani huku nikijitahidi nisidondoke maana nilikuwa kasi sana. Kwa hofu iliyonikumba nikawana naendesha huku nalia kwa kupiga mayowe. Nikaenda kusimama kwa mbele kabisa nikiwa nimechubukachubuka. Niliwatukana sana wale jamaa.
3. Nikiwa na pikipiki yangu ile ile nikiwa nimetoka misele narudi nyumbani nikakuta mto umejaa maji japo hayakuwa mengi sana kiasi cha kutisha, nikasema hapa ntapita tu.
Mzee baba nikajitosa, kufika katikati ya mto ngoma ikazima. Ilipozima maji yakaingia kwenye dude la kutolea moshi, kwa hiyo hapo pikipiki kuwaka tena ni mtihani. Nikiwa sijui nifanyeje nikaona naanza nasombwa mimi na pikipiki yangu. Ikabidi nitoke nikaicha pikipiki ikaanza kubebwa baadaye nikawaza nikiiacha inaweza kwenda mbali na ikaharibika, ikabidi nijitose mtoni ili niitoe. Maji yaone kwenye glasi tu, shughuli iliyonipata pale mtoni nilianza kuwaona akina eskarioti na washkaji zake.
😧😧😧😧
 
Story yangu inaanza kama ifuatavyo baada ya kumaliza shughuli zangu za kuuza chipsi usiku napita karbu na nyumba ya jiran namsikia bwana mifugo akimwambia jiran yangu ambae ngombe wake alkuwa kasha dead amzike Mara moja kwani alkuwa ana anthrax basi nikaendelea kupeleleza nkaona alpomzka walipomaliza walivyoondoka nikaenda mfukua skuwa na gloves nikavaa mifuko ya Rambo maana nlsikia akisema ugonjwa ni hatar unaambukzwa na bacteria aina ya bacillus anthrax sjui kama nimepatia spelling au laa ila hayanihusu basi tuendelee na story basi bwana nikamuosha nikamkatakata vipande kesho nikamuuze mishkak vipande vilivyobakia nikampa mshkaj aweke kwenye freezer lake maana anatuchaj per day bwana nikauza wee mara watu wakaanza kuanguka baada ya kula wengne kutapika na kuhara palepale RAIA waliponishtukia wakaanza nikimbiza na mapanga wengine magongo sauti zilisikika zikisema "lazma tukukate vipandevipande" kwa bahat nzur kulikuwa kuna fuso sjui Lori hata skumbuk vzr lilikuwa linaanza kuondoka sjui lilikuwa linaenda WAP bas bwana nikalidandia baada ya masaa mawil mule ndan ya fuso simu yangu inaita mama mwenye nyumba anasema upo WAP mbona kuna polis wanakutafuta hapa nikakata Sm mara tena simu inaitaa kapiga RFK take yule mshkaj anatuifadhia nyama akasema nyama yako ina nn jamaa alikuibia kdogo kaenda itumia gheto sahiv ninavyokwambia tumemuwahisha hospital nikakata Sm .gar likiwa linaenda ktk kukaguakagua mule ndan nikakuta magunia kuyacheck ndani naona bangi pia kulikuwa na madawa mengne syajui kumbe skudandia fuso nilidandia kifo Mara gar likasimama kumbe hlo eneo kulikuwa na police patrol nkasikia shuken wote tukague gari
mkuu malizia
 
Story yangu inaanza kama ifuatavyo baada ya kumaliza shughuli zangu za kuuza chipsi usiku napita karbu na nyumba ya jiran namsikia bwana mifugo akimwambia jiran yangu ambae ngombe wake alkuwa kasha dead amzike Mara moja kwani alkuwa ana anthrax basi nikaendelea kupeleleza nkaona alpomzka walipomaliza walivyoondoka nikaenda mfukua skuwa na gloves nikavaa mifuko ya Rambo maana nlsikia akisema ugonjwa ni hatar unaambukzwa na bacteria aina ya bacillus anthrax sjui kama nimepatia spelling au laa ila hayanihusu basi tuendelee na story basi bwana nikamuosha nikamkatakata vipande kesho nikamuuze mishkak vipande vilivyobakia nikampa mshkaj aweke kwenye freezer lake maana anatuchaj per day bwana nikauza wee mara watu wakaanza kuanguka baada ya kula wengne kutapika na kuhara palepale RAIA waliponishtukia wakaanza nikimbiza na mapanga wengine magongo sauti zilisikika zikisema "lazma tukukate vipandevipande" kwa bahat nzur kulikuwa kuna fuso sjui Lori hata skumbuk vzr lilikuwa linaanza kuondoka sjui lilikuwa linaenda WAP bas bwana nikalidandia baada ya masaa mawil mule ndan ya fuso simu yangu inaita mama mwenye nyumba anasema upo WAP mbona kuna polis wanakutafuta hapa nikakata Sm mara tena simu inaitaa kapiga RFK take yule mshkaj anatuifadhia nyama akasema nyama yako ina nn jamaa alikuibia kdogo kaenda itumia gheto sahiv ninavyokwambia tumemuwahisha hospital nikakata Sm .gar likiwa linaenda ktk kukaguakagua mule ndan nikakuta magunia kuyacheck ndani naona bangi pia kulikuwa na madawa mengne syajui kumbe skudandia fuso nilidandia kifo Mara gar likasimama kumbe hlo eneo kulikuwa na police patrol nkasikia shuken wote tukague gari
Pole Sana mkuu.
Natamani nisome mwendelezo wa hii stori yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom