Tulioko kwenye ndoa tupeane uzoefu

Tulioko kwenye ndoa tupeane uzoefu

Nimecheka tu mimi hiyo ya waathirika
😂😂akiniona naongea na maboss job anakuja jion na stry dogo profesa fulan naskia mwathirika-nami namjibu nshawishi aanze kutumia dawa anakujibu shauri zako mie nakuambia unajifanya mjanja😏😏😏
 
[emoji23][emoji23][emoji23]juzi jpl nilikaa sehem 1 na shost tena alilazimisha sana tutoke nikamwambia jol mbn kie sipend kunywa akalazimsha sana ..jaman nisikilzage tu roho yangu sehem nikiyokaa pemben yangu yupo mzungu m1 maarufu sana anajulikana sana kwa[emoji126][emoji481] aliponiona akaniachia kiti huyo mzungu tukawa tumekaa na shost mzungu akawa anayake na mm nayngu tena nilikua jf...lahaulaaa kumbe mr anacheki mpira hapo akaniask uko ap nikamdanganya nipo towm...nikidanganya coz amekuwa mtu wa kuharass sana mbele za watu.. jama dk 20 nyinhi nakuta nashikwa bega..hhaaa nikaishia kutabasam sikujali coz kanikuta na shost weee!anadai mzungu ni mwathirika wa ukimwi na hao marafiki mlokaa nao wote waathirika (nahis mume wangu ameajiriwa vitengo vya kupima magoma)!shoga akaanza nishutumu.ninatembea na mzungu[emoji23][emoji23][emoji23]... kachukua kila.kitu changu kanirudishia alfjir leo[emoji16][emoji16][emoji16] kuna mtu hapo sasa..alafu mzungu ht hakua na shobo kbs na mm ...kila akikuta tumrkaa na wakaka anasrmaga manengelo hv hujui hao waathirika[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha mm ndo huwa sijirogi kudanganya.... Maana nahisi kila mahali kaweka watu wanifatilie, Kama sijisikii kumwambia chochote simu naimute kwenye pochi kimya mpaka nakaribia home ndo naishika!! Hapo kakasirika hatari
 
Hahahaha mm ndo huwa sijirogi kudanganya.... Maana nahisi kila mahali kaweka watu wanifatilie, Kama sijisikii kumwambia chochote simu naimute kwenye pochi kimya mpaka nakaribia home ndo naishika!! Hapo kakasirika hatari

😂😂mm napokea usipopokea ht ukirudi.saa1 hakufungulii.mlango.ng'o!jaman nimechoka mjue
 
Hahahaha mm ndo huwa sijirogi kudanganya.... Maana nahisi kila mahali kaweka watu wanifatilie, Kama sijisikii kumwambia chochote simu naimute kwenye pochi kimya mpaka nakaribia home ndo naishika!! Hapo kakasirika hatari

mie.ht sherehe za kazini siendag ukimwambia twende anakataa kibishi tu..anasema utanyweshwa mipombe ww huon boss wako hujui.ameathirika?ile crew yenu yoote wameathirika na ukimwi.km.unapenda ndoa yako sitak.uende kienda usirudi humu😊!hebu fikiria mzima.huyu kichwan..alafu hao staffs wenzako wana roumous za kusema akimtaka mke wa mtu ht 1 m anatoa manengelo sitak uende bas nasemaga mbn mie ishu za kuhongwa mapesa hvyo sijawah sikia??anakuqmbia upo kwenye target..kila men nayemfham anamuoneshea chuki live...kha
 
mie.ht sherehe za kazini siendag ukimwambia twende anakataa kibishi tu..anasema utanyweshwa mipombe ww huon boss wako hujui.ameathirika?ile crew yenu yoote wameathirika na ukimwi.km.unapenda ndoa yako sitak.uende kienda usirudi humu[emoji4]!hebu fikiria mzima.huyu kichwan..alafu hao staffs wenzako wana roumous za kusema akimtaka mke wa mtu ht 1 m anatoa manengelo sitak uende bas nasemaga mbn mie ishu za kuhongwa mapesa hvyo sijawah sikia??anakuqmbia upo kwenye target..kila men nayemfham anamuoneshea chuki live...kha
Mmmmh hadi sherehe za kazini!!!!! Hii kweli changamoto
 
Naona leo watu mnafunguka haswa!

Kwa vile JF ni msitu, si ajabu hata wenza wenu pia wapo humu [ingawa nadhani wenyewe mnaamini kuwa hawawezi wakawepo].

Usikute hata wao hao wenza wenu wanadhani na nyie hampo huku!

Ndoa zina mambo sana.
 
Vumilia tu ndo zigo Lako hilo...... Ila hakuamini au ulimcheat akajua ndo maana anakua hivyo

ah wapi!hajawah ht nikuta na txt ya men..yy daily anasema anjua natembea na profesaz😂😂😂😂😂...au akiona men job anahela anaweza kukuamsha usk akakuhoji😂😂😂..!ana hofu!demi anamfaham
 
Naona leo watu mnafunguka haswa!

Kwa vile JF ni msitu, si ajabu hata wenza wenu pia wapo humu [ingawa nadhani wenyewe mnaamini kuwa hawawezi wakawepo].

Usikute hata wao hao wenza wenu wanadhani na nyie hampo huku!

Ndoa zina mambo sana.

😂😂😂mie ht km.yumo humu akae akijua nimechoka ht km ndo ww ujue nimechoka..wala sijali..na anajua sijui kuvunga..acha tufunguke hujui ndo twajiponya hvyo!mie huwa naheal mapema kuliko kuweka moyoni kisa ndoa😏
 
karibu nakata tamaa... naweza tulia nikamuuliza nn shida anakuambia sitak marafiki zako.km.una shida na marfiki nitakitaftia..sijui shida nn jaman..ht yy simuion na rafiki kbs nadra sana ...huwa anajitenga tenga tu km lifisi hivi
Vitu vingine usimchukulie maanani, hata mm hawapendi marafiki zangu anadai watanidangisha hahaha.... Namuangalia tu ila hao hao anawaona Kila leo namwambia wazoee .
 
Trust me, swala linaloitwa "NDOA", wafuasi wake wakuu ni wa jinsia ya "ke". Wanaume walio wengi hujaribu sana kuikwepa hiyo taasisi ila kwa nguvu ya ushawishi na mbinu mlizobarikiwa na Mungu huwa mnafaulu kutuingiza katika hiko kifungo.Nevertheless,lipo kundi la waume wachache wanaokuwa na wenge la kuoa kwa kuona marafiki zao wameoa.
 
Back
Top Bottom