miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,409
- 11,083
Utakua bothered kwakua hujaelewa kwakua haikuhusu. Ila yeye kwa hizo code tumeelewana. Byenaona umeongea tofauti na mada, mambo ya menu tena
Utakua bothered kwakua hujaelewa kwakua haikuhusu. Ila yeye kwa hizo code tumeelewana. Byenaona umeongea tofauti na mada, mambo ya menu tena
Nilishuhudia Mara tatu pale raskazone tanga kuna mshikaji yeye anawafundisha kuogelea anawapeleka mbali then anaomba abatizwe Maji mengi Demu akikataaaaa jamaa anatishia kumwachia aisee.demu anaamua ambatize tuu mshkaji...na alisema yeye akitaka papuch anashuka beachKuna siku naogolea coco kumbe Sasa jioni maji Yana kuja na yanarudi yakanipeleka mbali bila kujua nakuja kushtuka Niko mbali Seema uzuri palikuwa na watu wengi ilibidi nimshike braza mwenye tairi..WANAWAKE wanapelekwa mbali halafu wanabakwa utafanyaje jamaa anataka kukuacha anakwambia mpe kidogo akuokoe??[emoji1787]
ukibanwa na musles baharini, ziwani au mtoni, na ukapona ukitoka hapo kasali kabisa na katambike, wengi wale wanaojiita wataalamu wanakufa kwa kubanwa na musclesNakumbuka niko Advance Tanga.... Friends zangu wapenda maji kama samaki, sisi most of week end days tunatoroka shule kwenda kuogelea, tukiwa na ela tunaenda Raskazone tukifulia tunaingia deepsea.......!
Ilikua kawaida tukiwa Raskazone tunaogealea mpaka meli zilipotia nanga, pana umbali kidogo sasa siku moja tunatoka kwenye nanga turud nchi kavu misuli ikakaza, kila nikistrech wap, dooohhh nilitoa macho nkaomba Mungu aniepushe na kifo cha maji ila kwaushirikiano ya washkaji na mabaharie wengine nilirud salama......!
Kuanzia siku iyo nkawa nikitakakupiga zoez la kuogelea nnaenda parallel na bahari....
hahahaha, we ndio ulidandia daladala kwa mbele aisee,Aisee mi pia naziheshimu swiming pool nilinusurika kuzama hoteli moja kule south afrika! Aisee, acha tu. Nilijirusha kumbe nimerukia kwenye kina kirefu, najaribu kusimama nikagundua sigusi chini! Nikapaniki! Ikabidi nikubali kuzama hadi nikakanyaga chini nikaanza kutembea kuelekea kwenye kina kifupi! Aah! Aisee siwezi sahau na nilikuwa peke yangu, kama pool ingekuwa pana sana hata sijui ingekuwaje, ni neema za Mwenyezi MUNGU tu ndio ziliniokoa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duuh huu Uzi umenikumbusha mbali Sana
Ilikuwa mwaka 2011 nikiwa form six huko mwanga Kilimanjaro ,alikuja dada mzungu jirani na shule basi nikaja kumshobokea na viinglish vyangu vya broken.
Mtoto akaja kukolea akawa anakuja school asiponiona analia basi masela wananisaka Kila chimbo kwamba mzungu wako analia huko.
Basi siku moja kaja na wazungu wenzake Kama watatu wakasema tukaogelee, nikawabeba washkaji zangu Kama kumi ivi..
Kufika bwawa lenyewe la umwagiliaji limejengwa kwa sakafu,basi watu wakapunguza nguo wakaanza kuruka kwenye maji ,kiukweli mi sijui kuogelea nkabaki mwenyewe nje nawashangaa Mara wakaanza come on men sio parefu
Nkaona itakuwa aibu niende na watasha alafu wajue sijui kupiga mbizi Mara nkapunguza nguo nkasogea nyuma umbali wa Kama mita kumi nkakimbia nkajitosa kwenye bwawa bwaaaaa
Watu ohhh oyeeee hiooo ....Mara naibuka nazama ,naibuka nazama nikaona ndo mwisho tayari sasa
Ikafika hatua sasa nikiibuka kidogo nanyoosha mikono kuomba msaada tatizo sasa wenzangu wakajua ni manjojo daah nlikunywa maji machafu Kama Lita tano ivi nahisi
Basi akaja malaika wa mungu ,jamaa mmoja akatambua nimezidiwa akaja akaniokoa daaah
Niliumwa U.T.I Kama mwezi mzima ivi
"Ukitaka kujua maji sio uhai we Zama tu utapata mrejesho"
Kwa sasa ata maji ya beseni tu nayaogopa ..
