kwahiyo mkuu ulichafua maji ya watuMimi naziheshimu sana swimming pool za kwenye mahoteli makubwa, nilikuwa nafikiri ni fupi, sasa siku moja nikasema ngoja na mimi niogelee kwenye swimming pool, aisee nilikunywa maji mpaka nikajamba na kauharo kidogo na kamkojo kidogo kakatoka, siku ile ndiyo nilijua maji ya swimming pool sio masafi kama yanavyoonekana
hahaha ulienda kumuokoa halafu bado akawa shida kwa maisha yako tenaNikiwa Olevel tulifukuzwa ada tukaenda kudiba mtoni, sasa kuna msela angu alikua ajui kuogelea kimasiara masiara watu wakamtosa kina kirefu mara kikombe cha kwanza mara chapili, mi nkajitia ufundi nkamuokoe jamaa alikua mbavu alinipiga roba anapanda mwilin mwangu awe juu apumue mi niwe chini, kila nkitoa wap piga ngumi wap, mpaka nkapanic, thank to God nkapata akili ya kuzama chini ndo kuniachia nkapita chin kwa chini nkatoka njee tukamrushia mgomba ndo kumvuta nao......! nkuanzia siku iyo ukitaka ugonvi naewe zungumizia mambo ya kuogea
Hahaha...ungemuuma menoNikiwa Olevel tulifukuzwa ada tukaenda kudiba mtoni, sasa kuna msela angu alikua ajui kuogelea kimasiara masiara watu wakamtosa kina kirefu mara kikombe cha kwanza mara chapili, mi nkajitia ufundi nkamuokoe jamaa alikua mbavu alinipiga roba anapanda mwilin mwangu awe juu apumue mi niwe chini, kila nkitoa wap piga ngumi wap, mpaka nkapanic, thank to God nkapata akili ya kuzama chini ndo kuniachia nkapita chin kwa chini nkatoka njee tukamrushia mgomba ndo kumvuta nao......! nkuanzia siku iyo ukitaka ugonvi naewe zungumizia mambo ya kuogea
Hahaha mkuu.hukubakwa kweli?Kuna siku naogolea coco kumbe Sasa jioni maji Yana kuja na yanarudi yakanipeleka mbali bila kujua nakuja kushtuka Niko mbali Seema uzuri palikuwa na watu wengi ilibidi nimshike braza mwenye tairi..WANAWAKE wanapelekwa mbali halafu wanabakwa utafanyaje jamaa anataka kukuacha anakwambia mpe kidogo akuokoe??![]()
Aisee mi pia naziheshimu swiming pool nilinusurika kuzama hoteli moja kule south afrika! Aisee, acha tu. Nilijirusha kumbe nimerukia kwenye kina kirefu, najaribu kusimama nikagundua sigusi chini! Nikapaniki! Ikabidi nikubali kuzama hadi nikakanyaga chini nikaanza kutembea kuelekea kwenye kina kifupi! Aah! Aisee siwezi sahau na nilikuwa peke yangu, kama pool ingekuwa pana sana hata sijui ingekuwaje, ni neema za Mwenyezi MUNGU tu ndio ziliniokoaMimi naziheshimu sana swimming pool za kwenye mahoteli makubwa, nilikuwa nafikiri ni fupi, sasa siku moja nikasema ngoja na mimi niogelee kwenye swimming pool, aisee nilikunywa maji mpaka nikajamba na kauharo kidogo na kamkojo kidogo kakatoka, siku ile ndiyo nilijua maji ya swimming pool sio masafi kama yanavyoonekana
Hakikisha pana watu wa kukuokoa endapo ikitokea dharura kama kukaza misuri n.kNakumbuka niko Advance Tanga.... Friends zangu wapenda maji kama samaki, sisi most of week end days tunatoroka shule kwenda kuogelea, tukiwa na ela tunaenda Raskazone tukifulia tunaingia deepsea.......!
Ilikua kawaida tukiwa Raskazone tunaogealea mpaka meli zilipotia nanga, pana umbali kidogo sasa siku moja tunatoka kwenye nanga turud nchi kavu misuli ikakaza, kila nikistrech wap, dooohhh nilitoa macho nkaomba Mungu aniepushe na kifo cha maji ila kwaushirikiano ya washkaji na mabaharie wengine nilirud salama......!
Kuanzia siku iyo nkawa nikitakakupiga zoez la kuogelea nnaenda parallel na bahari....
Ndio, kama unaanza lazima ufanye hivyo kwa kutumia mipiraLabda kuogelea na safety gears Kama mpira ivi otherwise no,no,![]()
yani hata kesho usijaribu kumuokoa kwa kumsogelea mtu asiejua kuogelea, mtakufa woteNikiwa Olevel tulifukuzwa ada tukaenda kudiba mtoni, sasa kuna msela angu alikua ajui kuogelea kimasiara masiara watu wakamtosa kina kirefu mara kikombe cha kwanza mara chapili, mi nkajitia ufundi nkamuokoe jamaa alikua mbavu alinipiga roba anapanda mwilin mwangu awe juu apumue mi niwe chini, kila nkitoa wap piga ngumi wap, mpaka nkapanic, thank to God nkapata akili ya kuzama chini ndo kuniachia nkapita chin kwa chini nkatoka njee tukamrushia mgomba ndo kumvuta nao......! nkuanzia siku iyo ukitaka ugonvi naewe zungumizia mambo ya kuogea
HahahaaaAisee huu uzi ulipaswa ukimbie maana sisi wenyeji wa Ndugai city maji marefu tunayaonaga kwenye tv tu.


