Tulioko kwenye ndoa tupeane uzoefu

Tulioko kwenye ndoa tupeane uzoefu

ah wapi!hajawah ht nikuta na txt ya men..yy daily anasema anjua natembea na profesaz[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...au akiona men job anahela anaweza kukuamsha usk akakuhoji[emoji23][emoji23][emoji23]..!ana hofu!demi anamfaham
Hahahaha ukute na wewe ni mzuri Saana,mpaka mwenzio hajiamini
 
😂😂😂mie ht km.yumo humu akae akijua nimechoka ht km ndo ww ujue nimechoka..wala sijali..na anajua sijui kuvunga..acha tufunguke hujui ndo twajiponya hvyo!mie huwa naheal mapema kuliko kuweka moyoni kisa ndoa😏

Yeye anajua wewe umo humu?
 
karibu nakata tamaa... naweza tulia nikamuuliza nn shida anakuambia sitak marafiki zako.km.una shida na marfiki nitakitaftia..sijui shida nn jaman..ht yy simuion na rafiki kbs nadra sana ...huwa anajitenga tenga tu km lifisi hivi
Wako watu aina hiyo na asilimia kubwa hufa kwa upweke sana. Watu wa aina hii,utakuta katika kazi zake yuko vizuri sana,ila socially ni "takataka", hata hapo unapo zikamua Imagi zako kama ni counter,watu hawawezi kukaa nae dakika ishirini bila kumkimbia.Watu hawa huwa kila kitu ni kuhusu wao na mitazamo yao ndio kila kitu,maoni ya wengine siku zote kwao ni upuuzi.Sasa huyo anataka akuambukize hilo tatizo lake.
 
Ukweli ni kuwa wapo wanaofurahia ndoa zao na wamekaa kimya kabisa. Tatizo ni wale wenye ndoa ndoano. Makelele mengi mpaka tunawatisha watoto waiogope ndoa. Changamoto za ndoa zinategemeana na ulipokosea. Swali kubwa ni ulikosea wapi? Na unakosea wapi?

Wanafurahia au wanavumilia?

Hao ndo huwa nawalaumu sana,they pretend to be saints living large happier kumbe deeep down they're living like hell
 
mie.ht sherehe za kazini siendag ukimwambia twende anakataa kibishi tu..anasema utanyweshwa mipombe ww huon boss wako hujui.ameathirika?ile crew yenu yoote wameathirika na ukimwi.km.unapenda ndoa yako sitak.uende kienda usirudi humu[emoji4]!hebu fikiria mzima.huyu kichwan..alafu hao staffs wenzako wana roumous za kusema akimtaka mke wa mtu ht 1 m anatoa manengelo sitak uende bas nasemaga mbn mie ishu za kuhongwa mapesa hvyo sijawah sikia??anakuqmbia upo kwenye target..kila men nayemfham anamuoneshea chuki live...kha
Mmh kafanana na mtu mmoja hivi, hata ndugu yako wa kiume Kama sio tumbo Moja lzm akufikirie vibaya, eti muhuni yule anakutaka...[emoji23][emoji23] Hapo anamzungumzia mtoto wa baba yako mkubwa au wa mjomba
 
[emoji23][emoji23]mie anantaftuaga sababu tu anaweza rudi saa5 asbh..ss ole ulate kurudi hufunguliw ng'o jaman nimechoka mm mwenzenu...sijui nifanyej..
Usipofinguliwa unaenda wapi? Shoga una mazito[emoji849]
 
karibu nakata tamaa... naweza tulia nikamuuliza nn shida anakuambia sitak marafiki zako.km.una shida na marfiki nitakitaftia..sijui shida nn jaman..ht yy simuion na rafiki kbs nadra sana ...huwa anajitenga tenga tu km lifisi hivi
[emoji24][emoji24]
 
ah wapi!hajawah ht nikuta na txt ya men..yy daily anasema anjua natembea na profesaz[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...au akiona men job anahela anaweza kukuamsha usk akakuhoji[emoji23][emoji23][emoji23]..!ana hofu!demi anamfaham
Ana sura ya upole, anaongea kwa upole utadhani we ndo unamuonea
 
mie.ht sherehe za kazini siendag ukimwambia twende anakataa kibishi tu..anasema utanyweshwa mipombe ww huon boss wako hujui.ameathirika?ile crew yenu yoote wameathirika na ukimwi.km.unapenda ndoa yako sitak.uende kienda usirudi humu😊!hebu fikiria mzima.huyu kichwan..alafu hao staffs wenzako wana roumous za kusema akimtaka mke wa mtu ht 1 m anatoa manengelo sitak uende bas nasemaga mbn mie ishu za kuhongwa mapesa hvyo sijawah sikia??anakuqmbia upo kwenye target..kila men nayemfham anamuoneshea chuki live...kha

Mumeo kiboko!! Teh teh teh

Nyie mnaweza hata kuwa na reality tv show yenu inayo-document drama zenu!
 
dadii atakuwa ni mkaka mtu mzima..jaman.kuna majitu yanafatilia na utoto mwingi nyie?mwenzenu had leo hii sina rafiki...yaa asbh nimetoka tumiwameseji manengelo shoga kaa na mumeo sitakutafta tena huyo ni wa4!utadhan tunakaa bar uchi au tumeshika chupi mikonon..au tunakaa vby kias kwamba mamen wanaona chupi chetu tuzovaa... yaan ht ukutwe unakula.kiepe bar na rafiki huyu rafik analo..atasimangwa matusi yt km sio utoto ni nn huo!january naweka tangazo humu la kutafta mwanaume mzee alotaliki au kufiwa mradi tupime! anifanye mkewe!anidekeze !nimechoka mtu unalazimishwa kuishi km mzee bwana![emoji58][emoji21][emoji57]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka,kinachoboa wao kama popo wanamaliza viunga vya bar tu hapo ndo unapotamani kumchemsha mtu supu umnywe na pili pili nyiiingi.
 
ndoa ni mtihani unaopewa cheti chake kabla ya matokeo........ Hakuna cha uzoefu wala nini kila mtu na maumivu yake... full vichomi
 
....Ndoa ni wito, huingii kwenda ndoa kwenda kufaidika ili hali umejibetweka tu, Ndoa hujengwa tena kwa jasho!......
 
Back
Top Bottom