Oooohh.... Nmewamc sana zile times tunacheza disco kwetu afu kwenu!Hahaha
Ko mzee baba. Kohogweeee
Shule yetu nzuri ya korogweee... kule st. C mashost kama wote tuition cilos enzi hizo.
Niligoma kbs kutoka government. Nilionja raha maisha yalivyokua huru[emoji23][emoji23] na vile nikawa waziri wa menu kwa ubabe wangu baasii sikua na tatizo la chakula. Mawe hayafai ya raskazone aisee. Hayafai hata kidogooo
100% true..... Good luck nilikua niko na kampan kubwa bila hivyo ingekua stori nyingine!ukibanwa na musles baharini, ziwani au mtoni, na ukapona ukitoka hapo kasali kabisa na katambike, wengi wale wanaojiita wataalamu wanakufa kwa kubanwa na muscles
Hahaha hapana kwakweli, nilikua nishagraduate. Ila alogongesha si yule mpuuz hata hajui kuendesha alikua anataka waoshea wenzake? Ndo keshampa kilema mwenzake cha milele na wengine kupoteza maisha. Very sad.Oooohh.... Nmewamc sana zile times tunacheza disco kwetu afu kwenu!
Kipind yule dada ameparamia gari ya basha wake akatuaribia shughuli ulikuepo.....?
Nakumbuka niko Advance Tanga.... Friends zangu wapenda maji kama samaki, sisi most of week end days tunatoroka shule kwenda kuogelea, tukiwa na ela tunaenda Raskazone tukifulia tunaingia deepsea.......!
Ilikua kawaida tukiwa Raskazone tunaogealea mpaka meli zilipotia nanga, pana umbali kidogo sasa siku moja tunatoka kwenye nanga turud nchi kavu misuli ikakaza, kila nikistrech wap, dooohhh nilitoa macho nkaomba Mungu aniepushe na kifo cha maji ila kwaushirikiano ya washkaji na mabaharie wengine nilirud salama......!
Kuanzia siku iyo nkawa nikitakakupiga zoez la kuogelea nnaenda parallel na bahari....
Inasemekana unapotaka kumuokoa mtu anaye kunywa vikombe majini muaache Hadi akose nguvu kabsa ndo uende , la sivyo utazamishwa wwNikiwa Olevel tulifukuzwa ada tukaenda kudiba mtoni, sasa kuna msela angu alikua ajui kuogelea kimasiara masiara watu wakamtosa kina kirefu mara kikombe cha kwanza mara chapili, mi nkajitia ufundi nkamuokoe jamaa alikua mbavu alinipiga roba anapanda mwilin mwangu awe juu apumue mi niwe chini, kila nkitoa wap piga ngumi wap, mpaka nkapanic, thank to God nkapata akili ya kuzama chini ndo kuniachia nkapita chin kwa chini nkatoka njee tukamrushia mgomba ndo kumvuta nao......! nkuanzia siku iyo ukitaka ugonvi naewe zungumizia mambo ya kuogea
Me muscles zilinibana nikiwa kwenye Pool kule south beach aisee balaa100% true..... Good luck nilikua niko na kampan kubwa bila hivyo ingekua stori nyingine!
Ulikuwa unatembelea kichwa Bila shakaMimi nlishawahi kuvuka maji ya shingo bila pumbu kuloa.
Haaaa.... Atuaziman zile tunazo for special occasion, Sasa Xul yenyewe ipo town mnaachaje kua smart...!Hahaha hapana kwakweli, nilikua nishagraduate. Ila alogongesha si yule mpuuz hata hajui kuendesha alikua anataka waoshea wenzake? Ndo keshampa kilema mwenzake cha milele na wengine kupoteza maisha. Very sad.
Ila tabia yenu ya kuazimana mashati ya tomato bwana[emoji23][emoji23][emoji23] mynakuja TYCS.
Sad enough mito yote pale ko una mamba[emoji23][emoji23] unaogelea wapiii
Ni noma sasa agine upo meter 150 kutoka ukingo wa bahari afu muscles zinaleta shida!Me muscles zilinibana nikiwa kwenye Pool kule south beach aisee balaa
Yah man!..... Nilishaskia case moja Ziwani walikufa muanga na muokoaji wakakutwa wamekumbatianaInasemekana unapotaka kumuokoa mtu anaye kunywa vikombe majini muaache Hadi akose nguvu kabsa ndo uende , la sivyo utazamishwa ww
Hahaha munaazimana bana na kuyaloweka kwenye blue.Haaaa.... Atuaziman zile tunazo for special occasion, Sasa Xul yenyewe ipo town mnaachaje kua smart...!
Sasa hivi ukienda mton uende na wajuvi wakupiga mbizi usijepotelea mto Nana!
Yap, Men from Galaxy!Bila shaka umesoma galanos