Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,805
- 43,230
Na mimi naomba....
Wewee tena... Sema kinywaji unachotaka kunywa leo nikuletee hapo ulipo uburudike kwa raha zako.
Cheers *** Jabuu.
Na mimi naomba....
😂😂👊salute
Hahhahahaah
Mi sijengi mpaka mnyamwezu uingie ndani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]Mimi ninakaribia kuzishindwa..mtu analazimisha uishi atakavyo[emoji57][emoji57]hela yako[emoji57][emoji57][emoji57]simu yangu[emoji57][emoji57][emoji57]!kumaaaninaa
Hahahahahhaaa usifanye wazee wa kichaga wakanifanyia tambiko la mbege na kisusio niingie uchagani....
Jenga bana Mangii, mengine yatakuja...
Hapa wanashindwa wengi
Nilikuwa zangu naelekea Somanda.
View attachment 971397
Ghafla kuangalia upande wa kushoto naona kituo cha kujazia mafuta cha Nengelo!
Nikajisema kimoyo moyo ‘kumbe ng’wanike one’ ni nsabhi...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]
Najenga mjini Kasieee,
Huko shamba bado sanaa
Sikuwahi kuingia kwenye hii taasisi Ila kwa mahusiano niliyopitia siitamani hata.
Baadae ya kukutana na Dadii, kuna siku alinipeleka kwenye duka wanalokodisha magauni ya harusi akataka nijaribu linalonitosha na nililolipenda.
Sikubisha wala kujua kwanini anafanya hivyo. Tulipomaliza nikatoka nimelivaa, alilipia kukodisha akanipeleka nikafanye make up kisha tukaenda hotel, akasema leo sikuoi ila nataka kuishi na wewe maisha nje ya ndoa kiungo chetu kikubwa ni kuheshimiana na upendo.
Hadi leo sijawahi kutamani ndoa, sijawahi kumchoka Dadii na wala sifikirii kumuacha hata iweje.
Mahaba Mia Mia kwako Dadii Sisemi haya ili watu waache ndoa zao hapana. Kila mtu na aishi vile anapata amani moyoni.
Ni bora zingeishia changamoto tu Bali kuna matatizo makubwaKwani kwenye ndoa kuna changamoto?
Hapo sawa.... Tuko pamoja.
Tshimbony Shafooo.
Hakuna shida kubwa Maa, niliwahi post nakiogopa sana hicho kifungo huru kwa ninayoyaona! Wakanifariji kwelikweli.!!shida nini mamaa
😊😊karibuHakuna shida kubwa Maa, niliwahi post nakiogopa sana hicho kifungo huru kwa ninayoyaona! Wakanifariji kwelikweli.!!
Shukraani once again Mkuu.!!usiwasikilize wanao ku-disappoint. Ndoa tamu usiskie
katoto kazuri kwa avatar hongera umekuzaNi bora zingeishia changamoto tu Bali kuna matatizo makubwa
dadii atakuwa ni mkaka mtu mzima..jaman.kuna majitu yanafatilia na utoto mwingi nyie?mwenzenu had leo hii sina rafiki...yaa asbh nimetoka tumiwameseji manengelo shoga kaa na mumeo sitakutafta tena huyo ni wa4!utadhan tunakaa bar uchi au tumeshika chupi mikonon..au tunakaa vby kias kwamba mamen wanaona chupi chetu tuzovaa... yaan ht ukutwe unakula.kiepe bar na rafiki huyu rafik analo..atasimangwa matusi yt km sio utoto ni nn huo!january naweka tangazo humu la kutafta mwanaume mzee alotaliki au kufiwa mradi tupime! anifanye mkewe!anidekeze !nimechoka mtu unalazimishwa kuishi km mzee bwana![emoji58][emoji21][emoji57]
Hahaha unanichekesha manengelo, mtu ushapendeza zako afu Kuna kiumbe kinaanza anza maswali...... Aaagaah[emoji23][emoji23]ya 4 hii..am stable thou nawaza kurudi hom tu hapa..sasa umkute ataanza maswali mbn.umechangamka..mbona umelegea[emoji57][emoji57][emoji57] fyekeleaa mbali
Nyie bila ubabe mnaenda kweli ???[emoji23][emoji23]hasa hasa wanaume mmeshindwa kuwatake care wake zenu mmebaki kuonesha ubabe kwa wake zenu !poor u
Njoo kwa Sweet Mangi,
Mangi nisie na tatizo...
Sema sasa wivu usije ukakushika wewe,
Ukanifanyia kama ulivyofanyiwaa,
Upo tayari?