[emoji23][emoji23][emoji23]juzi jpl nilikaa sehem 1 na shost tena alilazimisha sana tutoke nikamwambia jol mbn kie sipend kunywa akalazimsha sana ..jaman nisikilzage tu roho yangu sehem nikiyokaa pemben yangu yupo mzungu m1 maarufu sana anajulikana sana kwa[emoji126][emoji481] aliponiona akaniachia kiti huyo mzungu tukawa tumekaa na shost mzungu akawa anayake na mm nayngu tena nilikua jf...lahaulaaa kumbe mr anacheki mpira hapo akaniask uko ap nikamdanganya nipo towm...nikidanganya coz amekuwa mtu wa kuharass sana mbele za watu.. jama dk 20 nyinhi nakuta nashikwa bega..hhaaa nikaishia kutabasam sikujali coz kanikuta na shost weee!anadai mzungu ni mwathirika wa ukimwi na hao marafiki mlokaa nao wote waathirika (nahis mume wangu ameajiriwa vitengo vya kupima magoma)!shoga akaanza nishutumu.ninatembea na mzungu[emoji23][emoji23][emoji23]... kachukua kila.kitu changu kanirudishia alfjir leo[emoji16][emoji16][emoji16] kuna mtu hapo sasa..alafu mzungu ht hakua na shobo kbs na mm ...kila akikuta tumrkaa na wakaka anasrmaga manengelo hv hujui hao waathirika[emoji23][emoji23][emoji23]